Human Rights Lawyer, Researcher and Policy Analyst- CEO THRDC. Regional Director East African Human Rights Institute. Defending human rights is not a crime
Kwenye swala la Muungano kuna hizi hoja kinzani na kuna makundi matatu yanayobishana kwenye jamii- Wanaoamini katika Muungano wa Serikali moja , Serikali mbili na Serikali tatu - Je wewe upo katika kundi lipi na kwanini. Katiba inalinda uhuru wako wa maoni acha woga
Polisi wanastahili kupongezwa pamoja na kwamba ni kazi yao kulinda mikusanyiko , kwa leo wameonyesha busara kubwa na kusimamia sheria vizuri. Faida ni nyingi sana za kiusalama , polisi wakiwaacha wanachi watumie haki za zao za kikatiba. Hongereni, Big Up IGP
@tanpol
Nyani alishangilia kusikia binadamu kafariki kwakuwa binadamu alikuwa akimfukuza kwenye shamba la mahindi.....nyani alisahau kuwa binadamu ndiye alikuwa anapanda mahindi. Msimu uliofuata Nyani akafa kwa njaa kwa kuwa hakuna aliyepanda mahindi
#UchaguziMkuu2020
CO- EXISTANCE
Mhe Rais Samia akutana na Tume ya Haki za Binadamu na kuwapa maagizo mazito ya kulinda haki za Watanzania. Tumepata Rais anayejua na anayeheshimu haki za Binadamu. Tumwombee kwa Mungu aendelee na roho hiii .
@SuluhuSamia
@THRDCOALITION
Tume ya Uchaguzi watendeeni haki watanzania , hakuna nchi duniani iiliyocheza na uchaguzi ikabaki salama. Tendeni haki kwa kila mtu Taifa libaki salama. Kwanini kundi moja la watanzania kupata haki yao ni hadi waumie? Faida za haki ni nyingi
@TumeUchaguziTZ
#UchaguziMkuu2020
Wasanii na celebrities wote Nigeria waleta mabadiliko makubwa na kuwa watetezi wa haki za Raia Nigeria. Sasa tujuilize wa huku Bongo wamewahi fanyia nini watanzania zaidi ya kuwatumia?
#EndPoliceBrutality
Mkapa was another Mwalimu inapokuja maswala ya kimataifa , he speaks eloquently and with authority, he has done a number of reconciliation talks in more than 4 nations in the region. Mwalimu alimwandaa vizuri , siku hizi tunaokoteza viongozi
Vp ACT na CHADEMA mbona mikutano yenu ya uteuzi wagombea wa Urais haupo live na hatuwasikii kama ilivyokuwa kwa CCM Dodoma ,au Media zimeingia Mtini ? Nashauri media Mtende haki kwa vyama vyote kuelekea uchaguzi hasa Media za Umma kama TBC
#uchaguzimkuu2020
Baaada ya huu uchaguzi tuje na mjadala kama tunahitaji kuwa na uchaguzi tena au tuache hadi tuwe na katiba mpya , mfumo huu hautakaa uache wananchi waamue wenyewe
#UchaguziMkuu2020
Mchakato wa kumfungulia kesi ya utakatishaji wa Fedha (ML), Membe kuhusu kesi ya MEIS ya kiwanda cha saruji umeiva. Habari zilizonifikia ni kwamba hiyo ndiyo silaha y kumzuia Membe asigombee Urais kupitia CCM.
#Uchaguzi2020
#NiguseNinuke
.
Naomba Kuuliza - Hivi Speaker amekosa kabisa wa kumtetea - Boss wa wabunge 300+ hakuna hata mmoja wa kumtetea boss wao. This tells kuna shida kubwa sana nchi hii ya mifumo ya uongozi? Tunahitaji katiba mpya
#KatibaMpya
Currently in Loliondo. Life full of fear , intimidation and threats from armed forces. Am very disappointed that this is happening under President Samia Leadership who few weeks ago openly promised us that her government will respect rights of all people.
@SuluhuSamia
Askofu Niwemugizi, Atoa ushauri kuhusu haki , Amani na Usawa katika uchaguzi. Asisitiza ulinzi wa haki wakati wa uchaguzi Haki ndio Msingi wa Amani. Aonya pia wanasiasa wasitumie lugha za matusi wakati wa kampen
@TumeUchaguziTZ
TumeUchaguziTZ
@tanpol
If this is what police did to this female candidate, i call all feminists/ defenders of women rights to stand against this. W/rights aren’t on holidays during election. Let’s defend these few women who seek leadership through ballot papers
#SpeakUpForWomenSafety
#Uchaguzi2020
Nawashukuru watu wa Jamhuri ya Twita kwa pongezi zenu leo baada ya kuapishwa na Jaji Mkuu kuwa Wakili wa Mahakama kuu na za Chini. Tutaendelea kutumia mahakama kulinda rule of law na haki za watu. Namshukuru pia Mungu kwa kila Jambo na uhai
Nchii kila mtu analaamika kuhusu sheria mbovu kuanzia Rais, CJ , PM , VP, Speaker, wabunge , wanasheria , wanasiasa , waandishi, watetezi wa haki na wananchi. Swali la Msingi sheria kazitunga nani? na tunamsubiria nani aje kubadilisha sheria tulizotunga wenyewe?
TBC, Daily News and Habari leo ni vyombo vya Umma na vinaendeshwa na Pesa Za walipa kodi wote bila kujali Chama au itikadi. Toeni habari kwa watanzania wote bila kuchagua. Kutokufanya hivyo ni kuvunja katiba ya nchi. Tendeni haki kwa wote msije shtakiwa kwa ubaguzi
#Uchaguzi2020
Waandishi waliokwenda kwenye Mkutano wa Waziri Mkuu Ngorongoro hasa wale wandishi huru wanakamatwa na kusumbuliwa iil kuhakikisba Mkutano wa PM hauna waaandishi huru.
@Nnauye_Nape
tunaomba usaidie ubaguzi wa waandishi kule Ngorongoro ukomeshwe
Kijana amepoteza maisha baada ya kupigwa risasi na askari wa Wanyama Pori huko Kilimanjaro Mkomazi- Askari wa TANAPA wanahitaji sana mafunzo ya kulinda haki za raia hasa wale wanaotuhumiwa kuingia hifadhini - sio kila anayeingia hifadhini ni wa kuua - mkamateni
Imagine mtu anakuja nyumbani kwako kusema haya , tukubali tu Mbowe is such a unique, tolerant and humble man. Hii dunia si ya kuwa na kiburi kiasi hichi
Mandela alikaa miaka 27 Jela kwa kesi ya makaburu, alitoka na kuwasamehe waliomtesa na kuwaombea msamaha kwa watu wa Africa kusini- Naamini Mungu atakutoa siku moja gerezani na utakuja pia wasamehe wote wanaohusika. Mawakili endeleni kutoa utetezi mengine mwachieni Mungu
Kuna hizi media wao swala la Ngoorongoro sio story kwao;
1. Mwananchi communications
2. Nipashe / IPP média zote
3. ITV
4. TBC
5. Habari leo /Daily news
6. Star Tv
7. Azam
8 DW
9. Clouds
10. Wasafi
11. NK
Wahariri wa hivi vyombo
Holly Easter Photo : the most independent; influential, bold, unshakable, patriotic and beautiful ladies in Tanzania. Please give them a word
@fatma_karume
@halimamdee
@MariaSTsehai
Point nzito za Rais ambazo hazikupigiwa Vigelegele Bungeni
1. Kuhusu Democracy, Umoja ,Haki na uhuru 2. Kutaka watu wamkosoe bila woga . 3. Kutaka Bunge kujadili mambo ya msingi
Loliondo Today - its seems some few people are not Happy with this kind of Life Co-existance , animals will miss this kind of peaceful neighbourhood. Maasai Comminity deserve a Nobel Prize as Traditional Conservators
@NobelPrize
Mhe Rais habari za jioni - Nakusalimia kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Nakuomba leo kabla hujalala zitizame hizi picha. Hawa watu leo ni siku ya nne wapo porini wanalala nje na kukaa na njaa wakisali na kulia. Sina jingine nimeona nikusalimie tu jioni hii
Fatma Karume droped tears while giving a farewell speech; just crying for rule of law and independence of the bar; we thank you for ur boldness. Goodbye
@fatma_karume
@THRDCOALITION
@TanganyikaLaw
Hakuna kosa kwa wananchi kwenda mahakamani kusikiliza kesi yoyote . Kosa ni kufanya vurugu eneo la mahakamani, ilapaswa wasubiri wafanye vurugu ndipo wawakamate. Tendeni haki kwa watanzania wenzenu, kutesa wapinzani ni sawa na kutesa ndugu yako wa damu
Bado naamini kuna nafasi ya kuwa na siasa za undugu na moja kama hivi. Mama Samia naamini kabisa unapenda haki na democracy. Naamini kabisa kuna jambo utafanya kuhusu Umoja wa kisiasa hapa nchini.Msikilize Mungu anakwambia nini ukiona hizi picha. Mungu akuongoze
@SuluhuSamia
As we speak right now in Loliondo , we dont know the wherebout of 8 ward leaders including the Ngorongoro CCM chairperson, several people are injured and no medication, I kindly advise our president Samia to intervene the situation in Loliondo
@SuluhuSamia
#HumanRights
Dunia mbili tofouti , US Rais aliyeko madarakani ndiye anayelalamikia wizi wa kura , je umejifunza nini? Mimi nimejifunza kuwa vyombo vya kusimamia uchaguzi viko huru hadi wenye dola wanaviogopa. Tume yao ipo kwa ajili ya wananchi
#USAElections2020
Baba yake Mhe Mbowe ( So called Gaidi) akiwa na Rais Nyerere. Baba yake anae itwa gaidi leo amechangia sana upatikanaji wa uhuru wa Tanzania. Democrasia miaka 60 ya uhuru inataka kulingana na ile ya miaka kadhaa kabla ya uhuru. Happy Uhuru day
@freemanmbowetz
Haya ndio majembe mapya ya TLS , Rais Anyisile Kanjunjumele Mwabukusi Boniface na Makàmu wa Rais Intagazwa Petro Laetitia. Tuwaombee kwa Mungu awape hekima na busara katika kutuongoza sisi mawakili lakini pia kusimamia vyema hapa nchini maswala ya utawala wa sheria na haki za
Nauliza Formu ya Mgombea Binafsi Kuelekea Ikulu 2020 inapatikani wapi ,najua tupo wengi tusio na vyama mpate Rais wenu this time. Mwaka 1961 H. Sarwat Alishinda Ubunge /Ugombea Binafsi Mbulu. Ibara ya 13 ya Katiba inakataa ubaguzi wowote
#Uchaguzi2020
Tuweke sawa, naona waandishi wengi wanatumia neno mikutano imeruhusiwa, Mikutano ya Kisiasa ilisharuhusiwa na katiba , Kilichofanyika na awamu ile ni kuvunja katiba- Sasa tumempata Rais
@SuluhuSamia
ameamua kulinda katiba. So Mhe amefanya vizuri kutengua zuio
Tuwaombee wenzetu wa Zanzibar watoke katika hali ya sasa waliyonayo. Maisha yao yamekuwa ya hofu na vitisho , Tumwombe Mungu awaokoe na yote yanayowakuta. Mungu ndiye mlinzi na kimbillio la wenye mateso , Binafsi naamini Mungu anatazama kinachoendelea huko
#ZanzibarLivesMatter
Yoyote yule asiyeona kuna shida kwenye ule Mkataba atakuwa si Mzalendo
Jaji Joseph Warioba atoa neno katika sakata la mkataba wa uendelezaji na uboreshaji wa bandari baina ya Tanzania na Dubai, akisema kwa muda mrefu utendaji wa bandari ya Dar es Salaam umekuwa siyo wa
See this Police Brutality against female candidate and her security guards , every loyal and God fearing Citizen must condemn these barbaric actions of our police officers. Why can’t we arrest people legally and decently.
#StopPoliceBrutalityinTz
#UchaguziMkuu2020
#HumanRights
"If peace means keeping my mouth shut in the midst of Injustice and evil, I don't want it. If peace means a willingness to be exploited economically, dominated politically, humiliated and segregated,I don't want peace" Rev.Dr.Martin Luther King Jr.
Taarifa za Kushikiliwa kwa Mtetezi wa Haki za Kiraia Nchini , Charless Odero si za kweli , tumejiridhisha yupo salama na aendelea vyema na shughuli zake za utetezi Jijini Arusha
Kiila kitabu unachomaliza kusoma ukiwa Jela BRAZIL unapunguziwa siku 4 za kifungo.Baadhi ya nchi Ulaya kama ITALY unapunguziwa siku 3.
Mwishoni kuna maswali utaulizwa ili kudhibitisha kama umemaliza kweli kusoma chote.Sasa njoo Bongo..hali mnaijua
#FreeErickKabendera
Mwalimu Nyerere ajutia na Kumwomba Mungu amsamehe, adai haikuwa nia yake kuwafanya watanzania waoga. Asisitiza utawala wa sheria uwe wito wa kila Mtanzania
Chukua speech moja ya Nyerere, Mkapa au Mandela akiongea na international media then compare, hope mtakubaliana na Mimi kuwa modern leadership in Africa is a disgrace , rais wa miaka 35 unaongea na media kwa quality hii. Aliingia kama shujaa asipobadilika anaweza toka Ki vingine
Mwenyekiti CHADEMA ahamia CCM( ndio leo ingekuwa hivi kama angepita). Mbunge wa Ndanda (Chadema), Cecil Mwambe leo Februari 15, 2020 amejiuzulu nafasi hiyo kwenda CCM. Siasa ya Tanzania goigoi sana
Nimeongea na Mhe Olesendeka yupo salama. Alikuwa anatoka Dodoma kwenda Jimboni kwake kupitia njia ya Kiteto. Kuna gari double cabin silver iliwafatilia na badaye kuanza kuwafyatulia risasi kadhaa na kupata gari lakini Mungu emesadia wao wapo salama zaidi. Pôle sana Mhe pamoja na
Haya mambo mnayoyaona leo Mwalimu Nyerere na watetez wenzake wa haki za Watanganyika na uhuru kamili walishapitia. Hakuna njia fupi ya kupata haki zaidi ya kila mmoja kuwa sehemu ya kudai uhuru na haki
Tuwe makini sana - Tunadai katiba mpya kwa ajili ya mambo mengi sana ya kitaifa na sio uchaguzi pekee- Tume huru ni sehemu tu ya katiba lakini Uwepo wa Katiba mpya unakuja kutatua changamoto nyingi ikiwemo hiyo ya tume huru - Tusidai katiba vipande vipande
Huyu ni Saanane , hadi leo hajulikani halipo , kamshika mwanae Paula. Leo Paula hajui baba yake yupo wapi; wala haoni kaburi lake. Unafikiri akikua katika mawazo yake atafanya nini? Pia mliomteka Saanane mkimuona huyu mtoto mnajisikiaje? The source of extremism
Juma Duni Haji na wenzake waliwekwa ndani makosa ya uhaini, mama wa Duni alifariki dunia alikubaliwa ilimkubalia kwenda kumzika mama yake, Sara Cohen , Kenya aliruhusiwa kuzika mume, leo kwa Erick ni tofouti. ni hapa hapa EAC.
#FreeErickKabendera
Ngombe 1700 za wananchi wanyonge wa Loliondo kupigwa mnada leo katika hifadhi ya Serengeti, Kaya zaaidi ya 20 Masaini zinakwenda kuwa maskini rasmi kipindi hichi cha njaa na ukame. About 1700 cattle from Loliondo to be auctioned today around Serengeti National Park.
Mungu Ndiye amekuponya na umauti na si madaktari, ukifika salama katoe sadaka na pia soma Zaburi 91:1-16. Ulinzi wa Mungu ni ulinzi imara kuliko ulinzi wowote ule. Umetetea vyema uhai wako na Mungu ameonyesha miujiza.
@TunduALissu
Watz tunapaswa kuchukia, kuguswa, kulaani na kuchukua hatua dhidi ya udhalimu huu kwa wabunge na wanasiasa wa upinzani . Tusiruhusu tena hali hii kuendelea, tupunguze maneno tukatae injustice.Ukimya wetu ni mbyaya kuliko ubaya wenyewe.Poleni sana
@halimamdee
@esteramosbulaya
Loliondo beacons infront of the village house gate at Arash Ward , Ormanie village - Wananchi hawana cha kufanya - wanamwachia Mungu - ila waioko nyuma ya hili swala tambueni hofu na machozi ya wananchi hawa yatawapa majibu mapema sana.
Mahakama Duniani ndio Mlango wa mwisho wa kutoa haki :
😷2019 Mlango wa African Court Umefungwa
😷2020 Mlango wa Mahakama za Ndani unaenda kufungwa
👉 Next ni East African Court of Justice
Ukifunga Milango yote nature huwa inatafuta upenyo wa kutokea
#AccessToJustice