THREAD ABOUT LOCAL MANUFACTURE (ASIANS)
Hapa nimeambatanisha post zangu zenye video za viwanda vidongo ambavyo hata watanzania wakiwezeshwa wanaweza kuanzisha, Tatizo ni makadirio ya kodi na bei za usafirishaji wa baadhi ya machine.
NIKUPE STORY YA HUU MTAMBO.
Huu mtambo peke yake una Uzito wa Tani 14,200, Speed yake ni ndogo sana umbali wa Mita 2 wenyewe hutumia Dakika nzima, Namaanisha, Hatua zako mbili huu mtambo unatumia dakika nzima kuzimaliza.
(THREAD) 🧵
NGOJA NIKUPE STORI KUHUSU HII MELI.....
Hii pichani ni Meli ambayo ili kupakia mzigo, Basi lazima izame kwenye maji Deck yote.
Meli aina hii zinaitwa Semi-submersible heavy-lift ships na hubeba mizigo mizito zaidi kupita hata hizi meli tunazoziona.
( THREAD)🧵
NGOJA NIKUPE STORY KUHUSU HUU MJENGO.
Leo hii hata itokee vita au Uvamizi, Ndani ya Mji wa Roma au Italy Kiujumla, Basi Active Pope Atakimbilia ndani ya Huu mjengo.
(SHORT THREAD) 🧵
UGANDA INATAFUTA SOKO TZ?
Ujue Uganda wako Serious wanataka kutuuzia hizi Basi zao!
Kiufupi Basi linaonekana ni Bora kabisa, Lakini ni Made in Uganda, Brand Model KAYOOLA.
(SHORT THREAD)
Picha hii ilipigwa Wakati wa Vita ya Pili ya Dunia (1945), Ni mvulana wa Kijapani amesimama mbele ya mahali pa mazishi na kungoja zamu yake ya kumchoma kaka yake mdogo aliyekufa.
👇👇👇
KUTOKANA NA KIFO CHA MALKIA ELIZABETH II sasa mwili wa Mumewe Prince Phillip utaondolewa pale ulipohifadhiwa tangu kifo chake mwaka wa 2021, na kupelekwa mahali ambako mwili wa Malkia utazikwa.
👇👇👇
HIZI NDIO NDEGE KUBWA ZAIDI ZA ABIRIA DUNIANI
Hizi ni ndege kumi za abiria kubwa zaidi ulimwenguni kwa mujibu wa Mtandao wa masuala ya anga unaoitwa 'aerotime'
(THREAD)
NGOJA NIKUPE STORY YA JAMAA MMOJA.
Pichani ni Mavazi yanayopatikana ndani ya Makumbusho ya Uhalifu (Museum of Criminology) inayopatikana huko Roma, Italia.
JE MAVAZI HAYA NI YA NANI?
( THREAD 🧵)
ORODHA YA DUMP TRUCK 10 KUBWA ZAIDI DUNIANI
Hizi dump truck nyingi hutumika migodini, pia ni offroad Trucks hivyo haziruhusiwi kuingia kwenye barabara za uma, Uwezo wake ni mkubwa zaidi na bei yake ni ghali zaidi.
(THREAD)
Huyu mwamba
@Eng_Matarra
alikutana na Mwanamke akaoa na kufikia 2022 akapata kesi kwa kifungo cha Miaka 5 au Faini ya Milioni 7. Yuko Gerezani na mke alishamuacha na hana mtu wa karibu anaemsaidia. Na sasa jukumu hilo linabebwa na Familia ya Twitter, alipe Faini na Arudi Mtaani.
Habari za leo. Nina mwanangu anaitwa Dorcas Bryson (04) mwaka jana alipata tatizo la utumbo mpana kutoka nje wakati wa kujisaidia. Ulikua unatoka kidogo na baadae kurudi.
Lakini kadri alivyoendelea kukua hali imeendelea kubadilika. Mwezi April mwaka huu sehemu hiyo ilitoka kwa
Habari kaka? Naomba unisaidie kuokoa maisha ya mdogo wangu. Anaitwa Consolata Mgata, ana umri wa Miaka 17. Tunaishi Luganga, wilaya ya Kilolo mkoa wa Iringa. Amemaliza kidato cha nne mwaka jana shule ya sekondari Kilolo, Iringa.
Mdogo wangu Conso alianza kuona uvimbe wa mguu
Picha ya kwanza ni mahali alipokua akiishi Judith baada ya kutoka stendi ya mabasi Ubungo.
Alipanga chumba kimoja huko Boko akaishi na wanae wote watano.
Picha zinazofuata ni makazi yake mapya aliyojengewa na Watanzaia kupitia GH Foundation.
Mungu awabariki wote mliobadili
KILA RANGI YA KIFUNIKO CHA CHUPA YA MAJI HUWA NA MAANA YAKE.
Hii jana niliiona kaandika kwa ufupi
@deokya40
mahali, nikasema au jamaa anataka kutupiga butwaa, nikaenda kuchunguza Reddit ebwana kumbe ni Kweli, Kila rangi ya Kizibo cha chupa ya maji huwa na maana yake "Bottle Cap
Picha hii inamuonesha mwanaume mmoja nchini Kenya ajulikanae kwa jina la Dan Shisia Matakhaya, mwenye umri wa miaka 33 na ni Askari polisi nchini humo.
Hakuzaliwa na sura ya kutisha namna hii. Unachokiona ni matokeo ya mabishano kati yake na mke wake.
Siku moja, Matakhaya na
KITABU CHA HENOKO (THE BOOK OF ENOCH)
SEHEMU YA KWANZA
- Biblia ina Vitabu 73 lakini isiwe Mpaka wakusoma hivyo 73 tu, Canon ya Vitabu 73 iliapitishwa mwaka 382 na Baraza la Maaskofu wa Roma kuna Vitabu Vilipitishwa vikiwa Havina Sifa E.g (Waebrania) lakini kuna vitabu
Mtoto Jordan Edwin wa Kihesa, Iringa anahitaji msaada wa dharura kuokoa maisha yake. Jordan (01) anasumbuliwa na maradhi yanayojulikana kitaalamu kama Hirschprung Disease.
Haya ni maradhi ya kuzaliwa ambapo sehemu ya utumbo mpana inakosa neva za fahamu hivyo haiwezi kusafirisha
Ile Entrance ya Magufuli terminal kuna kakipande Kama 5 mita rough kabla hujaianza hilo daraja (Overhead), Yaani tuseme wameshindwa hata kumwaga lami baridi (Emulsion Bitumen) au hata mabaki ya Zege, Unajua magari yanavyoingia pale yanadunda sana, yaani hii defect niliiona
KUTOKA KANISA MPAKA ZIWA
Ndani ya Italy kuna ziwa linaitwa Lake Reschen, Japo jina hili la Kiingereza si maarufu sana, Jina Maarufu ni lile la Kijerumani "Reschensee" ziwa hili lina eneo 6.6 KM² hivi.
(THREAD)
SIKU NYINGINE YA KUMSIKILIZA MWAMBA TUNDU LISSU
Hii ni clip maalumu ambayo Tundu Lissu alilielezea Bunge la katiba ni Jinsi Gani Tanganyika Ilipotea, Ni Vipi Mali za Tanganyika kama Mahakama, Wafanyakazi wa Umma na Katiba viliibiwa.
ENJOY
Kwa kuwa kadri anavyochelewa kutibiwa ndivyo utumbo wa mtoto Jordan unavyozidi kuharibika, wazazi wameshauri kwa sasa tutafute 3M tu ili mtoto afanyiwe upasuaji kwanza, kisha fedha nyingine za kuuguza tutawachangia baadae.
Kiasi tulichochanga kwa ajili ya matibabu ya Jordan
Ni lini Waafrica Wataongelea kuhusu Congo kama wanavyoongelea Palestine Ukraine.
Kuna Yule Dr/Prof huwa anaitisha maandamano kupinga mauaji ya Palestine (Gaza) ni lini ataitisha kuhusu Wacongo.
KITABU CHA HENOKO
SEHEMU YA PILI.
Basi katika Sura ya 8 tunaona Malaika AZAZEL anawaonea huruma Binadamu, Anaanza kuwafundisha Kutengeneza Silaha, Mapanga (Swords) , Visu, Ngao na Ngao za Vifuani (BREASTPLATED) hapa ndipo zana za chuma zilipogunduliwa (MWANZO 4: 22)
KANSA YA JICHO INAMTESA MTOTO NEHEMIA MBEMBATI
📌 UMRI WAKE NI MIAKA 5 ANAISHI MGOLOLO MSHIKAMANO
📌 GHARAMA ZA MATIBABU NI M1.5(MUHIMBILI)
📌 MAWASILIANO
0687102720
JINA: YOHANA MSOLA
📌 REJESHA TABASAMU LA MTOTO NEHEMIA SASA
Maumivu yasiyoelezeka yameendelea
@EuropaLeague
@Atalanta_BC
Lookman is the first African player in history to score a hat-trick in a European final
• Lookman is the first player in history to score a hat-trick in the European League final
Nilipo upload video ya machine hii watu wengi waliuliza bei yake.
Ngoja nitengeneze short thread hapa,
Hii machine wachina wanaiita MINI TILLER TRACTOR MACHINE kampuni za kichina nyingi zina manufacture aina hii ya machine.
Anaandika
@MalisaGJ_
Picha ya kwanza ni chumba cha mjane Judith tulipomtembelea mwaka 2021 baada ya kutoka stendi Ubungo. Chumba kimoja cha giza chenye godoro tu bila kitanda. Alijilaza hapo na watoto wake wote watano. Hichohicho ndio chumba, sebule na stoo hapohapo. Ndio maana
NI SIKU NYINGINE YA KUMSIKILIZA TUNDU LISSU
Hapa ilikua Tarehe 14/04/2014 Bunge la katiba, Siku hii ilitoa taarifa Kamati ya 3 naya 4, Part 4/4.
Humo ndani Wamekaangwa sana CCM kwa mafuta yao, Kwa mbali utamuona Kigwangala hapo.
ENJOY