@ayubu_madenge
Kule kanda ya ziwa ndo kuna kura za nchi hii alafu ndo kulionekana kuanza kupoteza ushawishi, kilichofuata ni kumteua biteko na mkonda chapchap ili kuokoa jahazi! Huo ni mkakati maalumu kaka!
@CloudsMediaLive
Huyu Nape mzinguaji tu, anaanza kumtaja rais kwa nn hapo, suala ni uwajibikaji wa mawaziri na taasisi zilizo chini yao yeye anaanza kutafuta huruma kwa kumtaja raisi nonsense.
@millardayo
@ridhiwankikwete
Hili suala la maafisa utumishi na wakurugenzi ni nchi nzima hamna cha wapi wala wapi, kiujumla uwajibikaji katika ofisi za umma ni us...nge mtupu!!! Mtu anaona kumtatulia changamoto mwananchi ni hisani, akili za kijinga kabisa hizi mbaaaf!!!
@nyuki_malkia
OK, kwenye medani/sehemu yoyote yenye hatari ya kivita na utekaji codes za mavazi ni mtego mkubwa saana! Na ukizingatia waliingia kwenye mipaka ya nchi nyingne sio nchi yao, wangeingiaje huku wamevalia codes zao za kijeshi!
@ExMayorUbungo
@KulayaLadslaus
Mara nyingi kwenye nchi yetu wanapotangaza kuwa kuna elnino/au majanga mengine kama hayo wanaopewa tahadhari ni wananchi lakini kiuhalisia anayetakiwa achukue tahadhari namba moya ni serikali bahati mbaya sana serikali halijui hilo. Tuko dubai.
@CloudsMediaLive
Kila kitu hakijawahi kutokea kwenye serikali ya CCM utafikiri walioongoza hii nchi miaka zaidi ya 60 ya uhuru alikuwa wa chama tofauti, but kw kuwa mmewaona watanzania wote mbumbumbu sio kesi!!!
@HecheJohn
Siku akili zikikaa sawa, ndo mambo yata-change kwa saa hizi Acha ziliwe, wewe hauoni Mama yenu yuko Dubai na watu zaidi ya buku wanakula nchi.
@MarekaMalili
Wanapeana mafao hadi kwa wake/wame zao wakati mwl. Aliyetumikia zaidi ya miaka 30 kiinua mgongo 50M bado anaambiwa apewe kidongo zingine atunziwe as if hana akili ya kutunza mwenyewe!