@LordSnow
She is literally the cause of all problems , king Viserys says its Aegon the conquer for the song of ice and fire, she misunderstood she thibks its Aegon ii , 😂
@LordSnow
After that we wish to have a show about AEGON THE CONQURER we have been hearing alot about his tales , and tbey are so fascinating perhaps he might be the greater ruler among tbe tagaryren cause most of them are just mad such as Dany
@jjmileo
She was the greatest at the begining but later on she was the same as other leaders just like the mad king , thats why they did their best not to give her the throne , the greatest targaryen muat be Aegon the conqurer and the justics King Viserys
@iamjuddah
My answer will be , right now im focused about this job , i will make this job be better than that job that seems to be better than this.
I will do my best to make this job better.
Hizi hapa njia Tisa (9) halali unazoweza kuzifanya ili mwsho wa siku umiliki chuma kalii 🚘🔥.
Namba moja itakushangaza 🥹
Wengi mlisema biashara haramu tu😂.
Asa tembea nami uzi 🧵
@HOTDNewsHBO
This was most shoking , prince oberyn , it was like he finished the job and i was happy that he finally won the mountain and my favorite tyrion lannister was getting his justice by combat, but what happened mhhh
@LordSnow
Get daemon out of harrenhall, he is rulling there while his wife is having affairs with another woman, moral teaching if your a man never trust your woman best friend
Sifa za wanaume wanaopenda big yansh
Twende pamoja ntaanza 🎤
1. Wengi wao wana wanawake zaid ya mmoja , mwanaume anaependa big yansh mda wote ana njaa
🧵
@HildaNewton21
Unapozungumzia mambo ya mazingira unataka kusema kuwa Environmental Impact Assessment haikufanyika ?? Wakat mirad yote mikubwa kabla ya kuanza lazima ifanyike hyo EIA na kama hakukuwa na negative impact kubwa wakaupa mrad go on
Kila mtu ana ile code ambayo hawez ivunja no matter what ✍️.
Je ni code ip huwez ivunja , twende pamoja kuna mtu anasoma comment 😎
Ntaanza:
Siwez tongoza demu mwenye big nyash maana ntakuwa nayatongoza matatizo.🫡.
Utabiri wangu wa msimamo wa ligi msimu ujao kulingana na sajili zilizofanyika 😁.
Tuone utabiri wako
Ntaanza mimi
Top four ,
🧵 Uzi.
4. Simba Sport Club
Usajili umefanyika mkubwa sana , lakini likubwa ni team chemistry , hata ujaze mvp wa kila league ukapata top 11 kama hamna
Oyaah weee 😀, skikia skiaa hapa,
Watu weng wanafanya biashara mtandaoni sku hizi ✍️.
Je ni mtandao upi unawafikia watu kwa uharaka zaid na kwanini 🎤??
Dondosha comment yako hapo chini msaidie mfanyabiashara wa kesho🫡
Best comment 5k kama kawaida💵
Siri za utajiri ni zipi?😿
Hapa Mheshimiwa Shabiby anatoa siri yake yake na alinunua chuma ya kwanza akiwa na miaka 19 tu , aliuza mpka karanga oyaa ni nouma.
Na me mwakani nashusha chuma jina KILAH EXPRESS ubavuni 😁
Video in comment section.
Oyaah weee, Kiingereza ndo lugha nyepes zaid duniani 🌎
Picha hyo hapo dondosha comment kwa kiingereza: ✍️
Best caption wins 5k.
Ntaanza:
Yesterday she told me to send her bus fair to come , and today she is telling me she is in her period 😂😂
Oyaah wee skia na hii basi 🎤
Mis-information ipi ulikuwa nayo kuhusiana na wadada wa X(twitter) ?
Ntaanza:
Me nlijuaga hamna wadada humu nlijuaga wote maparody tu ya washkaji😂
@julip202
Huyo man hakupend anakutumia tu , ukiwa mwanaume unaempenda mwanamke mmoja huwez waza ujinga kama huo ,
Hapo anatumia nguvu ya pesa , na sababu ww huna hela hulion hilo, RUN
Tuone uelewa wako wa biblia 🙏.
Dondosha mstari mmoja unaoukubali kwenye Biblia 👏.
Ntaanza ,
“ Nayaweza mambo yote katika yeye anitiae nguvu “ Wafilipi 4:13
Ni jumapili nyingine yenye baraka🙏.
Weka mstari mmoja wa biblia wasioenda kanisan wanasoma comment ✍️
Ntaanza;
Zaburi 127:1 “ BWANA asipoijenga nyumba Waijengao wafanya kazi bure. BWANA asipoulinda mji Yeye aulindaye akesha bure.” 🙏
@msangijeff
Hakuna msanii wa bongo wala influencer anayeweza kuwa na ujasiri , maarifa na uelewa ,na kuthubutu kama Erick Omondi, hiki ndio kizazi tunachohitaji sio kile cha machawa ,
@prossoff
Kumbuka kuwa ugomvi wa wazaz wako haukuhusu na pili , heshimu privacy za watu umepewa urekebishe simu unaenda kuangalia mesej WTF , ndo ile mtu unampa aangalie oicha moja kweny cm yako ye aanza kuscroll , learn to mind your bussiness
Oyaah wee unakumbuka hii , Education is better than money 😁.
Bado unakubaliana na hii motion, twende kaz kuna mtu anasoma comment ✍️.
Ntaanza: Elimu bado ni bora sababu inakupa ujuzi wa jinsi ya kuitumia pesa yako 🫡
@privaldinho
Unasemaaje ni team bora afrika na kati, je umeiweka kwa mizan ip mpaka sasa yanga amelala goli moja bado unasema team bora , huelewek mzee
Oyaah we , skiia na hii sasa 🎤
“Eti mziki shetani, pesa nazo shetani
Mpira na pombe shetani
Mademu na mihadarati, shetani” harmonize -Dunia 🌎
Asa starehe ipi ambayo sio ya shetani?✍️
Best comment 5k.
Twende pamoja Nasoma comment😁
@privaldinho
Its sad kuona
@privaldinho
kutaka kioa kitu anachoamin yey kiwe sawa basi kiwe sawa kuna siku atakuja hapa na kutugombeza kwanini tunashabikia SIMBA , hum n mtandaon everyone is free kuexpress interest zake , na infact kwa position yako huwez bishana na kia mtu humu, ila me
Oyaah wee 🎤.
Hakuna mchawi wa kufanikiwa zaid ya kupambana , na hakuna mafanikio ya siku moja labda urithi ✍️.
Pambana na amini katika mapambana no juhudi zako , ukimuweka Mungu mbele🙏
“Oyaah wee skia hii , Kati ya mjadala unaotesa watu vichwa ni huu kati ya kujenga au kununua usafir kipi kianze🎤.
Dondosha comment twende pamoja
Ntaanza:
Bora uanze kujenga ili uepukane na kero za kupanga na kuiweka familia sehemu moja tulivu. 😎