Ninaungana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt.Samia Suluhu Hassan kuwatakia Waislam na Watanzania wote Sikukuu njema ya EID.
Katika kipindi hiki cha Sikukuu ninawaomba Watanzania wenzangu tuliombee Taifa letu ili lizidi kustawi kwa baraka na mafanikio.
Ninaungana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe.
@SuluhuSamia
kuwatakia kheri ya Mfungo mwema wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan.
Niwaombe Watanzania wote tuendelee kuliombea Taifa letu ili tuwe na muelekeo chanya wenye umoja, mshikamano, ustahamilivu na maendeleo ya pamoja.