Kumekucha jobless tukajitafute,,
Leo ni jumatatu ya kazi,
Watu wa humu mstupitishe
Kwenye njia za jana kwenye
Maspace yenu....
Tukasake chochote kokote,
Gm
Kama ilivyo ada,jobless tayari ni kitaaa kupambania ridhiki,,,
Sema nin wazee bila Mungu kuweka bless zake hatutoboi wazee ,kitaaa ni kugumu balaaa mno..
Jatahid kumshirikisha Mungu kwenye hustle zako deile..
Gm
Jana katika harakati za kutafuta kaz nikaangukia mikononi mwa chinga,
Nikamsaidia kuuza vibanio vya nguo ,
Jioni tunachana kaniambia kesho wai kazini,leo nimewahi sa 12 ila sielewi tunakutana wapi😁..Jobless nina kaz mbili ktafuta kaz na kumtafuta chinga
Kumekucha sasa jobless nikajitafute ,,
Na nimeuahid moyo wangu hata nikipata kidgo inatakiwa niweke AKIBA,
akiba itanifanya niwe na mtaji hapo baadae...
Mungu kabaliki mihangaiko yangu
Gm.
Ili usonge mbele ,sio kila mtu inatakiwa awe rafiki yako.
Wengine hawajui maana ya urafiki,
Watakugandisha ushindwe kusonga mbele,
Kuwa na machaguzi ya marafiki sahihi ili usonge mbele..
Gm.
Maisha ni mafupi na mda ni mchache,
Usiupoteze huo muda kwa kujadili ya wengine,
Jikite kwenye ya kwako ya msingi,
Ukafike mapema pale unapotaka kufika,,
Gm
Tuko kwenye utafautaji na tumechangamana na maadui zetu pasi nasi kujua,
Hivyo sio kila mtu anastahili kujua malengo na ndoto zetu juu ya utafutaji..
Wengine ni waiz wa ndoto na malengo yetu..
Gm