'Ni bora kukaa kimya kuliko kuzungumza yasiyo na maana,na ni bora zaidi kuzungumza yalio na maana kuliko kukaa kimya' _
Prophet Muhammad swallallahu Alayhi wasallaam
Maghettoni ndo eneo la amani kwa muhuni,usipeleke watu wa ajabu magetoni uepuke pira na misala,sawa na usipeleke manzi mduanzi akakuletea makelele maghettoni,magetoni kuna paswa kua amani uchore ramani zako za vita za kila siku..Salaam kwa wahuni maghettoni ✊🏿
Belle 9 amefiwa na Mama yake hii leo,mara kadhaa tume cancel mahojiano yake ya The Classic kwa sababu ya kumuuguza mama yake ambae sasa ametangulia mbele za haki,pole kwake sana na pole pia kwa
@pmawenge
ambae nae amefiwa na Mama masiku machache yaliopita,Allah awape subira 🙏🏾
KUWENI MAKINI NA MAPENZI NAWAKUMBUSHA (REMY NA PAPPOSE)
Rapper mkali wa New York
#pappose
alimsubiri mpenzi wake Remy Ma kwa miaka 6 akiwa jela katika kifungo cha miaka 8 ili aje kumuoa,Alipotoka alimpokea na kutimiza azma yake ya kumuoa
Pap na Remy wakafanikiwa mtoto wa kike👇🏾
Eeeh Baba ,Dojo hatutamuona tena baba 💔 ,pole sana my brother
@domokayatz
hakika ni huzuni sana,mliimba wote kazi yake Mola ,leo tunaupiga kwa kazi yale Mola kwa mwanetu,Unbelievable 🙏🏾
Kwa heri Dojo
Picture credit : Crown Media
Jana mkubwa Fella alifika dakika 40 kabla ya kipindi kuanza.
Katika maisha yangu ya Utangazaji only
@jidejaydee
ndio amewahi fanya hivi (discipline) nae alifika karibu saa moja kabla ya kipindi na Adili Chapakazi (nusu saa kabla)
This is interesting🤣..Nenga anakiri kua yuko mtegoni (trapped) kwa kufanya muzki ambao hata yeye haupendi,na hata anahofia kizazi chake kupotoka,anasema “njaa” ndio inasababisha aingie huku.
Swala Je NANI anapaswa kuwajibika wao wasanii,media au mashabiki? Na nyie mmemuelewa?
Stereo Singa Singa ni moja ya wana Hiphop waliokua na mitambao (Flows) yenye ufundi mwingi sana pengine haizungumzwi itakiwavyo,Kama tunakubaliana niorodhoshee walau tracks 3 zinazothibitisha hilo kwa upande wako👇🏾
CHUMA KIMEANGUKA/OJ SIMPSON AFARIKI DUNIA /ALIITIKISA MAREKANI NA DUNIA KWA TUHUMA ZA MAUAJI YA MKEWE/KUKAMATWA KWAKE NA KESI YAKE VILIRUSHWA LIVE DUNIANI
Ukisikiza wimbo wa (The story of OJ) wa (Makame tolu) kuna line anasema “I’m not a black ,I’m Oj “ ,haya ni maneno ya👇🏾
Bonge ya Muwa 👍🏾,ila huyu Chidi Beenz huyu nafasi yake bado ipo paleeee ..Mungu amuongoze katika vita nzito alio nayo ,maana ni yeye hasa ndo muhusika..Bonge la dude 🙌🏾
Wakati flani wakati naanza job nlikua nakaa na marehemu my Mother..Raia wakawa wananisema sana jamaa hataki kuacha kukaa home..kumbe hawakujua nlikua namuuguza for five years..Alhamdulillah nmekaa nae mpk amefariki nkasepa yale maeneo ya kitaa miaka kibao wanasema navimba😂😂😂
ALLAH IS THE GREATEST
Naweza sema jana ndo nlifanya mahojiano magumu zaidi katika maisha yangu yote ya utangazaji,nlikua najiuliza
@professorjaytz
kila nkikutana nae anakua fit na kuzinguana sana vp leo ametoka kuumwa muda mrefu atakua Jay yule yule?je atafurahia mahojiano 👇🏾
Kuna namna Lamar alitupatia “touch” yake peke yake kabisa kwenye game letu,yani ukigusa tu unajua hii production ya Lamar licha ya kuanza mdogo sana,Goma gani unalikumbuka toka kwake na ilikuburudisha mno?niorodhoshee hapo chini 👇🏾tuone
Yeye ni legend katika uwanja wa uigizaji Tanzania,Gwiji katika upande wa wachekeshaji,ametuchekesha tangu wadogo mpka tukawa wakubwa na bado kizazi kipya kinaendelea kucheka kupitia videos zake,katika siku za karibuni amekua meme kwenye mitandao mbali mbali ya kijamii lakini👇🏾
Ngoma za kusifia majiji mtoni zilitoka nyingi wazee wa NYC Nas,Jigga,Dipset,Ja Rule na wengine ,wazee wa LA kina Pac waliachia zao ,ila mhuni Luda na JD walipkuja na Welcome To Atlanta watu wote wakafyata mkia 😁😀ule mua ukawavuruga mpaka likapigwa remix watu wakaomba wawemo😁🙌🏾
Kuhusu Grammy’s nlitaka tu kuwakumbusha hawa jamaa hapa mpaka wanakufa hakuna alieshinda hata moja ,lakini legacy zao zinafunika mamia ya washindi wa Grammy sio tu kwenye Hiphop Bali muziki kwa ujumla
Biggie,Pac and X ✊🏾
Mtayarishaji wa muziki nchini Geoff Master amefariki dunia ,siku za karibuni aliwahi kuripoti kua na matatizo ya uvimbe kichwani na alifanyiwa upasuaji kama sehemu ya matibabu yake.
Pole kwa ndugu jamaa na marafiki,MAP Geoff Master
Mwaka 2004 Album ya Safari ilipotoka ,Ferouz aliweka rekodi ya kuuza nakala 200,000 katika wiki ya kwanza (level za kimataifa kbs) na ikumbukwe hiyo ilikua ni wakati wa tapes ama kanda kwa kiswahili,makisio alipiga zaidi ya Million 150 (yeye),Jana alitupa stories nyingi 👇🏿
Lakini!! Achana na sifa zake za umende zinazoibuka kwa kasi,Ali Msomali alikua anaona raha gani manzi wake anapigwa mijeledi na wana wahuni wengine na yeye anarekodi?ujue unaweza muona mtu wa maana kumbe akili za kidabidi 😁
#pumbavusana
😎
Mikono ya dhahabu kwenye Utamaduni wa Hiphop,OG Dr Dre usiku wa Leo anatimiza miaka 59 ya maisha yake,anaonekana Kama hajafika hiyo miaka hivi eenh😁,anyways leo nkupe mtihani mgumu nitajie dundo lake moja tu ambalo ndo unaliweka namba moja toka kwake 👇🏾,ntasoma comments
Sifa na utukufu ni zake Allah,leo nmefanikiwa kurudi kazini baada ya msukomsuko wa mwezi mmoja na ziada wa Uviko 19,Allah ana maguvu sana kama asemavyo FA
ndugu zangu uviko 19 upo na unatesa sana hata kuua Allah atulinde nasi tujilinde..Asanteni kwa dua zenu
#Allahisthegreatest
Nlimsikia mchambuzi mmoja anasema ili kumfananisha yule ballar wa kizambia na yoyote inabid awe na consistency ya zaidi ya misimu mitatu hivi,well huyu msela hapa naona ana misimu hiyo ama zaidi akiwa vzuri,nadhani tunamchukulia poa sababu ni wa hapa hapa ama?
Dj Premiere ametimiza miaka 58 leo,Baadhi ya Hiphop Heads wanamtaja kua ndio Prpducer bora zaidi wa Hiphop mbele ya Daktari (Dr dre) 😆( ugomvi huu).
Kama unamkubali nitajie miwa (songs) minne alio produce 👇🏾
KILLER MIKE ATIWA NGUVUNI BAADA YA USIKU WA KIHISTORIA WA MAISHA YAKE
Rapper/MC mkongwe Killer Mike alikua na siku bora zaidi katika maisha yake ya kimuzik lakini ikageuka kua mbaya baada ya kutiwa nguvuni na vyombo vya usalama
Killer Mike ambae amekua kwenye game kwa miaka👇🏾
“NLITENGENEZA BEAT YA HAWATUWEZI NKIWA KWENYE DEPRESSION/NI MOJA YA BEAT ZANGU TANO BORA” - MAJANI
Baada ya salamu za heshima
toka kwa Lord Eyes
@P_Majani
alitisimulia namna alivotengeneza mdundo ambao ameweke kwenye top 5 yake wa “Hawatuwezi” akiwa katika msongo wa mawazo👇🏾
MEEK MILL ATEMA CHECHE /ASEMA ATATAJA WATU WANAOWACHAFUA WATU WEUSI
Meek Mill aanaonekana kuumizwa sana na maneno yanaoumzunguka hivi sasa,hii mara baada ya kutajwa kua moja ya watu “waliobabuliwa nyonga” na Diddy (Ali msomali) katika chapisho linalomtuhumu kwa👇🏾
Kuna video niliona jamaa anasema “Bakiza ushamba kidogo (kwenye maisha) ,usiwe mjanja kupitiliza” maneno mazima sana haya wengi wamekua wapuuzi kwa kujifanya wajanja kupitiiliza
Taarifa ya kusikitisha
Vyanzo mbali mbali vya habari vimeripoti kifo cha msanii Mandojo kilichotokea huko Dodoma,Taarifa zinasema msanii huyo amefariki kwa kupiga akidhaniwa ni mwizi,hakuna habari zaidi ilikuaje chanzo cha tukio mpaka sasa,tutajulishana zaidi zikipatikana ,M.A.P
ALLAH IS THE GREATEST 🙏
Alhamdulillah ALLAH ameniponya na Dude la wimbi la 3 (covid19) ambalo lilinikumba siku chache baada ya Accident..
Jamaa yangu TUJIKINGE hili dude linatesa,linachakaza,linafilisi na kuua (ALLAH akiamua)..
1-0 They want messi to win
2-0 boring world cup
2-1 we back
2- 2 Messi aint shi*
3-2 final is rigged
3-3 best world cup ever
(4-2) (pen) No mara waa Penaldo is GOAT 😆😂😂😂😂
DIDDY (ALI MSOMALI) HALI MBAYA
#Alimsomali
(Diddy) jana alitoa ya moyoni baada ya kimya cha muda mrefu na kusema kua amechoshwa na tuhuma zote alizoziita ni za uongo zinazoelekezwa kwake na kua tayari sambamba na team yake kuweza kuzikabili
Haya yanatokea wakati tuhuma 👇🏾
ARV’s zimefanya watu kua comfortable sana yani “Mdudu Nyenga” anaambiwa wa mindset tu?ah 🤣,zinsingekuwepo hizi wakamshuhudia Nyenga wa 90’s nq 2000’s anamtawanya mtu left and right ,wasingethubutu aisee
Vitu napenda kuviona na kusikia 🙌🏾,Ahsante
@FridaAmani
,Talent yako ni ya hali ya juu sana,tunaozingatia hatuchukulii poa 👍🏾
“Mi na we “ live session iko you tube link kwenye bio yake !
Oii
#jamaayangu
huyu haina kujieleza sana ,kiboko ya mabishoo kama Burna Boy 😁,miaka 13 iliopita aliweka rekodi ya kushinda tunzo tano za TMA ndani ya usiku mmoja.
Fundi kabisa katika uandishi wa nyimbo mwenye tungo za kusisimua,muite asilimia ,asirimaile ,Twenty Paaa ,👇🏾
That boy
@S2KizzyOfficial
is something else man,50 hits kwa mwaka 2023 ,yani kawaimbisha na kuwachezesha raia vya kutosha ,Little bro was damn busy man,🫡Respect
LANGASANYI KILEO A.K.A LANGA (LYRICAL AND NATURAL GIFTED AFRICAN ) Moja wa Washairi bora katika Hiphop waliopata kutokea hapa TANZANIA
Kama hukuwahi kumfahamu kabisa Leo tumekuandalia Makala yake ndani ya
#Theclassicefm
ikiwa ni miaka 10 baada ya kifo chake ..karibu Umfahamu
Kuna wale hunishangaa mimi kupenda Hiphop ,na mie hua nawashangaa kwa nini hawapendi hiphop ,basi tunabaki tunashangaana tu 😆😆😆
Nb : sikia muhuni JC navyotembea na hili beat la oldschool.
MASE ALIMUOKOA EVE KUTOKA MAISHA YA KIHUNI (UZI)
Rapper mwenye mafanikio makubwa kihistoria Eve ameweka wazi kua ilikua ni Mase ndie aliemtoa kwenye maisha ya kihuni na kumpa nafasi ya kua rapper aliekuja kufahamika.
Eve anasema licha ya kua alikua na kipaji cha rap lakini 👇🏾
Mtu anaejua kikapu atakubaliana nami kwamba namna huyu bwana anavodunda na anavyompiga Jump shot ni wazi ameucheza sana na anaujua vzuri sana mchezo huu,kuna masela kibao wanacheza huu mchezo hawana jump shot kama hii ya👇🏾
Taita Be like “Balozi wa marekani ,kanitembelea kwangu hotelini,utanieleza nini,? 😃😃 katika mtindo huu huu wa majigambo yake unaweza ongeza lines zako hapo chini?👇🏿😂😂 twende
Anasema “waandishi mmerundikana” hamuulizi hati,anaweza kua na hoja ila kadri siku zinavyosonga waandishi tumekua cheap sana kwa kuendekeza udaku ,Kazi ipo
Jana nlifanya makala inayomuhusu Producer Rockwilder nadhani ile post aliminya translation akaelewa tumempa maua yake,nae hakula buyu akarudisha shukran..Hawa ma legend hua very humble aisee
#Theclassicefm
Cc
@1TraVeLA
@MoruoKing
Hii video tangu Jana ipo kwa nini kaka
@chapo255
hajapost hadi sasa 😆au wivu tu sababu naenda Kama Kuvi Pablo au Mmanga kula kula (Dj Khaled) ? Amenihuzunisha sana 😎
#kuvimisuti
Kuna zile ngoma unaweza weka tu zikijrudia na huwezi zichoka (hata mmoja tu)hizi ni baadhi kwangu.
1.Dmx - Slippin
2.Monica - Angel of mine
3.Biggie - you are nobody
4.Usher - U remind me rmx ft Methodman and Blu cantrell
5.Pac - My block remix
6.Ay - Ahsante
Itaendea👇🏾