BILL SAGA Profile Banner
BILL SAGA Profile
BILL SAGA

@sadock27

8,287
Followers
6,343
Following
406
Media
19,083
Statuses

Mbeya, Tanzania
Joined June 2014
Don't wanna be here? Send us removal request.
@sadock27
BILL SAGA
6 months
Hiii mvua iananyesha ni huku tu Ilemi au ni kote....
Tweet media one
33
16
168
@sadock27
BILL SAGA
2 years
@alikomaster Sasa jichanaganye si uasikiii
Tweet media one
5
0
52
@sadock27
BILL SAGA
3 years
@Malengoo Sio kila anaelia anasikia raha wengine mnakuwa mmewatonesha vidonda vya magonolea,masiphilisi etc
16
0
48
@sadock27
BILL SAGA
5 months
@TMnyama4_ Mzee halafu mda mwingine wawe wanatuma na picha tunashindwa kushauli vizuri ,,,,,
3
0
50
@sadock27
BILL SAGA
3 months
Mitaaa imetuita toka mapema sana, Tusiache kumshukuru Mungu,kwa pumzi na kutupa akili ya kupambania chochote kitu kila siku..... Gm
Tweet media one
8
16
43
@sadock27
BILL SAGA
4 months
@TMnyama4_ Bila picha ya uke ,hatuwezi kujua ni ugonjwa gan,,,tafadhari ndgu mhanga wasilisha picha haraka kwa msaaada zaidi
14
0
42
@sadock27
BILL SAGA
6 months
Kumekucha jobless tukajitafute,, Leo ni jumatatu ya kazi, Watu wa humu mstupitishe Kwenye njia za jana kwenye Maspace yenu.... Tukasake chochote kokote, Gm
10
19
38
@sadock27
BILL SAGA
4 months
Kumekucha Jobless tunakumbushana,kuomba hela wakati mwingine ni fedhea, Twendeni mtaaa tukaombe kazi(vibarua) , Tupate hela zetu za halali... Gm
Tweet media one
8
14
38
@sadock27
BILL SAGA
5 months
Kila nikikumbuka hiz plate namba, Nawaza kwa sauti kuuu, Biashara ya mabasi inahitaji akili sana.. Wanazi tunaamini utaludi ukiwa imara sana mkurungenzi Mwalabhila DPC DWF DWL DTF DXE. waliobaki DRH DPN @Adventure_36 , @kevkigos , @TBoundBuses
Tweet media one
10
4
37
@sadock27
BILL SAGA
2 years
Slave wa mafanikio tayali niko kwa street.....Mungu bariki kutafuta kwangu na kwa kila alieko kutafuta..
0
8
31
@sadock27
BILL SAGA
3 months
Good morning Tukawe na mapambano mema, Wiki iitike hiiii,
11
12
33
@sadock27
BILL SAGA
6 months
Kumekucha jobless nikajipambanie kusikojulikana, Mungu mpaji uwe upande wetu.. Gm
9
19
34
@sadock27
BILL SAGA
2 years
@spana_Konki Acha utoto wewe miaka 37 unasema jimama,je ungeliona langu la miaka 57 linataka mtoto na mimi nachanganya trako kama kawa..
6
0
34
@sadock27
BILL SAGA
5 months
Gia angani😀😀😀
Tweet media one
7
8
30
@sadock27
BILL SAGA
5 months
Jobless nimetoka jumuiya , Naingia mtaaa kutafuta chochote kinifaacho.. Naaamin mpaji sahihi atanipa.... Gm
7
12
31
@sadock27
BILL SAGA
6 months
Kumekucha jobless nikatafute kaz kusikojulikana,,, Gm
13
14
31
@sadock27
BILL SAGA
6 months
Kumekucha tusogee sehemu za kupatia mkate sasa, Mungu kabariki hustle zetu, Gm
Tweet media one
4
11
31
@sadock27
BILL SAGA
5 months
Hiv njaaa huwa inajuaje kama saiz ni mchana
Tweet media one
5
7
27
@sadock27
BILL SAGA
2 years
Ijue vyema thamani ya jasho lako,ili matumizi yasizidi kipato chako....cheza kismart starehe zipo na haziish... Moning kwenye hii jamhuri...
1
5
28
@sadock27
BILL SAGA
5 months
Sawa wewe unatafuta hela ya maendeleo, Basi usituzibie sisi jobless tunaotafuta hela ya kula.. Gm
Tweet media one
5
13
25
@sadock27
BILL SAGA
8 months
Kumekucha ,kumekucha, Siku nyingine tena, Tuingie kusaka noti, Mungu akanyoshe mkono wa heri kwenye hustle zetu ziitike.. Gm
6
11
25
@sadock27
BILL SAGA
9 months
Zizini mwa ng'ombe kumejipa..... Yesu kazaliwa.. X-mass njema kwenu nyote..
4
7
27
@sadock27
BILL SAGA
5 months
Tuendeleee kujipambania , Mungu anatuona , Ipo siku tu amini, Jobless leo mapema sana nimejipata saidia fundi.. Gm
Tweet media one
3
8
26
@sadock27
BILL SAGA
6 months
Kama ilivyo ada,jobless tayari ni kitaaa kupambania ridhiki,,, Sema nin wazee bila Mungu kuweka bless zake hatutoboi wazee ,kitaaa ni kugumu balaaa mno.. Jatahid kumshirikisha Mungu kwenye hustle zako deile.. Gm
4
10
26
@sadock27
BILL SAGA
5 months
@Kirikuu20 Yesu wa humu ni balaaa,alitaka atue ubao wachapane 😁😁😁😁🙌🙌
6
0
26
@sadock27
BILL SAGA
4 months
Kumekucha, Nawakumbusha jobless wenzangu, Wanasema"UTAVUNA ULICHOPANDA", twendeni mtaa tukapambane ili tuje tuvune tulivyopanda wenyewe... Gm
Tweet media one
6
11
25
@sadock27
BILL SAGA
7 months
Kumekucha tukapambanie kilichohalali kwetu,,, Gm
Tweet media one
7
7
23
@sadock27
BILL SAGA
2 years
@spana_Konki Sema funjo kawaibisha sana watumiaji infinix wenzie yan,aifoni inatoa hoja infiniksi inatoa matusi😁😁😁😁
4
1
23
@sadock27
BILL SAGA
8 months
@GilbertPaul95 Ukiachana na kupigwa ,hawa sio wa kufuga hawa alooo wakipoteza kumbkumb wanakukula hafi mfugaji
14
1
22
@sadock27
BILL SAGA
9 months
Tunapomuomba Mungu abairiki mitikasi yetu ya kila siku, Tusisahau kuwaombea wanaotupa sapoti ya kweli kwenye maisha yetu ya kila siku.... Gm
7
10
24
@sadock27
BILL SAGA
6 months
Jana katika harakati za kutafuta kaz nikaangukia mikononi mwa chinga, Nikamsaidia kuuza vibanio vya nguo , Jioni tunachana kaniambia kesho wai kazini,leo nimewahi sa 12 ila sielewi tunakutana wapi😁..Jobless nina kaz mbili ktafuta kaz na kumtafuta chinga
3
7
21
@sadock27
BILL SAGA
2 years
@ze_mandevu Brooo amekuseti lamba mda mwingine wanaweka tomato sosi au nyanya ,,,lamba utanishukuru tukionana
9
0
22
@sadock27
BILL SAGA
5 months
Hiv kiwanda kinachotengeneza mirinda nyeusi ,sukari kinapata wapi😀😀
Tweet media one
4
4
22
@sadock27
BILL SAGA
6 months
Kumekucha sasa jobless nikajitafute ,, Na nimeuahid moyo wangu hata nikipata kidgo inatakiwa niweke AKIBA, akiba itanifanya niwe na mtaji hapo baadae... Mungu kabaliki mihangaiko yangu Gm.
3
11
22
@sadock27
BILL SAGA
6 months
Ila leo hii mvua noma , Kazini kwa mchimba mtaro kuna kazi
Tweet media one
3
4
23
@sadock27
BILL SAGA
7 months
Tuamke huku tukiwa na imani ya kupata, Tuamini Mungu pekee ndio mpaji wetu, Gm
6
9
20
@sadock27
BILL SAGA
9 months
Ili usonge mbele ,sio kila mtu inatakiwa awe rafiki yako. Wengine hawajui maana ya urafiki, Watakugandisha ushindwe kusonga mbele, Kuwa na machaguzi ya marafiki sahihi ili usonge mbele.. Gm.
5
11
22
@sadock27
BILL SAGA
8 months
Maisha ni mafupi na mda ni mchache, Usiupoteze huo muda kwa kujadili ya wengine, Jikite kwenye ya kwako ya msingi, Ukafike mapema pale unapotaka kufika,, Gm
4
7
21
@sadock27
BILL SAGA
9 months
Kuwa mvumilivu kwenye utafutaji, Mafanikio hayaji ghafla kama chafya,ni mpangilio aiseee Mkawe na utafutaji mwema .. #keepFighting # Gm.
1
5
21
@sadock27
BILL SAGA
7 months
Tuko kwenye utafautaji na tumechangamana na maadui zetu pasi nasi kujua, Hivyo sio kila mtu anastahili kujua malengo na ndoto zetu juu ya utafutaji.. Wengine ni waiz wa ndoto na malengo yetu.. Gm
10
14
21