Uwe na siku njema, Mungu akulinde, akufanikishe kila unalolifanya siku ya Leo la halali, Ikawe siku ya Baraka na furaha tele, mwenyezi Mungu asikupungukie, akuepushe na magonjwa, ajali, kila hila potofu siku ya Leo. Tuenende kwa amani ya Bwana.🙏
😘😘😘😘😘❤️