“Tumewaambia wachezaji wote kesho waje na familia zao, na sio wao tu hata sisi staff, kesho kwa mara ya kwanza ntashusha Chuma pale Azam Complex.
“Mtamuona Mayele na Familia yake, Aziz na Familia yake, Musonda, Kibwana, Dickson Job watakuja na familia zao, kesho na mimi