Taarifa zinadai kuwa Sheikh Mansour anaingiza takribani 110M kwa mwezi kutoka youtube, show yake moja anachaji 230M, anamiliki kisiwa chenye thamani ya shilingi 1.8B, ana kituo cha tv na radio na ana nyumba zisizo pungua 11
Top ten ya wasanii bongo waliosikilizwa sana kwenye mtandao wa spotify kwa mwezi wa sita!
Chino kidd aibuka kidedea mbele ya Quavo
Shuka na list hapa chini 👇👇
TOP 10 YA WAIGIZAJI WAREMBO ZAIDI TANZANIA (BONGO MOVIE)
Hii ni listi ni kwa mujibu wa Chama Cha Warembo Tanzania (CHAWATA)
1. BATULI ACTRESS (wakubwa wanafaidi)
Namba za mita ya umeme huwa zipo 11! namba za simu ni 10! kama una mchepuko wako, futa zile mbili za mwanzo (mfano 07/06) ziweke mwishoni afu ongezea moja yoyote ile then mu save mchepuko wako Mita namba. Ukitaka kumpigia una edit tu chap.. Huwez kamatwa kamwe
Ivi kwanini sisi wanaume tukitaka kununua parachichi moja tu la kula lazima tuminye minye yale mengine ambayo hatuyanunui! Just why??
Siongelei maparachichi ya uyole!
Utafiti uliofanywa 2020-2022 umeonesha kuwa marafiki wa mtandaoni wamekuwa na mchango mkubwa sana kwenye maisha yetu kuliko wale tulionao mtaani kwetu!! Kuna ukweli hapa??
Hivi ni kweli hatuwezi wapeleka kibo na mawenzi(Kilimanjaro) wakafanye utalii wa ndani moja kwa moja through Morogoro road bila kupitia Kigoma-Uvinza??
Siongelei utalii hapa
Ipo siku mchizi wako wa karibu kabisa(Blood) utamwona maeneo fulani na utataka kumshitua umpe ata hi tu, ila atakupotezea kama hakuoni vile! Usi mind bob, kuna mazingira huwa inatubidi tufanye hivo ili tusipoteze vibarua vyetu
One day nitajitolea kumsomesha mtoto wa mtu kuanzia O-LEVEL mpaka UNIVERSITY kama alivyofanya mtoto wa watu kwangu mimi! It's not easy but i pledge to try.. 🙏