Paul Makonda hii tabia ya kutumia Idara ya usalama ili kukamilisha mipango yako OVU its not FAIR.Unaumiza watu!Unaumiza familia za watu! Unazua taharuki!!Huu ni unyama!!Kumbuka cheo ni dhamana,Utaondoka utakiacha.Message sent and am sure itakuwa delivered kwako.
Nimemaliza.
Prof.Assad nimesikiliza press yako na waandishi wa habari kuhusu Ripoti yako,
Watanzania tunashukuru kwa kuweza kutuonyesha kwamba bado kwenye nchi hii kuna watu mnaoweza kuisimamia na kuilinda Katiba ya nchi pasipo kutetereka.
#IStandWithCAG
#IStandWithCAG
Rais Magufuli akiambiwa Hizo Dreamliner na Boeing sio priorities ya Watanzania basi ndio anazidi kuzinunua,tena anazipokea na VIJEMBE juu. Na nyie praise team wa CCM kina
@ClubMagufuli
mnataka kusema huu umati wote hapo ni vyama pinzani??Wana CCM nyie mnatumia ndege tu,??😏
CCM mfahamu kwamba hatuiingii kwenye uchaguzi bila
#TumeHuruYaUchaguzi
And we are very serious on this matter.
Uchaguzi wa 2020 hauwezi kusimamiwa na wateule wa Rais,
Vibaraka wa CCM.
Wanafunzi wa chuo cha Uhasibu- Arusha waandamana baada ya bodi ya mikopo ya elimu ya juu kukata pesa zao za kujikimu
Ngome ya Vijana wa ACT Wazalendo tunapinga vikali hatua hii ya kinyonywaji dhidi ya wanafunzi wa Elimu ya juu.
@zittokabwe
Huku mtaani nyanya moja inauzwa shilingi 500,
Kitunguu kimoja shilingi 200,
Kilo moja ya unga wa sembe shilingi 1800
Kilo moja ya mchele ni shilingi 2000.
Maisha yanazidi kuwa magumu kwa Watanzania,
"Naibu Katibu Mkuu wa Chama
@ACTwazalendo
Ndugu
@MazruiNassor
AMETEKWA na wanaosemekana kuwa Vijana wa Jeshi la JKU Zanzibar asubuhi ya Leo. Ngome ya Vijana tunazitaka Mamlaka za Zanzibar kumwachilia mara moja Mazrui. Huu ni uchokozi uliovuka mpaka"
#FreeMazrui
Rais
@MagufuliJP
alidhani kuhakikisha kina
@zittokabwe
hawarudi Bungeni ndio atawanyamazisha??He was very WRONG!!
Even the law of nature states “When one door closes,another door opens”
There will always be another way...
"Hali ya maisha ya wananchi ni mbaya. Dalili zote, pamoja tafiti za vyombo vya Serikali vinaonyesha kuwa Rais Magufuli na Serikali yake wanachukiwa na raia kuliko wakati wowote katika historia ya Tanzania. Watetezi wa Serikali wameshindwa kujenga hoja za ushawishi" -Zitto Kabwe
"Waziri Mkuu Kassim Majaliwa hana mamlaka ya kuingilia na kutoa maagizo kwa mambo ya
#Zanzibar
yasiyo mambo ya Muungano. Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977 na Katiba ya Zanzibar ya 1984 imeainisha waziwazi mamlaka ya Serikali mbili zilizopo."
@MazruiNassor
Our Party leader
@zittokabwe
just found out
@MazruiNassor
has been detained in Mbweni Police station,and the plan is to charge him with unbailable offences.We are asking you all to raise voices so that Mazrui is released or taken to court for normal procedures.
@AmnestyEARO
With my brothers
Said Mndeme,Yahaya Mndeme,Rashid Mndeme,My sisy in Law Mariah and mama.
I was the only girl in our family,
My brothers always had my back.
Despite of everything we still got each other, no matter what.🙏🙏
Am grateful.
Today, 3rd July 2024, I have been admitted to the Bar as an Advocate of the High Court of Tanzania and the court subordinate to it in a ceremony officiated by His Lordship Prof. Ibrahim Juma, The Chief Justice of Tanzania, at the JNICC, Dar es Salaam.
@TanganyikaLaw
Kiongozi wa Chama,
@zittokabwe
pamoja na Wanasheria wa Chama wamefika Kituo cha Polisi Mbweni anakoshikiliwa Naibu Katibu Mkuu
@ACTZanzibar
,
@MazruiNassor
Mkuu wa Kituo, OCD wa Kawe, na RPC wa Kinondoni wamegoma kutoa ushirikiano, wameamua kuongeza Difenda 7 ili kuzuia wasimuone
Nashindwa kuwaelewa serikali ya JPM inaposema
@IdrisSultan
anatumika na mabeberu kumdhalilish a Rais,wameamua kumkomesha.Inaumiza, sio tu kwa sababu Idris ni ndugu yangu wa damu lakini pia ni kijana anayejitafutia riziki kupitia sanaa.Uhuru wa wasanii uko wapi?
#FreeIdrisSultan
Habari Picha:
Leo tarehe 26 September nikiendelea na kampeni za Ubunge kwenye Kata ya Vijibweni,Jimbo la Kigamboni.
Kigamboni tumeikataa CCM,
#KigamboniYaZambarau
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@zittokabwe
@IsmailJussa
Hivi kwa yaliyotokea tu kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa watu wanapata wapi guts za kwenda kushiriki Maadhimisho ya Uhuru wa Tanganyika???
#NotYetUhuru
IGP nimekusikia umetoa onyo juu ya watanzania tunaohoji utendaji wa jeshi La Polisi.Katiba iko wazi, ni haki yetu ya msingi kutoa maoni yetu,ila tu tusivunje sheria.Tunahitaji kujua walipo Azory,Kanguye,na Sanane.Hatunyamazi
@fatma_karume
@zittokabwe
@ACTwazalendo
CCM mnatumia Dola kutaka kuharibu huu uchaguzi,
Msifikiri tutakubali mtuchezee kama mlivyofanya kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa,
Mnaumiza sana watu,
Kwa nini mnaogopa uchaguzi?
Kwa nini mnaogopa watanzania kuwa waamuzi wa mwisho?
Mmevuka mstari.
HATUTAKUBALI
@zittokabwe
✊🏿Mnapitia katika KIPINDI kigumu Kamanda
@hanje_nusrat
@Twaha_Mwaipaya
!! WANAO HUSIKA na UDHALIMU HUU, wanasahau kwamba MKITOKA NDANI, mtakuwa watu TOFAUTI sana!!! Yaaani MTAKUWA wakakamavu ZAIDI!!na WENYE UCHU na HASIRA zaidi za kukabiliana NAO ✊🏿!
Tunakaaje kimya sasa kwa hali kama hii??
1.Shilingi yetu imeshuka thamani
2.Wakulima wa korosho wamedhulumiwa haki zao
3.Wapinzani wako ndani na wengine lukuki wakiwa na kesi mahamakamani
4.Kufungiwa magazeti kwa kueleza hali halisi ya taifa
MSITUTISHE
@zittokabwe
@MariaSTsehai
Tunasimama nawe
@fatma_karume
dhidi ya uonevu uliotendewa kukusimamisha Uwakili bila hata ya kukupa nafasi ya kusikilizwa. Hii ni miongoni mwa gharama tunazopaswa kuzilipa kwa kusimamia haki na utawala wa sheria. Kila kiza kikizidi ujue alfajiri imekaribia!
#IStandWithFatmaKarume
Tumepata ushahidi kuwa sasa kiwango cha chini cha kulipa NHIF ni shs 40,000 kutoka 18,000 kwa mwezi. Waathirika ni Wafanyakazi wa Sekta ya Umma na Sekta Binafsi ambao jumla yao Nchi nzima ni takribani 2.3 milioni. Serikali ya CCM ni Adui wa Wafanyakazi nchini.
""Nimeshangaa sana kuona Kuwa Baadhi yetu wakiwemo viongozi wanatamka kuwa Tanzania imefikia lengo la uchumi wa Kati miaka 5 kabla ya muda uliopangwa. Sio kweli kwani lengo tulilojiwekea ni Dola za Marekani angalau 3,000 kama Pato la Wastani la kila Mtu kwa Mwaka."
@zittokabwe
"Serikali inajenga hofu kwa raia kwa sababu uwezo wake wa kueleza mafanikio yake ni mdogo sana (lakini pia hayapo hayo mafanikio). Ajira kwa VIJANA hakuna, masoko kwa mazao ya WAKULIMA hakuna, si korosho, si mahindi, si pamba wala si tumbaku, WAVUVI wetu wanachomewa nyavu zao,"
Leo tarehe 20, Mwenyekiti wa chama
@SeifSharifHamad
,ameniombea Kura Ya NDIO kwa wakazi wa Jimbo la Kigamboni.Maalim pia aliwaombea Kura za Ndio Wagombea wote wa Ubunge wa Mkoa wa Dar kupitia ACT Wazalendo.
Nimefarijika sana💪
Kigamboni mambo ni🔥🔥🔥
@zittokabwe
@IsmailJussa
Sijaelewa kinachomfanya Mwenyekiti wa CCM apaniki baada ya baadhi ya vyama kujitoa kwenye kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa,vijiji na vitongoji.Tulishamwambia tangu mwanzo kwamba nchi haiongozwi kwa UBABE bali MAARIFA,hakusikia.Madai yake yeye ni One man show,
@TitoMagoti
Sisi tunaendelea kuhamasisha wananchi waendelee kujiandikisha,ila wanachokuuliza Mh Rais
@MagufuliJP
ni kwamba kama uliweza kuwaita Maafisa tendaji kutoka nchi nzima,na kuweka mkakati kuwa lazima CCM ishinde maeneo yote, leo hii unawataka wananchi wakajiandikishe ili iweje??
Prof Kabudi anasema kuna upotoshaji kuhusu swala la watoto wa kike wanaopata mimba kurudi shuleni,kwa Tanzania hao watoto wanapewa “altenative path way”,
Sijamuelewa..
Kuna another altenative apart from hao watoto kurudi shuleni??🤷♀️🤷♀️
@zittokabwe
@MariaSTsehai
Chama cha ACT Wazalendo kupitia Ngome Ya Wanawake inalaani vikali vitendo vya kinyama wanavyofanyiwa wanawake wa Kigoma na kundi linaloitwa "Teleza". Vitendo hivyo ikiwa ni pamoja na kubakwa,kulawitiwa,kuchanwa na visu au viwembe na kuwaachia majeraha wanawake hao.
@zittokabwe
@SeifSharifHamad
amewekwa chini ya ulinzi Kituo cha Polisi Madema akiwa pamoja na viongozi wengine akiwemo Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia
@ACTwazalendo
Prof Omar Faki
"While
@MagufuliJP
enjoys branding himself as a corruption fighter, audit reports show that he is presiding over a corrupt government that spends billions of public funds unscrupulously, with no regard to laws and laid down procedures."
@zittokabwe
Updates Kutoka Kilwa:
2/2
Kiongozi wa Chama
@zittokabwe
, na wenzake 6, wamegoma kusafirishwa kwa gari la wazi kwaajili ya kulinda usalama wao, hasa kwa kuwa ni usiku. Na wamewaeleza
@tanpol
kuwa
@ACTwazalendo
inayo magari Salama ya kusafirisha msafara huo
Hivyo, bado wako Kilwa
Rufaa Na. 158/2020 iliyofunguliwa na KM wa Bavicha Mh.
@hanje_nusrat
na wenzake 7, kupinga Maamuzi ya Mahakama ya Singida Kuwanyima dhamana, leo Novemba 09, 2020 imeahirishwa tena mpaka Nov. 11, 2020 kwasababu Jaji aliyepaswa kuisikiliza yupo katika shughuli za uapisho Ikulu.
Tukio la kuvamiwa, kupigwa na kuumizwa vibaya Mwenyekiti wa
@ChademaTz
na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Ndugu
@freemanmbowetz
huko Dodoma ni tukio la kutisha kipindi hiki tunapoelekea katika Uchaguzi Mkuu na linapaswa kulaaniwa vikali. Tunamuombea Ndugu Mbowe apone haraka.
The Point Is
“Rais
@MagufuliJP
can’t stand
@zittokabwe
“
JPM feel insecure toward Zitto.
Mbaya zaidi anashindwa kuificha,
Jaribio la kumdhuru Zitto kimwili au kumbambikia unbailable offence is among of the biggest mistake JPM will ever make.
@makonda_paul
,hili litawacost mnoo
Leo tarehe 02 October nimeendelea na kampeni za Ubunge Jimbo la Kigamboni.Nimefanya kikao na wananchi wa Mtaa wa Majengo na kuinadi Ilani ya chama cha ACT Wazalendo na kuwaeleza nini nitafanya iwapo watanipa ridhaa ya kuwa Mbunge wao.
Kigamboni tumeikataa CCM!!!
@zittokabwe
#HABARI
Kamanda wa Kanda Maalumu ya Kipolisi jijini Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa ametoa onyo kwa wanaojiandaa kufanya maandamano siku ya tarehe saba kwa lengo la Kudai Tume huru ya Uchaguzi.
Ogopa sana wananchi ambao wamekaa kimya mpaka sasa baada ya kudhulumiwa haki yao ya kikatiba ya kuchagua viongozi wao wa mitaa,vijiji na vitongoji wanaowataka na badala yake wagombea wa CCM wakipita bila kupingwa.
“Iwapo nitapata ridhaa ya kuwa Mbunge wa Jimbo la Kigamboni nitahakikisha Kigamboni inakuwa na makazi bora yakiambatana na huduma muhimu za kijamii kama vile Afya,Elimu,Maji safi na salama na barabara”
@zittokabwe
@BenMembe
"Rais
@MagufuliJP
akubali tu kuwa amesimamia uharibifu mkubwa wa Uchumi wa nchi yetu na hivyo apishe watu wengine watakaoweza kurudisha Uchumi wetu kwenye Reli sahihi."
@zittokabwe
Chama cha
@ACTwazalendo
kitafuta mikopo yote ya miaka ya nyuma iliyotolewa kwa Wanafunzi wa Elimu ya Juu,italipa ada ya Masomo,Fedha za Vitabu,na gharama za Mafunzo kwa Vitendo,kwa kila mwanafunzi anayedahiliwa kwenye Chuo Kikuu.
#IlaniYaACTWazalendo
#IlaniYaACTWazalendo
Hii ndio KIGAMBONI ninayoifahamu🔥🔥🔥🔥🔥
Leo tarehe 25 October nimeendelea na kampeni za Ubunge Kata ya Tungi,Jimbo La Kigamboni.
Tarehe 28 October Kigamboni tuna jambo letu🔥🔥
#KigamboniYaZambarau
@zittokabwe
Mwandishi wa habari wa gazeti Majira,George Mwigulu ashikiliwa leo na jeshi la polisi mkoani Katavi kwa kosa la kupiga picha msafara wa ngome ya wanawake wa ACT Wazalendo uliokuwa unaingia hospitali ya mkoa huo kugawa vifaa kwa wazazi.
Tunafatilia.
@zittokabwe
Masaa 48 yamesalia tufike kwenye
#77Nyeupe
Naamini vazi lako jeupe liko standby 💪🏽
Unaweza kuandaa picha yako na hashtag
AU
weka tu picha hata bila kuongeza hashtag kokote
Vyovyote sawa 👏🏽👏🏽 muhimu vaa nyeupe na uipost ili ujumbe uwafikie
Sasa hapo unashindwaje kushiriki?
Hivi kweli Trilioni 4.8, inatumikaje bila kupita mfuko mkuu wa Hazina??
Hili nalo
@MagufuliJP
alikuwa halifahamu ama??.
4.8Trilioni.
Wonders shall never end kwenye hii selikari ya awamu ya tano.
#IStandWithCAG
#IStandWithCAG
“Uzalendo sio kwa serikali,Uzalendo ni kwa Taifa.Tunapotaka vitu virekebishwe kwa Taifa basi sisi ni wazalendo bora.Hakuna uzalendo bora zaidi ya kuikosoa serikali inayoongoza Taifa lako”~
@zittokabwe
Hali ilivyo Shekilango leo
Hii mvua ya masaa tu,ikinyesha wiki??
Miundombinu ya barabara mibovu.
Juzi tu ndege imetoka kupokelewa,ila barabara wanazopita mamia ya wananchi wa kawaida angalia hali ilivyo.
@zittokabwe
Kuna watu wana roho za kikatili kwenye hii nchi,sijapata kuona.Yani wameshindwa kumpa nafasi Eric ya kutoa salamu za mwisho kwa mama yake mzazi?wakati wanajua fika hayo mashtaka ni ya kubumba?Wangemruhusu basi hata apelekwe na jeshi zima but atleast amuage mama yake.Inaumiza sana
Nina ujumbe maalumu kutoka mawakili 8 waliopo Gereza la Segerea. Mawakili hawa ambao ni wanachama wa
@TanganyikaLaw
Society wanasema wamepewa money laundering kwa sababu ya kesi za wateja wao. Wanahisi TLS inashambuliwa kupitia wanachama individually. Tulitazame hili kwa kina
Hivi CCM mtaambia nini watu😂😂😂😂
@BenMembe
ndio huyo keshachukua fomu ya kugombea U-rais 2020☕️☕️🔥🔥🔥🔥
Mliona miaka mitano mingi eeh!!
Mwenyekiti wenu akapumzike sasa😀
@ClubMagufuli
@BestaMlagila
"Serikali ileze ni kwa nini Fedha Jumla ya Tsh Trilioni 4.8 hazikupita kwenye Mfuko Mkuu wa Hazina ili utolewaji wake uweze kufuata masharti ya Katiba na Sheria za nchi.Fedha hizi za Wafadhili zinaonekana Katika Vitabu vya Bajeti Lakini CAG hazioni kuingia mfuko Mkuu.
@zittokabwe
Vijana wengi wanaendelea kuuwawa Kigamboni,Maagizo ya DC yanamaliza uhai wa vijana wa Kigamboni,as I said the other two days wanakuwa na list ya hao wanaowaita watuhumiwa,inafika kipindi wanaenda hadi kuwagongea usiku na kuwapiga mbele ya familia zao😥
Hivi MATAGA mmeisoma hii barua between lines?
This message is not only for Paul Makonda, ni message kwa Serikali ya Rais Magufuli, yotee
Kuna siku niliwaambia The world is watching you mkaona masikhara.Haya sasa
@kigogo2014
Siku ya 9 leo Kiongozi wetu ameshikiliwa na
@tanpol
bila kufikishwa Mahakamani wala kuonana na wanasheria. Hii ni kinyume na Sheria na Katiba ya Zanzibar na Katiba ya Jamhuri ya Muungano.
#FreeMazrui
ACT Wazalendo tunaamini katika mashirikiano ya vyama makini vya upinzani kuelekea Uchaguzi mkuu October.
Ni wakati stahiki wa vyama hivi makini kuungana ili kuing’oa CCM madarakani.
Umoja ni nguvu,utengano ni udhaifu.
@zittokabwe
@BenMembe
@TunduALissu
@LazaroNyalandu
Ila uwoga wa Rais Magufuli ni wa kiwango cha lami😂😂Anaogopa USHINDANI,
Yani
@BenMembe
kutaka kugombea urais 2020 kaona isiwe shida, bora amfute uanachama.Madai yake hapo kafanya right decisions😆🔥🔥.
Huu mwaka kweli una mambo mazito☕️☕️
@MariaSTsehai
@fatma_karume
Hali ni mbaya sana,
Kwa maisha ya mtanzania nyanya na kitunguu ni viungo ambavyo haviepukiki kwenye mahitaji ya chakula, kwa bei hizo ni familia ngapi zinaweza kumudu hizo bei?achia mbali huo mchele
@Mwanaishamndeme
Huku kwetu moshi nyanya tatu 1,000 kweli hali ni ngumu sana. Unashindwa ununue nyanya au asinunue, mchele 2000 mpka 2300 kilo moja. Haifai
“We just wrote a letter. We were just making a point. This reaction from the government should be a lesson for the World Bank. This is the sort of government they are dealing with.” ~
@zittokabwe