DISCLAIMER
Please be cautious of paying for job opportunities posted online. Legitimate employers do not typically charge applicants.
Exercise due diligence, research thoroughly, and be wary of potential scams.
Always prioritize your safety and financial well-being.
Thanks
Kama ulituma maombi ya ajira MDA & LGAs kupitia ajira portal
Log in sasa kutuangalia kama umeitwa kwenye usaili
Fuata hatua hizi
1. Log in Ajira Portal
2. Bonyeza menu juu kulia
3. Bonyeza My Applications
Kama umeitwa dondosha like humu twende sawa
Wataalamu wa Afya mna kiburi, yani ajira zote hizi lakini bado tu hamtaki kunifollow
Haya sasa TAMISEMI imeshapita ila namwaga zingine nyingi za private very soon hakikisha umenifollow ili usipitwe
Watu humu X wanapenda upuuzi kweli yani, napost ajira hata hawarepost nikipost upuuzi tu repost za kumwaga.
Vijana tujitahidi kukimbizana na fursa lakini pia tuwasambazie na wenzetu, ku repost ni bure tu
Sharing is caring
Hivi Vernier Calliper inatumika kupima ugonjwa gani hospitali?
@wizara_afyatz
na Sekretarieti ya Ajira inabidi muwaombe radhi wataalamu wa maabara
Mmeikosea heshima hii kada kwenye usaili wa leo.
Kwa wataalamu wote wa afya mliotuma maombi, tuanze kupiga msuli kuanzia Anatomy na kuendelea
Kwa mujibu wa PSRS ni kwamba taarifa walizo nazo mpaka sasa kutakuwa na usaili kwa waombaji wote ambao utafanyika kwa njia ya mtandao
Kama ulituma maombi MDA & LGAs na hujaitwa kwenye usaili kwa sababu batili
Mfano: Umeandikiwa hujaweka cheti fulani na ukiangalia unakuta ulikiweka
Tuma appeal/rufaa yako mapema ili uitwe kwenye usaili
Tuma rufaa yako kupitia
E mail: ict
@ajira
.go.tz au malalamiko
@ajira
.go.tz
Baada ya mjadala mrefu wa Daktari na Tabibu sasa wote kwa pamoja nipeni elimu
Kwanini madaktari/tabibu wengi huwa hamfuati huu utaratibu?
Ukifika tu unaulizwa unajiskiaje, ukijieleza imeisha.
Pesa Online Hazipo Kwenye UJUZIโZipo Kwenye KUUZA huo Ujuzi
.
Mwambie mentor wako Akufundishe na Jinsi ya KUUZA huo Ujuzi anaokufundisha
.
Kinyume na hapo...itโs Useless!
.
Pia hakikisha anayekufundisha Anakifanya na Kukiishi Hicho anachokufundisha
Baada ya mawasiliano na wahusika
Majibu
1. E-mail ya kampuni iko chini ya mwanasheria wa na hayupo Dar
2. Wamesitisha matumizi ya sanduku la posta kwa sasa
3. Fika ofisini na docunets zako kwa mahojiano na makubaliano ya vigezo na masharti ya ajira.
Ofisi ipo Nyeburu, Chanika
Maelekezo kwa Wanaohitaji Kubadili Kituo cha Usaili
Fuata hatua hizi
1. Log in Ajira Portal
2. Bofya menu juu kushoto
3. Bonyeza "Personal Details"
4. Badili "Current Resident Region"
Fanya mabadiliko haya kabla ya ijumaa saa 10:30 Jioni
Anahitajika Laboratory Assistant
Hata asipokuwa na leseni
Location: Temeke, Mwembe Yanga
Salary: Makubaliano
Mda wa kazi saa 15:30 PM mpaka 22:30 PM
Nauli juu ya boss
Mawasiliano: 0683639428
Orodha ya Vipimo Vinavyo Ongoza kwa Kuogopwa Zaidi Hospitali
Unaenda hospitali mara kwa mara na unafanya baadhi ya vipimo, je ushawahi kujiuliza ni vipimo gani vinaogopwa zaidi na wagonjwa au wataalamu wa Afya?
Uzi ๐
Vile polisi wanakuzoom ukidownload pdf
Anyways Madaktari, Wauguzi, Wataalamu wa Maabara, Wafamasia polisi nayo imepita hola ni muda unifollow sasa ajira za afya bado zipo
Doctors Nielewesheni Hapa
Hivi inawezekanaje wagonjwa zaidi ya 100 wakawa na same laboratory investigations?
Ni kwamba wanakuja na same history au ni uvivu wa doctors kufikiria kwasababu unakuta hadi recurring patients wanapimwa vipimo vilevile vya last time.
Wanahitajika Wakufunzi Wafuatao:
1. Fani ya Maabara(Lab Technicians)
2. Wafamasia (Pharmacists)
3. Madaktari (Doctors/Clinical Officers)
Elimu: Ngazi ya Diploma na Degree,
Awe amesajiliwa na bodi husika na ana cheti, awe na uzoefu usiopungua miaka miwili
Mawasiliano โฌ๏ธ
Tengeneza CHAMBO/Bait ya PDF...
.
Itoe FREE Twitter au Instagram...
.
Kisha Tuma Leads Kwenye โWhatsApp yako
.
Halafu Kusanya Hilo LIST Kijana
.
Halafu Anza kufanya MAUNYAMA Kwenye WhatsApp Status yako
.
P. S. Chukua Dini la WhatsApp Marketing Hilo ๐
Anahitajika Clinical Officers (CO) Aliyemaliza Mwaka 2023
Awe anajua kujaza bima na mwenye uwezo wa kutumia computer vizuri
Awe anaishi Dar es Salaam
Kituo kipo Mbezi, Dar es Salaam
Mawasiliano: 0620393611
WhatsApp Only
Kufahamu mkoa ambao utafanyia usaili wa mahojiano
1. Log in Ajira Portal
2. Bonyeza menu juu kulia
3. Bonyeza "My Applications"
Angalia sehemu iliyoandikwa "Employer" utaona mkoa utakaofanyia usaili wa mahojiano
Asante sana kwa kuappreciate kazi tunayoifanya, tunaomba support yako kwa kulike na kurepost ili ziwafikie wataalamu wengi zaidi wapate updates za ajira
Natanguliza shukrani
Unapotafuta kazi mpya, ni jambo gani muhimu huwa unalizingatia?
A) Mshahara,
B) Usawa wa maisha ya kazi,
C) Utamaduni wa kampuni,
D) Kitu kingine (Kitaje)
@earadiofm
Sahihi kabisa ubunifu ni kuunda kitu kipya, mfano ukiunda viatu ambavyo vitasaidia watu kutembea kwenye maji ni ubunifu kwasababu hivyo viatu havijawahi kuwepo kabla.
Huu mwingine ni utundu au uboreshaji tu.
Ukiwa Unaongea na Mteja Kwenye Simu na Ukafanikiwa Ku-CLOSE Deal...
.
Basi Record hayo Mazungumzo yako na Mteja kisha yapeleke Kwenye Maandishi...
.
P. S. Mbinu za Kuuza Kwenye Maandishi na Kwenye Maneno ni zile zile!
Nafasi 56 za Kazi kwa Wataalamu Mbali Mbali wa Afya Kilindi Lutheran Hospital
Deadline: July 27, 2024
Application link ๐
Kwa fursa nyingi za Wataalamu wa Afya
Follow ๐
@jeraspORG
Ukisoma Dark Psychology utagundua kwamba...
.
Kuna POWER Kubwa Sana Kwenye Kuvaa PLAIN T-shirts ambazo hazina Maandishi yoyote....
.
Fuatilia kwa kina Mavazi ya Mark Zuckerberg, Steve Jobs, Jeff Bezos, Billy gates,
.
Pamoja na 98% ya Genius Utagundua kitu!
@TMnyama4_
Kwa Matangazo ya Ajira za Afya Follow
@jeraspblog
Tunatoa taarifa zote za fursa zinazohusu wataalamu wa afya Tanzania kila siku
Maalamu Nifollow sasa ajira zipo nyingi kwa ajili yako
#SundayTakeAway
If a lie is repeated often, it becomes part of your reality. When many people believe it, it turns into a culture. Passed down through generations, it becomes a tradition.
Do you agree this?
Nafasi za Kazi kwa Wateknolojia Dawa (Pharmaceutical Technologists) Bunge la Tanzania
Deadline: August 2, 2024
Application link ๐
Kwa fursa nyingi za Ajira za Afya
Follow ๐
@jeraspORG