@Nkololotz
Mkiambiwa tuungane kupambania huduma Bora na bure za afya mnapush # wapambanaji wote hawafanyi tu kwaajili yao hata wewe ungeweza kuwa mnufaika wa jumla zaidi kuliko msaada huu wa watu wachache tena wa kuomba, angalien zaid masilahi ya jamii na familia kuliko matumbo yenu.
Ongezea hii wakienda watu maarufu wanapokelewa na kuhudumiwa vizuri na kwa haraka zaidi Ila tukienda wakina sisi sasa unaweza kuondoka bila kupata ulichokifata pale yani huwa wanaona Kama umeenda kuomba na sio kutumia hela yako 💔💔
Wasenge sana wale 🚮🚮😂😂
Aslay Mihogo Wakienda Wasanii Au Watu Maarufu Mihogo Inawekwa Vitunguu Vikubwa,Nyanya,Hoho Ila Ukienda Wewe Sasa Nimeenda Mara Mbili Sijaona Hivyo. 🤣🤣🤣
Mtu inaleta agenda humu ndani unaulizwa maswali unajibu usenge Sasa kama ulikua hutaki mjadala siunge Baki nao mwenyewe, Sasa jiulize kama Mtanzania anajibu vile unategemea kwenye hizo international opportunities tutakua wengi Sasa , Wabongo tuna roho mbaya sana kumamake 🙌
My hands,your waist,my heart away..
Unanikuna kuna nikuna kuna..
My lips,your lips,they touch we kiss..
Unanikuna kuna nikuna kuna…
Nipe nikupe come to the dance floor beib..🔥🔥😍🥰❤️❤️
Kama alikuwa anakandia bima ya afya while his pops is struggling on bed mpaka anafariki(Rip), that means now ataikandia kwa nguvu za ziada???
Cz hana mgonjwa tena anaihitaji hiyo bima. Ama?
Kwa sababu cm ninayotumia kupiga pc ni yangu,bando ni langu, huu ukurasa ni wangu, maa Mizo ya muda gani nijipost ni yangu, lakini kubwa kuliko wenye hizo platform ninazotumia kujipost hawakuweka ukomo na masharti na ya kujipost.
😂😂😂😂🔥
Mambo kama haya ndo mana nakwambia Fatma njoo ACt nikupe Kadi uwazindue watu wa kahama kua serikali ya sisiemu hata ipewe miaka 50 haiwezi kuwaletea maendeleo. Njoo ndugu yangu unaweza hata kugombea na kura watakupa 👏🏿👏🏿💯
Ndugu yenu anahukumu sanaa kama vile yey ni Yesu anaitwa watu Makahaba na kupangia watu namna ya kuishi
Mungu kama nitakuja mbinguni naomba nimkute 😎🙏
Maana yeye kakamilika kuliko watu wote humu
Kama una mpenzi na anakutreat vizuri, anakupea pesa, mnapendana wenyewe na unaona kabisa huwezi toboa bila yeye unataka kuspend life yako yote na yeye…MBWA nyinyi!!
Kuna dada wa kazi namsukaga alipewa infinix ikaja samsung now kaletewa iphone 13 aise dada ana upendo na watoto wa boss yani upendo wa hali ya juu boss wake anampenda anamlipiaga kusuka,nguo ukimuona hadi uambiwe ni jeshi la vyombo(joke)😂 ndo utaelewa coz anapendeza mno mno🥰
Nimemnunulia Dada yetu wa nyumbani simu kwa sababu anakaa vizuri sana na Mtoto wangu Alhamdulillah. Sasa namfanyia Setting alitaka whatsapp ndo naona alichat na Dada ake hivyo. Mwenyezi Mungu atujaalie majumbani kwetu pawe sehemu nzuri za kazi kwa tunaowaajiri.🙏🏾💯
Mahusiano yale yana hekaheka, mara kama yuko kwenye mahusiano, mara kama yuko single, kuna muda ni kavishwa Pete, kuna muda ni kama anatafuta mtu, kuna wakati ni kama ana ndoa. Mchanganyo Bwana Yesu alikataa
I'm so haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaappy☺️🙃
huyu Mungu wangu ninae mwabudu na kumuomba ananijibu, ananipenda na kunipendelea zaidi kiasi nashindwa kuelezea akatende na kwako wewe mwenye uhitaji wa kitu chochote kuanzia Leo.
Alhamdulillah
Alhamdulillah
Alhamdulillah 🙏