38M ni hela ya maana?
2 years
Wanaume, siwapangii but mtoto wako au mdogo wako wa kiume akianza kukua uwe unatoka nae na kwenda nae huku unakokutana na marafiki zako wa kiume ili aone wanaume wanavyo ishi hii itampa kujiamini, kujitambua na kupunguza hiki kinachokua kwa kasi sasa hivi.