Good morning
Kumekucha siku nyingine ya mapambano.
- Mungu anakupenda Kila nyakati haijalishi unapitia hali gani ila tambua mungu anakupenda na anakila sababu ya kukuacha Hai adi wakati huu ✍️🏾
@MickyJnr__
Ndio mnasema ni utamaduni Wani WA waarabu na VAR walizima this is F**ckng shit we can't develop African football coz wakisema kitu waarabu kina kuwa considered this is trash
Hapo ulipo ndipo mungu kataka uwepo kwa sasa ukitaka kuwa zaidi ya apo wakati mungu hajapanga hivo chunga sana kipo utakacho kiponza.
#akiliyaubongo
GOOD MORNING Gs
Mshukuru sana mungu kwa kukufanya kuwa hapo ulipo kuna watu wana hustle kufika ata apo wewe mkuu.
Waangalie wale hawana kama wanaoomba msaada then fanya kama una play part ile yaan ndo uwe wew daaaamn 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Keeppraying for all of us 🙏🏾
GOOD MORNING MA X FAMILIA
WANAUME tunaojitafuta, kosa moja hatupaswipaswi kufanya ni kuingia kwenye mahusiano na mwanamke aliye kwenye level ya kushindana.
Kushindana kuvaa nguo mpya, kushindana kubadili matoleo ya simu.
UTAUMIA😇
#BILAKUCHOKA