Bob Chacha Wangwe
2 months
Kuna watu wanauliza ni Mawakili gani tulionao kwenye kesi ya kuomba zuio la TAMISEMI kusimamia Uchaguzi. Hadi sasa yupo Wakili Mpale Mpoki, Tundu Lissu, Jebra Kambole, Rugemeleza Nshala, Peter Kibatala, Boniface Mwabukusi, Fulgence Masawe, Peter Madeleka na wengine wengi.