๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž Profile Banner
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž Profile
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž

@250_chacha

3,971
Followers
1,806
Following
1,357
Media
45,270
Statuses

An angel who live on the earth

Multiverse
Joined November 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
Pinned Tweet
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
5 months
Kama wazazi wako hawajaanza kula hela zako basi usini shauri.
17
34
165
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
2 months
Sema hawa mademu wanao amini haya mazodiac signs wanakua jau kinoma, demu anagoma kuja anasema sign yake haimruhusu kusafiri alkhamisi.
57
33
342
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
5 months
Anyway it's my birthday ๐Ÿ˜…
Tweet media one
Tweet media two
101
88
320
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
2 months
Don't give up, kwenye haya maisha huwezi jua utatoboa lini, ๐Ÿ˜…
Tweet media one
14
22
223
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
1 month
Kuna mademu ukidate nao siku akinunua nguo mpya au bra lazima akutumie video akiwa anajaribisha, vitu vidogo vidogo kama hivi ndo vinafanya tunawamiss ma ex zetu ๐Ÿ’”
20
26
226
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
9 months
Class, sijaskiia akae wapi ???
Tweet media one
14
37
218
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
8 months
Kuna demu mmoja alishawahi nifata dm akaniomba nimuelekeze jinsi ya ku edit picha nikajaribu kumuelekeza akaniambia haelewi, akanipa number zake ni mcheki green app kweli nikamcheki nikampa mpa maelekezo akaniambia ameelewa nikaona isiwe kesi kwa vile nisha msaidia nikaona
23
29
202
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
9 months
Taulo hizi hapa retweet apo pinned post bei rahisi kabisa
Tweet media one
22
52
196
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
2 years
Lakini kwann..๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Tweet media one
43
15
193
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
7 months
Vitu used na nguo za mitumba zina mikosi na maana mbaya kiroho. Nguo za mitumba sasa:๐Ÿ‘‡
Tweet media one
Tweet media two
33
50
194
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
1 month
Unamtongoza mtu anakataa alafu anategemea uendelee kujichekesha chekesha kama mwanzo, Never.
14
22
195
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
7 months
Sina mwanamke mwingine zaidi yako kama yupo aje hapa aseme, Hatuwezi kua tuagombana kila siku sababu huniamini.
Tweet media one
40
21
189
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
6 months
Happy Easter ๐Ÿฅท
Tweet media one
Tweet media two
44
49
169
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
10 months
give me their names ๐ŸŽฒ
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
24
44
154
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
9 months
Long distance relationship inaanzia kilometre ngapi ?
30
44
162
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
2 years
0
0
147
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
5 months
Darasa nyimbo yoyote ile akiimba na mwanamke :
Tweet media one
5
20
155
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
9 months
TWEET YA MWISHO KUTOKA KWANGU Naitwa chacha,Nina miaka 19, nilijiunga twitter kwa lengo la upepelezi na Ninaona Kama umesha fikia ukingoni maana tulio kua tuna mpeleleza ameshakamatwa tayari hivyo basi nitarejea mwakani kwani kwa upelelezi mwingine, oya SANTANA yule demu..
21
30
149
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
8 months
Demu akishakua na kingereza kingii umalaya nao unafata nyuma
23
40
149
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
6 months
Demu tumegombana anaona nang'ang'ania kumuomba msamaha anadhani me nampenda sana kumbe me nimekumbuka anajezi zangu karibia tatu na ninajua tukiachana kabla hajazileta nitashindwa kumdai
16
25
150
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
2 years
0
1
139
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
5 months
Demu yeye hajali kama wewe ndo mtoto wakiume kwenu ye anakupa tu kila saa ili mradi uchanganyikiwe usahau familia yenu
18
29
150
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
2 years
Eeeh halo sasa sikia embu muulize kama dejan ameoa..au tummpe @nyuki_malkia ..!!!๐Ÿ˜€
Tweet media one
11
6
146
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
2 years
0
0
129
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
4 months
Kusema ukweli style imenikaa ni venye mnawivu tu ๐Ÿ˜„
Tweet media one
Tweet media two
20
25
148
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
5 months
Kila mtu ukimuuliza anakuambia demu wake hatumii twitter, hawa mademu huku ndani ni wakina nani sasa ๐Ÿ˜„
21
31
147
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
3 months
Unajua ni kheri ujue mwanamke amekuacha sababu labda maokoto sio mengi, lakini hakuna siku ata moja yule mwanamke ameniomba kiasi flani cha fedha ni kashndwa kumpatia though sio kwamba nimejipata kiiivo , ni basi tu Mungu alikua anasaidia hakuna siku kaniomba hela akanikuta sina
37
24
146
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
9 months
Hiki kipindi ambacho bado hauna familia ndo mdaa mzuri wa kufocus na kucheza kama pele usali ubarikiwe mambo yajipe mapema
8
39
138
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
9 months
Nafasi za kazi wazee, sifa ni ue unakaa mbali,
Tweet media one
14
20
136
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
6 months
Tukipendana sahau kupost birthday za marafiki zako wakiume, atakama ulisoma nao.
17
28
141
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
2 years
0
0
125
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
9 months
Buku jero hii ngoma kaua kinoma ๐ŸŽถ๐Ÿ”ฅ
Tweet media one
22
28
137
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
7 months
Nusu nijipigage kitanzi kulaleki ๐Ÿ’”
Tweet media one
24
20
128
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
2 years
Purple Hearts...๐ŸŽฌ๐ŸŸ #Moviekali
Tweet media one
20
15
127
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
9 months
Haya maisha nikama yana kuhitaji ujipambanie wewe mwenyewe asilimia mia, mengine yatafata baada ya unacho kipambania kikizaa matunda
10
37
123
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
9 months
Art is the highest form of HOPE
Tweet media one
Tweet media two
16
34
125
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
6 months
Msijifanye hamjui kinacho endelea ๐Ÿ˜„
Tweet media one
19
30
127
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
2 years
0
0
106
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
7 months
Please excuse me for being antisocial
Tweet media one
Tweet media two
17
35
120
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
10 months
Anyway karibuni maziwa
Tweet media one
30
30
120
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
9 months
Nikweli mazoezi yanamaliza upwiru ama tunadanganyana ?
17
24
119
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
6 months
Fallacy na ugumu wote ule pisi gani sasa ile anaende kuneng'eneka kule kumamae ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿšฎ
23
20
118
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
9 months
Guess the tweep ? ๐Ÿ˜…
Tweet media one
14
20
112
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
5 months
Diamond platnumz once said
40
12
118
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
5 months
Naishaaa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Tweet media one
27
20
114
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
5 months
Hivi kuna mtu humu ndani hajawahi kutongozwa na Nice kweli ?? ๐Ÿ˜‚
14
15
111
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
10 months
Mungu atusaidie hii hela tuishike tukiwa bado ni vijana ๐Ÿ™
18
53
108
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
7 months
Huyo dada wa ndizi ukisogelea account yake tu huna bahatii ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
10
21
108
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
8 months
Kila mtu ana kile kitu chake anatamani kukifanya ila ndo hivyo hawezi fanya sababu ya sababu flani. Mimi: Tattoo Wewe je?
21
17
106
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
9 months
Kama umeamua ku hustle basi haina haja ya kua na mahusiano ya serious
13
40
106
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
2 years
0
0
89
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
6 months
Mashemeji ambao ukiwapenda marafiki zao wanakupambania mpaka unawapata >>>>>>
4
28
106
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
1 month
Hakuna watu hujiona smart kama ambao hawanywi pombe
18
7
106
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
4 months
Me nilijuaga wewe sio mtanzania asee, ndo nimeona kuna reply umesema 'mambo' Mbona sasa ulikua hunijibugi ??
@divine_herman
Divineโ˜ฏ๏ธ
5 months
Tweet media one
12
17
395
21
13
102
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
8 months
Mnawezaje kueka wallpaper kwenye simu Mimi hapana aisee ๐Ÿ˜…
16
25
105
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
7 months
Ubaya wa mishangazi ni mpaka akuelewe yeye sio umtongoze wewe
6
24
107
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
6 months
Mwanamke mwembamba mweusi unani follow ya nini , unataka kuniua au ?
17
27
105
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
9 months
If not now, when ?
Tweet media one
Tweet media two
24
34
102
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
6 months
Raha ya mahusiano msiwe wote mna interest ya vitu vya aina moja
6
25
101
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
2 years
1
0
94
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
6 months
Lowkey kila mtu ameshawahi kumtamani yule phiphi Bri ๐Ÿฆ‹
16
24
106
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
4 months
Please excuse me for being antisocial
Tweet media one
Tweet media two
18
23
104
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
5 months
Long distance jau sana mtu anakupigia simu saa hizi anakuambia nimeingia ndani nimekutana na mjusi, sasa mimi nakusaidiaje ?? ๐Ÿ˜„
16
10
99
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
5 months
Ushawahi pendana na mtu alafu mpenzi wake akarudi
24
19
100
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
9 months
Anyway, nilishasema hii wiki picha zitakua nyingi sana ๐ŸŒฒ
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
19
31
93
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
9 months
Demu ameona natafuta pini ya kutolea laini kwenye simu kanichomolea hereni yake, wanawake drama mnazijua ๐Ÿ˜…
12
19
97
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
9 months
Once the heart gets too heavy with pain. People dont cry, they just turn silent completely silent
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
14
41
95
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
7 months
Arusha mtu akikuambia "we una kisukari sana" anamaanisha nini ? ๐Ÿ˜…
9
16
97
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
9 months
2024 ukuje sasa
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
13
27
97
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
7 months
Mwanamke akishakosa vitu alivovitarajia kwako ndo anaanza kukuomba omba hela sasa
4
21
99
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
6 months
Mwanamke anaweza akawa wakawaida sana ila ukamkosa kwasababu umeamua kua nice guy
6
27
97
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
8 months
Wanaume ambao hatutumi vilevyi vyote mademu wanahisigi sisi ni malaya
9
23
96
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
2 years
0
0
84
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
9 months
I can't choose the things that i like most about you because in my eyes your amazing in every way. Dear Jupiter โค
Tweet media one
12
9
89
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
7 months
Imagine mwanangu katolewa kwenye kumsikiliza Meek Mill mpaka kuwasikiliza Navy kenzo, Aisee na mimi nitafute mtu anipende ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
9
18
95
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
9 months
Kuna wanawake huwezi wapata bila kufake maisha
12
22
96
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
7 months
Nataka nikaangalie mpira saa nne na kuna demu ananiambia anaeza akaja saa nne, leo sijui nitajigawaje kudadeki
18
15
95
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
1 month
Tukisema tueke utani pembeni yule Kimani anabalaa, mzuri kinoma yule mwanamke
6
13
96
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
6 months
Mademu wa Dar ukiwaambia umetokea Arusha wanachanganyikiwa
10
17
93
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
3 months
Sema huyo jamaa au huyo mbaba anaefanya sijibiwi text na sipokelewi simu zangu anacho nifanyia sio poa me ni mwanaume mwenzake
22
21
93
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
5 months
Tanzania mtu akianguka bafuni au chooni ndo habari yake imeisha hio
11
15
91
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
5 months
Mtu umeachana na rafiki yake ila bado anakuita shemeji
22
20
93
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
6 months
Eti njoo mbezi dear " Ata kama ni mimi ngekuambia nimeolewa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
10
20
93
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
9 months
Yowe langu la kwanza lilikua 2016, watu walinikimbiza hospitalini wakujua nina Typhoid
11
22
93
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
8 months
Mpenzi wako anaitwa nani ? Me wangu anaitwa Oliver
19
19
90
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
10 months
Kama kuna pisi iko huku inavaa hivi naombeni handle yake tafadhali ๐Ÿ™
Tweet media one
7
9
91
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
2 years
0
0
71
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
5 months
Wanawake tulio achana nao ila bado wanakumbuka tarehe zetu za kuzaliwa >>>>>
8
22
90
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
4 months
Nimejaribu hii haircut nimetoka unyama kinoma na way nimeeka ๐Ÿ˜„๐Ÿ”ฅ
Tweet media one
11
20
89
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
6 months
Kama hajawahi kukuambia ni style gani ukimkunja ndo huwa ana enjoy, achana nae huyo ana mtu wake.
11
20
89
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
2 years
0
0
82
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
2 years
0
0
78
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
9 months
Ni mimi tu ndo sipendi kufanya mapenzi jumapili ama tuko wengi ?
18
20
90
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
2 years
0
0
78
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
9 months
Tweep gani ukimkosa motoni lazima ugome kuchomwa paka aletwe kwanza ? Mimi Noed ase, yaani nifike nimkose Noed, nilatelata noma mbaya kabisa mtu anatuwatukana wanadamu wenzake kisa ni vibonge ๐Ÿ˜…
25
28
85
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
3 months
Kuna ile unaona kabisa we ndo unampenda kuliko yeye na hamna kitu utafanya
7
22
91
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
7 months
video nyingi za Chris brown zina scene ambayo anashtuka usingizini
6
18
91
@250_chacha
๐”…๐”ฌ๐”ฌ๐”จ๐”’๐”ฃ โ„ญ๐”ฅ๐”ž๐” ๐”ฅ๐”ž
3 months
Nikama mtu hua anakuacha wiki moja kabla alafu analia na anatubu kabisa au ? kwasababu you can't tell me inawezekanaje mtu ambae mlikua manapendana,mnaishi, mnongea kila siku na mnafanya mapenzi kabisa alafu mnaachana yeye afu haoneshi ishara kama ata anaumizwa na hiko kitu
20
14
91