MwanzoTV Profile Banner
MwanzoTV Profile
MwanzoTV

@MwanzoTv

52,940
Followers
378
Following
28,989
Media
36,115
Statuses

@MwanzoTv , The Official Twitter Feed of Premier News Source with Top Stories and Special Features about East African Region. Uncensored & Undaunted.

Nairobi, Kenya
Joined March 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
Msanii Diomond ameingia katika sintofahamu baada ya wanaharakati na baadhi ya wapenda burudani nchini Tanzania kumpinga kwa kusema hawatampigia kura ya kuwania tuzo za BET, wakimtuhumu kujitenga na wananchi pale ambapo uonevu na ukandamizwaji wa wananchi unapofanywa na watawala.
Tweet media one
284
226
2K
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
#Tanzania : "Mbowe sio gaidi” Maneno ya mama wa Freeman Mbowe
116
378
2K
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
#Tanzania : Wakili anayesimamia kesi ya Mbowe, Peter Kibatala akizungumza na Askari waliokua wakitaka kumkamata moja ya wanachama wa CHADEMA
81
236
1K
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
Dar kunani? Shuhuda aelezea namna ilivyokua kwenye majibizano ya risasi kati ya polisi na majambazi. Tukio hilo limetokea muda huu katika daraja la Salender jijini Dar es Salaam #Tanzania
155
218
1K
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
WINNING ‘AFRICAN GIANT’ Burna boy, The Grammy-award winning Afrobeats star has made Africa proud once again. This time, his three highly accoladed albums Twice as Tall, African Giant and Outside have been recognised for reaching 100 million streams each on Spotify.
Tweet media one
19
119
936
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
Ni nani atamlipa Mbowe fidia? Mwananchi Tanzania akosoa kukamatwa kwa Mwenyekiti CHADEMA Freeman Mbowe. @ChademaTz
41
251
913
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
Former Comptroller and Auditor General of #Tanzania , Prof. Mussa Assad says the country’s constitution in its current structure and provisions, gives excessive power to the government, in a manner that infringes on freedom of speech; Assad says the solution is a new constitution.
27
236
887
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
#TANZANIA : "Tunamtaka bwana Kitenge, na genge lake la Jamvi la Habari wakanushe mara moja ndani ya siku 7, upotoshwaji ambao wamefanya ndani mbuga yetu ya Ngorongoro, upotoshwaji kuhusu jamii yetu ya Kimasai, na asipofanya hivyo hatua za kisheria zitafata mkondo wake"
112
203
875
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
#Tanzania : Freeman Mbowe shares moments with his daughter at the high court today
Tweet media one
20
97
852
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
#Tanzania : Maoni ya wakaazi wa Mwanza kuhusu kukamatwa kwa viongozi wa CHADEMA
20
163
848
@MwanzoTv
MwanzoTV
2 months
#KENYA : Martha Karua Condemns Abductions and Killings of Tanzanian Opposition Leaders NARC-Kenya Party leader Martha Karua has condemned the recent abductions, torture, and killings of opposition leaders in Tanzania. In her statement via her X account, Karua called on the
Tweet media one
13
243
866
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
#Tanzania opposition politician Tundu Lissu, who has been exiled in Belgium after fleeing the country in 2020, has arrived in Kenya ahead of his book launch on Friday Mr Lissu will be launching his book titled Remaining in the Shadows:Parliament and Accountability in East Africa
Tweet media one
23
104
823
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
#uganda : ASANTE MAMA Edward Kasenge ampigia mamake magoti sokoni na kumshukuru baada ya kuhitimu na shahada ya viwanda na saikolojia.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
50
89
768
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
#Kenya :Mkurugenzi wa upelelezi wa makosa ya jinai (DCI) George Kinoti amehukumiwa kifungo cha miezi 4 gerezani kwa kukosa kutii amri ya mahakama iliyomtaka kuachilia silaha za mfanyabiashara Jimi Wanjigi.Kinoti anatakiwa kujisalimisha gerezani ndani ya siku 7.
Tweet media one
45
143
755
@MwanzoTv
MwanzoTV
2 years
#TANZANIA : "Vijana wetu wamekuwa wakiwategeshea watu madawa na kisha wanakwenda wanazunguka kisha wanarudi na kikundi cha watu na kusema tumekuja kukupekua, wanasema ana madawa ya kulevya kumbe wamemtegeshea" Rais Samia Suluhu.
Tweet media one
73
79
747
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
#Tanzania : MAANDAMANO YA BAVICHA Baraza la vijana wa chama cha Chadema, Bavicha waandamana mjini Msoma baada ya polisi kuzuia kuandaliwa kwa kongamano la katiba mpya mjini humo.
40
174
733
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
#TANZANIA : Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema chama hicho kilifahamu kuwa Lazaro Nyalandu ambaye alikua ni mjumbe wa kamati kuu angeondoka kutokana usaliti kwani alishindwa kuvumilia mateso ya kuporwa ushindi wa ubunge mwaka 2020.
Tweet media one
12
51
732
@MwanzoTv
MwanzoTV
1 month
#TANZANIA : Tanzanian opposition leader Freeman Mbowe’s daughter, Nicole Mbowe, was arrested today, September 23, 2024, in the Magomeni area of Dar es Salaam, just moments after her father was detained. Nicole was taken into custody while speaking to reporters. Earlier this month,
Tweet media one
5
159
760
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
BREAKING: Tanzania’s BAWACHA (Baraza la Wanawake Chadema) Women Wing of the country’s main opposition party, Chadema, are holding demonstrations outside the US embassy in Dar es Salaam calling for the release of their Chair Freeman Mbowe, who is being held over terrorism charges.
Tweet media one
38
109
680
@MwanzoTv
MwanzoTV
2 years
#TANZANIA : “Huko mitaani siku hizi, mtu akikaa na simu yake anajifanya naye ni mchumi, anaelezea masuala ya nchi hii utadhani yeye ndiyo anayajua sana, kwa hiyo upotoshaji ni mwingi sana"-George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge),
Tweet media one
791
50
683
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
#Tanzania : Raia anaedhaniwa kuwa ni mwanachama wa Chadema amekamatwa na polisi nje ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakati kesi ya Freeman Mbowe ikiendelea kusikilizwa.
Tweet media one
Tweet media two
68
98
665
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
Rais Uhuru Kenyatta amewasilisha ilani ya kukata rufaa katika mahakama kuu kuhusiana na kesi ya BBI. Rais amepinga uamuzi uliowasilishwa na jopo la majaji walioongozwa na Jaji Joel Ngugi, anapinga pia uamuzi wa majaji kuwa anaweza kushtakiwa kama mtu binafsi na sio kama Rais.
Tweet media one
32
45
651
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
#Ukraine President Volodymyr Zelensky has rejected asylum offers from Europe: "I will stay in my country and if I die, I will die with my soldiers."
Tweet media one
15
48
644
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
BREAKING: Israel air raids flattens Gaza building housing Aljazeera, BBC and Media outlets Courtesy @AJEnglish
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
19
74
627
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
Mwenyekiti CHADEMA, Mhe. Freeman Mbowe, amepata mawakili wapya kumwakilisha katika kesi inayomkabili ya uhujumu uchumi na ugaidi. Mbowe alikamatwa mwezi Julai mjini Mwanza na sasa atawakilishwa na wakili wa kimataifa Robert Amsterdam akishirikiana na mawakili wengine #Tanzania
Tweet media one
68
108
632
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
Rais Samia Suluhu Hassan wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, aonekana kavaa barakoa kwa mara ya kwanza katika mkutano na wazee wa mkoa wa Dar Salaam, katika ukumbi wa Mlimani City.
Tweet media one
Tweet media two
33
34
612
@MwanzoTv
MwanzoTV
2 years
#TANZANIA : “Sitaacha kukumbuka kazi njema sana iliyofanywa na Maria Space na Club house katika kujadili mambo mbalimbali hawa walisimama kuiabarisha dunia na kuifungua macho kuhusu madhira yanayoendelea”- Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani Tanzania CHADEMA
Tweet media one
13
76
615
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
#Tanzania : Mashabiki wa msanii Diamond Platinumz, aliyeteuliwa kuwania tuzo ya BET nchini Marekani ,wamesema hawatampigia kura msanii huyo baada ya yeye kumtetea Paul Makonda, aliyetuhumiwa kwa makosa ya kudhalimu makundi ya wanaharakati na wanasiasa wa upinzani nchini humo.
Tweet media one
49
122
589
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
#Tanzania : Waziri Mkuu mstaafu Jaji Joseph Warioba.
Tweet media one
13
94
584
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
#Tanzania : Kamati ya Mambo ya Nje kwenye bunge la wawakilishi nchini Marekani, imeitaka Tanzania kuwaachia viongozi wa upinzani na kusema kuwa mamlaka nchini Tanzania zimekuwa zikienda kinyume na haki za bidanamu na misingi ya demokrasia.
Tweet media one
12
141
574
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
#Tanzania : Mahojiano na mhe. Freeman Mbowe Mei 21 2021, alipozungumzia kutokuwa na uhakika wa usalama wake na ule wa wanachama wa vyama pinzani. Video kamili bonyeza hapa:
8
130
584
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
#KENYA : Kauli ya aliyekuwa Jaji Mkuu, David Maraga kuhusu uteuzi wa majaji uliofanywa na Rais Kenyatta
Tweet media one
12
62
556
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
#Tanzania : MBOWE AKAMATWA Mwenyekiti wa chama kikuu pinzani nchini Tanzania (CHADEMA) Mhe. Freeman Mbowe amekamatwa mjini Mwanza.
Tweet media one
15
98
558
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
Mtanzania Maryam Salim ambaye ni mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania na Mwanadiplomasia Nguli Dkt. Salim Ahmed Salim, ameteuliwa kuwa Meneja wa Benki ya Dunia nchini Cambodia baada kuhudumu katika nafasi hiyo nchini Albania kwa miaka 4.
Tweet media one
20
46
551
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
#Kenya : Jaji wa Mahakama kuu Anthony Mrima amefuta maagizo yaliyotolewa na Kamati ya Ushauri ya Usalama wa Kitaifa(NSAC) iliyopiga marufuku mikutano ya umma na ya siasa nchini kudhibiti kuenea kwa maambukizi ya UVIKO 19. Jaji Mrima amesema agizo hilo lilikuwa kinyume cha katiba.
Tweet media one
49
110
546
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
#Tanzania : International Democratic Union (IDU) Reacts to the arrest of Chadema leader Freeman Mbowe and 10 other members. IDU says the arrests are a crackdown on Democracy movements in Tanzania and has vowed to take action towards securing the release of Mbowe and the others.
7
138
545
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
#TANZANIA : MBATIA AZUNGUMZIA SAKATA LA HAMZA
Tweet media one
22
57
525
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
#Tanzania : Leo ni siku ya kuzaliwa ya Mwenyekiti CHADEMA @freemanmbowetz Je, ni ujumbe upi ungependa umfikie kiongozi huyu wakati huu mgumu akiwa gerezani?
Tweet media one
44
59
526
@MwanzoTv
MwanzoTV
2 years
#TANZANIA : Wanafunzi wa Shule ya Msingi Buza wakimpungia mkono Tundu Lissu ambaye hivi sasa anategemea kufanya mkutano wa hadhara Temeke
32
90
525
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
#TANZANIA : Organisers of the petition against Diamond say he cannot compete with BET award-winners Davido and Burna Boy, who they say use their influence to bring to light injustices in their country. Diamond is up for the Best International Act at this month's BET awards.
Tweet media one
14
54
499
@MwanzoTv
MwanzoTV
4 years
21
42
504
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
"Msajili wa vyama vya siasa hana mamlaka yoyote juu ya mikutano ya siasa" - @TunduALissu
21
112
496
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
Shinikizo la kumtaka Rais Uhuru Kenyatta kuwateua majaji sita aliowaacha nje katika uteuzi wake wiki iliyopita unaendelea huku shirika la Majaji na Mahakimu wakifikiria kumshtaki rais.
Tweet media one
9
35
494
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
Baraza la Wanawake Chadema mkoa wa Simiyu na Baraza la Wanawake Chadema mkoa wa Dar es salaam, wamefika katika ofisi za Umoja wa Mataifa jijini Dar es salaam, kuomba umoja huo uwasaidie kuujulisha ulimwengu kuwa Mwenyekiti wao Freeman Mbowe sio gaidi.
Tweet media one
Tweet media two
26
95
490
@MwanzoTv
MwanzoTV
4 years
Tweet media one
50
47
485
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
#TANZANIA : “Leo Mwenyekiti wa Chadema, ana kesi, sitaki kuingilia lakini naamini kutokana na busara yako (Mwanasheria Mkuu wa Serikali) na kutokana na vigezo ambavyo sheria hii imeainisha haya mambo muyamalize kwa haki na kisheria,”-Halima Mdee, Mbunge wa Viti Maalum.
Tweet media one
90
41
499
@MwanzoTv
MwanzoTV
2 years
#TANZANIA : Rais wa Chama cha Wafanyakazi Tanzania, Tumaini Nyamhokya, ameitaka Serikali kufuta Tozo za miamala ya Kibenki zinazowaathiri Wafanyakazi kwa kuwa wanalipa kodi (PAYE) na kukatwa tena fedha zao wanapozichukua Benki. Ametoa wito kwa Serikali kufikiria njia mbadala.
Tweet media one
57
90
479
@MwanzoTv
MwanzoTV
4 years
Twitter to open its African headquarters in Ghana. Why Ghana ? As a champion for democracy, #Ghana is a supporter of free speech, online freedom, and the Open Internet, of which Twitter is also an advocate.
Tweet media one
6
69
483
@MwanzoTv
MwanzoTV
4 years
Kenya ya zindua kiwanda cha silaha. Akizugumza katika ufunguzi rasmi wa kiwanda hicho, Rais Kenyatta alisema ni bora kwa taifa kujitegemea katika usalama wake kupitia uzalishaji wa ndani wa vifaa na teknolojia. #MwanzoTV #MwanzoMpya
Tweet media one
21
53
475
@MwanzoTv
MwanzoTV
4 years
WAFANYABIASHARA WAIKIMBIA DAR ES SALAAM. Mbunge wa Ilala Mussa Zungu amesema biashara katika jiji la Dar es salaam, zimekufa na wafanyabiashara wanaondoka kwenda nchi nyingine kufanya biashara kwa sababu wanashindwa kupita kwenye barabara katikati ya mji. #MwanzoTV
Tweet media one
99
37
464
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
KESI YA FREEMAN MBOWE Jopo la mawakili wa utetezi linaloongozwa wakili Peter Kibatala katika kesi ya Freeman Mbowe wametaka kesi hiyo ya ugaidi ipelekwe Mahakama Kuu ili kutazama matamshi yaliyotolewa na moja ya taasisi kubwa nchini #Tanzania ambayo yameingilia uhuru wa Mahakama.
Tweet media one
Tweet media two
4
83
467
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
#Tanzania : Katibu Mkuu wa @BawachaTaifa , @CatherineRuge ameeleza kuwa dhumuni ya kupeleka ujumbe ubalozi wa Marekani ni kutaka dunia ijue kuwa serikali na Rais @SuluhuSamia wanavyovunja haki za binadamu ikiwa ni pamoja na kumbambikia kesi mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe.
10
69
447
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
#Tanzania : "Tukisahau yaliyopita yatatendeka tena." @TunduALissu Video Kamili Bonyeza Hapa:
9
80
444
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
#Kenya : JAJI MKUU AMUONYA RAIS Jaji Mkuu Martha Koome amemuonya Rais Uhuru Kenyatta dhidi ya kuingilia shughuli za mahakama na kutoheshimu sheria za nchi. Jaji Koome amemhimiza Rais kuwateua majaji 6 aliowawacha nje,wakiwemo 2 waliopinga muswada wa kubadili katiba wa BBI.
Tweet media one
30
61
435
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
#Tanzania :Katibu Mkuu wa Bawacha Catherine Ruge, mjumbe wa kamati kuu ya chama ,Susan Kiwanga pamoja na viongozi wengine na wanachama 11, wamekamatwa na polisi wakiwa nje ya mahakama ya Kisutu walipokwenda kusikiliza kesi ya ugaidi inayomkabili Mhe. Freeman Mbowe.
Tweet media one
9
66
425
@MwanzoTv
MwanzoTV
4 years
RIPOTI KUU YA MDHABITI NA MKAGUZI MKUU WA TANZANIA (CAG) Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) imebaini kuwa akaunti ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji ilitumika kupitisha malipo batili ya Sh261 milioni. #MwanzoTV #MwanzoMpya
Tweet media one
9
46
439
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
"Tanzania's Attorney General is not qualified."- @fatma_karume For Full Video:
8
69
425
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
CHADEMA WAMKOSOA SAMIA Katibu Mkuu wa Chama cha CHADEMA nchini Tanzania, John Mnyika amesema bado wanawake nchini humo wana safari ndefu katika kupigania usawa wa kijinsia katika uteuzi wa viongozi kwani pamoja na kuwa kuna rais mwanamke lakini bado wanawake wamewekwa nyuma.
Tweet media one
12
33
415
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
#Kenya : Kiongozi wa upinzani nchini Tanzania, Tundu Lissu, aliyekuwa uhamishoni Ubelgiji baada ya uchaguzi wa 2020 amewasili nchini Kenya. Lissu anatarajiwa kuzindua kitabu chake, Remaining in the Shadows:Parliament and Accountability in East Africa , kesho 25 Juni.
Tweet media one
17
62
422
@MwanzoTv
MwanzoTV
4 years
"IMF Punguzeni madeni kwa mataifa maskini." Baba Mtakatifu. Baba mtakatifu ametoa wito kwa mashirika ya fedha ulimwenguni ya World Bank na IMF kuyapunguzia mataifa maskini mzigo mzito wa madeni yanayowafadhaisha . #MwanzoMpya #MwanzoTV
Tweet media one
9
49
415
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
Viongozi wawili kati ya 36 wa Jumuiya za Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI), Sheikh Farid Hadi Ahmed na Mselem Ali Mselem waliokuwa wanakabiliwa na kesi ya ugaidi wameachiwa huru hapo jana baada ya DPP kuwafutia mashtaka yaliyokuwa yanawakabili.
Tweet media one
19
45
415
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
Kesi inayomkabili kada wa CHADEMA Mdude Nyang’áli imeahirishwa hadi June 28.Kesi hiyo ilitakiwa kutolewa hukumu leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mbeya.Mdude anakabiliwa na kesi ya kusafirisha heroin gramu 23.4 mwaka 2020.
Tweet media one
5
36
408
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
#Tanzania : Rais Samia Suluhu amemsimamisha kazi Mkuu wa Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro Lengai Ole Sabaya kuanzia leo ili kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali zinazomkabili.
Tweet media one
14
32
405
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
#Tanzania : Mwanachama wa CHADEMA Stephano Charle azungumzia tukio la kukamatwa kwa Mhe. Freeman Mbowe
5
85
407
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
TANZANIA: Kauli ya Mhe. Tundu Lissu kuhusu Jaji Elinazer Luvanda kujiondoa kusikiliza kesi ya Mhe. Freeman Mbowe @TunduALissu Video kamili:
7
103
383
@MwanzoTv
MwanzoTV
4 years
#TANZANIA : Urusi imesema inapanga kusitisha huduma za anga kati yake na Tanzania kuanzia Aprili 15 hadi Juni 01, 2021 kutokana na hali ya mlipuko wa virusi vya Corona. Serikali imesema itapitia upya zuio hilo ikiwa hali ya kuenea kwa ugonjwa wa Corona utapungua.
Tweet media one
20
61
390
@MwanzoTv
MwanzoTV
2 years
#TANZANIA : Kimeumana, Mbunge asimama kidete kuwatetea Wananchi wa Ngorongoro, Naibu Waziri wa Utaliiadai hakuna watu wanaoishi katika eneo hilo. Zaidi:
18
89
388
@MwanzoTv
MwanzoTV
4 years
#Tanzania Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa hesabu za Serikali (CAG) imebaini kuwa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la ndege Tanzania (ATCL), haina mjumbe mwenye uzoefu wa masuala ya anga, hivyo kusababaishia hasara serikali.
Tweet media one
12
35
378
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
"Tufanye marekebisho ya katiba." @freemanmbowetz Video Kamili Bonyeza hapa:
12
78
384
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
Tweet media one
4
30
382
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
#Tanzania : GADHABU ZA WANANCHI DHIDI YA SABAYA
28
66
382
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
#TANZANIA : Mke wa Kikwete ataka walipwe stahiki wenza wa Rais, Makamu na Waziri Mkuu mara tu mwenza wake anapostaafu Bofya:
234
44
381
@MwanzoTv
MwanzoTV
1 year
"Kwa maoni yangu kama mtaalaamu wa mikataba na masuala ya Sheria na kwa uzoefu wangu, huu mkataba ni mkataba wa hovyo kuliko mikataba mingine yote ambayo mimi nimeiona na ambayo nimeichmbua tangu tuanze kuitwa Tanganyika,"- Mhe Tundu Lissu- Makamu Mwenyekiti CHADEMA
Tweet media one
7
64
384
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
Kenya -Tanzania Bilateral Talks. Her Excellency @SuluhuSamia , President of the United Republic of Tanzania will arrive in Kenya on Tuesday, 4th May 2021 for a two-day State Visit.
Tweet media one
Tweet media two
8
29
376
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
KUAPISHWA KWA RAIS MPYA Assimi Goita, kanali aliyepindua marais wawili katika muda wa miezi 9 nchini Mali, ameapishwa kuwa rais wa mpito. Katika hotuba yake, Goita amesema atahakikisha kumeandaliwa uchaguzi wa demokrasia nchini humo.
Tweet media one
13
37
374
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
KENYA : "The power to amend the constitution through the Popular initiative route under Article 257 of the Constitution is reserved for the private citizen only.” Justice Joel Ngugi
Tweet media one
4
20
369
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
#TANZANIA : Ndege aina ya Dash 8 Q300 iliyokuwa mbovu tangu mwaka 2016 imepelekwa nchini Malta kufanyiwa matengenezo makubwa, na matengenezo hayo yanatarajiwa kukamilika Juni mwaka huu hivyo kuifanya ATCL kuwa na jumla ya ndege 12.
Tweet media one
62
33
373
@MwanzoTv
MwanzoTV
2 years
#TANZANIA “Tunamtaka Rais Samia Suluhu Hassan, amuondoe ofisini IGP Wambura, amuondoe ofisini DCI Kingai, amuondoe ofisini RPC Mara, amuondoe ofisini Kamanda wa polisi wa wilaya ya Serengeti.Rais amuondoe Masauni kwa sababu hii ni mstari wa genge ambao unatengeza uhalifu"-Kigaila
Tweet media one
26
73
372
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
A call to BET Awards to disqualify Diamond..WHY? Diamond used his popularity to whitewash the brutal repression of the late dictator John Magufuli and his regime. Makonda, his media company Patron, was flagged by the US for gross violations of human rights.
Tweet media one
22
39
363
@MwanzoTv
MwanzoTV
4 years
Kampuni za Kenya Airways na Ethiopian Airlines zimeungana na Shirikisho la Usafiri wa Angani Afrika Magharibi na Kati (ASKY) kutumia mfumo wa kidijitali wa PANABios, unaoendeshwa na AU ikishirikiana na Vituo vya Kudhibiti Magonjwa Afrika (Africa CDC).
6
26
351
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
DEVELOPING: President Uhuru Kenyatta has appointed Martha Koome as Kenya’s next Chief Justice. Martha becomes Kenya's first female CJ.
Tweet media one
5
32
349
@MwanzoTv
MwanzoTV
2 years
CHADEMA tunasema, Rais yeyote wa chama chochote, tusimruhusu tena awe juu ya katiba ya nchi! - Freeman Mbowe Tazama:
6
69
359
@MwanzoTv
MwanzoTV
4 years
#TanzaniaAir HASARA YA MABILIONI KUTOKA ATCL. Ukaguzi wa fedha wa mwaka 2019/2020 ulionyesha hasara ya Tsh.150 bilioni katika miaka mitano iliyopita ikiwa ni Pamoja na hasara ya Tsh.60 bilioni mwaka jana. #MwanzoMpya #Mwanzotv
Tweet media one
13
40
341
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
#GUINEA :Wiki moja baada ya mapinduzi ya serikali, mkuu wa junta Luteni Kanali Doumbouya amewaalika viongozi wa vyama vya kisiasa, wanadiplomasia, asasi za kiraia na viongozi wa dini kwenye kongamano.Kongamano la siku 4 litakuwa lakuweka mikakati ya kurudi kwa uongozi wa raia.
Tweet media one
15
47
344
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
#TANZANIA : Manase Mbowe, an uncle to Tanzania’s main opposition party (Chadema) Chairman, Freeman Mbowe, has passed away today at the country’s Machame Hospital where he was undergoing treatment. James Mbowe, Freeman's son, has confirmed the reports.
Tweet media one
11
49
346
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
"Demokrasia TZ haitatolewa kama zawadi, lazima ipiganiwe." @freemanmbowetz Video Kamili Bonyeza hapa:
9
64
346
@MwanzoTv
MwanzoTV
4 years
HABARI ZA HIVI SASA #MOTO WAZUKA UGANDA Zima moto wanaendela kukabiliana na moto katika jengo la kuhifadhi dawa lililopo viwandani. Chanzo cha moto huo hakijabainika. #MwanzoMpya #MwanzoTV
3
23
336
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
Rais Yoweri Museveni ameamuru gari la mpinzani wake,mgombea urais nchini Uganda Robert Kyagulanyi au Bobi Wine, lenye uwezo wa kukinga risasi kuachiwa na mamlaka ya ushuru (URA) baada ya kufanyiwa utathmini upya.
Tweet media one
15
35
341
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
#ESWATINI : YUWAPI MFALME MSWATI ? Kulingana na taarifa kwenye mitandao ya kijamii nchini Eswatini, Mflame Mswati 111 ameikimbia nchi yake baada ya maandamano na ghasia kuzuka kutoka kwa wale wanaotaka uongozi wa kidemokrasia nchini humo.
Tweet media one
7
33
332
@MwanzoTv
MwanzoTV
4 years
Headlines.... #Tanzania
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
25
327
@MwanzoTv
MwanzoTV
4 years
President Joe Biden has said the newly announced sanctions against Russia are a proportionate response to cyberattacks against the US and interference in 2 presidential elections, but also emphasized that "now is the time to de-escalate" tensions with the country.
Tweet media one
2
37
330
@MwanzoTv
MwanzoTV
9 months
Tundu Lissu, the Vice chairman of Tanzania’s main opposition party, CHADEMA, joins supporters of the party during the peaceful demonstrations held by the CHADEMA today in Dar es Salaam. The peaceful demonstrations are aimed at fighting for rights to a new constitution and
6
98
339
@MwanzoTv
MwanzoTV
2 years
Na Nimewaambia CCM, Kama Mumefikiri mumeiuwa CHADEMA, mumeiongezea mwendo... Adabu mliowapa ya kuwa utumwani kwa miaka 7 mtaiona hasira yake mwaka 2025 - Freeman Mbowe Tazama:
4
47
335
@MwanzoTv
MwanzoTV
2 years
Baraza kuu la chama cha wananchi nchini Tanzania CUF limetoa onyo kali kwa taifa la Urusi kukoma kuwatumia watanzania katika vikosi vyake vitani. Tazama:
61
21
330
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
"Kuna vuguvugu kubwa #Tanzania sasa la kudai katiba mpya, msimamo rasmi wa Rais Samia ni kwamba wanaotaka katiba mpya watasubiri sana". ~Tundu Lissu
Tweet media one
7
26
322
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
BREAKING | #Tanzania ’s BAWACHA (Baraza la Wanawake Chadema) Women Wing of the country’s main opposition party, Chadema, has delivered a letter to Ambassador Donald Wright @USAmbTanzania requesting intervention on the deteriorating Human Rights Situation in Tanzania.
Tweet media one
Tweet media two
13
61
312
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
Waziri wa Nje wa Urusi Lavrov: Tuko tayari kwa mazungumzo ikiwa jeshi la #Ukraine litajisalimisha. Soma zaidi:
Tweet media one
17
18
307
@MwanzoTv
MwanzoTV
3 years
@TunduALissu amtaka Rais Samia Suluhu kufanya mabadiliko kwa vitendo na si maneno, asema kazi aliyonayo ni kusafisha yaliyofanywa na hayati Magufuli. Video Kamili Bonyeza Hapa:
8
64
312