@Rydx_017
πππππππππππππππππππππππbongo raha Sana eti nikaona babu mwenye kiparaaaaaaaaa
Simon adigra mtoto wa de zerb πππ₯dogo anabalaa Sio kidogo alikuwa anawachukua watu wa wili wawili Kama anavyo taka... Young dangerous player in afcon ππ₯π₯
Nimesikiliza kwa undani na umakini wa wa hali ya juu nimegunduaa hii ngoma ya away marioo ft harmonize π₯π₯π₯πππππni balaa jingine
Sio kuwa na mdomo tu bali hata ngumu ulingoni anabonda vizur ifike hatua tusemee kwa ukandaa huu wa east Africa hakuna bondia Kama mwakinyo. Kama unabisha nitajie mabondia wanaomuweza mwamba comment ππππ