Kitila Mkumbo (PhD) Profile Banner
Kitila Mkumbo (PhD) Profile
Kitila Mkumbo (PhD)

@kitilam

145,737
Followers
793
Following
505
Media
4,045
Statuses

Proud husband to Prosista, and Dad to Aggrey, Calvin and Abigail. MP- Ubungo Constituency, Minister President’s Office-Planning and Investment. Tweets mine!

Tanzania
Joined September 2013
Don't wanna be here? Send us removal request.
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
3 years
Raha ya Yanga kushinda ni kwamba mji umetulia tuli kwa sababu ya uzoefu wa kushinda!
362
267
4K
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
2 years
Hakuna namna. Inabidi tukubali tu kuwa hawa wenzetu Simba wapo kiintanasheno zaidi.
173
149
3K
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
2 years
Great! Beginning of political reconstruction in TZ??!
Tweet media one
428
136
3K
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
3 years
Heee heee! Wewe Lema wewe!! Tulia Dogo!! 😆
@godbless_lema
Godbless E.J. Lema
3 years
Bro - Njoo Clubhouse tuwakosoe , mwelekeze na Mh Kabudi namna ya kuingia.
Tweet media one
195
139
3K
344
142
3K
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
3 years
‘Interview’ya leo kati ya Mhe Samia Suluhu Hassan na Salim Kikeke ni moja ya interviews bora kabisa kufanywa miongoni mwa viongozi wakuu hapa nchini. Mhe Rais ametoa ufafanuzi muhimu kwa mambo ya msingi yanayoikabili jamii yetu leo na kesho!
1K
128
2K
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
3 years
Ninamshukuru Mhe Rais @SuluhuSamia kwa imani aliyonipa katika kusimamia sekta ya viwanda na biashara. Ninamuahidi kufanya kazi kwa bidii na maarifa. Aidha, ninawaahidi watanzania ushirikiano katika kuhakikisha sekta hii inachangia kikamilifu katika uchumi na ustawi wa watu wetu.
303
80
1K
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
3 years
Tuchague sayansi
331
71
1K
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
7 years
On 7th Sept 2002 this beautiful girl said Ndiyo! Miaka 15 ya urafiki, ndoa na malezi ya watoto watatu! Ahsante Mungu
Tweet media one
166
61
1K
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
2 years
Huu ni udikteta kwa mujibu wa sheria. Aibu!
@eastafricatv
EastAfricaTV
2 years
#MICHEZO Kamati ya Maadili ya TFF imemfungia Msemaji wa @yangasc1935 Haji Manara kujihusisha na soka kwa miaka miwili na faini ya Tsh. Mil 20.
Tweet media one
310
88
2K
557
155
1K
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
1 year
Hawa vijana wa Yanga wameheshimisha nchi sana. Hii Timu waliyopambana nayo ilikuwa ngumu sana. Nafikiria niwaongezee kitu kwenye ile hesabu ya mama!
203
76
1K
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
3 years
Ngorongoro na Serengeti “zimefurika” watalii katika kipindi hiki cha Xmas na mwaka mpya. Habari njema ni kuwa, pamoja na wageni wengi, watanzania wengi pia wamejitokeza kufurahia urithi wa Taifa letu. Ni utalii; ni biashara; ni ajira; ni furaha! Happy Boxing Day!
Tweet media one
224
105
1K
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
7 years
Namshukuru mhe Rais @MagufuliJP kwa heshima aliyonipa katika kutumikia nchi yetu katika nafasi ya Katibu Mkuu. Mungu anisaidie.
383
283
1K
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
2 years
One of the cleverest women/politicians in TZ. Her performance in parliament has been outstanding, raising extremely hard but very important issues that give govt ministers a huge homework, always unfinished business. Heko Mhe Halima Mdee @halimamdee
Tweet media one
507
90
1K
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
3 years
Pleased to announce that today, the 9th of September 2021, the Parliament of the United Republic of Tanzania has RATIFIED the Agreement Establishing the African Continental Free Trade Area (AfCFTA), effectively joining the 1.2 bilion market and USD 3.4 trillion African economy!
107
363
1K
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
4 years
Sifa moja ya ujinga ni kwamba huwa lazima ujianike. Ujinga hauna uwezo wa kujificha! Tuendelee kuchukua tahadhari na kufuata maelekezo ya wataalam wa Afya na viongozi wetu
316
183
1K
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
8 months
Timu ya Yanga ina kitu ndani yake. Itafika mbali sana.
88
93
1K
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
7 years
At last! The Kenyan judiciary has demonstrated that it is possible to be African and truly democratic. Celebration to all democracy lovers!
156
322
1K
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
3 years
Me @50 ! Namshukuru Mungu kwa yote: uhai, siha njema, maisha, familia na zaidi! Kazi inaendelea kwa bidii na maarifa zaidi
165
48
1K
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
1 year
Magoli mawili tulivu…halafu hata haturingi yaani…Yanga buana
70
55
862
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
7 months
Wewe tubishane kuhusu tume za uchaguzi na mambo mengine ya siasa za uchaguzi. Huna nyenzo za kujadili ubora au udhaifu wa sifa zangu kitaaluma. Nipo very proud na tasnia yangu ya PhD. Wala hamjafanya ugunduzi wowote katika kuibua tasnia yangu hiyo kwani ipo online tangu 2008.
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
7 months
Unampa heshima kumuita ‘profesa Kitila Alexander Kanyama Mkumbo’ na wengine wamefundishwa naye UDSM, kumbe kurasa 274 za Dissertation ya Ph.D aliyofanya ni mambo ya ukungwi. Ukisikia anajiita ‘profesa Kitila’ unaweza kufikiri Dissertation yake alifanya mambo ya uchumi au
Tweet media one
Tweet media two
206
126
1K
393
97
856
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
2 years
Yaani washabiki wa Simba leo nyie ndio muwe wahamasishaji wa Sensa kuliko hata mama Anne Makinda? Hatudanganyiki wala hamtatusaulisha. Jana mmepokea kipigo kizuri tu na mzungu wenu aka mleta vifaa vya Sensa!!
105
54
801
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
4 years
Ubungo Mpya ya CCM.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
210
68
783
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
3 years
Requiescat In Pace Prof Mwesiga Baregu. One academic who strongly believed that academics shouldn’t shy away from politics. And you taught some of us who agreed with this tenet how academics can do active politics without loosing their intellectual rigour.
Tweet media one
80
66
715
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
7 years
Kwa muda mrefu tumetegemea roho nzuri za viongozi wetu kupata haki. Ni muda mwafaka sasa tuanze kudai haki zetu tukianzia na katiba mpya.
59
206
712
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
4 years
Leo nimekumbuka enzi zangu nikiwa mwanafunzi wa UDSM miaka 25 iliyopita. Huu ndiyo ulikuwa usafiri wetu mkubwa. Ahsanteni wana Ubungo kwa kunilea muda wote huu. Mimi ni mtu wenu. Mimi ni mwenzenu.
Tweet media one
222
34
681
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
1 year
Pamoja na yote, Simba wamepiga kabumbu, ukweli na usemwe hadharani. Nimeshindwa kumezea mate!!
171
42
696
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
2 years
Elimu sio tukio, ni mchakato. Ulikuwa Mayor for five years na shule zote za umma mliziacha zikiwa hoi. Ulikuwa busy kufanya maandamano na ukatelekeza kazi yako ya msingi. Tunapambana kurekebisha na kwa mipango iliyopo na utekelezaji wake unavyokwenda tutafanikiwa.
@ExMayorUbungo
Boniface Jacob
2 years
Hii shule Mbunge wake ni Kitila ambaye Profesa wa Elimu...! Juzi alikuwa Mburahati kawalisha Ubwabwa wawazi wao kaondoka zake.
Tweet media one
210
60
976
297
47
683
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
3 years
Kwa yaliyotokea jana Dar na Nigeria hatuchekani. Ndio maana nchi ipo kimya!! Sote tumepotezea. Ukimya Oyeee!!
175
39
642
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
1 year
Ili kulinda amani na mshikamano, mbunge wa Ubungo amepiga marufuku mazungumzo yoyote katika vijiwe yanayohusu timu za Yanga na Simba ndani ya Jimbo la Ubungo hadi pale CAG atakapofanya ukaguzi maalum kuhusu mazingira ya mechi ya leo.
159
36
663
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
4 years
Katika vita kati ya madaktari na wadudu siku zote madaktari walishinda. Katika vita hii nayo madaktari watashinda. Tuendelee kuchukua tahadhari za kujikinga ili tushuhudie ushindi mwingine wa madaktari dhidi ya mdudu Corona. Kwa msaada wa Mungu, Hakika Sayansi itashinda tena!
76
56
638
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
7 years
Kuna ugonjwa unaitwa opposition defiant disorder (ODD). Dalili kubwa ni kupinga kwa lengo la kupinga hadi unajipanga mwenyewe. Tuuepuke!
250
186
628
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
5 years
Unapowasiliana ni muhimu kukumbuka kuwa wapo watakaosikia ulichokisema na wapo watakaosikia ambacho hukukisema. Hakuna ubaya kuomba msamaha kwa kile ambacho mtu alikwazwa nacho alichokisikia japo hukukisema maana huwa tunaomba msamaha kwa kukosea bila kukusudia.
214
55
608
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
7 years
" A leader takes people where they want to go. A great leader takes people where they don't necessarily want to go, but ought to be".
176
114
595
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
3 years
Wazungu husema: “it will get worse before it gets better”. Yanga tutulie. Tutafanya vizuri sana, sooner than later. Anayecheka mwisho.....
109
58
585
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
3 years
II: Kisera, tafsiri ya ukubwa au udogo wa kiwanda ni kama ifuatavyo: Kiwanda kikubwa: ajira 100+; uwekezaji >800m Kiwanda cha kati : ajira 50-99; uwekezaji >200-800m Kiwanda Kidogo: ajira 5-49; uwekezaji >5-200m Kiwanda kidogo sana: ajira 1-4; uwekezaji <=5m
271
110
569
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
5 years
The traffic jam in Dar can prove to be a great opportunity to read a book. On my way to the airport I read two chapters in a book. The secret is switching off the mobile data for a while so that you’re away from the otherwise engrossing WhatsApp!
182
46
544
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
3 years
I: Taarifa kuhusu sekta ya viwanda niliyoitoa leo katika mkutano wa Mhe Rais Longido. Kwa mujibu wa sensa ya viwanda ya Julai 2021 (NBS/WVB), idadi ya viwanda ni 80969: 1. Viwanda vikubwa: 628 2. Viwanda vya kati: 684 3. Viwanda vidogo: 17,267 4. Viwanda vidogo sana: 62,400
275
83
535
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
7 years
Mwl Nyerere alituongoza kudai uhuru wa kisiasa. Rais @MagufuliJP ameanzisha mapambano ya kudai uhuru wa kiuchumi. Tuwe naye bega kwa bega
114
148
538
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
24 days
Tulia. Acha kujifariji. Nipo mitaani kila siku. Nimekaba kila kona hakuna pa kushika. Nakusubiri kwa hamu, kama utapenya katika chama chako maana huko nako hali yako kisiasa ni changamoto. Pole sana.
@ExMayorUbungo
Boniface Jacob
24 days
Wanangu wa Mabibo wanataka Kutapeliwa Kizembe sana,ngoja nikawatonye fasta. Mtu ajakanyaga mtaani miaka 4, anakuja kutokea kapanda juu ya pikipiki na uongo wa kugawa mashamba bila mbegu,mbolea,madawa,pesa ya Vibarua na shamba lenyewe usikute ni kijiji kwao Singida. Hayo mambo
Tweet media one
180
111
1K
346
35
513
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
7 years
“The only way a man can remain consistent amid changing circumstances is to change with them while preserving the same dominating purpose”. Winston Churchil, in 1925, while rejoining the Conservatives after he had switched to Liberals.
114
87
485
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
7 years
With my PhD students after my final class today. It's an emotional farewell class!! God bless.
Tweet media one
34
76
473
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
11 months
Kinafunguliwa rasmi rasmi tarehe 20 Septemba 2023. Ni kiwanda cha kutengeneza vioo (float glass) kilichopo Mkuranga Mkoani Pwani. Ni uwekezaji wa zaidi ya dola milioni 300 na ni kiwanda cha nne kwa ukubwa barani Afrika. Ajira zaidi ya 1600! Kazi inaendelea!
97
105
474
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
7 years
We have struggled to remove it for the past three decades, unsuccessfully. Thank God it's now falling on its own weight. God bless TZ!
25
168
446
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
7 years
UDSM has made us proud again. Best in East and Central Africa. What a good coincidence with the visitation by H.E. tomorrow!
62
164
444
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
2 years
@MariaSTsehai 🔥Nipo salama salimini Mhe. Thank you for your concern
24
15
426
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
7 years
Nikisaini mikataba ya mradi wa kusafirisha maji kutoka Z.Victoria kwenda Wilaya za Tabora. Wananchi mil. 1.1 kupata huduma ya maji by 2019.
Tweet media one
72
92
431
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
7 years
Tunawashukuru waheshimiwa wabunge kwa kupitisha bajeti ya Wizara yetu ya Maji na Umwagiliaji. Sasa utekelezaji: Kumtua mama ndoo ya maji!
89
85
432
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
7 years
Right or wrong, my country first. It's a basic principle of citizenship. No reason justifies compromising your country's interest! Tujifunze
151
79
423
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
7 years
Tunapoanza mwaka tufanye kazi kwa bidii na maarifa. Ukikwama usikate tamaa. Kumbuka kuwa “.....si wenye mbio washindao katika michezo; wala si walio hodari washindao vitani; wala si watu wa ufahamu wapatao mali;LAKINI WAKATI NA BAHATI HUWAPATA WOTE” (Mh 9: 11). Wakati wako waja!
46
69
418
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
7 years
Huu ni Mto Simba huko Siha ktk miteremko ya Mt. Kilimanj. Ni chanzo cha maji kwa ajili ya mradi wa maji katika Mji wa Longido, Arusha. Ni mradi muhimu unaotarajiwa kukamilika ifikapo mwezi Novemba 2018 kwa gharama ya TZS 16b utahudumia watu zaidi ya 26K (100%) hadi mwaka 2024.
Tweet media one
54
38
396
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
7 years
Clean, sensible and ethical budget, presented confidently and articulately. Proud to be part of the team to deliver it. God bless Tanzania!
95
84
392
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
7 years
Serikali inajenga visima 20 Kigamboni vyenye uwezo wa kuzalisha lita milioni 260 za maji kwa siku. Nimepita leo kukagua maendeleo.
Tweet media one
52
62
397
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
7 years
Nilipata fursa ya kutembelea kituo cha huduma kwa wateja wa mamlaka ya maji Arusha. Wateja wanapiga simu na kuhudumiwa kwa haraka.
Tweet media one
51
24
373
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
7 years
Bado viongozi wapo. Ahsante homeboy @Mwigulu_Nchemba . Keep up the good job!
Tweet media one
25
70
370
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
7 years
Wewe ni kiongozi, jenga hoja. Kama ni wanafiki katika siasa za TZ wapo na wanajulikana. Nenda nyuma kidogo hadi uchaguzi wa 2015 utawakuta!
@Jambotv_
Jambo TV
7 years
@kim_matinyi @kitilam Huyu Kitila ni mnafiki wa kiwango cha juu sana👌
48
5
80
107
51
351
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
2 years
Ahsante na hongera Mhe RC Dar kwa hatua hii muhimu. Hivi ndivyo majiji yanavyoendeshwa. Ubarikiwe. ⁦ @jokateM ⁩ ⁦ @Kheri_D_James
Tweet media one
52
30
340
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
12 days
SHUGHULI NI LEO!!
55
26
346
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
4 years
Wapo watu wanaotuambia kuwa maendeleo siyo muhimu, muhimu ni harakati wanasema chagueni harakati achaneni na maendeleo, tunasema tutachagua maendeleo kwa sababu harakati hatuwezi kula. CHAGUA MAGUFULI CHAGUA KITILA CHAGUA CCM #UbungoYaKijani
Tweet media one
183
20
331
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
8 years
Dk Mwakyembe amewasaidia sana wajumbe wa TLS kujua kwa nini wanapaswa kumchagua @TunduLissu . Nawatakia uchaguzi mwema na TLS imara.
35
130
330
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
2 years
Bado natafakari mstari sahihi wa kumjibu huyu “Nabii” kati ya hii ifuatayo: Mithali 26:4: Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Usije ukafanana naye au: Mithali 26: 5: Umjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Asije akawa mwenye hekima machoni pake.
@godbless_lema
Godbless E.J. Lema
2 years
Anatafuta UTEUZI anapandisha presha ili aonekane tishio kwa chama chake.Anajua akifanya hivi watatafuta njia ya kumziba kinywa kwa kumpa uwaziri.Huu ni mchezo wanajua kuufanya.Huyu ni mtu wa kupuuzwa kwani attention na chakula kwake vina msingi kuliko utu na haki.
Tweet media one
194
135
1K
216
44
330
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
2 years
Watu wasije wakajisaulisha 👇👇🔥🔥
Tweet media one
105
43
313
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
3 years
Thank you Your Excellence @SuluhuSamia for your Maiden Speech at UNGA. You appropriately addressed the theme of the conference calmly, confidently and eloquently. You made us all proud as a country and a continent! Kazi Iendelee
75
31
318
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
2 years
Ni makala nzito. Pamoja na mambo mengine, Rais @SuluhuSamia ameanika falsafa yake ya uongozi, kwamba yeye sio mhafidhina wala mliberali. Hii inaitwa pragmatism (Kisw chake bado). Ni imani katika kufanya jambo sahihi kwa wakati sahihi na kwa mahitaji sahihi! Zaidi hapa chini 👇
89
27
308
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
3 years
“No place on earth like Serengeti”
19
79
313
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
7 years
Thank you @RailaOdinga for rightly deciding to seek redress through the Supreme Court. You truly are a father of democracy in the region.
37
82
299
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
3 years
By virtue of the powers vested in me by the Companies Act, and in response to a plethora of requests by company owners, I have extended the deadline for disclosure of Beneficial Ownership to June 2022. I urge company owners to fulfill their legal obligation within this period!
Tweet media one
Tweet media two
28
101
299
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
4 years
Tunamkaribisha katika kinyang’anyiro. Tupo tayari kwa mapambano ya hoja
@RealHauleGluck
The Magna Carta 同理心 人性
4 years
Mayor @MayorUbungo karudishwa kwenye kinyang’anyiro Ubungo; @kitilam arudi kufunga mabomba 🙌🏾😁
22
56
829
64
11
290
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
9 years
Msisitizo wa Dr Magufuli kukusanya kodi kutoka kwa wafanyabiashara wakubwa unaonyesha jeuri ya kuingia ikulu bila nguvu ya mabwenyenye!
113
228
297
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
2 years
Nakubaliana na Mhe Prof Manya. Sio sawa kuwapeleka watoto boarding katika umri mdogo. Tabia ya mtoto huumbwa katika miaka ya kwanza 14. Wazazi tulee watoto wetu ili wawe na tabia tuzipendazo. ⁦ @MabalaMakengeza ⁩ ⁦ @RichardShukia
65
70
299
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
2 years
Nguvu ya wanachama wa CCM katika kuchagua viongozi wanaowataka ilianzia hapa. Mwaka 1985 Mwalimu alikuwa anamtaka Salim Ahmed Salim awe mrithi wake, lakini alizidiwa hoja na nguvu ya kura katika vikao na akakubali. Hapa anaeleza kwa nini alikubali kushindwa. Tutamkumbuka daima
Tweet media one
76
31
297
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
3 years
Sahihisho dogo lakini muhimu: ...kushawishiwa na kuombwa kuwekeza nchini, sio kufuatiliwa.
@eastafricatv
EastAfricaTV
3 years
Diaspora wenye fedha kufuatiliwa :-
Tweet media one
120
29
517
125
34
291
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
2 months
URONGO. Hakuna masharti kama hayo. Mkopo huu ni sehemu ya makubaliano katika awamu ya pili ya ushirikiano wa miaka mitano ijayo. Ni mkopo nafuu utakaolipwa katika miaka 40 kuanzia mwaka wa 26 kwa riba ya 0.01%. Kuhusu madini ya kimkakati (strategic mineral resources-SMR),
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
2 months
Serikali ya Tanzania imepokea mkopo kutoka kwa Serikali ya Korea Kusini na kutoa sehemu yake ya bahari na kuruhusu madini muhimu ya kimkakati kuchimbwa. Serikali ya Tanzania imekopa kiasi cha $2.5 bilioni (TZS 6.5 trilioni) kutoka serikali ya Korea Kusini. Mkopo huo utalipwa
Tweet media one
Tweet media two
275
201
2K
365
54
290
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
6 years
Recent political developments in Africa seem to suggest that Africa may need a non-western form of democracy. Perhaps multiparty cooperation rather than multiparty competitive politics. Africans seem to be good at cooperating rather than competing!
151
73
290
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
6 years
“An error doesn’t become a mistake until you refuse to correct it” -JFK. As a society and leadership, We must learn to correct our errors and to prevent them from escalating into mistakes. Sawa sawa?
73
51
280
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
7 years
I'm so happy for Dr @mwelentuli appointment at WHO-AfRO. I feel absolved for having criticized the TZ authority for sacking her at NIMR.
25
84
278
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
1 year
Haya mambo ya kudhalilisha nchi sio mazuri kabisa. Inasikitisha. Kuna haja ya kuwapiga marufuku kucheza michezo ya kimataifa
151
20
274
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
7 years
Lesson from Kenya: relying wholly on electronic system for election results is too risky. Pen and paper should be maintained to an extent!
49
21
268
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
7 years
Just landed in Kigoma, the home of liberated people. A water project that HE inaugurates tomorrow is set to liberate them even more!
27
40
269
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
7 years
Nikikagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa maji mjini Lindi. Unakwenda vizuri na tutamudu agizo la Mhe Rais la kukamilisha ifikapo Julai 3.
Tweet media one
46
46
268
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
7 years
Huo sasa ni ukorofi. Nimekulea, tulia!
@halimamdee
Halima James Mdee
7 years
Umepata MKATE,kula kimya kimya. Usishushe hadhi uliyojijengea..hujui kesho yako 'Mpinzani wa zamani'..Tena kwa bosi uliyenae??teh!
49
43
215
71
42
266
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
5 years
Kocha Amunike arudishwe kazini.
78
16
248
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
4 years
Unaishi mtaa upi ndani ya Ubungo tufike kukusikiliza?
Tweet media one
94
33
257
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
5 years
@zittokabwe Hoja ya msingi ni hizo hela zinakwenda wapi. Tunajua kwa dhati kabisa fedha inayokopwa inakwenda kwenye miradi ya maendeleo na inaonekana. Ni wewe uliyeshauri kwa bidii kuwa tusijenge miradi hii kwa hela za ndani.
200
27
246
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
1 year
Heshima kwa nchi imelindwa…makofi kwa vijana wa Jangwani
13
14
258
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
4 years
One key lesson from the lockdowns due to COVID19 pandemic is that liberal democracy doesn’t seem to be a suitable governance system at the time of a crisis. This could open a new discussion on the suitability of liberal democracy in addressing poverty-Africa’s social pandemic!
72
29
245
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
7 years
Lengo ni 85% ya wakazi vijijini na 95% mijini wapate huduma ya maji safi na salama ifikapo 2020. Kazi inaendelea!
45
43
247
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
2 years
Tumeshapendekeza hivyo kwamba mtihani wa taifa utungwe kwa lugha ya Kisw na Kiingereza halafu mtahiniwa achague lugha anayotaka kutumia. Na hiyo ndiyo spirit ya Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
2 years
6
0
10
120
37
244
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
4 years
Tweet media one
65
18
243
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
7 years
Call them JPM hostels!
Tweet media one
59
67
244
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
8 years
Kwa vijana wanaotafuta wenza wao: Hakuna maandalizi katika kuolewa au kuoa. Ishi maisha yako halisi utapata akupendae hivyo ulivyo.
26
143
234
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
6 years
Privileged to represent my country in the 8th World Water Forum in Brasilia, addressing water security and implementation of SDG 6. Great insights and lessons to learn/share.
Tweet media one
31
19
231
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
8 years
Tafiti zinaonyesha kuwa adhabu ya viboko humsaidia tu mchapaji kutoa hasira lakini haina faida za maana kwa mchapwaji. Tuikomeshe sasa!
65
120
228
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
8 years
Demokrasia na maendeleo ni pande mbili za shilingi moja. Huwezi kuharibu upande mmoja mwingine ukabaki salama. Mwenye masikio na asikie!!
34
124
209
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
6 years
Katika kipindi ambacho silaha ya siasa ni nguvu ya hoja, weledi, na uimara wa kiitikadi, CCM imepata katibu mkuu sahihi kwa zama sahihi. Nakutakia mafanikio makubwa Comrade Dk Bashiru Ally.
58
30
230
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
7 years
Hivi kweli kuna watu wanataka Rais wetu asifiwe na Donald Trump? Kweli? Huyu Trump huyu ambaye wazungu wenzake wanahaha kumkwepa?
35
78
227
@kitilam
Kitila Mkumbo (PhD)
6 years
Kuna changamoto ya watu kuamini mno maoni yao na kudhani ndio ukweli. Msingi mkuu wa demokrasia ni utofauti wa maoni/mitazamo. Tunapopigania demokrasia tukubali pia na misingi yake, ikiwemo kukubali kusikia tusiyoyapenda! Tusipenda kusikia sauti zetu wenyewe!
@MariaSTsehai
Maria Sarungi Tsehai
6 years
@ClubMagufuli @Chahali @JamiiForums @ChangeTanzania @allanmzalendo @CarolNdosi Pole sana ila hiyo function imewekwa na Twitter na iko encouraged kutumika wakisema uitumie kuzuia conflict au usumbufu 😀 Nadhani ni njia bora kukuza #UhuruWaKujieleza maana mtu mwenye hasira anaweza kuzua ugomvi ila akikublock anakuacha na uhuru wako ujieleze #ChangeTanzania
21
11
63
76
67
223