Alhamis Hii October 27 nitakuwa na Launch rasmi Ep Yangu katika fukwe za
@barrabeachtz
β Bahari Beachβ Dar Es Salaam kuanzia Saa 12 jioni nikiambatana na Rafiki Mbalimbali , Kaa na Mimi kujua Unapataje Mualiko wakoβ¦
ila je, we Unazani Ep itakua na Nyimbo Ngapi na inaitwaje?
Ndani Ya Masaa 24 tayari Video ya Wimbo wenu Pendwa
#SinaNyota
imefikisha Watazamaji Laki 5 (500,000) Kwenye Mtandao wa YouTube ..
Asante Sana Kwa Upendo Wenu π
Gusa link Kwenye Bio Yangu Kuitazama Video Ya
#SinaNyota
Vijana Wenzangu na Wazee wangu wa Kigamboni Walifurahi Sana Uwepo wangu nawameniahidi Kura Za ndio ni Kwa Mheshimiwa John Pombe Magufuli .. Mitano tena π
@ccmtanzania
#MitanoTena
Wimbo Wenu Pendwa
#SinaNyota
Sasa Umefikisha Watazamaji Milioni Mbili ( 2,000,000, )
Asanteni Sana Kwa Upendo wenu π
Gusa link Hapo Chini Kuitazama
#SinaNyota
Ep Yetu Ambayo Tunaisubiri Kwa Hamu inaitwa
#Khan
Kesho Tutaitambulisha Rasmi Pale
@barrabeachtz
na Kuanzia Saa Sita Usiku Baada Ya Utambulisho Rasmi itaanza Kupatikana Kwenye Digital Platforms Zote Duniani
#Khan
#KhanEp
#KhanFc
Asante Sana Kwa Mapokezi Yenu Mazuri Ya Albam Yangu Ya Definition Of Love.. Sikiliza, Stream, Dowload na Share na Marafiki Mbali Mbali Albam Yangu Ya Definition Of Love Kupitia Digital Platforms zote Duniani
#Baikoko
ft
@diamondplatnumz
Still Number 1 Music Video In Kenya, 0ne Month In Row
Asante Sana Kenya Kwa Kuendelea Kunifanya Namba Moja ππππ
π********BREAKING NEWS *******π
King Khan Live in USA πΊπΈπΊπΈπΊπΈπΊπΈπΊπΈ
*Nov 25th - Dec 16th...*
For Booking information call *713 373 6525* ll WhatsApp *240 788 0889*
#SAFARIENTERTAINMENT
#DMKGLOBAL
#MBOSSOUSATOUR
@dmkglobal
Hivi ni Kitu gani haswa unahisi kimefanya huu wimbo wa
#SinaNyota
Upokelewa kwa Ukubwa na Kupendwa Sana na Watu ...?
A.Watu Wengi Wanateseka na Mapenzi ..?
B.Mpangilio Wa Mashairi na Story ya Video..?
C.Ama hayo Mapiko niliyochorwa kujifanya Muhindi π?
FAKE ACCOUNT ...
Tafadhali Nisaidie Kuwafahamisha Mashabiki zangu Pendwa Wote wanaotumia Mtandao Wa Facebook Kuwa Hii Sio Account Yangu Ya Facebook na Haipo Chini Yangu ni Matapeli Wanaotapeli watu ... Napokea Malalamiko Mengi Sana Ya Watu Mbalimbali Kuibiwa na Kutapeliwa..
Unatamani Tuweke Ngoma Ngapi Kwenye Albam Yetu Ya Definition Of Love ...?
Na Unatamani Kumsikia nani na nani Kwenye Albam Yetu Ya Definition Of Love ...?
Tell Me...
#DefinitionOfLove
#Mbosso
#WCB4LIFE
"Nipate Chapati, Maandazi, Maharage, Magimbi ,Kipaja Cha kuku, Tende na Uji wa Moto wenye Pili Pili Mtama.., " Haya mawazo yanakujaga wakati upo kwenye Daladala alafu adhana inaadhiniwa "
Hii bwana inaitwa # NIMEKUZOEA "Ni wimbo ambao huwa unanishangazaga sana maana ni wa kuumizwa wenye maneno ya huzuni ndani yake .., lakini ndo wimbo unaongozwa kuchezwa kila nikiwa kwenyeβ¦
Na Hii Ndo Official Page Yangu Ya Facebook
#MbossoPage
#MbossoKhan
Tafadhali Nisaidie Kuwajuza Mashabiki na Wadau Wa Mziki wangu wanaotumia Facebook ili Wasiendelee Kuibiwa na Accounts Fake Za Facebook
Chukua hii Hapa β¦ Unapoikunja Samsung Galaxy Z Flip 3 Upande Wake wa Nyuma Kuna Screen ndogo Ambayo Unaweza KuPlay Music
Kupiga Picha na Pia Unaweza Kufanya Setting Ya Vitu Tofauti Tofauti Karibu Kwenye Galaxy Z Flip 3
@SamsungMobileTz
#samsungxmbosso
#withGalaxy
#TeamGalaxy