Creative Writer |
Award Winner of the Safal-Cornell Kiswahili Prize for African Literature -2019 | Logistician | Economist| Evangalist|
#CuraPersonalis
Mpango wa kumuua Rais wa Stanza unakamilika chini ya Kiongozi Mkuu wa Ulinzi wa Rais bwana Dogas Maclaurian kwa msukumo wa "Mabeberu" wanaotaka kuendelea kupusa rasilimali za Stanza.
Bwana Dogas anaahidiwa donge nono kama akikamilisha mpango huu nyeti na wa hatari kupata kutokea
Dogo mmoja amegraduate kanichek jana "Bro degree secured asee" nikamwambia hongera dogo.Akaniambia "So bro tuangalizie angalizie basi sehemu ya kujishikiza hata kwa milioni 2 au 3 kwa mwezi fresh tu".
Nimwambie ukweli au nimuache na ujinga wake kwa muda?🤣🤣🤣🤣🤣
Ila hawa wenzetu Mungu anawaona.Unarudi home una mawazo ya future ya watoto itakuaje yeye anakupokea na story jinsi amehangaika mjini kutafuta shuka alizonunua siku hiyo😂😂😂
Na inabidi umsikilize na kumpongeza tofauti na hapo unatafuta kununiwa.😂😂😂
Ila si ni life tu.
Binti yangu leo anatimiza miaka miwili.Wazazi wenzangu nisaidieni kumuombea Heri, Fanaka na Baraka katika maisha yake.
Kizazi kijacho cha Twitter🤣
Happy Birthday daughter.
Kuanzia leo hatuhitaji kuambiwa kampuni gani ina internet ya uhakika.TUNAJUA.
Kampuni za mitandao ya simu ibuni matangazo ya products zao nyingine hii ya Internet tumejionea wenyewe nani ni GOAT.😂😂
Nyie vijana wenzangu wa kiume mnaoendekeza tabia ya kuwatenganisha mama yako na baba yako kwa kumchukua mama na kuja kukaa nae mjini wakati baba umemwacha kijijini peke yake.
Zamu yenu inakuja. Mtakuja kuonja wanachopitia wazee wenu sasa hv. It's the matter of time.
Niwachekeshe....🤣
Siku moja rafiki yangu akaniita mahali tupumzike na wine kidogo.Mimi sina hili wala lile kumbe kagombana na wife home sasa kamtoroka.
Tumekaa kama nusu saa namuona shemeji na watoto hawa hapa.Walipofika nikasikia "Ulidhani unamkimbia nani?Haya tuue basi"🤣🤣
“Soma Katiba ya
#Tanzania
Ibara ya 143 ina mpangilio wa hatua za nidhamu, kujieleza haimo.”- Profesa Mussa Assad kuhusu ushauri uliotolewa na Spika Job Ndugai kumtaka kwenda kujieleza kwa Rais Dkt
@MagufuliJP
Jumapili hii nikakumbuka kisa kimoja kati yangu na maza. I wish kingekuwa ni kati ya sister angu na maza. Nadhan tulio kwenye ndoa na wale tunaotarajia chaweza kutusaidia.Hasa watoto wa kike🤣🤣.Ma feminists story ikiwakera kunyweni juice ya limau🤣🤣
"SHIKA ADABU YAKO"👇👇👇
Ila leo binti yangu kajua kunikomesha.
Muda fulani hivi alifanya ujinga nikamchapa vibao akalia sana.Mimi nikatoka kidg.Vile narudi tu kanikimbilia kunikumbatia na kusema "Baba nakupenda"
Nimejisikiaje hovyo.
Leo kuna mshkaji amenishtaki kwa Director kuwa mimi ni mchelewaji kazini.Director aliponiuliza kama ni kweli nikamjibu kuwa Kwanza namshukuru mshkaji kwa kunishtakia kwa sababu AMENIINUA kwa namna moja ama nyingine.
Kuna nilichokosea hapo?Maana naona nadraftiwa barua hapa
Nimemkuta binti yangu (Lynn) kakaa na mamake nikamwambia aondoke ni zamu yangu sasa kukaa na mke wangu,akaanza kulia nimwache na mamake mimi nikamwambia na yeye aniache na mke wangu.Ka ugomvi kameibuka.
Namuuliza kwani kati yangu na yeye nani alianza kumjua huyo tunaemgombania?🤣
Wakati namaliza darasa la 7 mzee na mama walikuwa kwenye economic crisis ya kufa kiumbe.Bro wetu akiwa mwaka wa kwanza Mzumbe akaamua kuanza kuitegemeza familia kwa kutumia boom na vibarua vigumu.
Ndiye ametusomesha mpaka chuo tena bila mkopo.
Hii itabaki kuuponda moyo wangu.
Vijana Wenzangu Mzazi Wako Akikupigia Simu Pokea Na Usiseme Anakusumbua.Kuna Siku Hutaisikia Tena.Mimi Nina Mwaka Wa 4 Sasa Natamani Iingie Simu Niliyoisevu "MAMA" Laikini Wapi.Hayupo Tena.Nimezimiss Simu Zake Sana.
Nashukuru Sikuwa Mmoja Wa Wale Wanao Ignore Simu Ya Mzazi.
Ukisikia Maneno "Straight Forward" Basi Hawa Ndio Definition Yake.
Askofu Fredrick O. Shoo (PhD)
Askofu Benson Bagonza (PhD)
CAG Musa J. Assad (PhD)
Unaweza Kuongeza Wako Mmoja.
Wale wazee ukiingia ofisi za serikali unawakuta wamevaa kile kidani chenye ramani ya Tanzania hujionaga wazalendooooo.Yan wanajihisi walipigania uhuru🤣🤣🤣
INTELIJENSIA YA WAZEE WETU.
Ilikuwa wanapenda kula na watoto na hata kama ametengewa chakula chake lazima awaonjeshe na watoto au mtoto wake ndo aanze kula kisha ale yeye.
Kama umeelewa sababu comment hapo chini. Vijana wa siku hizi hatuna mbinu zozote pumbav.😂😂😂😂
Binti yangu kanipa home work nimsaidie mi nimempa majibu akayachek kisha akanambia "Dad, I don't think so"
Nimehisi kuangukiwa na kitu kizito kichwani.😂😂😂😂
Nani alipopewa mkataba wake wa kwanza wa ajira kweli alienda nao home kuusoma kwa makini kabla ya kuusaini?🤣🤣🤣🤣
Ukweli mimi sikuchukua zaidi ya sekunde 7 nikaurudisha already signed🤣🤣🤣
Jumapili hii Mungu akijalia nitavaa shati aliloninunulia Mke wangu mwaka 2004 nikiwa form 2 yeye akiwa form 1. Alipewa hela na aunt yake aishie USA alikua amekuja bongo kwa holiday.
Shati lina miaka 19 sasa,ajabu bado linanienea japo limepauka kidogo. Nalihifadhi kama Uganga😂
Ok, kama Mapadre walikuwa hawaruhusiwi kuoa na sisi waumini tukaruhusiwa mke mmoja tu.Baada ya mapadre kuruhusiwa kuoa sasa kwanini na sisi waumini tusiruhusiwe hata wawili?Hatuwezi kufanana na watumishi wa Mungu jamani.Kuwe na utofauti kidogo.
Huyu mtu aliaga huku kwamba anakwenda kusimamia maslahi ya taifa lakini the best answer he managed to provide ni "I did not wake up well today"....pathetic.
Ndo maana mi katika hili sakata la sasa nimechukua upande wa wanaokataa.Bora nikatae kwanza nijifunze polepole.
Hivi nikiwaza kuwa ile siku ya 7 tunayoambiwa Sir God alikuwa mapumzikoni ni kuwa alikuwa akifanya kazi exceptional kama hizi nitakuwa nakosea?
Embu tusaidiane kuimba tenzi namba 114 "Bwana Mungu Nashangaa kabisa"
Mh
@jokateM
hakika umependeza.
Appreciation tweet.
Wacha niseme...
Mke wangu amekuwa sehemu muhimu katika safari yangu ya uandishi.Yeye ndiye aliyegharamia uchapaji wa nakala za mwanzo za
@MimiNaRais
kwa fedha zake.
Hakika apataye mke amechagua fungu jema🙏🏿
Kulia: Siku ya Uzinduzi
Kushoto: Siku ya Ushindi
Mzee Ben alianzisha ka utaratibu ka kuongea na wananchi mwisho wa mwezi.Mzee Kikwete akakarithi.Sijui kalipotea kwenye mazingira yapi wakati ule,ila kakapotea.
Nikiri,ule utaratibu nilikuwa naupenda sana.Pale Rais anazungumzia MASUALA.
#RIPMzeeMkapa
Kijana anaambiwa na mama yake "Hizi hela unamtumiaga baba yako anaishia kulewea tu" ....na hapo kijana anakata kabisa kumtumia mzee wake pesa kwa madai kuwa anaywea pombe na kumtumia mama tu. OLE! SIKU YAKO INAKUJA.
Alitofautiana na Rais Costa.Rais akamfukuza serikalini na kumuwekea vizuizi lukuki lakini baadae Rais Costa akamuhitaji tena aje kumsaidia masuala fulani ya ki diplomasia na huo ndio ukawa mwisho wa Rais Costa
Ni Joseph Kaduma almaarufu kama Joe ndani ya simulizi ya
@MimiNaRais
Asante Meja Jenerali (rtd) Samwel Kitundu kwa kunipa imani yako nikuandike.
Hakika nitakuandika hasa. Visa na mikasa,misheni za wazi na za siri nitazinyoosha barabara.Historia itakukumbuka.
Upele umepata mkunaji🤣
#HiiHaijapataKutokea
Moyo wangu unalemewa na bubujiko la furaha na shukrani kubwa kwa riwaya yangu ya
@MimiNaRais
kuingia kwenye orodha ya kuwania tuzo za fasihi ya kiswahili Afrika.Kati ya miswada 96 imepenya🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Nimepokea Nakala Ya Kwanza Usiku Huu.Sikuweza Kulala. It's Such An Incredible Feeling.Siwezi Kuelezea.Finally, What Was Initially Seen As Impossible Become Possible. It's Now The Reality.Comeon!
#MimiNaRaisBookLaunch
#JamhuriYaWatuWaStanza
Nimetazama show ya
@diamondplatnumz
ile ya Kahama amesimama jukwaani kwa masaa 5 with the same energy mwanzo mwisho, performance na mpangilio ulio sawia. He didn't take anything for granted. Twende mbele turudi nyuma Diamond ni msanii asiesogeleka wala kulinganishwa.
Kuna jamaa kaniuliza hapa eti kama anaweza pata Vanguard kwa sh 4.7m?yan ananikazania kabisa kama nina connection yoyote.
Nisaidieni jibu mujarabu la kumjibu huyu mbwa.Upuuzi si intertain siku hizi🤣🤣🤣
After 10 years of working in the Logistics discipline, trusted to head the operations of one of the top transport companies in the country, and managing over 600 fleets. Today in Dubai, I was honored with an MBA in Supply Chain and Logistics Management.
The ball keeps rolling🙏
Mkitaka Mke alipwe kila mwisho wa mwaka wanauke tutatoa tuzo za mfanyakazi bora kati ya huyo mke na dada wa kazi.Tusilaumiane.
Salary increase pia ina base on perfomance na hatutataka kuona mmoja anakua juu ya mwingine sisi "waajiri" tutaamua.
Twende sawa.
Ilianzaje?
Fuatilia uzi huu wenye slides 10 nilizojaribu kueleza haya yote yalipoanzia.Kimsingi hata haya tuyaonayo sasa ni maandalizi mahsusi ya yajayo.
Siku nyingine nitakueleza tunaandaliwa kwa lipi.
Fuatilia👇👇
Ninaandika kwa panic kubwa
@NBCTanzania
naomba mrudishe hiyo hela yangu mmekata bila utaratibu wowote with immediate effect.
Tutafikishana mbali msinitanie.Tuheshimiane.
My case number ni 20604817.
Mshkaji ulibanana nae gheto kwake ulipokuja mjini wakati ukitafuta cha kufanya,yule alikuwa anakusaidia nauli za kuhudhuria intereview.Sometimes hata nguo zake ukavaa.
Leo umetusua ajira ama biashara zako zipo poa lakini ukiona simu yake una i mute kuwa anakusumbua.Mungu anakuona
Ukipata nafasi ya kuzungumza na maafisa wa ngazi za juu wa Jeshi utagundua jeshi ni kazi ya weledi sana na wana uzalendo wa kweli.
They know things In and Out and 're very inteligent.Wakiwa kimya they do it purposely.Wana limit yao ya kuvumilia "ujinga".Ukiivuka wanaruka na wewe.
Nilipata wasaa wa kuzungumza mawili matatu na Ayo TV
@ayotv_
juu ya uandishi wa kitabu cha
@MimiNaRais
na swali kubwa likawa Ni wapi nilikuwa nikiyatoa mawazo ya matukio niliyoandika.
Nawaalika tuyasikilize mahojiano hayo hapa》》
Hivi nyie wenyeviti wa Jumuiya na ma Katekista mnaozuia wenzenu kuzikwa na Padre kwa sababu hawakuwa wanakuja Jumuiya,hivi mkiwakuta hao ndo walinzi wa geti la kuingilia Mbinguni mtawaambia nini?Nyie jidaini ndo wenye haki tu.Tutanyooshana nawaambia🤣🤣🤣🤣🤣
Leo nimebarikiwa kupata wasaa wa kukutana na kaka
@JMakamba
.Pamoja na nia yake ya kutaka kujua yaliyomo kwenye riwaya zangu nimetambua karama zake nyingine mbili.Unyenyekevu hata kwa wasiostahili kunyenyekewa na Utunzi.
Inshalah siku zijazo lipo jambo letu.
Is Roman Catholic Church now officially confused?
Unawezaje kusema ndoa ya mke zaidi ya mmoja hairuhusiwi ila Kuwabariki wapenzi wa jinsia moja imeruhusiwa? What is the rationale here?
Mwaka 2010 niligombania u Rais wa Serikali ya wanafunzi chuoni."Niliporwa" ushindi kwa sababu ya itikadi ya vyama🤣🤣🤣 nikaelekea Ujerumani.
My next short story loading......👋
Uharibifu ulianzia tulipoanza kuhubiri kuwa mwanaume na mwanamke ni sawa. Tulianza kupigwa chenga pale.
Nipo nimekaa pale kwa yeyote mwenye neno na mimi juu ya hili.
Leo nimekumbuka sehemu ndogo sana ya maisha ya mama yangu na rafiki yake.
Ninaendelea kujifunza kwa maisha yao yale.
Embu jiulize wewe umezungukwa na Marafiki au "Washkaji"?
Tusome👇👇👇👇👇
Kuna wimbo wa Ambassadors of Christ unaitwa Twapaswa Kushukuru.Moja ya mistari mule inasema....
"Usiku unapofika twalala kama wafu.Asubuhi kunapokucha twajikuta wazima. Ni ratiba zake mwenyewe, yatupasa kumsifu......."
✍✍🙏🏿🙏🏿🙏🏿
One of the TV Series inayonipa ufikirisho mwaka huu na kunifanya nijifunze zaidi kuhusu Israel vs Palestina.
Ni genre ya ujasusi, my number one and favorite genre.
I can recomend.🔥🔥🔥🔥🔥
Ila hakuna watu walikuwa wanaonekana ni waenda motoni direct kama TYCS.
Maana unakuta wanaanda Joint Mass then ikiisha tu wanajigeuza kuwa Disco hapo hapo na kuanza kubambiana🤣🤣🤣🤣
Ila bado tupo na mbinguni tutaingia.
YCS Mapendoooooo👋👋
Kama taifa tulipitia makubwa.
Lisu alitaka kupimwa uchochezi kwa kutumia mkojo wake🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ikawa ni battle ya:
"toa mkojo"
"sitoi"
"toa tunasema"
"nimesema sitoi"
Nyie🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Asian People
Fuatilia slides hizi chache labda zitatusaidia sisi kizazi cha mtu mweusi "tunaojitafuta"😂😂😂😂
Nini nimejifunza kutoka kwa watu wa asili ya Asia?
Wakati fulani wife aliona nguo za watoto zipo on sale mtandaoni UK nadhani.Akaniomba hela nikampa akanunua,zikatumwa.
Zilipofika akazifata kuchukua.Siku narudi job jioni Lynn akanipokea kwa bashasha ndani akaniletea lile furushi akaniambia "Ona mama kaninunulia"
Dah🤣🤣
Ukiomba Mungu akakubariki basi usikimbie watu.Baraka huvuta watu,yani kuna watu tutatakiwa kula kupitia wewe sasa usitukimbie ulitaka mwenyewe.
Wiki njema.
Ndugu Zangu Na Jamaa Zangu Wa Jamii Hii Ya Twitter.Nakosa Maneno Mazuri Ya Kueleza Jinsi Gani Nimeelemewa Na Salamu Za Shukrani Kwenu Kwa Kuniunga Mkono Katika Uzinduzi Wa Kitabu Changu Cha
@MimiNaRais
Mwanasiasa Mmoja Hupenda Kusema "Haya Si Mapenzi... Ni Mahaba"
Thread👇👇👇