Mwanahabari nguli Salim Kikeke amekabidhi kiasi cha Shilingi milioni mbili kwa timu ya Simba Queens ikiwa ni kutimiza ahadi ya kununua kila bao kwa Shilingi laki tano kuanzia mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi.
1/2
Kikosi kimeondoka nchini kuelekea Ethiopia kwa ajili ya kushiriki michuano ya Klabu bingwa Afrika Mashariki na Kati (CECAFA).
Taarifa zaidi Simba App 📱
#NguvuMoja
Katibu Mkuu Wizara ya Sanaa Utamaduni na Michezo Gerson Msigwa amekabidhi kiasi cha Shilingi milioni 10 kwa Simba Queens ikiwa ni ahadi ya bao la Mama inayotolewa na Rais Samia ikiwa ni motisha baada ya kushiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati
Kikosi chetu kimeanza mazoezi katika fukwe za bahari ya hindi kwa ajili ya maandalizi ya mechi za Ngao ya Jamii kuelekea kufunguliwa kwa pazia la Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL).
#NguvuMoja
“Captain Bocco nadhani ile ndoto yako ya kuwa Mwalimu wa Youth Team imetimia, kila mara yeye amekuwa akinikumbusha kuwa anataka kufundisha vijana, nataka kuisaidia Simba katika kuvuna vijana, nadhani ndoto yake ile inaendelea kutimia,” Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Try Again
Mkuu wa Msafara kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Stephania Kabumba (katikati) akiwa na Mjumbe wa Bodi, Asha Baraka, na Mkuu wa utawala na uendeshaji Belinda Paul wakifutilia kwa ukaribu mazoezi ya mwisho ya kikosi chetu leo asubuhi.
#NguvuMoja
“Timu [6] za Kaskazini.
Belouizdad & Kabylie 🇩🇿
Raja & Wydad Casablanca 🇲🇦 Al Ahly 🇪🇬 na Esperance🇹🇳
Timu [1] Afrika ya kusini Mamelod Sundown 🇿🇦
Na [1]Afrika mashariki Simba SC 🇹🇿
Simba ndio klabu bora CAF kwa Afrika mashariki na kati kwa miaka [6] Sasa”
Cc:
@gharib_mzinga
“Ni lazima tukiri kuwa tumepata mpinzani mgumu kwenye hatua ya Robo Fainali
Huu ni mlima mrefu kwetu lakini hatuna budi kuupanda
Ili uwe mkubwa Afrika ni lazima uwafunge wakubwa wa bara hili
Kama tulivyomvua Ubingwa Zamalek mwaka 2003 ni wakati sasa kumvua Ubingwa Wydad”
HUYU NDIYE CHAMA 👏
◽Clatous Chama ndiye Mchezaji wa KWANZA kuifungia Simba SC hat-trick katika hatua ya makundi ya CAFCL.
◽ Mzambia wa kwanza kufunga hat-trick kwa upande wa Tanzania kwenye CAFCL
𝗠𝗹𝗲𝘇𝗶 wa Simba Queens, Fatema Dewji ametoa zawadi ya Ramadhan TV Inchi 55 wachezaji wa klabu hiyo, ili kuhamasisha upendo zaidi kwao kwenye mwezi huu. Pia, kuwapa motisha ya kuendelea kupambana uwanjani na kutetea ubingwa wao wa ligi kuu msimu huu.
@fgdewji
Cc: Issa Mbuzi