JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi Profile Banner
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi Profile
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi

@JabirSaleh

69,481
Followers
5,095
Following
4,712
Media
109,821
Statuses

Head of Programs Productions (Radio) Tv and Radio personality Efm/Tve Tanzania Music Analyst

DAR ES SALAAM,TANZANIA
Joined July 2011
Don't wanna be here? Send us removal request.
Pinned Tweet
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
5 years
'Ni bora kukaa kimya kuliko kuzungumza yasiyo na maana,na ni bora zaidi kuzungumza yalio na maana kuliko kukaa kimya' _ Prophet Muhammad swallallahu Alayhi wasallaam
74
287
1K
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
2 years
Maghettoni ndo eneo la amani kwa muhuni,usipeleke watu wa ajabu magetoni uepuke pira na misala,sawa na usipeleke manzi mduanzi akakuletea makelele maghettoni,magetoni kuna paswa kua amani uchore ramani zako za vita za kila siku..Salaam kwa wahuni maghettoni ✊🏿
102
280
2K
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
1 month
Belle 9 amefiwa na Mama yake hii leo,mara kadhaa tume cancel mahojiano yake ya The Classic kwa sababu ya kumuuguza mama yake ambae sasa ametangulia mbele za haki,pole kwake sana na pole pia kwa @pmawenge ambae nae amefiwa na Mama masiku machache yaliopita,Allah awape subira 🙏🏾
Tweet media one
Tweet media two
45
117
2K
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
2 years
Kuna mwenye kali zaidi ya hii wanangu?😃😃nidondoshee hapo down👇🏿
Tweet media one
81
75
1K
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
10 months
KUWENI MAKINI NA MAPENZI NAWAKUMBUSHA (REMY NA PAPPOSE) Rapper mkali wa New York #pappose alimsubiri mpenzi wake Remy Ma kwa miaka 6 akiwa jela katika kifungo cha miaka 8 ili aje kumuoa,Alipotoka alimpokea na kutimiza azma yake ya kumuoa Pap na Remy wakafanikiwa mtoto wa kike👇🏾
Tweet media one
Tweet media two
56
84
1K
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
26 days
Eeeh Baba ,Dojo hatutamuona tena baba 💔 ,pole sana my brother @domokayatz hakika ni huzuni sana,mliimba wote kazi yake Mola ,leo tunaupiga kwa kazi yale Mola kwa mwanetu,Unbelievable 🙏🏾 Kwa heri Dojo Picture credit : Crown Media
Tweet media one
23
46
1K
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
1 year
Tatizo mtaji tu 😎
Tweet media one
25
28
1K
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
2 years
Jana mkubwa Fella alifika dakika 40 kabla ya kipindi kuanza. Katika maisha yangu ya Utangazaji only @jidejaydee ndio amewahi fanya hivi (discipline) nae alifika karibu saa moja kabla ya kipindi na Adili Chapakazi (nusu saa kabla)
Tweet media one
36
38
953
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
2 years
Wanangu wa kitambo,linapokuja suala la kusifia misosi kwenye mashairi 😁😁 nani anakutoa udenda zaidi?nani nishai😄😄😄
Tweet media one
137
31
950
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
4 years
Manigaa tukikaaga wenyewe kila mmoja utamsikia mi sihongi kabisa ila kwa ground bwana 😆😆😆 manigga wanapasuka sana!
84
42
873
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
3 months
Kaka @chapo255 kumbe haya maunyama nlitoa droo na Ammi #Mmangakulakula na hausemi ?hii huwezi post na mapashkuna wako 😀😀😀 #kuvimisuti #zeelakutrendi
Tweet media one
48
43
830
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
1 year
This is interesting🤣..Nenga anakiri kua yuko mtegoni (trapped) kwa kufanya muzki ambao hata yeye haupendi,na hata anahofia kizazi chake kupotoka,anasema “njaa” ndio inasababisha aingie huku. Swala Je NANI anapaswa kuwajibika wao wasanii,media au mashabiki? Na nyie mmemuelewa?
93
133
803
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
4 months
Picha ambazo hajawaonyesha chapo hizi 🤣🤣kaka punguza wivu kichaa wangu 🤣😆😆
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
@chapo255
SANUKAnaCHAPO
4 months
Picha ya siku
Tweet media one
137
92
2K
123
65
787
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
4 months
Wanasema huyu Msela lile jicho bovu limemkaa kuliko akiwa na jicho lake halisi 🤣🤣🤣
Tweet media one
73
26
782
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
10 days
Stereo Singa Singa ni moja ya wana Hiphop waliokua na mitambao (Flows) yenye ufundi mwingi sana pengine haizungumzwi itakiwavyo,Kama tunakubaliana niorodhoshee walau tracks 3 zinazothibitisha hilo kwa upande wako👇🏾
Tweet media one
184
79
784
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
4 months
So Fresh So Clean #kuvimisuti #Zeelakutrendi 😆
Tweet media one
Tweet media two
63
54
761
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
2 years
Marioo (Dear Ex) na jay Melody (Nakupenda) ipi ni namba 1 hit kwenye country kwa sasa? Naona mchuano mkali.
89
16
734
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
2 years
Hesgoal jana wameipiga chini rasmi,kuna chimbo lolote huko wakuu jingine?
84
97
752
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
5 months
CHUMA KIMEANGUKA/OJ SIMPSON AFARIKI DUNIA /ALIITIKISA MAREKANI NA DUNIA KWA TUHUMA ZA MAUAJI YA MKEWE/KUKAMATWA KWAKE NA KESI YAKE VILIRUSHWA LIVE DUNIANI Ukisikiza wimbo wa (The story of OJ) wa (Makame tolu) kuna line anasema “I’m not a black ,I’m Oj “ ,haya ni maneno ya👇🏾
Tweet media one
Tweet media two
44
74
740
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
2 years
😁😁😁😁TID VS DEMU FEKI 😁😁😁😀 Cc @chapo255
109
185
732
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
11 months
Ukiambiwa uchague wimbo mmoja wa Bongofleva wenye kuelimisha zaidi ambao ndio bora wa muda wote utachagua wimbo gani?
322
59
726
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
2 years
Siku unazoshinda Ghetto majirani ndo wanakaangiza kinoma yani😄
Tweet media one
24
13
706
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
8 months
Bonge ya Muwa 👍🏾,ila huyu Chidi Beenz huyu nafasi yake bado ipo paleeee ..Mungu amuongoze katika vita nzito alio nayo ,maana ni yeye hasa ndo muhusika..Bonge la dude 🙌🏾
Tweet media one
61
53
707
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
4 years
Wakati flani wakati naanza job nlikua nakaa na marehemu my Mother..Raia wakawa wananisema sana jamaa hataki kuacha kukaa home..kumbe hawakujua nlikua namuuguza for five years..Alhamdulillah nmekaa nae mpk amefariki nkasepa yale maeneo ya kitaa miaka kibao wanasema navimba😂😂😂
53
24
688
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
9 months
ALLAH IS THE GREATEST Naweza sema jana ndo nlifanya mahojiano magumu zaidi katika maisha yangu yote ya utangazaji,nlikua najiuliza @professorjaytz kila nkikutana nae anakua fit na kuzinguana sana vp leo ametoka kuumwa muda mrefu atakua Jay yule yule?je atafurahia mahojiano 👇🏾
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
24
72
698
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
5 months
Masta ni masta kabisa ,show moja ya level za juu kabisa,hakika Hiphop won last night 🙌🏾
Tweet media one
11
61
662
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
3 months
🗣🗣🗣Hallo @chapo255 bado uko kitandani? kwa raha gani,amka mara moja ushuhudie maunyama usisahau kutag mapashkuna wako 😎
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
51
50
661
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
17 days
Kuna namna Lamar alitupatia “touch” yake peke yake kabisa kwenye game letu,yani ukigusa tu unajua hii production ya Lamar licha ya kuanza mdogo sana,Goma gani unalikumbuka toka kwake na ilikuburudisha mno?niorodhoshee hapo chini 👇🏾tuone
Tweet media one
206
45
655
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
2 years
Ni vile hatuna “MITAJI TU” ila tunatamani na sisi tufike huku 😁 (read again)
Tweet media one
21
19
625
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
1 year
😆😆dunia ilipofikia sasa ishakua balaa..Kamanda tukuweke refa au kamisaa? @Geoffrey87Lea 😂😂
Tweet media one
84
29
629
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
4 months
Yeye ni legend katika uwanja wa uigizaji Tanzania,Gwiji katika upande wa wachekeshaji,ametuchekesha tangu wadogo mpka tukawa wakubwa na bado kizazi kipya kinaendelea kucheka kupitia videos zake,katika siku za karibuni amekua meme kwenye mitandao mbali mbali ya kijamii lakini👇🏾
Tweet media one
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
4 months
The Classic ya kesho (panapo uhai na uzima) itaku suprise tena lakini surely ufaifurahia #theclassicefm
14
10
144
96
76
642
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
1 year
Isingewezekana kukaa kimya🤣
Tweet media one
77
25
638
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
2 years
Unamjua “TAITA “ vizuri? Huyu ndo TAITA bwana 😁
Tweet media one
49
17
609
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
3 months
Hizi “mahsoos” kwa ajili ya @chapo255 na mapashkuna wake 😎😎 najua hawatapost hiz ila dawa itaingia,kama bado anapumua mniambie nimtwange nyengine Maunyama ya @prince_coutureT 🙌🏾🙌🏾 #kuvimisuti #zeelakutrendi
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
84
61
635
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
9 months
“Mimi siringi,ila i’m proud of what i have accomplished” - Nisher (M.A.P) nb : Acha upendo utuongoze - Lugombo Makanta
10
72
609
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
8 months
Ngoma za kusifia majiji mtoni zilitoka nyingi wazee wa NYC Nas,Jigga,Dipset,Ja Rule na wengine ,wazee wa LA kina Pac waliachia zao ,ila mhuni Luda na JD walipkuja na Welcome To Atlanta watu wote wakafyata mkia 😁😀ule mua ukawavuruga mpaka likapigwa remix watu wakaomba wawemo😁🙌🏾
Tweet media one
69
51
611
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
7 months
Kuhusu Grammy’s nlitaka tu kuwakumbusha hawa jamaa hapa mpaka wanakufa hakuna alieshinda hata moja ,lakini legacy zao zinafunika mamia ya washindi wa Grammy sio tu kwenye Hiphop Bali muziki kwa ujumla Biggie,Pac and X ✊🏾
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
48
63
605
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
8 months
Maisha 😆🙌🏾
Tweet media one
84
16
594
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
8 months
Mtayarishaji wa muziki nchini Geoff Master amefariki dunia ,siku za karibuni aliwahi kuripoti kua na matatizo ya uvimbe kichwani na alifanyiwa upasuaji kama sehemu ya matibabu yake. Pole kwa ndugu jamaa na marafiki,MAP Geoff Master
Tweet media one
68
58
598
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
1 year
Mwaka 2004 Album ya Safari ilipotoka ,Ferouz aliweka rekodi ya kuuza nakala 200,000 katika wiki ya kwanza (level za kimataifa kbs) na ikumbukwe hiyo ilikua ni wakati wa tapes ama kanda kwa kiswahili,makisio alipiga zaidi ya Million 150 (yeye),Jana alitupa stories nyingi 👇🏿
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
52
39
595
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
10 months
Lakini!! Achana na sifa zake za umende zinazoibuka kwa kasi,Ali Msomali alikua anaona raha gani manzi wake anapigwa mijeledi na wana wahuni wengine na yeye anarekodi?ujue unaweza muona mtu wa maana kumbe akili za kidabidi 😁 #pumbavusana 😎
Tweet media one
Tweet media two
80
24
588
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
3 years
50K followers here sio joke kabisa..Asanteni sana kwa Love na Support ya kutosha ..Got nothing but love kwenu wote
Tweet media one
36
18
568
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
4 months
Bro wa Usalama akipitia whatsapp status mbali mbali ,hapa nakwenda kama Zee la Kutrendi sasa 😎 #kuvimisuti
Tweet media one
58
37
590
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
7 months
Mikono ya dhahabu kwenye Utamaduni wa Hiphop,OG Dr Dre usiku wa Leo anatimiza miaka 59 ya maisha yake,anaonekana Kama hajafika hiyo miaka hivi eenh😁,anyways leo nkupe mtihani mgumu nitajie dundo lake moja tu ambalo ndo unaliweka namba moja toka kwake 👇🏾,ntasoma comments
Tweet media one
183
51
576
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
2 years
This is undefeated😅
Tweet media one
34
35
565
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
3 years
90
149
559
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
5 years
Mwakinyo on matumla's comments
163
42
553
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
10 months
Bao linachanganywa na damu ya namna gani halaf linamezwa ..mambo mazito haya
Tweet media one
80
16
565
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
1 year
Kiboko ya mabishoo 🙌
Tweet media one
41
30
560
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
3 years
Sifa na utukufu ni zake Allah,leo nmefanikiwa kurudi kazini baada ya msukomsuko wa mwezi mmoja na ziada wa Uviko 19,Allah ana maguvu sana kama asemavyo FA ndugu zangu uviko 19 upo na unatesa sana hata kuua Allah atulinde nasi tujilinde..Asanteni kwa dua zenu #Allahisthegreatest
Tweet media one
60
28
548
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
4 months
Oyaa mtanifukuzisha kazi sasa 😆😆
29
19
562
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
3 months
Hii inakuja kama “Bro wa usalama” kweli 🤣🤣🤣🤣
Tweet media one
33
22
557
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
1 year
We have another legend brothers 🙌🙌🙌🙌🙌
Tweet media one
45
25
539
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
6 months
Nlimsikia mchambuzi mmoja anasema ili kumfananisha yule ballar wa kizambia na yoyote inabid awe na consistency ya zaidi ya misimu mitatu hivi,well huyu msela hapa naona ana misimu hiyo ama zaidi akiwa vzuri,nadhani tunamchukulia poa sababu ni wa hapa hapa ama?
Tweet media one
42
27
548
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
1 year
Hii ndio interview yangu ya kwanza na Mr Blue ,Nafurahia tumekua na wakati mzuri ..Gusa link 👇🏿kutazama Part 1 ya mahojiano haya
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
29
42
538
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
2 months
Respect The OGs 🙌🏾 @masterjtz @majani187 #Tbt
Tweet media one
12
32
542
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
6 months
Dj Premiere ametimiza miaka 58 leo,Baadhi ya Hiphop Heads wanamtaja kua ndio Prpducer bora zaidi wa Hiphop mbele ya Daktari (Dr dre) 😆( ugomvi huu). Kama unamkubali nitajie miwa (songs) minne alio produce 👇🏾
Tweet media one
75
29
536
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
4 months
Wats guwwwwd Afrika
Tweet media one
@zoomafrika1
Zoom Afrika
4 months
Who is this Guy ?
Tweet media one
265
143
2K
54
36
534
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
7 months
KILLER MIKE ATIWA NGUVUNI BAADA YA USIKU WA KIHISTORIA WA MAISHA YAKE Rapper/MC mkongwe Killer Mike alikua na siku bora zaidi katika maisha yake ya kimuzik lakini ikageuka kua mbaya baada ya kutiwa nguvuni na vyombo vya usalama Killer Mike ambae amekua kwenye game kwa miaka👇🏾
Tweet media one
25
34
528
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
7 months
Sehemu pekee ambayo kaka enu #Para hua hagombani wala kubishana na mtu😁😁😁
Tweet media one
29
12
530
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
10 months
“NLITENGENEZA BEAT YA HAWATUWEZI NKIWA KWENYE DEPRESSION/NI MOJA YA BEAT ZANGU TANO BORA” - MAJANI Baada ya salamu za heshima toka kwa Lord Eyes @P_Majani alitisimulia namna alivotengeneza mdundo ambao ameweke kwenye top 5 yake wa “Hawatuwezi” akiwa katika msongo wa mawazo👇🏾
47
108
530
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
6 months
MEEK MILL ATEMA CHECHE /ASEMA ATATAJA WATU WANAOWACHAFUA WATU WEUSI Meek Mill aanaonekana kuumizwa sana na maneno yanaoumzunguka hivi sasa,hii mara baada ya kutajwa kua moja ya watu “waliobabuliwa nyonga” na Diddy (Ali msomali) katika chapisho linalomtuhumu kwa👇🏾
Tweet media one
81
47
527
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
29 days
Kuna video niliona jamaa anasema “Bakiza ushamba kidogo (kwenye maisha) ,usiwe mjanja kupitiliza” maneno mazima sana haya wengi wamekua wapuuzi kwa kujifanya wajanja kupitiiliza
Tweet media one
27
60
527
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
4 months
Kumekucha sio ,picha za Suti zipo nyingi 🤣 watu kama @chapo255 @MarekaMalili na Yahudi @TerazziJr hawapost hii 🤣🤣wazee wa hujuma
Tweet media one
30
35
518
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
1 year
Ukiambiwa uchague wimbo mmoja tu bora kabisa wa R & b Bongo kwako,utachagua wimbo gani?
237
30
518
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
6 months
Ukiachana na Beekeeper kuna mzigo mwengine mkali kuliko wa Land of Bad?
58
21
516
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
10 months
Hakikisha Radio yako iko on leo 😁😁😁
Tweet media one
32
18
515
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
30 days
Taarifa ya kusikitisha Vyanzo mbali mbali vya habari vimeripoti kifo cha msanii Mandojo kilichotokea huko Dodoma,Taarifa zinasema msanii huyo amefariki kwa kupiga akidhaniwa ni mwizi,hakuna habari zaidi ilikuaje chanzo cha tukio mpaka sasa,tutajulishana zaidi zikipatikana ,M.A.P
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
67
67
519
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
3 years
ALLAH IS THE GREATEST 🙏 Alhamdulillah ALLAH ameniponya na Dude la wimbi la 3 (covid19) ambalo lilinikumba siku chache baada ya Accident.. Jamaa yangu TUJIKINGE  hili dude linatesa,linachakaza,linafilisi na kuua (ALLAH akiamua)..
109
64
500
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
2 years
1-0 They want messi to win 2-0 boring world cup 2-1 we back 2- 2 Messi aint shi* 3-2 final is rigged 3-3 best world cup ever (4-2) (pen) No mara waa Penaldo is GOAT 😆😂😂😂😂
Tweet media one
31
67
468
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
9 months
DIDDY (ALI MSOMALI) HALI MBAYA #Alimsomali (Diddy) jana alitoa ya moyoni baada ya kimya cha muda mrefu na kusema kua amechoshwa na tuhuma zote alizoziita ni za uongo zinazoelekezwa kwake na kua tayari sambamba na team yake kuweza kuzikabili Haya yanatokea wakati tuhuma 👇🏾
Tweet media one
Tweet media two
32
18
499
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
7 months
Kuna vyombo unaviona mpaka unasema nsingekua na majukum mm😎
Tweet media one
37
14
493
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
6 months
ARV’s zimefanya watu kua comfortable sana yani “Mdudu Nyenga” anaambiwa wa mindset tu?ah 🤣,zinsingekuwepo hizi wakamshuhudia Nyenga wa 90’s nq 2000’s anamtawanya mtu left and right ,wasingethubutu aisee
Tweet media one
59
33
495
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
8 months
Vitu napenda kuviona na kusikia 🙌🏾,Ahsante @FridaAmani ,Talent yako ni ya hali ya juu sana,tunaozingatia hatuchukulii poa 👍🏾 “Mi na we “ live session iko you tube link kwenye bio yake !
20
84
490
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
7 months
Oii #jamaayangu huyu haina kujieleza sana ,kiboko ya mabishoo kama Burna Boy 😁,miaka 13 iliopita aliweka rekodi ya kushinda tunzo tano za TMA ndani ya usiku mmoja. Fundi kabisa katika uandishi wa nyimbo mwenye tungo za kusisimua,muite asilimia ,asirimaile ,Twenty Paaa ,👇🏾
Tweet media one
58
59
490
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
4 years
Mnaosema Eminem anawafokea mshawahi kukutana na hiki chuma MYSTIKAL ??😆
Tweet media one
77
21
467
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
8 months
That boy @S2KizzyOfficial is something else man,50 hits kwa mwaka 2023 ,yani kawaimbisha na kuwachezesha raia vya kutosha ,Little bro was damn busy man,🫡Respect
Tweet media one
37
54
480
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
4 years
10 years ago..tarehe kama leo i lost my mother ..Plz make a duaa for her today Allah amuhifadhi palipo pema na Amsamehe dhambi zake..Amin
91
5
464
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
2 years
So many stupid interviews and press conferences nowadays,Damn!
33
27
464
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
1 year
LANGASANYI KILEO A.K.A LANGA (LYRICAL AND NATURAL GIFTED AFRICAN ) Moja wa Washairi bora katika Hiphop waliopata kutokea hapa TANZANIA Kama hukuwahi kumfahamu kabisa Leo tumekuandalia Makala yake ndani ya #Theclassicefm ikiwa ni miaka 10 baada ya kifo chake ..karibu Umfahamu
Tweet media one
50
58
470
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
2 years
Katika mikono aliyopiga Producer Marco chali zipi ni 3 zako bora kabisa toka kwake?
101
20
463
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
9 months
Kuna wale hunishangaa mimi kupenda Hiphop ,na mie hua nawashangaa kwa nini hawapendi hiphop ,basi tunabaki tunashangaana tu 😆😆😆 Nb : sikia muhuni JC navyotembea na hili beat la oldschool.
52
110
468
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
7 months
MASE ALIMUOKOA EVE KUTOKA MAISHA YA KIHUNI (UZI) Rapper mwenye mafanikio makubwa kihistoria Eve ameweka wazi kua ilikua ni Mase ndie aliemtoa kwenye maisha ya kihuni na kumpa nafasi ya kua rapper aliekuja kufahamika. Eve anasema licha ya kua alikua na kipaji cha rap lakini 👇🏾
Tweet media one
45
54
454
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
3 years
Kwa mujibu wa mwanetu Roland @rollymsouth ni kua usikate tamaa ukiitwa kaka, huwa ni mkwala.tu wa mwanzo mwanzo 😄
20
10
435
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
2 years
Hii ni moja ya track kali sana kwenye The Verteller,basi ile nguvu tunatumia kwenye diss track Hebu tufanye Mara 2 kui support hii ,Itasaidia sana 😎
@dizastavina
Dizasta Vina
2 years
Dizasta Vina's Kibabu na Binti is out Youtube -
Tweet media one
Tweet media two
95
251
2K
16
73
454
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
3 months
Mtu anaejua kikapu atakubaliana nami kwamba namna huyu bwana anavodunda na anavyompiga Jump shot ni wazi ameucheza sana na anaujua vzuri sana mchezo huu,kuna masela kibao wanacheza huu mchezo hawana jump shot kama hii ya👇🏾
56
50
450
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
10 months
It’s time brothers and sisters..maombi yenu yamefika
Tweet media one
60
46
451
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
9 months
Kazini kwetu kulikua na kazi leo ,Miso Misondo na vijana wake,hawa masela wanaendelea kunipa somo la kufurahia neema ya maisha kila wakati 🙌🏾
33
37
448
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
2 years
Taita Be like “Balozi wa marekani ,kanitembelea kwangu hotelini,utanieleza nini,? 😃😃 katika mtindo huu huu wa majigambo yake unaweza ongeza lines zako hapo chini?👇🏿😂😂 twende
Tweet media one
51
22
445
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
8 months
Anasema “waandishi mmerundikana” hamuulizi hati,anaweza kua na hoja ila kadri siku zinavyosonga waandishi tumekua cheap sana kwa kuendekeza udaku ,Kazi ipo
39
16
443
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
2 years
Jana nlifanya makala inayomuhusu Producer Rockwilder nadhani ile post aliminya translation akaelewa tumempa maua yake,nae hakula buyu akarudisha shukran..Hawa ma legend hua very humble aisee #Theclassicefm Cc @1TraVeLA @MoruoKing
Tweet media one
40
50
426
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
4 months
Oyaaa😎hadi chama langu kweli linanimaliza?🤣
@EfmTanzania
E Digital
4 months
Kuna wa kumfunika Kuvi kwenye red carpet ya #MuzikiWaMama Mlimani City Kesho?
Tweet media one
19
10
250
46
22
439
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
2 years
“Vita ya Mapanga Nako 2 Nako vs Kikosi cha Mizinga/Revenge ya kuumizwa Bou Nako” (wakati mbaya zaidi katika historia ya muziki wa Bongo Link 👇🏿
36
63
431
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
1 year
Script imechanika ,Director kafeli 🙆🏿‍♂️
Tweet media one
30
12
433
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
4 months
Hii video tangu Jana ipo kwa nini kaka @chapo255 hajapost hadi sasa 😆au wivu tu sababu naenda Kama Kuvi Pablo au Mmanga kula kula (Dj Khaled) ? Amenihuzunisha sana 😎 #kuvimisuti
38
41
439
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
8 months
Kuna zile ngoma unaweza weka tu zikijrudia na huwezi zichoka (hata mmoja tu)hizi ni baadhi kwangu. 1.Dmx - Slippin 2.Monica - Angel of mine 3.Biggie - you are nobody 4.Usher - U remind me rmx ft Methodman and Blu cantrell 5.Pac - My block remix 6.Ay - Ahsante Itaendea👇🏾
82
72
431
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
4 years
Upi ni wimbo wako bora wa mwaka (2020) wa Rap/ Hiphop?
117
6
401
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
4 years
Ule mtama ukatibua dili za Mc's 😂😂😂
33
7
405
@JabirSaleh
JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi
9 months
Sisi hao 😁😁😁
25
73
428