Nasikia imetangazwa kuwa CORONA imeingia rasmi TANZANIA,
Napata hofu zaidi na Msongamano wetu wa kwenye madaladala, Mahospitali, Magereza, Mwendokasi, Masokoni, Vituo vya polisi, viwanja vya mpira ETC Hakika tuna KAZI Kubwa sana ya kufanya kama Taifa MWENYEZI MUNGU ATUSAIDIE๐ญ๐ญ