Journalist | Creative | Ubongoer | Yanga | Manchester United | Mental Health | Host of
#MenMenMenThePodcast
| Mandela Washington Fellow |
#DrexelDragon
Been meaning to do a podcast on Depression and mental health for men.... To discuss about the struggles we go through, expectations, fatherhood, fears and what we think success is.... It has to happen in 2019
CAG reports zinaonyesha namna gani corruption kwenye local goverment ilivyo juu, especially kwenye procurement processes… Hela kibao zinapotea huko, badala ya kuona namna gani tunaweza kupambana na hiyo mianya ili mambo yaonekane, wana wameamua kuongeza tozo zaidi… Hakyamama
Wana, unapopewa kazi ya mtu, ukalipwa halafu ukashindwa kudeliver na kuamua kupotea kimjini mjini jua unakwamisha vijana wenzako watakaoenda kupitch nyuma yako.... Tunalostishana wenyewe
Nilichojifunza leo, ukiwa unatumia mtandao wa twitter, wewe sio mtanzania halisi na haujui hali halisi huko mitaani... Unaamka, unafanya kazi na kulala humu humu twitter, hauishi kabisaaaa katika Tanzania wanayoishi wengine....
Ila, huu uchama kila sehemu matokeo yake ni kwamba watu hatuongei objectively kuhusu issue yeyote… Mambo ya msingi yanakua diluted kibwege bwege sana, sababu ya “uchama”
Tuachane na kujaza watu uwanjani, let’s talk about issues.... kwa vyama vyote... Let’s question issues, ilani, maamuzi na ahadi zao zina reflect vipi maisha ya sasa ya mtanzania na vipi watamwezesha mtanzania kua na maisha bora zaidi.... Tusidondoke kwenye mtego wa kujaza uwanja
Sina tatizo na waandishi wa habari kutangaza nia, ni haki yao.... Tatizo ni wao kurudi kuendelea kutupa habari kwenye vyombo walivyotoka baada ya mchakato kuona kua hawatoshi kisiasa... Ni vipi tutaamini kua wanaweza kua “Impartial”?
Taifa Stars, kama hamtafanya kwa ajili ya taifa, basi tafadhali fanyeni kwa ajili ya wanywa beer.... Tunaahidi kua hatutawasahau milele, na siku zoote tutawapa sifa zenu
Uko sahihi kabisa... 100% BUT let me ask you this, na kipaji chako, na ukali wako mkubwa mnooo kwenye kuchana, unadhani uwepo wa Joh kwenye game kabla yako ulikusaidia kutoka kwa urahisi zaidi au haukusaidia?
Kuna maisha nje ya hii app…. Followers wengi, RTs na likes zisiondoe utu na ubinadamu wetu… Tuna shida kubwa saanaa ya kuonekana “savage” mpaka tunajitoa utu na ufahamu aisee
It’s okay kabisa kutokupenda au kutoamini kitu ambacho wenzako wana amini…. Ni sawa kabisa, na huo uhuru unao… Ila unapokua disrespectful kwa kitu kitu ambacho wenzako wana amini na wanaheshimu hapo ndiyo tatizo linapoanza… Let’s learn to co-exist respectfully
Empathy guys, empathy... Don’t use experience ya matatizo yako na changamoto ulizopitia na namna ulivyoyashinda kama bench mark ya kila mtu kushinda changamoto zake... Usihukumu mtu ambae hujawahi vaa viatu vyake na kupita katika mapito yake.... Empathy
Pamoja na yoooote haya, we are still not addressing the elephant in the room.... Na content ya ule waraka haiongelewi kabisa.... Focus imekwenda kwenye nani aliandika kuliko “nini kimeandikwa”
"Mimi ndio Katibu Mkuu CCM, chama chetu ni imara kimuundo, kimfumo, kiitikadi, kifalsafa na kiuongozi wapuuzeni hao wapumbavu hatuogopi kukosolewa lakini hatupo tayari kutukanwa na kubezwa na watu ambao hawana shukurani" -Dk. Bashiru Ally
Shout Out to this pretty fine lady that I’m doing this life thing with....
Thank you, thank you... For holding me down and for making sure that najua vizuri kabisa kua “YOU’VE GOT MY BACK”....... Till the casket drops, I LOVE YOU...
Happy Anniversary baby girl....
@magambaz
Kuna baadhi ya wanasiasa swala la Bunge kukataa kufanya kazi na CAG walipiga kimya kabisaaaaa kama hawapo nchi hii, ila wanaweza jadili Brexit, Xenophobia na mapinduzi ya Sudan kiundaaani kabisa..... Tuendelee kuamini wanajali wananchi na mahitaji yao
Utani pembeni, this is not fair… Football haitoi guarantee ya team yeyote kushinda kila siku… wanachowafanyia hawa wachezaji siyo fair… watakua wanafanya hivi kila wakipigwa?
Ila mzee wangu, kuna chochote ambacho wewe kama wewe binafsi umeshawahi kupinga? Au kwa mtazamo wako, kiukweli kabisaa, kutoka moyoni, ukiwa kama mtumishi wa Mungu mweeemaaa kabisa, unaona kila kitu fresh, na tusifie tu mwanzo mwisho?
Uanaharakati wa kupinga kila kitu chema kwenye nchi ni kazi za baadhi ya watu. Kuna watu kama hakuna changamoto miamala haisomi ndo maana hata iweje lazima watafute cha kupigia kelele. Tuwaelewe na kuwaombea.
Wale wana waliosoma mlimani na kuaminu ndiyo sehemu pekee ambapo elimu ya juu inapatikana nchi hii, mmoja wa zao lenu bora kasema alikua jalalani... Mnataka toa tamko?
Watu wamepoteza maisha na ndugu zao wengi saanaa kutokana tu na baadhi ya watu kugoma na kuamua kujitoa ufahamu juu ya issue ya COVID19... Report ya kamati lazima pia iendane na uwajibikaji aisee
Kocha wenu Nasreddine Mohamed Nabi leo nimemuuliza swali kuhusu Defence yake kuruhusu mabao kizembe dhidi ya Coastal Union na Vipers.
Akapaniki akaanza kunitajia makombe aliyoshinda swali la msingi hakujibu 😂😂
Millard ame report hii as if ni issue ya kishirikina kinamna fulani, BUT hii ni issue ya mental health kabisaaa…. Use your platform to amplify mambo ya mental health hapa Tanzania as well mzee wangu…
Emmanuel Kasapa (60) wa Legezamwendo Urambo Tabora amejiua kwa kujinyonga baada ya kusumbuliwa kwa muda mrefu na sauti za Watu wasiojulikana alizokua akizisikia zikimuamuru ajiue, Watoto wake wamesema mara kadhaa alikua akilalamika kusumbuliwa na sauti hizo.
#MillardAyoUPDATES
So, Mourinho and Klopp wote wanaongelea penalties za United? 😂😂🤣🤣 The team that you love to hate is almost back... Bado vitu vichache tu, but we are almost back
Concept nzima ya "uhuru wa maoni" is very confusing.. Ni kua ukitoa maoni yako, watu hawatakiwi kuyachallenge, na kuyahoji maoni yako kwa wao kutoa maoni yao na kujadili kwa hoja? Au wanatakiwa wakubaliane na kila oni ambalo unatoa?
Unapojua ume-master kweli kweli a certain aspect of your life na hauna wasi wasi na hilo hata kidogo and then paaaaap, unapata experience moja matata saana that humbles you to the core.... Never stop learning
“Kuna mwanaume yupo Kisarawe, anamiliki minazi yake sita tu, na ana wake wanne, na wote wanamheshimu, huyo swala la “mwanaume ni pesa” wala halimhusu” 😂😂😂😂
Adam alinichekesha sana na huu mfano kwenye
@MenThePodcast
episode ya leo 😂😂😂😂
Teaching my daughter how to ride a bike, and everytime akianguka she goes like “It’s okay, as long as I keep on trying”
I pray aendelee na hii mentality maisha yake yote
The amount of bullying inayoendelea TL kwa excuse ya “freedom of speech”, “just for fun”, “umepanic”, “it’s not that serious”, “it’s just twitter” is very alarming aisee.... Usihangaike sana kua “savage” ukaishia kudharaulika na kushusha utu wako....
Kwakua leo hamna simu iliyoibiwa wala tangazo lililotoka kuomba simu irudishwe, siku ya wananchi ianze tu kuitwa siku ya matajiri.... Kiroho safi tu jamani