Economist, business analyzer, CEO
@RESWORKS
SOLUTION, activist musiccomposer ,founder
@AKA
RECORD
first mission engagement, impression
missions to make
#wandewa
Sio malaika,
Wala si mtabiri,
Lakini imani yangu,
inanituma kwamba leo,
Wewe unaenda kujipata,
Ule mchongo wako,
Lazima utiki leo, amin katika imani.
Ongeza nguvu kwenye upambanaji!.
@Wakazi
Kwani wewe ni msanii kaka
Maana apa wamezungumziwa wasanii na sio
Wapiga porojo wapiga porojo nyie bado hamjafikiwa
Ivyo tulizana kaka kwa sasa bado hujaitajika
ukiitajika utaitwa kaka
@MariaSTsehai
Daah sema Tanzania sijui kwanini wasomi ndo watu wanaorudisha maendeleo ya nchi yetu nyuma
Yaani ni bora ivyo vyeo wakalie watu ambao hawajasoma lakini wana busara na wanajitambua
Ndugu
@Wakazi
sauti Yako inasikika apa Ni kivule njia panda ya shule wana nao wanasema wanazielewa sees zako ivyo usisite kufika mitaa hii na kuwapa sees zako picha nimepiga sababu ya love ambayo wameonyesha Hawa Wana juu yako
Hizi AV za baadhi ya tweeps wanaotumia picha za watoto kwenye AV zao ipi ni picha kali zaidi ya mtoto kuliko nyingine kati ya hizi Av
Weka jibu lako kwenye comment!
Ivi kwanini zinatumika nguvu nyingi sana kuwazuia watu kufurahia uhuru wao sasa apa ukienda kumuuliza uyu mkuu wa polisi awa wamama wamefanya kosa gani! Yaani kukimbia na kupasha misuli ni kosa kweli mhh!!
LIFE LA X🧵 📢📢
life la 👉X ni gumu sana na pia ni rahisi sana kutokana na mazingira mbali mbali ambayo kila mtu anayejiunga 👉X anakutana nayo
Unapoingia 👉X kitu cha kwanza ni lazima utafuta 👉FOLLOWERS wa kutosha ili uweze kupata watu wa kuingage nao na usije kuwa
@Kimuzi_
Hao jamaa wenye walijiitavni leader wetu ni wapuuzi sana
Sisi Gen z hatuna kiongozi tunaamua chochote na muda wowote tunaotaka
Gen hawezi back down till Ruto go!
Napost zangu content zangu sijakutag
Nasuport michongo ya wanangu,
Nacomment, nalike, na kurepost content zao,
kiroho safi bila kushurutishwa na mtu,
Mara ghafla bin vuu,
mtu anasema unachafua time line yako, eeeh
sasa inayochafuka ni ya kwangu wewe maumivu yako ni nini.
IFAHAMU GARI YA KWANZA NDOGO ZAIDI DUNIANI!📢
Gari ya kwanza kabisa kwa udogo
duniani.
(Peel P50) ilingizwa sokoni kwa mara ya kwanza mwaka 1960.
Gari ina mlango mmoja upande wa kushoto, Wiper moja na taa moja.
Kigari hicho kina uwezo wa kubeba mtu mmoja na kikapu kimoja
@freemanmbowetz
Daaah inakatisha sana moyo
inahumiza hisia yaani
Ni jambo ajabu kweli kweli
Kiukweli siasa inashanhaza sana
Mkombozi wa Tanzania ni
Mwananchi na Raia wa Tanzania na si
chama cha siasa
Sikiliza usiwe kikwazo kwa yeyote anayetafta ridhki yake kihalali.
Mpe suport, mpe ushauri ambao utamjenga , mkinjulie moyo.
Kumbuka naye ana majukumu, kama uliyo nayo wewe.
Amin kabisa kuwa utabarikiwa na neema ya Mungu, kwa utu unao watendea wenye uhitaji.
Morn tweeps!!
JINSI YA KUPATA HESHIMA NA KUITUNZA MBELE
YA JAMII INAYOKUZUNGUKA 📚🧵🧵📢📢
👉1 Acha kuwaomba watu kila wakati.
👉2 Acha kutafuta asiyekutafuta.
👉3 Usile chakula cha watu wengine zaidi ya wao kula chako.
👉4 Punguza jinsi unavyowatembelea baadhi ya watu hasa wanapokuwa
Haya magari ni ya kuendesha Shule usihatarishe maisha yako kwa kuyapeleka nyumbani,
Baada ya kuyatumia kujifunza jinsi ya kuendesha gari na kupata ujuzi unaohitajika.
Utapata ujuzi na uzoefu wa namna gani ya kuendesha magari na ni namna gani ya kupita kwenye barabara zote korofi
@iamcleopatricia
Hamna ishara yoyote mbaya sema tu ni kwa vile sisi waafrika ni watu tunaopenda kuzalisha mambo in a negave way
Ila kitaalamu ni kwmba pale unapojichimba shimo ama kfanya displacement ya udongo baada ya muda mfupi ule udongo utadidimia ili kurudi katika original shape n size yake
Uku mtaani watu tunamenyeka sana
Mtu tuna strugle sana kuwin mkate wetu wa kila siku
Asilimia 90 ili tuishi ni lazima tutoke kila iitwayo asubuhi,
Ata tukitoka uhakika wa kupata mlo wa siku still ni kisanga,
ata tukikosa bado bills hazisimami
imagine what kind of this life.
SAFARI YA MWANADAMU🧵📢📢
Mtu huanza maisha yake bila chochote na ana jukumu la kuyajenga kuwa kitu fulani.
Anaanza maisha yake kutoka chini hadi juu. Anaanza safari yake kutoka mahali pa utupu hadi utimilifu.
Wanaume tunaelewa kuwa safari kubwa zaidi tunayoweza kufanya