@fbuyobe
Kama Dunia ingekuwa ni yenye kudumu na wakazi wake, Basi angekuwa hai Mtume (s.a.w) wa Mwenyezi Mungu, Na mwenye kubakia (milele).
Lakini hii (Dunia) itafikia mwisho, pamoja na starehe zake.
Inna Lillahi wa inna ilayhi raji'un
@Rydx_017
@babalao__
@Balyx_
@DullahTheking2
@JayleenRickie
@MissChelsea1221
Siku akifa atakuja kukumbuka. Wazaz wanapitia mengi sana. Akikua ataelewa kwann mama yake alifanya vile. Nilikuwa katika same situation na mzee wangu ila nilielewa nn sababu. Nikaishi nae Fresh mpaka anarudi kwa Muumba wake. Msiwachukie wazaz kuna mengi sana. Alitakiwa Asamehe
@ExMayorUbungo
Huyu mzee leo ndo nimemfaham sijawah kusikia Akifanya Vurugu kwann Auwawe na Nan amemuwaa na kwa sababu gani. Maswali ni mengi sana but don’t trust any body.
Kabla ya kuhukumu jiulize maswali matatu. Why, who, and for what
@chevi_masta
Na hawatoridhika nawe Mayahudi wala Manaswara mpaka ufuate mila zao. Sema: “Hakika mwongozo wa Allaah ndio mwongozo (pekee).” Na ukifuata hawaa zao baada ya yale ambayo yaliyokujia katika elimu, basi hutopata kutoka kwa Allaah mlinzi yeyote wala mwenye kunusuru.
@OfficialAliKiba
Kuelekea miaka 20 ya King
@OfficialAliKiba
hii ndo ngoma zangu 20 za muda wote.
Mnyama
Mapenzi yana run dunia
Huku
Mac muga
So hot
Mwana
My everything
Dodo
Bwanamdogo
Jealous
Cindelela
On fire
Mshumaa
Utu
Mahaba
sumu
Jah
Salute
Kufosi mapenzi
Bonus track
Nakshi
@SimbaSCTanzania
@moodewji
Saido ntibanzokiza tokea ameenda yanga hajawah kukutana na boss wa timu anakutana na madalali.
Tokea kaja simba
Hattrick
Verified insta account
Kambi dubai
Kakutana na bosi wa team.
@privaldinho
Simba haiokoti wachezaji ambao hawana matumizi na Club zao. Simba inafanya sajili kwa kuangalia mkataba wa mchezaji. Kama simba ingekuwa na utapeli ungeona ina kesi nying Fifa kuwa shinda nyie.
Simba ina wanasheria wanao jielewa sio wakwenue anashindwa kutaja mwaka vizur