“ I have to congratulate Orlando Pirates, it would be very easy for me to come here as my colleague did one week ago and talk about decency, difficulties, lack of hospitality or VAR, instead of that I am going to say they were better than us in 180 minutes."
Simba coach, Pablo.
“We had two strikers on the bench, Habib Kyombo and Dejan Georgijevic, but many times if you play with three strikers you don’t score. When we played with a nine-and-a-half, in the two games we scored five goals, because Moses Phiri is a nine-and-a-half.”
Zoran Maki.
Naunga hoja kanuni ya kutumia wachezaji nane wa kigeni katika mchezo mmoja kuboreshwa...waruhusiwe kucheza wote kadri ya uwezo wao. Kocha apewe nafasi ya kupanga kikosi kulingana na KIWANGO cha mchezaji bila kujali PASSPORT yake.
Ukupigao ndio ukufunzao.
Heri James niliyesomea naye enzi hizo akiitwa Eric Ngambeki ni tofauti na kijana tuliyemuona katika miaka mitano iliyopita. Alibadili jina na tabia na kuwa mtu tofauti asiyeweza kutambulika na watu waliomfahamu enzi hizo. From a fine debater to a toxic individual! Metamorphosis
Congratulations to Dar Young Africans for a record extending 28th Tanzanian Premier League title. Champions! 👏👏👏🏆🇹🇿
👉 Most goals scored
👉 Most points
👉 Most wins
👉 Best goal difference
👉 Best defensive record
👉 Most clean sheets
Onana is injured but let us not forget he got the all important second goal against Wydad that gave Simba the H2H advantage. His biggest contribution for Simba so far.
“I have known Yannick Bangala for many years, he is my boy, I asked him to come to Yanga together with Fiston Mayele. I know him, his first position is a defender, not midfielder but because he is a big, intelligent player, he can adapt to play any position.”
Nabi
“Strikers live with goals not passes giving them more confidence. Moses has two goals, two games two goals, that is good. I hope he now becomes better.”
Zoran Maki.
" We hope Vipers get Simba in the CAF Champions League Group Stage so that we can have a very good game in the region, having fans travelling for the away matches. "
Robert Ssentongo, Vipers marketing managers
" Zalan players & technical bench have honoured football despite very difficult conditions. I hope that the condition in their country will improve. It is not easy not to train well and to travel with difficulty, I have a lot of respect and compassion towards them."
Coach Nabi.
Mwisho wa uchaguzi mmoja, ni mwanzo wa uchaguzi ujao. Ni wazi Rais Wallace Karia anajiaandaa kuwa mgombea PEKEE kwa mara nyingine. Potential competitors wengi watakula ban between now and 2025. Shaffih Dauda alikuwa anatajwa sana kugombea urais wa TFF uchaguzi ujao.
Fisi akitaka kula watoto wake, huanza kwa kuwashtumu wananuka kama mbuzi....Hii ya Jonas Mkude kutakiwa kupimwa akili ni sawa na kumbatiza jina jipya la chizi. It will follow him throughout the rest of his career. I wouldn't wish this shit on my worst enemy.
Abdul Hamis Suleiman 'Sopu' with a ‘perfect’ hat-trick against the champions.
I think the last time we saw a perfect hat trick here, it was one by Mbwana Samatta ten years ago.
Twitter ya Tanzania imekuwa kama Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, hakuna amani. Imegawanyika katika vikundi vya mgambo. Milipuko kila mahali, bila kutembea kwa tahadhali unaweza kukuta hata siri zako ulizosahau zimemwaga humu na moto unawaka, raia wanaongea mafuta.
Waiting for the launch of the Simba CAF Champions League 'Visit Tanzania' jersey edition, this time Vunja Bei has time to deliver the goods in time and in better quality.
“I am very happy to take this team to the CAF Confederation Cup final. We are the first Tanzanian team to do so and it is a huge achievement for us. Now, we will try to win this Cup,”
Yanga head coach Nasreddine Nabbi.
“I am really happy for Mayele and how he is performing. I signed him from AS Vita, I am glad he has repaid the faith I had in him. He has a YEAR left on his contract and of course there is so much interest in him but hopefully he can stay.”
Yanga head coach, Nasreddine Nabi
" As a soldier you always have to be ready, so everytime I go to the pitch I give my best. I am not going to look at the facilities, language...I am here to work hard and give my best for the club I have signed for."
Augustine Okrah
Kuipenda Simba ni pamoja na kukubaliana na ukweli kuna mambo HAYAKO SAWA klabuni ndio maana Dejan amefikia hatua ya kutangaza kuvunja mkataba 'kihuni'
Miaka miwili nyuma, haya mambo tulikuwa tunayaona kwa mtani, Kina Molinga, Moro walivunja mkataba 'kihuni' kutokana na uongozi.
Busara au kanuni ingetumika? Ni hivi, busara ilikuwa ni kuwaheshimu maelfu ya mashabiki waliolipa na kuingia uwanjani wakifahamu mechi ni saa 11. Busara ilikuwa ni kutambua wapo waliofunga, walishapanga ratiba zao za futari. Busara ni kuheshimu kanuni na muda uliopangwa.
Clatous Chama has assisted Moses Phiri 5 times so far this season.
Phiri 🗣️ " You know Chama is the MASTER, whenever he has the ball and you are the striker you just have to be in the box...you know him."
🗣️"To be honest I think ASEC Mimosas and RS Berkane could even be better teams than us in terms of budget, players, experience and potential to play in Europe. In spite of that, we have qualified for the quarter-finals, this is a huge achievement for Simba."
Pablo, Simba coach.
Kibwana is a right fullback turned left back and does the job 90% better than most full backs. The most underrated player in the Young Africans XI.
I keep seeing him as the weakest link but he has consistently defied my perception. 👏👏
Simon Msuva is the only player who has played every 2022 World Cup qualifier for Tanzania. 💯 % availability.
He has scored all the four away goals scored by Tanzania so far.
8 games, 4 goals.
At 20 years, Peter Banda comes with a similar profile as Emmanuel Okwi, Luis Miquissone and Emeh Izuchukwu. He has been bought as young hungry talent who could make a name with Simba and be sold on at a profit.
Bosi Mkubwa wa Yanga anasherehekea kawaida, mpambe anatuonesha kuwa kazidiwa na furaha hadi anataka kuangua kilio.
Huu mji kila mtu anastaili yake ya kusaka tonge.
Meneja wa hotel aliwakomalia CR Belouizdad wasaini na kulipa bill kabla ya kuelekea uwanjani kuivaa Yanga. Alisema haya mambo ya mpira wanaweza kurudi wamevurugwa. Aliona mbali.
Nyota wawili kutoka Nigeria, Nelson Okwa na Vincent Akpan wamekwama kuambatana na msafara wa Simba kwa sababu ya marufuku iliyowekwa Dubai dhidi ya raia wa Nigeria,
Jean Baleke is a good finisher but Simba need more than that to go past the quarter finals ceiling. They need a striker who can create his own chances, create for others, link play.
“I wish we won the game but I am very proud of the boys. We really had a fantastic game against the best team in Africa. We went toe to toe and I think we created more chances than them. I think Wananchi must be proud of what the boys did inside the pitch.”
Miguel Gamondi
"I started using Luis Miquissone for 25 minutes in Turkey then 30 minutes and now I can use him for 40 minutes. It is not easy for me but I am happy because Luis is a nice talent. I can use this guy many times, maybe after fifteen days I can start him.”
Robertinho
“In the Champions League, I want to score four or five goals too, but sometimes it is impossible because the quality of the Benjamin Mkapa pitch is not good for passing and touches, I think we lost three opportunities inside the box due to the poor surface.”
Robertinho
Nadhani TFF walijua Manara atakuja uwanjani, ndio maana hakuna viongozi wakubwa wa Shirikisho walionekana Taifa leo. Ujio wa Manara una baraka za Yanga ndio maana akashangilia 'Kimourinho' kuwazodoa wapinzani.
There's a fine line between breaking the rules and bending the laws.
Habari ambazo Gazeti la Mwanaspoti inazifahamu na kuwa na UHAKIKA nazo kwa ASILIMIA 100 ni kwamba Morrison ameahidiwa ofa nzito ya dola 100,000 (Sh230M) na mabosi wa Yanga. Via
@MwanaspotiTZ
While many African National teams struggle in the goalkeeping department, Egypt are lucky enough to boast two solid goalkeepers in El-Shennawy and Gabaski.
Kuna wakati tulitaka kujiaminisha TP Mazembe ni timu ya kawaida sana. Yes, wako kwenye mpito lakini wamefanikiwa kuwang'oa Pyramids kutinga nusu fainali.
Tembo hata akikonda vipi hawezi kulingana na ng'ombe. Hii ndio football heritage.
Bernard Morrion will relish coming up against his former bosses. He might pull a disappearing act in the league until the Quarter-final game aganst Pirates.
" If the pitch at Mkapa Stadium was in a bad situation, I am wondering why the U20 team from France has been allowed to do training. Taifa Stars are not allowed to do training even on the final day before the game. I don’t understand this priority. "
Kim Poulsen
“We lost the final in Dar es Salaam. We lost a bit of focus as this was the first time we were playing in a match of this magnitude. We were not used to being in such finals. We tried to make amends in the return match but it was not possible.”
Coach Nasreddine Nabi
"I have known Pascal Wawa for many years, he is a good defender, he can support young players, his experience will help us."
Singida Big Stars coach, Hans van Pluijm.
“I started my job here in January, I am unbeaten in the league with just victories and draws. I can’t talk about what happened before me, I can't talk about other coaches before me. Unbeaten and we won against our opponents Yanga, so for me Simba are champions.”
Robertinho
Mbeya Kwanza waligomea mechi, wameadhibiwa kikanuni. Simba na Yanga walivyogomeana kucheza, maamuzi yalitoka kwa mujibu wa kanuni gani?
Dagaa Mbeya Kwanza wamechafua taswira ya Ligi na kuleta hasara kubwa kuliko papa Simba na Yanga ambao Afrika nzima ilizungumzia tukio?
🔝🔥 The Francophone trio of Mayele, Saido and Djuma have been directly involved in 23 of Yanga's 33 which is the equivalent of 70% of Yanga's League goals so far.
Back to back wins in Algeria, South Africa, Nigeria and DR Congo, Young Africans’s exceptional campaign was just that, exceptional. I think it would be very hard to replicate but they can build on that for a breakthrough in CAF Champions League. Memories stay forever
Chris Mugalu was doing just fine up until recurring injuries ruined him. 'Almost' destroyed the league in 2020/21 season.
🏟️18 Games
⚽️15 Goals
🅰️3 Assists
Simba ndio waliohitaji zaidi ushindi kuliko Yanga. Yanga angeweza kupoteza na kuchukulia poa sababu ni Bingwa mtetezi. Kinyume chake ushindi umewaongezea Yanga kujiamini zaidi. Aucho na Mayele wameongea kwa kujiamini utadhani wameifunga timu ndogo.