Ila sisi wadada bhn😂sijui ni malezi ama ni nini! Nina rafiki yangu hawezi fanya chochote si kupika wala kufua, nguo zake anampa mtu anamfulia hadi nguo za ndani, hata kuchemsha chai hawezi😂yani yeye kazi yake ni kubandika kucha na kujiremba tu, sasa huwa namuuliza watoto wako