Abubakar was a top A-student from Tanzania he’s now making semiconductors at Apple, surely these corridors are beyond the reach of most both intellectually and economically.
I have a theory that the reason these D students think A students went to nowhere is that the A students operate in realms they are not even aware exist!
You are asking a Kilimani wash wash ‘entrepreneur’ to imagine the world of astronauts.
Ana Diploma ya ualimu, na masters 1 aliyofanya miaka 8 af mtu kapewa Uwaziri wa Afya (nafasi ya juu kuliko zote katika usimamizi wa Afya) japo hana taaluma/ujuzi/historia ya Afya, lazima aabudu.
Waziri wa Afya ambaye pia ni Mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama akigalagala ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika jimbo lake, wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipotembelea na kuzungumza ya wananchi wa jimbo
Tanzania life expectancy ~67 years.
61 Magufuli
77 Maalim
62 Mghwira
70 Lowassa
69 Membe
Average 67.8
No shadow of death or coincidence it’s just sad to say “normal” for Tanzania. Can’t cheat indicators of economic/human development.
SHADOW OF DEATH
Edward Lowassa's death means that Tanzania has now lost four candidates who contested in the 2015 presidential elections in Mainland and Zanzibar
THESE ARE:
John Magufuli: 2021
Maalim Seif: 2021
Anna Mghwira: 2021
Edward Lowassa: 2024
“I didn’t join ‘cause everyone would be a sitting DUCK!”
Definition:
“I’d rather stay in the comfort of my political elite family protection, I’m with you when you win though”
Martin kaniuliza:
*Kwanini kama “mwanaharakati wa haki za binadamu” hujaona sababu za msingi kuandamana leo?*
Jibu:
I knew you wouldn’t get the numbers and everyone would be a sitting DUCK!
Organise and get the NUMBERS, people will JOIN!
I am glad you have all caught that fake English wannabe intellectual clown who spews verbal Diarrhoea in hopes to spread his shit misinformation to sound smart.
It’s not an issue not to master a foreign language but not to master your scholarly and official language is. Language skills are in fact intellectual skills, therefore proficiency in a scholarly language is a fair measure of intellect. Like it or not.
Your favourites in America sing the most sexually explicit songs but it’s okay because English “it sounds cool”. But Zuhura from Kikwajuni singing in her language is a problem ?
You’re constantly at random “invitations” for activities to portray a “rich-well-connected lifestyle” so you can come shit on the less privileged, it’s difficult to empathise with you for the expected outcomes.
Utashangazwa sana kwa kiasi gani hata huhitaji kusaidiwa kutafuta fursa, amini tafuta “kazi/kozi + mahali” tenga muda kufanya utafiti wa kina na tunza kumbukumbu muhimu. Wengi wakiona kurasa/video maelezo mengi wanakata tamaa, usiwe hivyo, maliza ulichoanza.
Usione watu wapo sehemu fulani ukadhani walibonyeza kitufe tu wakafika au walipewa “connection”, kuna kazi kubwa ya utafiti na kujidhatiti hata kwa miaka kadhaa nyuma. Na kufeli pia ni sehemu ya utafutaji japokuwa mafanikio ndio huonekana.
Chagga getting hyped over this forget almost every tribe was a sovereign kingdom/chiefdom, what’s special is unlike other tribes Chagga were very complicit to the coloniser and I’m not sure there’s pride in that.
Hili halina jibu moja au sehemu moja kusema ndio suluhisho la kila mtu. Jitambue kwanza unataka nini, si vibaya kutokuwa na uhakika ila angalau uwe na (ma)wazo kisha ndipo usake ushauri/msaada. Bahati mbaya wengi hatujui (kabisa) tunataka nini, ilimradi “fursa”.
Bachelors in Law Enforcement is one of the most unneeded degrees, he’s not an entrepreneur by choice but by misfortune, the job market doesn’t need him.
#VIDEO
Uwezo Felix kijana mpambanaji ambaye amesoma shahada ya usimamizi wa sheria kutoka chuo kikuu cha Dar es salaam, anasema ukimuona sokoni anafanya biashara zake unaweza kumchukulia poa lakini ana shahada yake na baada ya kuona harakati za kupata ajira hazieleweki akaamua
Tanzania is almost always represented by self-sabotaging and incompetent idiots on foreign/world stages. If that’s what the country sends abroad what about the competence of internals ?
People who say it doesn’t matter if we vote or not have no idea how voting works and how government works. Voting starts at street level to president. If there is to be any change it starts at the street level.
I’m Tanzanian, of course every shoe polish is Kiwi, every fuel station is Shell, every tank is Simtank, every plastic bag is Rambo, every chewing gum is BigG, every motorcycle is Honda…
The regular release of new models of a product every year is not primarily targeted to those with recent models but to those who it’s their first if they buy.
Teachers are trained in child psychology and pedagogical skills, a home does'nt necessarily have these. At best homeschool should just compliment general school. Social skills & emotional intelligence can't be sharpened exclusively at home unless you want your kids on a spectrum.
After realising people are ignorant, hypocritical and ideological not logical, I won’t engage in political discussions on social media, I’ll be more than happy to do so in person though.
Hii ndio ile ije JUA, ije MVUA nitawatumikia na kujitoa kwa Watanzania wote kwa moyo wangu wote, kwa akili yangu yote na kwa uwezo wangu wote.
Mungu akubariki sana Mhe Rais
@SuluhuSamia
All land in Tanzania is public land and remains vested in the President as trustee for and on behalf of all citizens of Tanzania. Maasai land is public land under village (customary) ownership. President knows, if not; ignorance of the law is not exemption from the law. No excuse
Nimetafakari sana:
Kweli SSH ndiye aliyeamuru kuondoa huduma za kijamii kwa Wamaasai.
Kakosea tena sana.
Does this make her EVIL?
Hapana. It makes her WRONG.
*EVIL ni mtu asiyeweza kujirekebisha pale alipokosea. EVIL ni HULKA.*
Her errors are costly lakini she’s not EVIL.
Tanzanians need to accept there’s better courses for them elsewhere in Tz than forcing to just be at UDSM for the sake of “nasoma/nimesoma UDSM”.
It’s not 1970. In career, the course matters way more than the university.
I don’t think people understand how insanely “impossible” this is, especially the fact that this is a falling mass of 250 tonnes with very little control surfaces and has to come to a complete stop midair just before before it contacts and suspends itself on just 2 hooks.