Bjay✨ Profile Banner
Bjay✨ Profile
Bjay✨

@bojokhan099

4,247
Followers
5,453
Following
1,748
Media
18,306
Statuses

🤍BUILDING & DESIGNING 🤍 travelling 🥂 music 🥂 football //success need time// 📩 husseinadam029 @gmail .com

Joined June 2023
Don't wanna be here? Send us removal request.
@bojokhan099
Bjay✨
5 months
Watu wanaroho ngum sana😀
Tweet media one
43
36
622
@bojokhan099
Bjay✨
4 months
Umemtambua nani hapa
Tweet media one
14
9
155
@bojokhan099
Bjay✨
5 months
Udongo tu una shabihiana na gari kuitwa KIAZI kitamu 😅 mkoa gani huu
Tweet media one
28
9
153
@bojokhan099
Bjay✨
4 months
Aliempa u pilot utingo wa scania mbingu ataiskia tu🌝💔
Tweet media one
11
17
143
@bojokhan099
Bjay✨
7 months
Kwa wanao mjua tepsie uyu dogo angeforce mazingira ya kwenda nje atleast na sisi tungekuwa na adingra wetu yupo KMC 🙆
Tweet media one
10
8
106
@bojokhan099
Bjay✨
6 months
Hivi hiki kingereza ndo chenyewe au ni cha buza😹
Tweet media one
14
4
99
@bojokhan099
Bjay✨
7 months
Oya wauza kandoro tusikonde wanangu kutoboa kupo tuzidishe juhudi na kumtanguliza mungu wanangu🥹
Tweet media one
6
11
88
@bojokhan099
Bjay✨
5 months
Hata wakuchafue vipi bado haitoshi kuivua thamani yako💫
Tweet media one
1
12
71
@bojokhan099
Bjay✨
2 months
Pale wameandika darasa la ngapi 😅😅😅🥂
Tweet media one
4
11
71
@bojokhan099
Bjay✨
6 months
Hata yule pilot hajuagi tu yani nachukia🌝😁😹😹
Tweet media one
10
8
63
@bojokhan099
Bjay✨
6 months
Boder boder hapa Popote uendapo nakupeleka bure are you ready 🌝🌝
Tweet media one
1
6
64
@bojokhan099
Bjay✨
7 months
Huyu kijana apate kaupenyo maisha hawezi kuwa mzalendo😅 huo ndo uhalisia
Tweet media one
7
10
64
@bojokhan099
Bjay✨
6 months
Upo tayariiiii tuombe uhai kwa mungu tushuhudie mpira 😁 n:b timu yangu haipo hapo mm ni mtibwa🔨
Tweet media one
5
7
63
@bojokhan099
Bjay✨
1 month
Ukishakua legend 😅😅🔥
Tweet media one
6
9
60
@bojokhan099
Bjay✨
5 months
Namjua yule lazima tu atatangaza😅
Tweet media one
4
8
58
@bojokhan099
Bjay✨
5 months
Mwanza kuna aziz ki😅😅😅
Tweet media one
Tweet media two
1
4
59
@bojokhan099
Bjay✨
5 months
Nusu ni yetu robo ni yao 🌝
Tweet media one
1
6
59
@bojokhan099
Bjay✨
3 months
Ningemtag shida achelewi kukasirika😹😹
Tweet media one
5
5
55
@bojokhan099
Bjay✨
7 months
Halaf kuna dungaembe linaamua kuwa upinde kweli 😅 banchochohara kichwa kama mtungi wa oryx🚮 🌝
Tweet media one
7
8
55
@bojokhan099
Bjay✨
7 months
Mungu nijaalie nimpate kwanza wahivi nianze nae maisha🌝🌝🌝
Tweet media one
4
8
54
@bojokhan099
Bjay✨
5 months
Aisee mambo ni mengi mda mdogo na hii imenipita wapi huku mi mbona sijaiona leo🤤
Tweet media one
7
8
50
@bojokhan099
Bjay✨
7 months
Hiki kiwanda nafanya kazi na mshahara wabaki nao tu siutaki🌝
Tweet media one
11
4
48
@bojokhan099
Bjay✨
6 months
Ukiwa unanidai ukinitembelea tu mlango wako ndo huo kiumane tu😅😹😹😹
Tweet media one
5
7
50
@bojokhan099
Bjay✨
7 months
Bokoboko na dagaa leo nimetoa kitu cha mambele makofi kidogo😁
Tweet media one
10
9
48
@bojokhan099
Bjay✨
6 months
Ukiwa Jobless uko single na hauna hela oya hiyo combo ni hatari sio poa
Tweet media one
4
16
47
@bojokhan099
Bjay✨
7 months
Wanasema imeua boda boda watu wakapita na basi unamaoni gani mpwa😅
Tweet media one
6
6
47
@bojokhan099
Bjay✨
1 month
Wakuu waheshimiwa maboss tupeni hii code basi nasisi tuoe 😅😅😅
Tweet media one
15
9
46
@bojokhan099
Bjay✨
3 months
No caption 📌🔥🔥
Tweet media one
0
6
44
@bojokhan099
Bjay✨
7 months
Channel ya vichekesho inaishiwaga mambo bas😅
Tweet media one
2
6
44
@bojokhan099
Bjay✨
7 months
Aliempaka aziz ki kii breach ninani 😅 timu inakua kama ya vikongwe bhana ah
Tweet media one
4
3
43
@bojokhan099
Bjay✨
7 months
Nime mfollow back mwarabu mmoja si akaenda kuwaambia wenzake oya🤤 wamejaa kama njegere
Tweet media one
7
6
41
@bojokhan099
Bjay✨
6 months
Ukinogewa na kazi mwisho wa siku yanatokea ya kutokea😅
Tweet media one
5
9
39
@bojokhan099
Bjay✨
6 months
Ulileta nguo kweli mbona sikujui ndio nakuona leo 🌝
Tweet media one
5
9
41
@bojokhan099
Bjay✨
7 months
Dar to lagos 🔥 ukiambiwa uiangalie tena baada ya miaka tele utaangalia😊?
Tweet media one
2
3
41
@bojokhan099
Bjay✨
8 months
@Exquisite_255 Lengo lao halitatimia kamwe, kwa sis waislam hatuna sheh wa dunia apo kwao nipagumu kuwaeka waislam apo
26
2
40
@bojokhan099
Bjay✨
3 months
Nimpate wa hivi mungu anipe nini tena🌝🥂
Tweet media one
5
7
39
@bojokhan099
Bjay✨
7 months
Kuna kiungo kimepewa majukumu ambayo sio yake hapa😅 umeshakijua. Baaas usikitaje 😅😅
Tweet media one
4
8
40
@bojokhan099
Bjay✨
7 months
Gazet la 500 likishafika jioni wauzie wauza sambusa 2000 ukuze mtaji maisha yaendelee😅 captaaaaiiin ...
Tweet media one
0
4
41
@bojokhan099
Bjay✨
6 months
Aisee Nianze mazoezj ya mpira sasa watu wanaroho mbaya ata hatustuani ah sijapenda wakuu😅
Tweet media one
4
4
39
@bojokhan099
Bjay✨
7 months
Eti ukikuta mkuki mkeo ndo .... ah kudadeki lazima kiwake 🔥🔥🔥😅
Tweet media one
5
5
38
@bojokhan099
Bjay✨
7 months
Oya kweli kuna noti ya elfu hamsini uganda 😅 ukiwa nazo mbili tayari laki🔥🔥🌝
Tweet media one
5
2
38
@bojokhan099
Bjay✨
6 months
Majina gani ndo huwa na hizi tabia🌝😹
Tweet media one
8
3
36
@bojokhan099
Bjay✨
3 months
Tukimpiga morroco tu sisi haoooo😁🌝
Tweet media one
6
6
38
@bojokhan099
Bjay✨
7 months
Bosi ingia whatsup uone nimetuma CV ya kuacha kazi mambo yashakua magum🌝
Tweet media one
3
5
36
@bojokhan099
Bjay✨
6 months
We meza tu mimate ya miezi miwili hiyo🌝
Tweet media one
5
4
38
@bojokhan099
Bjay✨
5 months
Aziz ki ni mnafik sana 😅 ata ingekua wewe ungenyanyuka😅😅😁
Tweet media one
0
5
36
@bojokhan099
Bjay✨
6 months
Mimi hua mwema sana namfata kiustaarabu namkumbusha 🌝
Tweet media one
3
10
35
@bojokhan099
Bjay✨
7 months
Naskia nyimbo zinazoimbwa hapa hata uweke pamba maskioni zinapenya 😅😅
Tweet media one
4
1
36
@bojokhan099
Bjay✨
5 months
Hii ubuntu fc wasiione wataanza kulia😹
Tweet media one
0
4
34
@bojokhan099
Bjay✨
24 days
Mwenye elfu 20 anikopeshe nakazi nayo😩😅😅😅
Tweet media one
7
6
36
@bojokhan099
Bjay✨
6 months
Gamondi anatamani kusema msimu ujao nileteeni fei
Tweet media one
Tweet media two
2
6
36
@bojokhan099
Bjay✨
6 months
Oya si tulikubaliana mamelod wanangu tusikataane mbele huko😁
Tweet media one
3
2
35
@bojokhan099
Bjay✨
6 months
Imeenda hiyooo ikirudi pancha 😁
Tweet media one
3
4
35
@bojokhan099
Bjay✨
8 months
@Neypaul01 🤓🤓🤓🤤
0
0
36
@bojokhan099
Bjay✨
5 months
Wewe ni pikipiki ya zamani tu 😅
Tweet media one
3
5
36
@bojokhan099
Bjay✨
7 months
Ngoja niwafarakanishe kidogo 😁😁 no more peace ikiwezekana zipigwe tu
Tweet media one
5
5
36
@bojokhan099
Bjay✨
7 months
TBT 🔥🔥🔥 watu wa south tz🥂
Tweet media one
3
4
34
@bojokhan099
Bjay✨
4 months
Simba ya mgunda una maoni gani mwanasimba😅 kwenu studio
Tweet media one
3
9
36
@bojokhan099
Bjay✨
1 month
Mwendo wa kupush maisha mpaka kieleweke 🔥🥂 Good morning 🥂🌻💫
Tweet media one
4
5
36
@bojokhan099
Bjay✨
7 months
Unampata mroho mmoja kwenye kigiza giza flan hivi cha kishkaji 😅 lazima umkongoloe meno yake🤣 no more peace
Tweet media one
7
4
36
@bojokhan099
Bjay✨
6 months
Upi umri sahihi wa kuoa jamani isijekua napitiliza
Tweet media one
6
5
33
@bojokhan099
Bjay✨
8 months
@Neypaul01 🔥🔥🔥
0
0
34
@bojokhan099
Bjay✨
3 months
Nashangaa sana😅
Tweet media one
2
4
36
@bojokhan099
Bjay✨
3 months
AHSANTE studio 😎
Tweet media one
2
6
35
@bojokhan099
Bjay✨
5 months
Ni vile Facebook wana wasafi yao au hizi habari ni za kweli😅
Tweet media one
5
6
30
@bojokhan099
Bjay✨
4 months
Fei again vita ni kubwa
Tweet media one
2
2
33
@bojokhan099
Bjay✨
7 months
Picha linaanza gazeti limebebwa😁😁
Tweet media one
5
4
33
@bojokhan099
Bjay✨
3 months
Kashanasa nipeleke posa sasa
Tweet media one
1
3
34
@bojokhan099
Bjay✨
7 months
Ni kusema kwamba akienda man u hapat namba au 😅 si wamchukue dogo
Tweet media one
2
3
34
@bojokhan099
Bjay✨
6 months
Boss ingia whatsup boda boda alinipush kidogo kunakitu kimetokea😅
Tweet media one
2
3
33
@bojokhan099
Bjay✨
7 months
Vijana wa hii nchi mpo mbona mmepoa sana aisee
Tweet media one
3
5
33
@bojokhan099
Bjay✨
5 months
Kumekucha tena mungu yu pamoja nasi🥳✌️ Good morning 🌻💫
14
16
31
@bojokhan099
Bjay✨
7 months
Call him baleke 🔥🔥🔥 namba__9__ asilia 🥂
Tweet media one
1
4
33
@bojokhan099
Bjay✨
6 months
Eti ndo iwe cha usiku sitoboi 😅😅 saa nane lazima niamke na njaa
Tweet media one
6
4
31
@bojokhan099
Bjay✨
6 months
Kama neno "MAMBO YASIWE MENGI" ingewakilishwa na picha 🤤 👇
Tweet media one
1
4
32
@bojokhan099
Bjay✨
3 months
Watu wanalalaga bahat mbaya au swaga tu hz😅
Tweet media one
13
4
33
@bojokhan099
Bjay✨
4 months
Umeshawaona hao malaria saba inachukuaga muda kidogo
Tweet media one
4
8
32
@bojokhan099
Bjay✨
7 months
Jirani kapitisha ukuta sebleni famashara nini😅 no more peace lazima kiwake😁😁
Tweet media one
2
5
30
@bojokhan099
Bjay✨
3 months
Ulaya wanangu ulayaaaa😅
Tweet media one
5
4
32
@bojokhan099
Bjay✨
6 months
Viatu vya gamondi hapa vilikua vizito sana havivalikia😅
Tweet media one
3
7
30
@bojokhan099
Bjay✨
3 months
Sikujua kabisa🌝
Tweet media one
0
4
32
@bojokhan099
Bjay✨
5 months
Kamakawa 🌝
Tweet media one
3
8
33
@bojokhan099
Bjay✨
2 months
Haya wewe mjuaji anaitwa samaki gani huyu 😅
Tweet media one
13
5
32
@bojokhan099
Bjay✨
5 months
Kwisha😅
Tweet media one
2
2
31
@bojokhan099
Bjay✨
5 months
🌝
Tweet media one
1
3
31
@bojokhan099
Bjay✨
12 days
Huu ni mtego kijana ameisha😅
Tweet media one
5
7
31
@bojokhan099
Bjay✨
1 month
Hii lazima niipate 🔥🔥🔥🥂
Tweet media one
3
3
32
@bojokhan099
Bjay✨
7 months
Kwahiyo muislam kwa kilugha cha kimasai ndio MUSIKITI😅😅😅🙌 yerro sopai musikiti🤣
3
7
31
@bojokhan099
Bjay✨
6 months
Tafuta hela babuu mbagara sio nyumba kubanana kuna mitaa nyumba ina fence nje kuna lami🤤
3
7
27
@bojokhan099
Bjay✨
7 months
Tumepanda viwango vya FIFA kutoka 121 mpaka 119 una maoni gani mpwa 😁
Tweet media one
3
0
30
@bojokhan099
Bjay✨
7 months
Hili jicho linatibu UTI sugu harara muwasho upele tumbo kujaa gesi kiungulia malaria sugu misuli mifupa kuuma na miguu kuwaka moto 😅😅 kama dose upate kutwa x3🌝
Tweet media one
4
9
28
@bojokhan099
Bjay✨
5 months
Wananiitaga tu mpenzi siwajui lkn😅
Tweet media one
2
4
30