Faida Za Kutumia Tangawizi🍂
#RetweeetPlease
🙏
🗯️Tangawizi ni Zao Ambalo Hutumika Kama Kiungo Katika Chakula na Unga wake Hutumika Katika Vinywaji Kama Juisi,Chai na Katika Chai Pia
Tangawizi Iliorodheshwa na Serikali Ya Marekani Kama Dawa Kwa Ajiri Ya Binadamu Mwaka 1873