MUZIKI NI BIASHARA
watu walikuwa wanakwaruzana back days,LEO wanafanya ngoma pamoja
Kuna kitu cha kujifunza kwa wasanii wetu wa bongo hapa...HII NGOMA LAZIMA ITAKUWA KALI TU, And will SHAKE THE INTERNET 💣
@chapo255
Ajaongopa msela ana maisha magumu kinoma...kuna day hapa ubungo alikuwa anaomba lift kwenye boda...anamwambia boda mwanao chidi benzi hapa.....daaaah noma
@meamswahili
@diamondplatnumz
We unazani analingana na hao alowekwa nao hapo....hao wote Wana crowd kubwa sana...na hapo wengine hawajawekwa but dai Hana crowd kubwa nje ya nchi...so unaweza ukaona kwamba iyo list ni ya makanjanja tu wameweka weka tu....kiufupj hapo mtanzania hakai hata mmoja
Ila kuna watu "wanakatwa" kweli. Yani...sasa mtu anaku follow back..then wewe una unfollow....wewe ni star au?...yani watu waone vitu vyako tu....acheni ulimbukeni mamake zenu
Hapa river vijana watafutaji wamefukuzwa kama MBWAA,..LAKINI kesho utaona KIONGOZI kasimama kwenye maiki anasema VIJANA HAWAJITUMI,🤷..Sijajua definition ya kujituma wao wanataka kijana afanye nn🤷? watasema wameandaa masoko,LAKINI masoko hayo hayana potentiality Kwa bidhaa za
Hili pambano litatengeneza pesa nyingi sana Kwa Hawa mabondia na mapromota pia, maneno kutoka pande zote mbili yata create tension kubwa sana ...YAAH ndondi lazima ziwe na tambo za hapa na pale, na hapo ndo pesa inapo tengenezwa..NYIE MNATAKA ZIENDE KIBUBU BUBU
Mayele meza anayotingisha ina vinywaji Vya gharama sana...atapata shida sana kwenye social media..wabongo Watamkera mpaka siku anayoingia kaburini...ndo atapumzika, bora angevunga tu
BONGO unaweza sema hauna dini,THEN mtu akakuona KAMA haupo sawa...KUMBE INAWEZEKANA YEYE NDO HAYUPO SAWA😅 (HIZI IMANI TU, WAKUU HAKUNA MWENYE UHAKIKA).. SO MTU AKIKWAMBIA WE MUELEWE PUNGUZA USHAURI. KAMA KWELI KUTAKUWA NA IZO MBAGA UTAMKUMBUSHA MBINGUNI🤝
Kama sija ku follow&ume ni follow sija follow back ( inawezekana nimesahau) niambie...FOLLOW sio kitu,RETWEET pia sio kitu...MIMI SIOGOPI KUCHAFUA TIMELINE YANGU...Let's show love
Nilijua nimeshaona kila kitu hapa duniani,mpaka leo nilipochekiwa na huyu mtu hapa, Yaani birthday yake watu wamu wish kwa kumtumia buku buku..hii sijawai ona wakuu...au nyie ipoje huko kwenu?
@spana_Konki
Sema huyo malkia wenu anazngua...huwez kuwa una tag viongozi still una post izo niaje...unaonekana hujieshimu...kama mnaona ilo neno la "kutombana ni la kawaida" katamke mbele za wazazi wetu au kwenye umati wa watu...huone utakavyoonekana wa ajabu....
Now Nina 24 years, Hii ni 2019,wakati Nina miaka 19 ni ofisi yangu ya kwanza nilikua nasupply unga wa sembe,na packed food viwandani kwa vibarua pamoja na peanut butter,wakati huo wasomi mlikua mna Kesha na vitabu shuleni+vyuoni halafu Leo mnakuja kuipigia kelele serikali!
Mademu wa hapa "X" wengi ni wale ambao wameshindwa battle na wenzao uko insta na tik tok, wamekuja huku kuleta unamba, ndo maana uki wa HARASS kidogo, wanakuweka kabatini, wanataka watu wanao wasifia tuuuu
@IAMartin_
@tassaa98
@tanpol
Msela sio tapeli,Nina ndugu yangu yupo nje anasoma,kupitia yeye,so inakuwa ngumu kuamini kama yeye ni tapeli. Itakuwa mambo hayajaenda sawa,na wateja sometimes wanaboa sana,so unakuwa unapambania mdogo mdogo
@Dymark_Prince
Acheni kuteseka na follows zao...achaneni nao..una unfollow tu...me mtu asipo niffolow na mimi simfollow...maana siamini kwamba natakiwa niwe mtumwa wa mtu ambae hata sio star mamae zake