Sijui nianzie wapi? Imekua ni safari ndefu ya miaka minne, Finally i made it to the top. Oya wanangu eeh yudizimu pagumu we pasikie tu.
Nianze kuwapigia ma anko walioniahidi nikimaliza tu niwatafute😅😅
Congratulations to my self and I 🙏🙏
Habari!! Nakuja tena kwenu.
Asanteni sana kwa muitikio wenu mkubwa kuhusu wazo langu la jana la kufanya
#Fundraising
kwa Msanii Nay wa Mitego.
@naythetrueboy
Naomba tumchangie chochote kile iwe kama ishara ya kum-support, kumfuta jasho, na zaidi kumtia moyo kwa kazi kubwa
Sio kila mtu anaekupa kazi inamaana kashindwa kuifanya yeye ni swala la kugawana riziki tu, so ukipewa kazi ifanye kwa ufasaha🤝
Good morning Twitter family 🤝