@Leejr_04
@ummymwalimu
Hawawezi kuchukua hili ndugu, kwenye silaha za wanasiasa, mojawapo ni kuwa na generation yenye matatizo ya afya ya akili na mwili, hii ni silaha wanayotumia, ndio maana watoto wao tunao huku nje wanasoma na kutibiwa, hili warudi kuwatawala watoto waliodhoofika kiakili na mwili,