Kwa mshutuko mkubwa nimepokea habari ya kuondokewa na Bi Amne Rifai Salim, Mkewe na Mh Salim Ahmed Salim. Mimi na familia yangu twatoa mkono wa pole kwa Mzee Salim, Mariam, Ali, Ahmed, Aunt Faika, Lulu na wote wote. Inna Lillahi Wainna Ilaihi Rajiiuun.
#KSK_Balozi