Hapa nilipofikia kwa sasa, niko Full confident kusema kwamba…
Kusoma(shule) ni Kupoteza MUDA.
Kwenye hili sihitaji Ushauri!
Ila jitahidi usome kwanza
😂
Nauza hii Account yangu ya X
• ID Verification ✅
• Bluetick ✅
• Haina Shadow Ban wala Deboost ✅
• Iko Monetized ✅
• Imetoa Mara moja Mpunga mrefu ✅
• Madini kama yote ✅
Bei Tsh 2.79M
Nicheck DM
Unapozungumzia kuhusu AI hapa Tanzania
Huwezi kuikwepa chatGPT
Well, Wengi wetu tuanatumia Version 3.5 ambayo ni BURE wakati Version 4 ikiwa ya kulipia USD 20 kwa mwezi.
Fuata hatua hizi chache kuweza kutumia Version 4 BURE - FULLTIME
Ukitaka kufaidi, Earn in USD kisha Spend in TZS
(Motto wa Online Hustlers)
Kulipwa kwa USD inakubidi uishi Ulaya au USA kama raia wa huko wakati wote ukiwa online.
(kwa kutumia PROXY)
Njia rahisi ya kupata Proxy na namna ya kuzitumia:
🧵
Sites 5 zitakazokupatia PESA online 2025
(kwa Kufanya Simple survey)
Ukizitumia vizuri utaweza kusave zaidi ya Tsh 200,000/=
kwa mwezi.
(No. 4 unaweza kupiga hadi 50 USD kwa siku 🔥)
🧵
Kufikia 2025 kama hujui coding,
Utakuwa kama mtu asiyejua kusoma na kuandika.
Hizi hapa ni Youtube Channel 10
zitakazokusaidia kujifunza Coding fasta na Huenda Yanga wakakupatia gig kudesign website yao.
(5 za mwisho ni 🔥)
🧵
Unaweza USIAMINI... 🤯
Kati ya watumiaji 528.3 million wa X,
Mimi ni mtu wa
#18
,692
Hii ni list ya account bora X kwa Engagements
Na inakuwa Updated kila siku.
Wewe ni namba ngapi?
Kama umenizidi
Ukianza kupiga Michongo ya Pesa mtandaoni
Paypal account ni muhimu sana.
(Paypal ya UK/USA)
Sites nyingi zinalipa kwa kutumia Paypal Account
Hivyo inatakiwa uwe nayo unapoanza harakati hizi.
(Hakikisha unayo)
Njia rahisi ya kupata Paypal Account ya UK/USA
🧵
Usipuuzie Nafasi ya Bahati(Lucky) katika Hustle zako
Unapofanikiwa mara nyingi unajisifu na kuamini kuwa nguvu, juhudi na pengine pesa zako ndizo ziliyoyafanikisha yote.
But hiyo sio point yangu.
Wakati
Umemaliza Degree yako
Ya ICT pale UDSM
Unaamua kuomba internship
kwenye Private Company ili
kupata Experience.
Na wakati huo ukiandaa
CV yako kimtindo
Unatumia shauri mbalimbali
kutoka kwa Seniors wa Kampuni
kubuild Side Project.
Muda
Kufikia 2025 kama hujui coding,
Utakuwa kama mtu asiyejua kusoma na kuandika.
(Achana na no-code brah brah)
Youtube Channel 10 zitakazokusaidia kujifunza Coding fasta na Ukaweza kudesign website kama ya Yanga ndani ya Mwezi 1
(5 za mwisho ni 🔥)
🧵
Juzi, Brother
@iamKaga
alipost tweet kuhusu namna ya kupiga pesa.
Njia hio ilielezea hasa namna ya kupata pesa kwa kuweka biashara Google Map.
Nilipocomment kwenye hio tweet, watu kadhaa wameniDM wakihitaji kufahamu zaidi.
Jinsi ya Kupata WATEJA
Link tweet iko chini 👇
🧵
Siku kama ya leo mwezi uliopita
Mida ya Saa 2 Asubuhi
Simu yangu iliita nikiwa kwenye 🚌
Ile napokea tuu akasikika binti akisema:
Wewe ni Web developer ?
🧵
Asilimia 80% Ya Bloggers ni Masikini
Content nzuri, Traffic nzuri ila bado hawajui namna ya kulipwa kupitia blog zao.
Anza kupiga PESA kama
@millardayo
Ndani ya sekunde 604,800
🧵
Ukihitaji kupiga pesa mingi kwenye survey trick ni hii:
HAKUNA TRICK
Acha kujibu maswali kulingana na hali yako au imani zako.
Mfano:
Survey zinahitaji watu wanaokunywa Pombe au Sigara.
Swali: Wewe ni mtumiaji wa Sigara?
Jibu: Hapana
Swali: Unatumia pombe/vilevi?
Jibu:
🚨 X - Update
@ItsYusufu
ndio Tanzanian Tweep mwenye Account ndogo kuwahi kulipwa na
@elonmusk
Baada ya safari ya Mwezi mmoja, digging deep about algorithm and mystery behind it, He finally solved the puzzle.
Account yake ilianza kukua huku post zake zikifikia watu 10x ya
Mwanzoni mwaka huu ndio nilianza kutumia
Twitter japo sikuwa nimeifahamu vizuri.
Mtu alienisaidia kufahamika mapema ni Kaga
Ambaye nilivutiwa na aina yake ya Content
Basi nilimFollow na kuwasha notifications ya post zake
Na nilijitahidi kureply kila post kwa kuongezea Madini
Mabro punguzeni kelele 😂
Mnapambana sana hapa 𝕏
Mara mfiche Bluetick, Mara mseme Hamtaki Maokoto ya Elon, Mara tunaijua hio, Mara nataka engagements.
Sawa, kila mtu anapambana kimtindo.
Pambanieni kupushi Tags na Matangazo.
Peace ✌️
WIN WIN!
Usidhalau mtu kisa followers
Kuna wadau wana madini, sema wengi wetu tunawachukulia poa.
Tunakimbilia kwa Mabro kusaidiwa kwa kulipia akati unaweza kujifunza bure.
Kama unafahamu unashusha madini kwenye TL yako na unachukuliwa poa…
Fanya
🚨 𝕏 - Update
Huwezi kukuza Account yako kwa kupost
sana hapa 𝕏(Hasa kama una-Account ndogo)
Tunafahamu fika ya Kwamba njia zilizotumika kukukuza Account wakati bado tuko Twitter zote hazifanyi kazi kwa sasa.
+
+
Ndio maana influensa wengi waliouza account zao kwa tamaa ya
🚨 𝕏 - Update
Kwa sasa unaweza kutazama kama Account ya mtu yeyote hapa 𝕏 iko verified kutumia ID.
Ukitembelea kwenye TL yangu,
Bonyeza kwenye Blue check mark utaona "This account is ID verified"
Hii ni baada ya kuachia feature nyingine ambayo imeonekana kuwatia hasira
#Risiti
Kuna site moja hivi nilijaribu kuichekecha
Hawa wanalipa vizuri KINYAMA.
Sema wamekaa kitalaam hivyo huwezi kuwaingia kindezi.
Nikasoma sheria zao na swala zima la malipo
Nikakuta unaweza kutoa kuanzia 5 USD
So nikakaza mkono chapu nikafikisha 5.07 USD. Nikaamua
Monetization ni MTEGO.
Ukitimiza Vigezo vya kulipwa hapa 𝕏
Account yako inakuwa hatarini sana.
Hii ni kwa sababu unakuwa hupewi nafasi ya kusahihisha Makosa. Ukikosea tuu wanakuadhibu bila kukutaarifu.
Ukiengage na Accounts ambazo zina Sensitive Contents unasababisha kupigwa
Inaendelea….
Baada ya account yangu kuanza kufahamika walau nilianza kupata Engagements japo sio sana.
At least watu walikuwa wanatazama post zangu ukilinganisha awali.
Lakini shida ilitokea na nikapotea hewani kwa wiki kadhaa Ile kurudi mambo yamebadirika sana.
Na muda huo
Kwa Ground watu wanapiga Pesa
kwa kutumia Hisia mbili kuu:
Tamaa na Huruma
Ukifahamu namna ya kutumia hizi hisia mbili katika harakati au Content zako, hutaishia kupata engagements katika post zako...
Utaweza kuuza Bidhaa zako kama content zinatatua tatizo husika.
Lakini...
Ukiona Hakujibu Text zako,
Shida ni wewe, sio text zako.
Text anazotegemea kupata kutoka kwako,
Sio hizo unazomtumia.
Utaendelea kujilaumu ila ukweli ni kwamba
Kuna Mdau anamtumia text kama zako...
Na unajua nini....!
Anakesha akichati naye kila siku.
Inabidi ubadili gia
🚨 𝕏- Update
Hivi karibuni kumekuwa na issue ya ku-schedule post hapa 𝕏 ila ukifika muda wa kuruka hewani zinafail.
Na kinachouma zaidi ni kwamba, zikifail unakuwa huna option nyingine zaidi ya kuzifuta(Delete)
Hii imetokea kwa aina zote za posts nikimaanisha zenye text tuu
Nimekuwa nikiandika Content
On the spot for past few weeks
Nilipopata idea worth sharing
Niliingia X mara moja na kuandika bila kupoteza muda.
Na most of the time, zimekuwa zikifanya vizuri zaidi kuliko nilivyofikiria.
But this time, something has to change.
Nahitaji
🚨 𝕏 - Update
𝕏 itaondoa Likes na Reposts
Hivi karibuni Elon anatarajia kuondoa Likes na Reposts kutoka kwenye post UI kwenye Timeline.
Amesema haya wakati akijibu hoja za Creator mmoja hapa 𝕏 siku chache zilizopita.
Hatua hii itasaidia sana kuongeza engagements kwa sababu
TABIA MBAYA 10 za kukupa Maokoto
1. Wizi
• Acha kupiga ngeta, chagua account zako 10 zinazokimbiza.
• Iba muundo wa post zao zilizotembea sana, kisha post kwa maneno yako.
2. Kujiuza(Umalaya)
• Acha kung’atwa na mbu riverside, tengeneza content ambazo ziko uchi sana ili
Wewe ni Human au Robot?
(Unaweza kushangaa)
Kuna vitu vingi sana vinachangia katika kufanya content zako kuwafikia watu wengi.
Ukiachana na X Premium, kuna kitu kimoja kinachoongeza thamani kwenye content zako
Na kitu hicho ni "Hisia au Algorithm"
Tukianza na Hisia, ukiona
Ukiwa mfatiliaji mzuri wa Social media hasa Tiktok, account nyingi zimekula BAN ikiwepo Account ya Steven Mweusi.
Hii ni baada ya Mtandao huo kuanzisha Creator reward Program inayolipa creators wake pesa ndefu sana.
Kufatia hilo, 𝕏 nayo imeanza kudhibiti uhuni unaofanywa na
@Mkunga_Og
Hapa stamina ndio kila kitu.
Ushauri wa kumwandaa mwanamke ulilenga kufanya hata wanaume wasiokuwa na stamina kusurvive kwenye game.
Hivyo kama mtu ako na stamina, muda wa kuandaa hata ukiwa mfupi fresh.
Inshort sex ni kama vita, unatakiwa ufocus kusurvive mpaka vita
Baada ya kusoma COPYWRITING kidogo.
.
Nimegundua WAHUBIRI ni watu Hatari sana
.
NA zifuatazo ni...
.
Mbinu za SIRI anazotumia Mwamposa kuteka
Mamilioni ya watu(Maskini na Matajiri)
.
Uko tayari? Twende pamoja 👇
.
Nitakuwa tofauti na WENGI
Ila ngoja Nikusanue.
Huitaji muda muhafaka wa kupost, Mfumo rasmi katika Uandishi wako, Kuchagua Niche au Kuandika madini.
Na kitu kinachofurahisha zaidi, ALGORITHM haina muda na vitu hivyo na havijaainishwa kwenye Algorithm Source Code.
Isipokua kitu
Ukiwa online Hustler
Utakubaliana na mimi...
Kuna advantage kubwa kuwahi kuingia
kwenye Game.
Hii haikusaidii kuwa bora zaidi, bali hukusaidia kukwepa Risk kwa sababu unausoma mchezo mapema.
But hiyo sio point yangu.
Mtandao wa X umeongeza feature mpya siku chache
X + Telegram 🙌
X
• Post Movie Synopsis
• Post Movie poster
• poster trailers
Telegram
• Tengeneza premium channel
• Weka subscription za wiki wiki
• Tupia huko movie HD
Hii inakuwa both team to score 😁
Unajua unakuwa umebakiza nini?
Umeamua kufanya Biashara yako
ya matunda hapa DSM.
Kwa muda wa miezi miwili umebaini na kutafuta
wauzaji wazuri wa jumla, na ukaamua sasa kutafuta sehemu ya kufanyia biashara yako.
Bila kujali ukaamua kufungua duka la Matunda mitaa ya Msasani karibu na Masaki.
Ukiwa na ufahamu
Algorithm sio Monetization
Tumechanganywa sana na post za watu mbalimbali hapa X kuhusu Algorithm.
Imefikia hatua, ukiongelea Algorithm watu wanafanya hitimisho kuwa unatafuta Maokoto, NO.
Hii sio sahihi kabisa...
Nikifananisha na Maisha ya kawaida,
Algorithm ni kama
Ukichunguza kwa Umakini hapa 𝕏
Nothing is easy.
• Creating account
• Writing contents
• Getting Followers
• Going Viral
• Getting monetized
But ukiachana na kufungua account,
Vingine vyote vinategemea content zako.
And well, hapo ndio sehemu ngumu
Kwa watu wengi sana.
🚀 𝕏 - Growth Tip
Ukiamua kupost Contents za kuelimisha
kuwa Makini sana.
Usipost contents ulizojifunza,
Post ulichokielewa wakati unajifunza.
Hii unaweza usielewe moja kwa moja
ila ukweli ni kwamba upo utofauti.
Ukipost ulichojifunza unakuwa unawambia
watu nini cha kufanya
Jinsi Ya kupata Client/Wateja wengi kwenye Freelancing Platform...
Hata kama ni Beginner!
Material: PDF
Case study: Fiverr
Pages: 27
Worth: $99
Unaipata BURE!
Retweet 50 naachia link!
Unapomaliza kujifunza skill yeyote
Unategemea utapata kazi ndani ya muda mfupi.
Na mara nyingi huwa matokeo yanakuwa tofauti na kile ulichokusudia na huenda CV yako ikawa ndio tatizo.
Kuandaa CV kali au kuifanyia marekebisho CV ulionayo,
Mwendo ni ule ule...
🧵
🚨 X - Update
Hivi karibuni X itatoa update MPYA ambayo itasaidia kukufahamisha makosa unayofanya hapa X
Na ukifanya kosa lolote,
Account itapewa label(Sensitive content)
Ili kusaidia watu wasiwe affected na account yako.
Pia, wewe kama mmiliki wa Account utaarifiwa ni sababu
Kitu nimejifunza recently…
Ukipost thread inayoelezea vizuri namna ya kupiga issue flani ukapata PESA watu wataishia kusema:
“Madini, Ngoja Nibookmark, Uzi wa kwenda”bla bla bla.
Ukija kupost screenshot za matokeo ya Thread uliopost baada ya kupiga pesa watu ndio waanza
Unafahamu kuna AI inaweza kukupatia Meal plan kwa makundi mbalimbali ya watu?
Uwe ni Vegan au Non-Vegan utapata meal plan itakayohakikisha unapata virutubisho muhimu katika mwili...
🧵
Unaacha kujifunza coding,
Unaacha kujifunza Photography,
Unaacha kujifunza designing,
Unasema kwamba hivyo vyote vimekuwa replaced by AI
Haya, ngoja tukubaliane na wewe kwa sasa…
Wabongo wangapi wanafahamu kutumia AI vizuri?
Hizi AI za free ambazo mnasumbua nazo hapa 𝕏
@iamKaga
Yule jamaa aliekwambia kuwa akipata akili zako anakuwa unstoppable, NAMUUNGA mkono.
Kaka, naona instagram unaitumia kitaalamu.
Juzi kati nilikutana na Ad yako ile kama Movie Trailer
Damn! Message ya “Ndugu mteja….” ndio ilinitoa insta.
😂
Unapoamua kuwa serious na Malengo yako, Swala la Muda inabidi ulichukulie kwa umakini sana.
Kupiga pesa kunategemea na jinsi unavyotumia Muda wako vizuri.
Na njia pekee unaweza kufanikisha hilo, ni kupangilia ratiba yako ya siku katika mtiririko...
Ukianzia na kazi inayohitaji
Mimi sio mtabiri ila nisikilize
Kama wewe ni Creator Mdogo, najua utachukua hatua kuwacheki Creators wakubwa ili wakusaidie…
Roadmap ili nawe ufikie chap vigezo uanze kuchukua mpunga.
Wengi wao hawatakupatia response unayohitaji, na muda mwingine wasikujibu kabisa.
Jitahidi
Muda wa Easy Engagement is GONE.
Tweet kwenda viral ilikuwa kawaida.
Kufikisha 10k Followers
kwa wiki ilikuwa ni kugusa tuu.
Kuwa Influensa haikuwa tatizo
kabisa.
Hicho kipindi kimepita SASA,
Totally Gone.
No easy engagements
No easy followers
So what ? 👇
Jifunze kutokana na Makosa
Sio mara ya kwanza kusikia Msemo huu
Hii inamaanisha kuwa ikitokea umefanya kosa
Jitahidi sio tuu kurudia kosa, bali kufahamu kwa nini umekosea.
Ubaya wengi wetu tunasubiria kujifunza
kutokana na Makosa ya watu wengine
😁
But hiyo sio point yangu.
Utafutaji wa pesa online ni kama story ya wana wa ISRAEL 🇮🇱
Mwanzoni mnaanza wote vizuri kutoka katika nchi ya “BROKE AF” kwa vibe kama lote, ila kadiri safari invyooenda lawama zinaanza, mara mbona nanyimwa surveys, kila siku sipati Gigs.
Mara mbona nakuwa screenout kila
Baada ya Kuona Maokoto ya Elon wengi wanayatafuta kwa mbinde.
Nimekuwa nikijikita sana na Telegram Monetization. Ukiwa na community na unahitaji namna ya wao kukulipa kwa huduma unazotoa basi njia imepatikana.
Huitaji kuwakumbusha watu kutoa Subscription Fee kila wiki au mwezi.
Ukiamua kupiga pesa Mtandaoni,
Content unazopost ndio KEY.
Na aina ya Content unazopost inaweza kuwa unique ila hakikisha inakuwa na madhumuni haya:
1. Kuandaa watu kutumia Bidhaa/Huduma yako
2. Kuuzia watu Bidhaa/Huduma Yako
Hii nimejifunza kwa walionitangulia kwenye Game.
Ukianza kufanya survey online hakikisha unachunguza vizuri survey site.
Hasa kwenye jinsi wanavyolipa na wanatumia njia zipi kupokea malipo.
Kwa sababu kuna site zinataka account ya Paypal iwe na email kama uliofungulia account kwenye survey site.
Hivyo kama ulifungua tofauti,
It's Time to say GoodBye!
Ukianza safari ya content creation, ukuaji ni kitu kinachokuja kadili unavyozidi kutengeneza contents nyingi.
Haimaanisha Content zote zitakuwa zinaperfom vizuri, ila ni kwa sababu unaongeza ufanisi katika kazi zako..
Unapunguza makosa na kuongeza
Ilikuwa jioni flani hivi Mitaa ya Africa Sana
Nimechill na wadau tuu.
Story zilikuwa zinapigwa kimtindo
Huku tukimuungisha jamaa Muuza kahawa.
Sasa wadau walikuwa wanalaumu sana kuwa
USD inazidi kupanda tuu, borabwangekuwa zao Mambele.
Kwamba wangekuwa USA au Uk huko ingekuwa
Miezi miwili inatosha kujifunza kitu
Na kupata uelewa unaoweza kukusaidia
Kuingia kwenye Game
Ukiona imepita miezi 2-3 hujajifunza kitu kipya, that’s the real meaning ya kupoteza muda.
Nobody atakwambia hiki kitu, inakupasa ufahamu hili wakati bado unauwezo wa kubadirisha
Dah! Makilayanti wengi Miyeyusho.
Nimetoka kupiga picha za basidei za mtoto wa kilayanti…
Afu kanipatia TZS 50000 tuu kwa picha 4, hanipigi kweli huyu?
Au nyie huwa mnapiga kwa shingapi?
😢
Hapa nilipofikia kwa sasa, niko Full confident kusema kwamba…
Nisingekuwa hapa bila X
Najua utapingana na mimi
Na uko sahihi.
Ila miezi minne ya kutumia hii App
Imekuwa ni wakati mzuri sana katika maisha yangu.
Na ngoja nikwambie hili ✍️
Hii sio kwa ajili YAKO.
Most of the time umekuwa ukishindwa kufikia malengo yako kwa sababu unadhani unafanya kwa ajili yako.
Wakati mwingine umepuuzia feedback za watu na kuamua kutumia akili zako, ukidhania ni kwa ajili yako.
Ukaamua kuwa Content Creator, ukaanda post zako
Yamebaki Masaa machache tu
Tuanze kujifunza Graphics Designing
• Infographics
• Animations
• Logo
• Posters
Na vitu vingine zaidi ya 10.
Ukihitaji kutengeneza Graphics kali kama mimi,
Basi hii sio ya kukosa kabisa.
Kwa maelezo zaidi DM
@psiteshio1
Unakumbuka ulipokuwa O-Level?
Shule hizi za ST. Kayumba..,
Wanafunzi tulitengwa kulingana na uwezi wetu katika masomo
Hivyo kupelekea baadhi ya madarasa mfano A, B na C kuwa na wanafunzi bora zaidi
Na
Waliobakia D, E na F n.k kuwa na wanafunzi wenye uwezo wa kawaida na
🚨 𝕏 - Update
Sijui kama ni MPYA, ila unaweza kuficha Notifications kwa Followers wako kuwa uko space.
Kuna muda unahitaji kuwa space tuu kupiga story za hapa na pale na huenda hizo story zikawa zinahusisha vitu ambavyo followers wako hawatavipenda.
🚨X - Update
Ukianza kuwa serious na X
Utaenjoy sana.
Kwa sasa wameachia Feature Mpya
“Only Subscribers can DM”
Hii feature itakuwa nzuri sana
kwa waliopata Subscribe option
Kama
@nyuki_malkia
Na kama wewe ni Creator,
Unaetoa huduma hapa X
Itakusaidia kupunguza Jam
Na
Ukiamka, sali.
Ukimaliza kunywa chai, post.
Ukiwa njiani, post.
Ukiwa ofisini, post.
Ukiwa umepumzika, post.
Umechoka, post.
Hutaki kupost, post.
Hutaki kureply, post.
Unatumia mtandao kutoa Malalamiko yako kuhusu kukosa AJIRA wakati wenzako wanatumia Mtandao huo huo kupiga Pesa.
NUSU ya maisha yako umeishi ukiaminishwa kuwa AJIRA ndio kitu pekee unachoweza kupata baada ya Masomo yako.
(Sio kosa lako kuwa hivo).
But hiyo sio point
Unapoteza MUDA!
Watu wameanza kupiga pesa
kabla ya kuzaliwa kwako.
Unahitaji kuwa Content Creator?
Jifunze Haya:
1. COPYWRITTING - Ongeza ushawishi
2. HOW TO WRITE - Tumia pattern zinazoteka akili
3. SPEED - Tumia 1 + 2 kutengeneza Content Machine
SIRI inabakia kwenye 👇
#sikiahii
Ukisikiliza stori za watu waliofanikiwa, utangundua kuna vitu waliamua kuviacha kama Marafiki, Kazi, Wenza wao ili wafanikiwe.
Cha ajabu, wewe unataka kufanikiwa ili kitu umeacha ni KULA MCHANA tuu 😂
Juzi kati nilikutana na post moja hapa 𝕏
Ilikuwa na Screenshot ya What***ap!
Ile screenshot ilikuwa na namba iliokuwa saved
"UMEKULA"(Kama unayo niwekee kwenye reply)
Sikumbuki vizuri sababu ilikuwa nini ila nilicheka sana siku hiyo.
But hiyo sio point yangu.
Ninachofikiria
Jinsi ya Kufikisha 15M Impressions
Kitu pekee kinachokuzuia usipate X Monetization ni Impressions.
Na namna pekee ya kuzipata ni kutengeneza contents kali zitakazokuwa engaging.
Engagement hii itasaidia post kupata impressions kwa wingi.
Lakini watu kwa kuhofia kuchelewe
Ukiongea na vijana wengi, especially wale ambao hawako vizuri kiuchumi, utakuta kuna baadhi ya vitu vinafanana kwenye mitindo yao ya maisha.
Wengi walipata "kazi" sio ya mshahara mkubwa sana, ila kazi ya kukuwasaidia kupata pesa ya kuishi town.
Ila baada ya muda, kazi