Historia Yetu Profile Banner
Historia Yetu Profile
Historia Yetu

@HistoriaYetu

36,045
Followers
0
Following
896
Media
1,386
Statuses

Ukurasa kuhusu historia ya Tanzania. Kabla na baada ya uhuru. Tundikie ๐Ÿ“ง- tanzaniahistoria @gmail .com

Tanzania
Joined August 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
Pinned Tweet
@HistoriaYetu
Historia Yetu
8 months
Ndio maana yule Mama alilia sana. Mungu aendelee kumtia nguvu.
Tweet media one
113
394
5K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Morogoro, 1955
Tweet media one
60
302
4K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Udsm, 1980s
Tweet media one
39
158
4K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Ujana maji ya moto. (R.I.P Amina Chifupa)
Tweet media one
89
158
3K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Tanzania, Iringa 1970s
Tweet media one
47
156
3K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
2 years
Benjamin William Mkapa (first from left) with his friends, Phillip Magani (with a hat) and John Kambona (first from right) as students at Saint Francis College (now Pugu Secondary School).
Tweet media one
124
287
3K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Huyo Mwanamke anayesalimiana na Mwalimu anaitwa nani? Atakayepata kumtaja kwa majina mawili, atashinda vocha ya Tsh 5000/- ya mtandao wake. Sharti: Wakwanza kutaja ndio mshindi. Karibuni.
Tweet media one
509
166
3K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 month
MJ, Sinza 1992
Tweet media one
29
206
3K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
6 months
Captaaaaaaaaaain. [R.I.P]
Tweet media one
10
74
2K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Dr Ulimboka, 2012 Aliongoza mgomo wa Madaktari nchi nzima waongezwe mshahara kutoka 950k hadi 3.5m. Aliitwa chemba apozwe asitishe mgomo, akagoma. June 27, 2012 akiwa Leaders Club akatekwa, June 28 akaokotwa msitu wa Mabwepande akiwa hana baadhi ya meno na kucha.
Tweet media one
Tweet media two
105
254
2K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
11 months
Master J, 1997. Hii ni baada ya kununua gari yake ya kwanza akaona apige nayo picha kwanza. Maisha wanayofanya vijana wengi ni marudio tu.
Tweet media one
59
125
2K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Tanzania, Iringa 1974
Tweet media one
33
127
2K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
#Ujana Salaah (GSM), Home Shopping Centre. Picha hii imepigwa kati ya 2010 - 2013.
Tweet media one
82
139
2K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
8 months
Lowassa kuhusu Richmond. Miaka 8 iliyopita.
71
591
2K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
11 months
Afrika.
Tweet media one
25
134
2K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Mh @zittokabwe , kama hutojali, kwa faida ya wasomaji wetu, unaweza kutueleza lilikuwa ni tukio gani hili, ni mwaka gani na ilikuwa ni wapi?
Tweet media one
39
77
2K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Coco Beach Dar es Salaam 1960.
Tweet media one
40
192
2K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Tanganyika, Singida Town 1960
Tweet media one
56
101
2K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
11 months
Dar es Salaam, 2005 Ujenzi wa Benjamin Mkapa Stadium (Kwa Mkapa).
Tweet media one
14
126
2K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Siasa.
Tweet media one
13
84
2K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Prof Kighoma Ally Malima Aliwahi kuwa Waziri wa Fedha, alijiengua CCM na kuhamia NAREA (NRA), akaenda Makka kuhiji, akasema, akirudi atakuja kutoa yote ya moyoni. Alipomaliza Hijja, akapitia London kujiandaa kurejea Tanzania, kifo kikamkuta hukohuko katika mazingira tatanishi.
Tweet media one
68
148
2K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Siasa.
Tweet media one
11
83
2K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Siasa, Ujasusi na Familia.
Tweet media one
13
74
2K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Richa Adhia, Miss Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ 2007.
Tweet media one
66
65
2K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Wataje.
Tweet media one
58
49
2K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Chemsha Bongo. Huyo Mama aliyekaa na Mwalimu hapo jina lake anaitwa nani, na alikuwa na nafasi gani wakati wa Mwalimu? Atayepata atashinda TZS 15,000/- ambayo atatumiwa kwenye simu yake. Shindano linaanza muda huu muda huu 17:15 hadi kesho 17:15.
Tweet media one
160
88
2K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
HISTORIA ITAKAYODUMU MILELE KWENYE SEKTA YA AFYA TANZANIA. โžก๏ธ Mapema tu baada ya Tanganyika kupata uhuru wake 1961, wauguzi wengi wakizungu walianza kuondoka na kurudi kwao Uingereza, walipoulizwa kwanini wanaondoka katika wakati ambao raia wa Tanganyika wanawahitaji sana kwenye
Tweet media one
Tweet media two
59
344
2K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
11 months
Haya.
Tweet media one
12
76
2K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
11 months
Dec 12, 2005 Ikulu, Dar es salaam
Tweet media one
9
52
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Rais Mkapa baada ya kuingia madarakani kabla ya kuteua Gavana wa BoT, Mwalimu alimpigia simu; Mwl: โ€œNasikia unateua Gavana, unaweza nipa jina lake?โ€ BM: โ€œNamuhitaji Balaliโ€ Mwal: โ€œOh, nimepata amani sasa, kwani niliambiwa unateua mwingineโ€.. Swali, huyo mwingine ni nani?
Tweet media one
23
87
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
6 months
Huyo mtoto ni msanii gani wa Bongo Fleva.
Tweet media one
90
46
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
2 months
MJ Records 2010 - MJ, Millard Ayo na Marco Chali. ๐Ÿ“ธ Master J
Tweet media one
9
48
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
8 months
Pole Robert, Pole Fredy, mmepoteza Baba, sisi tumepoteza kiongozi. Maisha ni safari.
Tweet media one
7
70
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Tanzania, Arusha 1999 Kulia soko, kushoto msikiti.
Tweet media one
23
105
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
11 months
Semaji, 2006
Tweet media one
43
53
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
James Mapalala Mtanzania wa kwanza kudai hadharani, kumwandikia Mwalimu barua kudai vyama vingi. 1986 akafungwa Gerezani Lindi miaka miwili, kisha kufichwa kisiwani Mafia hadi 1989 akaachiwa. Kosa lake ni kuanzisha chama chake, Chama cha Wananchi (CCW) kinyume na katiba.
Tweet media one
44
180
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
11 months
Legend & Legend in the making. Mtag: @JideJaydee
Tweet media one
12
54
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Dar es Salaam, 1960s Mnazi Mmoja.
Tweet media one
29
105
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Tanzania, Kilimanjaro, 1990s Basi njiani kuelekea Moshi, Kilimanjaro 1990s. Hapa ni Mwanga 70km mashariki of Moshi. ๐Ÿ“ธ: Ulrich Doering
Tweet media one
36
127
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
2 months
Dar es Salaam, 1989 Rais Mstaafu Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete na rafikiye, George Nangale. Mh. George Nangale alishawahi kuwa Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki kati ya 2001 - 2012.
Tweet media one
7
49
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
6 months
Nani huyo anayevuta jiko? Ukishamjua, tuambie, unampenda au humpendi kwa kitu gani?
Tweet media one
99
78
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Sweden, Stockholm 1993 Prof. Anna Kajumulo Tibaijuka akiwa na mume wake (marehemu) Balozi Wilson Tibaijuka. Wakati huu Balozi Wilson alikuwa Balozi wa Tanzania Sweden, Norway, Denmark na Finland. Mama Tibaijuka naye alikuwa mwanafunzi chuo cha Uppsala hapo Sweden.
Tweet media one
25
104
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Arusha Hotel, 1961.
Tweet media one
15
121
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Kilimanjaro (Same), 1958
Tweet media one
26
96
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Morogoro, Tanganyika 1958 Kituo cha mafuta cha kampuni ya Shell eneo la Turiani wilaya ya Mvomero.
Tweet media one
33
120
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
11 months
Taja unaowajua.
Tweet media one
65
53
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
1962
Tweet media one
14
67
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
11 months
Hii Tanzania ya miaka gani?
Tweet media one
81
59
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Tanganyika, 1909 Tabora Hotel.
Tweet media one
19
107
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Dar es Salaam, 1980s
Tweet media one
26
88
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
โžก๏ธMzee Nassoro Rajabu, dereva wa kwanza wa Mwalimu kabla na baada ya uhuru. โžก๏ธKabla Uhuru alimuendesha kuanzia 1953 - 1961, baada ya Mwalimu kuapishwa akamuendesha tena 1962 - 1985. โžก๏ธKabla uhuru, gari haikuwa yake alikuwa ameajiriwa na muhindi kama dereva Tax tu. Endelea๐Ÿ‘‡.
Tweet media one
36
122
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Alipokuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam kati ya 2001 - 2004 alipata fursa ya kutembelea Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Huyu ni nani?
Tweet media one
167
49
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
โ–ถ๏ธNyerere alikuwa miongoni mwa viongozi wa kwanza wa Kiafrika kukitambua chama cha Ukombozi cha Wapalestina (PLO) chini ya Yasser Arafat na, mwaka 1973, Dar es Salaam ikawa makao ya ubalozi wa kwanza wa PLO barani Afrika. Mwalimu alisema, โ€œKizazi chetu kilikuwa kizazi cha
Tweet media one
74
179
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Kilimanjaro (Marangu), 1954 Hao wanaotwanga ni wanafunzi wa Chuo cha Ualimu Marangu, wale wanaopepeta ni wanafunzi wa Shule ya Sekondari Ashira. Taasisi zote zilikuwa chini ya Misheni ya Kanisa la KKKT Kanda ya Kaskazini.
Tweet media one
19
103
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Tanzania, Tanga (Pangani) 2006. Hili basi lilikuwa linaitwa Shakila, ruti zake ni Tanga - Pangani, Pangani - Tanga kila siku. Nani analijua? ๐Ÿ“ธUlrich Doering
Tweet media one
49
82
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
11 months
Hii ni 2006, alikuwa na umri wa miaka 22 tu, hivi sasa ana umri wa miaka 39. Ni mtangazaji maarufu na machachari. Huyu ni nani? Mtag kama unamjua.
Tweet media one
78
59
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
10 months
Maisha.
Tweet media one
19
36
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
9 months
Zamani nilijua huyu jamaa ndiye mmiliki DSTV๐Ÿ˜‚.
Tweet media one
27
25
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
10 months
May 01, 1963, Addis Ababa - Ethiopia. OAU.
Tweet media one
12
58
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Unaambiwa jamaa hajapatikana hadi leo. Sema 5000/- palikuwa parefu sana. Sura sio ngeni kwangu lakini๐Ÿ˜‚.
Tweet media one
130
86
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Songea, 1995 Songea Airport kuelekea Dar es Salaam kuelekea kwenye Mkutano wa Mwisho wa CCM Uwanja wa Jangwani siku moja kabla ya Uchaguzi 1995. Aliyemshika bega Mwalimu alikuwa ni Mwandishi wa Habari wa gazeti la Uhuru na Mzalendo Said Msonda (aliwahi pia kuwa Afisa UN
Tweet media one
53
98
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Siasa.
Tweet media one
11
60
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
UDSM 1967.
Tweet media one
32
98
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Mdunguaji wa Jeshi la Tanzania (TPDF) akifurahia baada ya kufanikiwa kudungua wanajeshi watatu raia wa Libya waliokua wakipigana upande wa Uganda wakati wa vita ya Kagera. Libya ilipeleka vitani wanajeshi 4500 nchini Uganda, wengi walikufa, wengine walitekwa, wengine walikimbia.
Tweet media one
41
94
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
8 months
KDC Moshi, 1950โ€™s Chagga Supreme Council Regular Meetings.
Tweet media one
25
174
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Ulikuwa wapi? Mimi nilikua darasa la 6.
Tweet media one
160
122
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Siku mwili wa Mwalimu ulipoletwa Tanzania baada ya kufariki. Ilikua ni huzuni. Tueleze, ulikuwa wapi na ulikuwa umri gani? #NyerereDay
Tweet media one
99
85
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
May, 1979 Air Tanzania - Boeing 737-200; 5H-MRK
Tweet media one
31
93
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Dar es Salaam, 1962
Tweet media one
25
90
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
8 months
๐Ÿ“ธTokyo, Japan: Dec 18, 1989 Rais Ali Hassan Mwinyi alipofanya ziara nchini Japan.
Tweet media one
1
63
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
11 months
Ujana.
Tweet media one
4
37
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Tanzania, Dar es Salaam 1985 ๐Ÿ“ธ: Christopher Pillitz Collection:Hulton Archive
Tweet media one
9
86
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Huyu ni nani? Majibu ya uwongo tu tafadhali.
Tweet media one
297
30
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Zanzibar, 1964 Dkt. Salim Ahmed Salima akimvisha pete Mama Amne Rifai wakati wa ndoa yao Zanzibar. Ndoa yao ilifungwa siku chache kabla ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar April 26, 1964. Mapema baada ya ndoa yao, Salim na Mkewe, walikwenda ndege hadi Misri ambapo Salim
Tweet media one
41
92
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
8 months
Siasa.
Tweet media one
6
72
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Dar es Salaam, 1995 Wachezaji wa timu ya soka ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars kutoka kulia Idelphonce Amlima, Juma Mgunda na beki Jamhuri Kihwelo โ€˜Julioโ€™ wakiwa kwenye kambi ya timu hiyo Jeshi la Wokovu, Kurasini, Dar es Salaamz
Tweet media one
29
87
1K
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Kutoka Hong Kong, 2013 Jamaa baada ya kukamatwa na kuoa hapati msaada wowote kwa aliyemtuma, akaona amtaje tu aliyemtuma China naye ni Bwana Zahoro Matelephone. Muuza simu maarufu huyu Kariakoo. Kama ni mtu wa mitandao ya kijamii haswa Instagram, bila shaka umeshakutana na huyu
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
102
195
975
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Je, wajua? Mwalimu Nyerere alitunukiwa shada ya udaktari wa heshima na vyuo zaidi ya 20 duniani kote, lakini yeye binafsi alipendelea kuitwa Mwalimu kuliko daktari. #ElimikaWikiendi #NyerereDay
Tweet media one
19
135
982
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Horice Kolimba (1939 - 1997) Akiwahi kuwa Katibu Mkuu CCM, aliwahi kutoa kauli kwamba "CCM haina dira wala mwelekeo", akaitwa Dodoma kuhojiwa na tume ya maadili ya chama. Machi 15, 1997 saa 11 jioni wakati akijiandaa kuitikia wito, akadondoka na kufa papo hapo.
Tweet media one
Tweet media two
43
128
966
@HistoriaYetu
Historia Yetu
8 months
Mwalimu Julius Nyerere kwenye uvalishaji wa medali kutokana na utendaji uliotukuka , mkoani Kilimanjaro Wilayani Moshi mwaka 1988. Huyo anayevishwa medani unaweza kumtambua?
Tweet media one
60
58
970
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Dar es Salaam, 1988 โ–ถ๏ธWaziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Joseph Sinde Warioba akimkabidhi tuzo ya Mchezaji bora chipukizi Ligi Kuu mwaka 1988, kiungo wa Yanga, Athumani Abdallah China. โ–ถ๏ธKatika msimu huo, Coastal Union ya Tanga iliibuka
Tweet media one
37
103
970
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Tanzania, Dar es Salaam (Posta) 1980s - 1990s. ๐Ÿ“ธ: christopher Pillitz
Tweet media one
24
83
962
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
1950s.
Tweet media one
35
66
952
@HistoriaYetu
Historia Yetu
11 months
Mshindi wa Miss Temeke 2006, Jokate Mwegelo, hapa akiwa na umri wa miaka 19 tu akionesha zawadi ya fedha alizoshinda Tsh 1.2 milioni kwenye shindano hilo. Shindano hilo lilifanyika Hotel ya Courtyard Dar es Salaam.
Tweet media one
40
57
957
@HistoriaYetu
Historia Yetu
8 months
Dar es Salaam, 1995 Mwalimu kuhusu kukatwa jina la Lowassa na Kamati Kuu kwenye nafasi ya urais.
32
235
952
@HistoriaYetu
Historia Yetu
10 months
Mad Ice, Prof J, Dully & Nancy. Circa, 2005
Tweet media one
9
32
940
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Tabora, Tanzania 1920
Tweet media one
24
83
941
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Iringa, 2012 Daudi Mwangosi, Mwandishi wa habari wa Channel Ten alipigwa bomu la machozi kwenye tumbo na askari aitwaye Pasificus Saimon. Mwangosi aliuawa wakati akiripoti maandamano ya CHADEMA kijiji cha Nyololo wilaya ya Mufindi. Askari aliyemuua alihukumiwa miaka 15 jela.
Tweet media one
Tweet media two
28
127
931
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Studio za MJ Records, 1997 Humu ndani zimetoka album na nyimbo za wasanii/band/choir kama Sugu, East Coast Team, Hard Blasters Crew, Afande Sele, Lady Jaydee, Ray C, Kwanza Unit, Deplowmatz, Mr Paul, Unique Sisters, African Stars Band, DDC Mlimani Park Orchestra, Msondo Ngoma
Tweet media one
30
128
917
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
WAGOSI WALIINGIA DAR KAMA BARUA YENYE STAMP NA CARE OF Miaka 22 iliyopita, Wagosi wa Kaya, walisafiri kutoka Tanga hadi Dar es Salaam, mithili ya barua yenye stamp na care of. Profesa Jay ndiye mwezesha safari. Akawagonga stamp Tanga. Akawaambia, mkifika Ubungo, ongozeni mpaka
Tweet media one
39
146
907
@HistoriaYetu
Historia Yetu
7 months
Muziki.
36
164
904
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Safari ni Hatua.
Tweet media one
23
76
886
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Je Wajua? Shaaban Robert, jina la 'Robert' halikuwa jina la Baba yake, Shaaban alipaswa kuitwa Shaaban Ufukwe. Ufukwe ndio jina alilipewa Baba yake Shaaban punde tu baada ya kuzaliwa. Robert ni jina la raia wa Kitaliano ambaye alikuwa bosi wa Babu yake Shaaban. #ElimikaWikiendi
Tweet media one
24
91
889
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Leo Mh. Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete ametimiza umri wa miaka 73. Tunamtakia kheri na fanaka.
Tweet media one
10
54
889
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Yanga, Dar es Salaam 1998 โžก๏ธHii Yanga ya 1998 ilipoazimwa jezi na Taifa Stars na baadhi ya wachezaji wa Simba (3) kwenye mchezo wa wake wa kwanza wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kundi B dhidi ya ASEC Mimosa ya Ivory Coast. โžก๏ธMchezo ulichozwa Nov 8, 1998 ambapo kikosi
Tweet media one
62
169
881
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Kilimanjaro (Moshi), Tanzania 1964
Tweet media one
16
93
879
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Dar es Salaam, Kariakoo 1970s.
Tweet media one
6
71
870
@HistoriaYetu
Historia Yetu
8 months
Hawa watoto wako wapi?
35
207
858
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
New Delhi - India, May 2000 Dr. Augustine Mahiga. Kuz: 28-8-1945 Kuf: 1-05-2020 Unamfahamu vipi Mwanasiasa na Jasusi huyu mashuhuri kabisa, aliyewahi kulitumikia taifa kwa uzalendo na weledi mkubwa, ndani na nje ya mipaka ya taifa letu?
Tweet media one
25
81
858
@HistoriaYetu
Historia Yetu
1 year
Biharamulo, Tanganyika 1950.
Tweet media one
10
50
856