Nasikia ipo MIKAKATI mikubwa inasukwa na VIONGOZI wa juu wa CCM kumtaka SPIKA wa ZAMANI (MAKINDA), akanushe TAARIFA yake INAYOSAMBAA kwamba yeye atakuwa MTU wa mwisho kuamini kwamba
@Freemanmbowetz
ni GAIDI....kwa eneo la VITISHO, CCM na UTAWALA wake vimeboboa sana ENEO hilo.