Hi, mimi ni photographer/videographer frm Zanzibar. Pia nafanya web design/graphics design & natumia AI kutengeneza picha mbalimbali. Nisapoti kwa kunifollow
@hajiizo1
like, comment & repost post zangu.
@hajiizo1
Pia Subscribe YT hapa ๐. Love You All
@YourFrenchFry
Mara nyingi huwa zinatumika kuulizia trafic walipo na uslama wa .
- ishara ya kuonesha kidole chini ๐ hii inaashiria askari wapo karibu hvy unatakiwa kupunguza mwendo.
- ishara ya kuonesha kidole juu ๐ hii inaashiria ukipandisha kilima tu wapo.
- ishara ya kuita/kumwita hii
Niliwahi kuona tweet moja kutoka kwa kaka yangu
@iamKaga
akizungumzia kuhusu
#FlairAI
. Baada ya hii tweet nikaingia YouTube kujifunza namna inavofanya kazi kiukweli nimehamasika na hii AI Tools na nimeanza kuitumia. ๐
Picha ya Asas
#Asas
@PresenterNoah
Na ukiwa na driving license ya Zanzibar ukija mainland pia unapewa muda wa kutumia ukizidisha unapigwa faini au uchange license uwe na ya Huko. Kuhusu ardhi zamani ilikuwa hivyo ila kwa sasa unaweza miliki hata km sio mzawa. Wapo watu wengi kutoka mainland wamejenga huku.
Alhamdulillah ๐ tumeamka salama tukiwa na afya njema. Tunakuomba Mungu utufungulie riziki zetu za halali na utufanyie wepesi katika utafutaji wetu.
Amin ๐คฒ
Goodmorning Everyone
Help me to get this phone by RT this tweet to reach 2000 RT
#ikijaaImejaa
Nisaidei kuretweet hii tweet nifikishe RT 2000 ili nipate hii simu
#ikijaaImejaa
Tunajua hata wewe huwezi kusubiri kumiliki
#InfinixHOT8
.
Haya sasa namna ya kushiriki
#ikijaaImejaa
Challenge
1. Like hii Tweet.
2. Quote Re-Tweet hii Tweet bila kusahau
#ikijaaImejaa
kwenye tweet yako.
3. Tweep wakwanza kufikia RT's 2000 atajinyakulia
#InfinixHOT8
Mpya .
@JotiOfficial
Mara nyingi zilikua zinasambaa wakati wa likizo tunapoenda kutembelea ndugu mikoa mengine ukifika kule utawapelekea na wewe unachukua mchezo wa eneo hilo unaporudi nyumban unaumzisha
Na ndio maana unaambiwa Muogope Adui mara moja ila muogope Rafiki mara mbili..! sababu adui tayari unamjua ni adui ila rafiki humjui na anajua weakness zako zote..!
Kadri tunavyohamasisha umuhimu wa vyoo bora kama usasa, bado napata ukakasi kwenye maeneo yenye shida ya maji wanatumia vyoo aina gani?
Nadhani miradi ya maji iwe na kasi zaidi kama tunataka kujenga jamii salama na magonjwa ya milipuko.
#NyumbaNiChoo
Kuamka mzima ni neema kutoka kwa Muumba. Kuamka ukiwa na afya njema ni neema kubwa sana kutoka kwa Muumba wetu. Mshukuru Mungu kwa kukuamsha siku ya leo, kwa uchache sema Ahsante Mungu ๐.
Goodmornig
@nyuki_malkia
Ni ngumu kwa kweli. Nina best wangu aliwahi somesha shule kama hzo alinambia wakati anaanza kazi alifatwa na mkuu wa shule akamwambia kufanya hakuepukiki ila usije ukatia mimba ntashindwa kukudefend. Jamaa alisomesha mwaka 1 thn aliachana na hyo shule
I learned to love myself, because I sleep with myself every night and I wake up with myself every morning, and if I donโt like myself, thereโs no reason to even live the life.
GoodMorning โ๏ธ
Bado sijafika na sijachoka kutafuta, tuendelee kusapotiana kwa vile tunavofanya. Hakuna sapoti ndogo wala hakuna msaada mdogo.
Nifollow nikufollow
Follow me
@hajiizo1
๐คโค๏ธ๐
Ahsanteni sana ๐