@masoudkipanya
Nyoka alieingia n chatu huwa hana sumu ila anahakikisha kakushika vizuri kisha akianza kukukaba ni hadi kifo kijani inajulikana na mama😃😃. Kitanda ni uwanja wa siasa n mdogo saana kwa mpambanaji kuanguka n rahis saana. 😄 katuni ngumuu saana hii😂😂
@masoudkipanya
Bi harusi n tz iliopambwa kama uchumi wa kati. Bwana harus hawajulikan bt wanajinad wataweza kumrudisha kuwa mrembo.. ila mmoja wa mabwana harus alikuwa EX wa bi harus na yy ndio chanzo cha bi harus kuwa hiv ila bado anadai n process za kumremba ....ni ndoto tuu😊😊😊
Baada ya mechi ya jana nimegundua yanga tunaenda kucheza fainali Pacome ndani Aucho ndani Yao ndani oyaa mamelodi jina tuu hamna kitu mule.. na tukimpiga hili kombe ni letu
🤣🤣🤣🔥🔥🔥🔥🔥
Kuna siku nilienda kuomba kazi kiwanda kimoja nikafika nikakutana na wadau daah interview ilikuwa nyuma ya semi limejaa top nilikosa kazi ila nilimshukuru Mungu maana hata ningepata kushusha semi nisingeweza. Jamaa wakaanza kazi onsport kushusha. mimi na jamaa angu tukarud hom 🙌
@masoudkipanya
Ya kwanza n kijana enz za jiwe hakukuwa na mtu juu.. ya pili...baaada ya jiwe mwanamke ndie elietoka juu wa kwanza japo hana nguvu yoyote then wanaanza kutoka wanaume ambao wanaonekana kuwa na nguvu kabla hawajatoka vizuri kila mtu kwa style yake...
#kijani
code ngumu saaana😊😊
@JayleenRickie
Sizani hii kama imekaa sawa.. jamaa yupo katika harakati za kujitafutia rizki zake. Cha muhim n kumsupport kama huwez au humuelewi n bora ukanyamaza watu wanateseka saana kufika walipofika..🤝
@kigogo2014
Wakuu huku kwetu lita ya mafuta ya alizeti kwa ajili ya kupikia ni elfu saba (7000/=) huko kwenu vp??
Au niache kuingilia uchumi wenu wa kati...😊😊😊
Hiki ndio chuo chenye PISI KALI kwa vyuo vyoote vya iringa. Lakini pia ukifeli kwenye hiki chuo basi wewe katafute kazi nyingine maana kusoma sio fani yako. Mnaokijua hiki chuo ni wangapi?
Kila nikiangalia hili daraja na nikiwaza wale wadudu wa Arusha.. nikiwaza SAULI na KATARAMA mwisho kabisa gari za magazeti zingekuwa nimejaa kule chini 😂😂😂
Kila mtu huku mikoani ana ndugu yake dasilamu shida ukisema tu nakuja dasilam hawa ndugu sio wa kuwaamin hawakawi kuzima simu ukifika kwenye hili jengo tuu 🔥🔥😂
@rollymsouth
Mwendazake alisema pesa za kukamilisha miradi zipo tena cash.. akaongeza nchi ni tajiri bila kusita alisema ni dhambi kuchukua kodi kwa maskin wa nchi hii jee yeye aliongelea pesa zipi?😄😄 shida serikali hawapitii record za viongoz wao waone maneno yao😊😊😊
@masoudkipanya
Mguuni ni kijani kazi yao ni kusonga mbele haijalishi wapi tunakwenda, wapi tulipo na hatar ilio mbele.. wakiambiwa mbele n huku akili na macho yao havipo kuona wapi ni sahihi kwenda vipo vinaangalia maslahi yanayoingia kwenye pochi zao tuu.... hiyo n kijani kibichi😄😊😊😊
@masoudkipanya
Kijani wameamua kufanya mambo ili waonekane wamefanya...ndio yanahitajika kufanyika kama walivyofanya na kwa vipimo sahihi ila si kwa eneo sahihi wanaweka vitu mahala pasipo sahihi mambo yaleyale tunayaremba yaonekane n mazuri msimu huuu. zebra rough road na no pedestrian way..
@MagufuliJP
Bt huyu alipenda democrasia na transparency katika uongozi kauli yake moja "tunahitaji mfumo ambao hata kama ni shetani atakaa juu katika uongozi awe anatii matakwa ya watu" hope utamuenzi kwa matendo mh......😊😊😊