Kuna changamoto nyingi sana hapa duniani hata kwenye sekta hizi ufundi
Nliwahi kuwa fundi wa boss mama mmoja kule Upanga dsm
nlikuwa mfanya service magar yake
Nikawa nalipwa na akataka anilipe Tena yaani
Kitu amacho kilinifanya niachishwe kazi na kusemewa mabaya mm mwizi nk