Diplomat, National Defence College Graduate and Awardee of the Most Prestigous “ndc” Symbol on Security and Strategic Studies, UN International Staff, CEO-CIP.
#NasahazaOmar
Maisha ni mchakato wenye sura mbili, furaha na huzuni. Chochote kikufikacho na mchakato kichukulie kuwa Barka kwako. Kuwa imara na wkt mwingine jiweke ktk hali ya kuwa uko sawa. Kumbuka, kuta imara hutikisika, ila hazivunjiki na kuanguka. Wewe in IMARA, SIMAMA. ✍
@BarackObama
President Obama, I moved to New York as Tanzania Diplomat in 2007 the time when the election fever for the next POTUS were high. The politics and campaigns you and John run as POTUS candidates made me believe, US has the highest democracy on earth. You and John remain my mentoirs
Siku moja nikiwa na Boss JK kwenye siku ya Umoja wa Mataifa pale Karimjee. Kabla ya mgeni rasmi kuongea, alikaribishwa kijana mdogo dogo wa YUNA atoe hotuba yake. HOTUBA yake ilinivutia sana na baadae nikamfata na kumwambia, "Keep up the good job, utafika mbali" HUYO NI TOGOOANI.
Nikiwa na Mkuu wa Majeshi wa Ufaransa na Brig. Gen Salum Mnumbi, DA katika Ubalozi wetu Bujumbura, Burundi. Tukiwa kwenye mafunzo ya siku 10 Jijini Paris yaliyoandaliwa na Jeshi la Ufaransa kwa maafisa kutoka nchi za Afrika na Mashirika ya Kimataifa.
My colleagues MajGen Mani and Senzia
@Ndc_tz
in Lindi, during Airforce field practicals. This is Course 4 of
@Ndc_tz
. Glad to be among Course 4 Members and proudly to be NDCTZ Alluminae.
Kama Mwanadiplomasia mzoefu, nashindwa kuelewa utaratibu uliotumika kuwapanga Marais hawa. Kwa ukweli kuwa Rais
@SuluhuSamia
ndiye Rais Mwanamke pekee ndani ya kundi ya MaRais Wanaume akiwemo mwenyeji
@POTUS
, basi ilitakiwa Raia Samia kukaa mstari mbele tena karibu na mwenyeji.
Mola Wangu Mtukufu, Tegemeo Langu Daima, Akhsante Kwa Kunijaalia Umri Mpya Leo. Nakuomba Uzidi kunijaalia Afya na Furaha ya Maisha. Nifanye Niwe wa Msaada Kwa Wenzangu, Nisiwe Kikwazo Kwao. Kila Mwenye Kheri na Mimi Awe Rafiki Yangu. AMEEN
Happy Birthday To Me Omar Mjenga.
Nilipokuwa Dubai, kazi nyingine kubwa nilio ifanya, ni kulifufua shirika letu la ndege la ATCL kwa kuingia uahirikiano na ubia na FlyDubai ambalo ni shirika Dada na Emirates. Watendaji ndnai ATCL walikwamisha mpango. Utaona picha ya pili nikiwa na Mhe Rais
@SuluhuSamia
, kipindi
Tuliopitia mikononi mwa Kaka yetu Hayati Bernard K. Membe, tuliahidi kuandika kitabu chake. "Bernard Membe Tuliyemjua" Nakamilisha chapter yangu kwa jinsi nilivyomfahamu Rafiki, Kaka na Boss wangu BKM. Mara ya kwanza kuonana naye mwaka 2002, tukiwa tunaelekea Seoul, Korea kwenye
Kwa mara ya kwanza kuongea na DP World ilikuwa 2014 wkt wa ziara ya aluyekuwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda. Nilikutana na makapuni ya FlyDubai, Dp World, Dnata, ENOC, Nakheel nk nikwaomba waje wawekeze 🇹🇿. Mhe Pinda alikutana nao alipofanya ziara Dubai. FlyDubai walianza safari zao.
Wapo wengi waliojaribu kuzizima nyota za wenzao. Leo hii, nyota zao zimezima kabisa. Maisha ya hapa duniani ni mapokezano. Ulikokalia, kesho atakaa mwenzio. Ukimtendea ubaya mwenzio bakiza akiba. Kamwe husipande miiba njia ulioipita leo, maana kesho huenda ukurejea kwa njia hiyo.
Ni jambo la kujivunia kuwa miongoni mwa viongozi wachache waliofanikiwa kupitia chuo cha Taifa cha Ulinzi, kuwa miongoni mwa wahitimu wa masuala ya Usalama na Stretejia. Ni fursa adhimu ya kuonyesha uzalendo kwa nchi yako inapofikia masuala ya ulinzi na usalama wake. Allah Akbar
Tar 26, 2024, 🇹🇿itakuwa inaadhimisha maika 60 ya uhusiano wa Kidiplomasia na nchi nyingi duniani. Bahati nzuri ni siku ya kumbukizi ya kuzaliwa kwangu. Siku hii tutazindua kitabu cha utekelezaji wa sera ya mambo ya nje. Pia, nami nitazindua uandishi wa kitabu cha maisha yangu....
Emirates na shirika dada la FlyDubai, walianza kwa kuhakikisha kuwa wana Busines Plan nzuri iliyosheheni mbinu tofauti za kibiashara. Kwa mfano, “Connection Network” yake ni kubwa. Nashauri Air Tanzania pia waje na connection network nzuri. Kwa mfano Beijing-Dar-Harare iwe ATCL.
Namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kunipa fursa ya kuongeza mwaka mwingine kwenye umri wangu. Nawashukuru sana mama yangu na marehemu Baba yangu kwa malezi. Naishukuru sana familia yangu kwa kuwa marafiki zangu. Naadhimisha siku hii ya kuzaliwa kwangu pamoja na nchi yangu 🇹🇿🇹🇿
@60
Pichani ni Hayati Bernard Membe, Dr. Asharose Migiro na mimi, mwaka 2007 ktk ofisi ya Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa
@AshaRoseMigiro
. Endelea kupumzika kwa Amani Brother Ben.
Leo ni Ijumaa ya mwisho ya Mwezi Mtukufu wa Ramadan. Tumuombe Mwenyezi Mungu azipokee Swaumu na Dua zetu Yarabby, Atufanyie wepesi wa kila jambo letu. Adumishe umoja, amani na mshikamano baina yetu, atusamehe dhambi zetu zote na kutuepusha na ghadhabu zake. Ameen. JUMMA MUBARAK✍️
Nikiwa na CDF Mstaafu Jenerali Robert Mboma baada ya mahojiano yetu kuhusu mchango wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania katika utekelezaji wa Sera ya Mambo ya Nje. Maoni haya yatasaidia kukamilisha uandishi wa kitabu cha utekelezaji wa Sera ya Mambo ya Nje.
@SuluhuSamia
@JMakamba
Leo saa nne tutakuwa NDC Tanzania katika uzinduzi wa kitabu cha masuala ya Ulinzi na Usalama. Mgeni rasmi ni
@DrTaxs
Waziri Wetu wa Ulinzi na JKT, mama mwenye ujuzi wake wa kutosha kuhusu masuala ya Ulinzi na Usalama. Katibu Mtendaji wa SADC kwa miaka 10 mfululizo.
@mfa_tanzania
Katika picha hizi, Mhe. Membe kaka yangu, ulikuja Dubai wakati wa Ramadan. Nikakualika nyumbani na ujumbe wako kwa ajili ya futar. Ukafika tukawa pamoja huku tunaongea. Umeacha alama kubwa kwa maisha ya wengi, nami nikiwa mmoja wao. Huzuni ni kubwa ila NENDA SALAMA😭😭😭😭😭😭😭
God creates frustrations for you to prepare you to become a leader. This is because, if you can handle internal frustrations, you can handle external frustrations. A leader must have the ability to handle external frustrations.
I expected the United Nations to pay tribute to Mwalimu Nyerere, with a special seasion in this 73rd UNGA. Ask Robert Mugabe, he will tell you that, the very prominent figures like Madiba, were in one way, a making of Mwalimu Nyerere. If u Award students, award their teachers too
Msomi wa Kilakala, Jangwani na Loleza Sekondari. Mhitimu na Alluminae wa UDSM, leo anatimiza miongo minne na miaka 6 (46). UDSM ilitukutanisha na baadae mwaka 2001 akawa Mke na Mama wa Watoto wetu. Kheri kubwa sanaya Siku yako ya kuzaliwa My Dear Friend and Wife Asha Omar😘😘😘😘
Nikiwa Ubalozi wetu wa Kudumu New York (2007-2011), nilikuwa mkuu wa kitengo cha Baraza Kuu na Mashirika ya Umoja wa Mataifa-UNGA & UN Agencies, Funds and Programmes. Naijua vzr WHO. Mhe
@DocFaustine
ni chagu sahii kabisa kwa nafasi hii.
@SuluhuSamia
@JMakamba
@ummymwalimu
Nikiwa na Mtaalam wa Masuala ya kivita za anga, mwanaAnga General Robert Mboma. Ukifanikiwa kukaa naye akupe operation ya vita ya Iddi Amini Dada, utachota mengi. Mengine SISEMI kwa kiapo cha kazi yangu. Hii ni kayi ya hazina tulizonazo.
Kwako Rafiki na mdogo wangu
@zittokabwe
. You have never disappointed me since we got to know each
@UdsmOfficial
. Today, you have turned
@46
. May the almighty Allah grant you more years and wisdom as you define the following yrs of ur life. HAPPY BIRTHDAY ZRK.
Kila siku ya Allah unapoamka salama, sema ALHAMDULILLAH. Kumbuka maisha yako ni Kalenda tu. Ikifika tarehe yako utaondoka kwenye uso wa dunia. Tenda wema na kuacha hadithi nzuri ya kusimuliwa. Kuwa sababu ya furaha za wenzio, kamwe husiwe sababu ya machozi ya wenzio. TAFAKARI✍️
Mimi ni mmoja wa watu ninaojiona kupendelewa na Allah. Mwaka 2021 niliponea kufa tukiwa katika uendeshaji wa baiskeli wa kilimeta 100 kwenda Bagamoyo. Lori la mchanga lilikuwa linipite kichwani na kifuani. Ukipendwa na Allah atakujaalia mitihani. Allah Akbar, Allah Akbar.
Nikiwa na waumini wenzangu katika Masjid Mbweni kwa ajili ya swala ya Jumma
@AllyHapi
, Mzee Posi, Mzee Madabida. Mola wetu atujaalie kheri na barka zake. Ameen
Picha hii ni ya mwaka 2014. Nilikuwa nimekuja na muwekezaji ambaye ni Mwenyekiti wa Shirikia la Nyumba la Serikali ya Dubai (NAKHEEL). Walikuwa na nia ya kuingia ubia na
@jwtza
kujenga hotel na ukumbi wa mikutano wa kisasa. Kulia utamuona rafiki yangu
@MilanziGaudence
.Siku zaenda
Nikiwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini kwenye mkutano wa mashauriano ya hali ya usalama barani Afrika, uliofanyika tar 27-28 Feb, 2024, Rockfeller Hotel, Cape Town. Tumenzindua Jukwaa la Hali ya Usalama la Bara la Afrika. Nafarijika kuwa Mjumbe
@mfa_tanzania
Leo MwanaAfrika Dr. Salim, ametimiza miaka 80. Allah azidi kumpa afya njema. Mara ya mwisho nilimpokea Dubai akielekea kumjulia hali kaka yake aliyekuwa Abu Dhabi(marehemu). Tuliongea mengi ikiwamo historia kubwa alioibeba Mzee Salim. HBD Mzee
@asalim86
@Hakingowi
@cipafrica
"Tulipoingia airport, tukakuta Iddi Amini amekimbia. Ameacha ndege zote zimezagaa pale airport. Tukasema hakuna haja ya kuzichukua. Tungetaka, tungezichukua zote na kuzileta Mwanza. Hilo halikuwa lengo letu la vita ile"
General (rtd) Robert Mboma
@SuluhuSamia
@mfa_tanzania
Mwaka 2004, tukiwa Arusha kwenye Summit ya EAC, Mhe.
@jmkikwete
akiwa Waziri wa Mambo ya Nje, alinipa orodha ya Mawaziri waliokuwa wamealikwa kwenye dhifa. Akaniagiza nihakikisha Mhe. Lowassa nampelekea kadi yake. Nikampigia simu na kumwambia, "Mhe Rais.." Hapa ulimi uliteleza...
Nikiwa na rafiki yangu wa siku nyingi Kamshina wa Polisi Mstaafu na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Mskiti wa Mfalme Mohammed IV wa Morocco, Masjid Bwakata ndugu Suleiman Kova ktk mahafali ya 7 ya
@UONGOZI
yaliyofanyika ijumaa tar 16, Mlimani city.
@jmkikwete
@SuluhuSamia
Nasaha za Omar
"Watu wanapitia mengi maishani, mengine ya kuhuzunisha sana. Watendee wenzio WEMA utakaofuta machungu yao yote ya nyuma. Unayo nafasi yako kwa Allah. Jivunie kuwa SABABU ya FURAHA ya mwenzio"
TAFAKARI SANA
Nasaha za Omar
"Hata kama huioni njia, Allah atakuonyesha njia. Kumbuka, duniani Allah kaaumba vitu na mbadala wake. Kaumba shida ila kaweka faraja, mitihani kaweka subra, magonjwa kaweka shifaa. Hivyo kumbuka kuwa kutoiona njia mbadala wake ni KUIONA NJIA, atakuonyesha. TAFAKARI
Nasaha za Omar
"Maisha ya mwanadamu ni kalenda tu. Ewe mwanadamu tambua kuwa kalenda yako ikifika mwisho, ndio mwisho wako. Ishi na wanadamu wenzio uache gumzo njema nyuma yako".
TAFAKARI
As former Representative of
@UNOPS
in Freetown, Sierra Leone and an International Staff of the UN, I am convinced that, not coz of one of the candidats is my fellow countryman, but this positon
@WHO
best fits for
@DocFaustine
qualifications and calibre.
@SuluhuSamia
@ummymwalimu
PROTOKALI NA MAADILI YA UVAAJI SUTI.
"Uvaaji wa suti una maadili yake kati ya wanaume na wanawake, hasa RANGI. Si kila rangi yaweza kushonwa suti hasa za kiume. Ukitaka kuvaa nadhifu zingatia rangi ya suti. Wanadiplomasia tunavaa Dark Colours hasa kwenye shughuli rasmi" ZINGATIA
#255001
Leo ni Siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa Mhe Rais
@SuluhuSamia
. Nakutakia kheri, Afya njema na Mwenyezi Mungu azidi kukujaalia siku nyingi kama hii zaidi ya matamanio yako. Ni barka kubwa kwa Taifa letu kuwa na Rais Mwanamke wa kwanza. Happy Birthday Mhe. Rais na AJM.✍👏
Nahudhuria maafali ya 7 ya
@UONGOZI
. Nafarijika sana kuona taasisi hii inaendelea kufanya mambo makubwa kama tulivyotegemea toka tunaiasisi. Mimi ni mmoja wa waasisi wa Taasisi ya Uongozi. Haya ni matunda ya Helsinki Process ambako nilihudumu kama Katibu Mtendaji.
@jmkikwete
True friends never loose contact.
@MilanziGaudence
@YHMohammed
. Now, ALL DIPLOMATS. Military brought us together and Diplomacy holds us together. True Servants of the people.
Kesho 🇹🇿 inaadhimisha miaka 60 ya Muungano. Ni siku muhimu sana kuangalia mahusiano ya kidiplomasia kwa miaka hii 60. Sera ya mambo ya nje imekuwa kinara wa mahusiano yetu. Aidha, kesho nitakuwa nasherehekea tar ya kuzaliwa kwangu. Namshukuru Allah kwa Kila Jambo hadi sasa✍️✍️✍️
Nikimkabidhi Mhe
@BernardMembe
Tshirt ya CIP mara baada ya mahojiano kuhusu uandishi wa kitabu cha kumbukumbu ya utekelezani wa sera ya mambo ya nje ya 🇹🇿toka kupata uhuru hadi sasa na mustakhbali wa nchi yetu. J4 tutakuwa na Mzee Samuel John Malecela.
@SuluhuSamia
@mfa_tanzania