Huyo Bwana Mdogo Kheri James amejifanya kujirudi baada ya kutuma SMS ya Pole na PONGEZI kwa MAMA bila kujibiwa lakin wengine wamejibiwa kawaida akatuma Tena MAMA kakaa kimya. Msaidizi wake kamweleza kuwa MAMA hakupenda Maneno yako siku za Nyuma.
MAMA SISI TUNAKUPENDA
Unakuta mtu ako na mtaji wa 10m anataka umshauri kuingia kwenye biashara fulani.
Ushauri wangu.
Anzia kwenye uwinga, anzia kwenye kua mtu wa dukani, anzia kwenye kujitolea kufanya kazi sehemu fulani, yaani start somewhere ambapo utajifunza hicho unachokitaka huku ukiwa
Utapeli wakujifanya mtu yupo yeye na mke wake!
Jamaa yangu alipigiwa simu na mteja kwamba anataka iPhone 15 pro max mbili, mshkaji wangu akamtajia bei, alafu jamaa akamwambia njoo mlimani city kuna bar moja alikua amechill yeye na mtu aliyedai ni mke wake.
Mshkaji wangu kufika
Mark Zuckerberg, mmiliki wa Facebook, mika 18 iliyopita, aliwakaribisha watu watano chumbani kwake, akiwa mwanafunzi wa Chuo cha Harvard University.
Unaambiwa ni watu wawili tu ndio walienda, Dustin Moskovitz ambaye kwa sasa ana utajiri wa zaidi ya Dollar 17.8
A thread 🧵
Kuna Boda wetu mmoja kipindi kile tunauza PS4 alitapeliwa kisomi!😅
Jamaa alipiga Simu kutoka Temeke mwisho, akasema tumtumie PS4 slim plus game moja ya FIFA, bei kila kitu plus usafiri wa boda jamaa akasema atacover.
Basi mwanetu akampa boda wetu ambaye tunamwamini sana na
Dogo ilibaki kidogo aanze biashara ya simu na funzo la maisha yake.
Alipigiwa simu na mwanamke mmoja aliyedai yupo Namanga Arusha, akamwambia nimepewa namba yako rafiki yangu ambaye uliwahi muuzia simu.
Dogo akakuna kichwa kujua ni mtu gani huyo hakupata majibu, maana yeye
Mdogo etu alipigiwa Simu na mteja yuko Tegeta.
Siku moja majuzi tu hapa, kuna dogo ambaye kwenye game yeye ni mgeni japo ana duka lake, alipigiwa simu na mteja wake ambaye alishawahi kuja dukani.
Kuona ile namba na kumwambia kwamba kuna siku nlikuja dukani kwako ila nilikua na
Mama Samia Kwa hili Nakupongeza Sana,Kurekodi ile Clip ukawapa TBC watangaze,Maana kwa habari za msiba mzito namna ile ilibidi wakati wa Kutangaza wawepo Viongozi wengine, na utaratibu uwe organized, Ila ukawazunguka ambao hawakutaka itangazwe ukairekodi na Ukawapa TBC, Good
🔬Nimetizama hii video mara tatu (3) kisha nikajiuliza; Lusekelo anayetaka wanaharakati & wakosoaji wa serikali tuuliwe ni mchungaji wa kanisa la kumuabudu shetani “Freemason”? Tanzania inaelekea wapi? Lusekelo anatumia injili kutoa mifano wakosoaji tuuliwe? 🙆🏻♂️😢😢😢
Siku moja nilipata kiajali kidogo pale sinza, boda na watu wakanijalia pale, alipita mtu mmoja akaniambia “chengula uko sawa?” Nikamwambia niko sawa kabisa.
Jina lake simfahamu, ila nilijua huyu ni from twitter, alikua yupo radhi ashuke kama ningesema sikuwa sawa, he was driving
"Mwandishi wa habari anamuuliza Cristiano Ronaldo:
"Kwanini mama yako bado anaishi na wewe?
"Kwa nini usimjengee nyumba?"
Cristiano Ronaldo anajibu:
“Mama yangu alinilea na aliyatoa maisha yake kwa ajili yangu, alikua anaweza kulala na njaa ila mimi mwanaye nile, hatukuwa na
Kuna siku mteja alinipigia Simu saa moja asubuhi akaniambia “Mbona duka bado hamjafungua, nlikua nataka 13 pro max ila sasa kwakua hujafungua itabidi uniletee posta”
Nikasema posta hii, akasema “nafanya kazi TTCL pale Samorah ave”
Nikajiandaa fasta nkasema wateja si ndo hawa…
Kuna hii ya Dada rafikietu muuza Simu alitapeliwa iPhone 13 pro max mbili Kwenye apartment MASAKI, mbele ya CCTV Camera.
Hii ilichezwa kwa akili nyingi sanaaaa….
Kesi mpaka kesho iko police licha ya evidence za CCTV ila ngoma bado ngumu.🥲
Andaa popcorn 🍿 zako😀
Watu hua wanadiss sana watu ambao wameokoka, Sema one of the best decision kijana unaweza ukafanya ni hili la kuokoka.
Utapoteza marafiki yes, unaweza chukiwa na watu au kutengwa na ndugu yes, ila your life will never be the same.
Usisikilize watu ambao waliokoka na kurudi
Ni vijana wachache sana ambao wanaamini the right time to find a partner ni akiwa bado anajitafuta, huku wengine wakiamini ni baada ya wao kuwa stable financially, yaani awe amejenga, ana gari na a proper job au stable business.
Kila mmoja yuko sahihi kwa upande wake lakini
Biashara ya Wakala yaani M-pesa na Tigopesa ni nzuri sana, ila utapeli upo njenje.
Ukipata Location nzuri utatengeneza gawio zuri sana mwisho wa mwezi.
Shida inakuja kwenye Usalama na utapeli.
Kuna Wakala jirani yangu leo ilibaki kidogo alizwe 3M, nafika nakuta analia haamini
Wanaigeria walivotapeli PS5 Makumbusho.
Picha linaanza Wanaija ni watu ambao tunaamini ni watu wenye hela zakuchezea kutokana na michezo yao ya kutapeli watu mitandaoni.
Hivo akija dukani kwako hua anabargain sana na mkifika mwisho ni either atakupa Dollar au atakutumia kupitia
Kuna jamaa yetu ndugu yake mmoja ambaye alikua akiishi state wakati anakaribia kufariki aliwapa watoto wote mitaji ya hela, jamaa yetu alipewa kama 26m hivi, wakati huo tupo chuo jamaa alikua hakamatiki, fasta akadaka Samsung S6 edge wakati ndio imetoka tu, hajakaa vizuri jamaa
Hii wasiwe na Shida Shemasi, Baraza linatenguliwa nakuhakikishia Kumbe Mama alidharauliwa sana, na alianza kutukanwa na wafuasi wa Meko toka aende Nairobi akapitia kwa Lissu,
Kina Jaffo, wote na mawaziri kadhaa walimuona Hana lolote , yaan hawaachi
Watu wanadai kwamba wao hawawezi tapeliwa kizembe!😅
Trust me, ni vile siku yako bado, omba tu Mungu akuchezeshe chale vizuri.
Mtu anaenda kwenye hotel kubwa kama Serena, anakaa for almost 3 months na hakulipa hela.😅
Mtu wanampa mpaka gari ya kumtembeza mjini, mtu anajifanya
Haya Naanza
kuna sehemu ya ardhi za Tanzania, zenye migodi zinamilikiwa na nchi hiyo jirani(Rwanda) CAG anajua ila ameficha.
Na Ukweli unaendelea kuwekwa wazi Meko alijua,
Waziri wa Madini analijua pia,
NHIF ni utapeli hamna Bima mule… nilikata kifurushi kikubwa nikidhani ndio nimemaliza. Kila hospitali kubwa ukienda wanataka uwe na referral from hospital ndogo. Sasa what is the point ya kuwa na Bima tena yenye kifurushi kikubwa? Huu sio utapeli?
HAKIKA NITAKULINDA WEWE CHANZO CHANGU USITISHIKE KABISA,
NIMESHAANZA KUPOKEA VITISHO KWAMBA NISIANIKE,
NITAWEKA KILA JAMBO, NAJUA JINSI YA KUPRESENT NTASHIRIKIANA NA WATU WAAMINIFU, HATUOGOPI TENA, MAMBO YA KUWAONA WENGINE WALIKUWA WEZI NA WAO MALAIKA HAPANA, TUNAMSAIDIA MAMA
Watu wengi wameniDm kwamba wameokoka lakini wachungaji wanaowachunga wamekua wakiwadidimiza na kuwafanya waone ulokole ni mzigo.
Yesu anasema “ Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo”
Tatizo ambalo lipo kwa watu wengi hasa wanawake,
Wakati nasoma chuo nilikua naona watu wenye magari wakija wakati wa mchana na usiku kuwachukua dada zetu pale chuoni.
Nilikua natamani niwe mimi, yani niko chuo na same time niko na maisha mazuri, but it wasn’t possible.
Japo wapo watu walikua wanasoma huku wanafanya kazi
Simtetei Mwamposa, ila soma hii.
Huyu my friend alikua anaunga unga sana ila mwisho amepata kazi sehemu nzuri tu na anaanza kazi jumatatu.
Imani imani imani!
Jinsi nilivyo mpata mke wangu wa maisha nikiwa Chuo kikuu UDSM.
I am not sure if it was ‘love at first sight’, but we shared the desk in the seminar room and thereafter we walked out together to the Internet cafe! We were both new there and we had to help each other with online
UAMINIFU,
Kuna watu wapo hapa mjini, hawana elimu kubwa wala skills sana ila kitu wamejaliwa nacho ni Uaminifu.
Wanatunza familia zao, wanaendesha magari, wana ishi ndoto zao sababu ya Uaminifu pekee.
Amua leo kua Mwaminifu.
Wanasema ukizaliwa mwanaume tayari moja bila, kama upo Africa basi mbili bila, umetoka kwenye familia masikini, tatu bila, umefika ukubwani na huna connection, nne bila, humtegemei Mungu kwenye haso zako, tano bila na kadi nyekundu juu.😀
Hii utapeli wa manzese.
Dogo mmoja yupo humu mara nyingi hua ananipa wateja wa uhakika, ila ile siku alinipa galasa.😂
Dogo ananiambia jamaa anataka 11 pro max 256gb.. kama 1.4 wakati huo kwa simu used.
Nikamuuliza dogo mteja unamjua? Akaniambia hapana ila nimemtoa kwenye….
Rafiki yangu alitapeliwa Simu 2 mbele ya geti la HAZINA posta.
Kama unavojua kwamba wateja sasa ni online, hivo unaweza pigiwa Simu na mteja kweli au matapeli.
Siku moja asubuhi jamaa yangu anapigiwa Simu na mteja wa online “ hallow nahitaji iPhone 13 pro max 256gb, una rangi..
Jakaya kwa miaka kumi akalipandisha deni kufikia 35trl kutoka 10 ,hayati yeye katia fora ndani ya uhai wake tayari tupo kwenye 60trln plus.
Sasa nakupa home work wewe VERONICA WA FESIBUKU,jumlisha thamani ya miradi mikuba inayopigiwa kelele sasa,anza na stigglers,treni ya umeme,
Utapeli kinyerezi mwisho.
2020 wakati huo ndo naanza anza biashara.
Nilipigiwa simu na mtu akasema nataka simu ila delivery kinyerezi mwisho.
Kama kawaida yangu nikatoka mapaka kinyerezi mwisho karibu na mahakama.
Kufika pale jamaa akaniambia “mimi sipo dar ila kuna mtu…
Sasa tugusie viashiria vya utapeli.
•Siku zote tapeli hua anaagiza mzigo mkubwa ila ujae.
•Anaweza akakwambia nataka simu mbili moja ya mke wangu.
•Ni ngumu sana tapeli kuja dukani kwako, wengi wanapendelea delivery.
•Tapeli hua haombi discount, kama ataomba discount basi
Tool nyingine ya mafanikio ni connection, unataka kuchukua mkopo bank na you know nothing about mikopo ila sababu kuna mtu yuko bank unamjua hilo swala linakua limeisha, unataka uagize gari na hujui uanzie wapi, ila sababu una mtu yupo kampuni fulani ya kuagiza magari basi pia
Leo kanisani kwetu wakati wa shuhuda, alipita mbele mama mmoja mwenye umri wa makamo, ambaye alidai ako na watoto watatu wa kiume, wakwanza ana 38 years na wa mwisho ako na 31 this year.
Mama alianza kwakusema “Leo nimesimama mbele yenu sababu mimi ni mama wa watoto wakiume
Wahenga walisema “Akufaaye Kwa Dhiki Ndiye Rafiki”
Wacha niuelezee huu msemo na hizi Router za Airtel 5G.
Sasahivi karibia kila mtandao wa Simu umekuja na 5G router zake. lakini why mimi naielezea hii ya Airtel?
Uko na popcorn 🍿 za buku2? Hapana chukua za jero tu maana uzi
Kama biashara yako haijawa kubwa kiasi cha kuajili watu mbadala wako, usifanye hili kosa.
Biashara nyingi ndogo ambazo huwa na upepo mzuri hufa sababu ya vitu vidogo sana.
Unakuta mtu yeye ni msusi mzuri, anawateja wengi, na kadiri muda unavozidi kwenda wateja nao wanaongezeka.
Inakuaje mtu unamuuliza hilo gari umenunua shilingi ngapi anakwambia myb kanunua 40m, ukisema wacha uingie mtandaoni uhakiki, unakuta ni 25m mpaka linafika.
Ni kwamba sisi Wabongo hua hatupendi wenzetu na wao wawe kama sisi au kitu gani? Why hua tunaongeza namba?😅
Uongo wa Magufuli kuhusu faida za Ndege ndo umenipa mwanga juu ya uongo wa PhD yake,
PhD zote duniani thesis zao ziko Mkataba za chuo for academic reference purpose, ile ya mwenzetu kuna siku tutaianika humu tujuwe level ya plagiarism ili kina Prof Kabudi na ma Dr wenzake waone
Sasahivi unaambiwa wapo madalali nyumba ambao wanaroga kwa mwenye nyumba na mpangaji.
Kwa mpangaji, dalali anakupeleka ukaone nyumba, unaweza kuta nyumba inakasoro kibao ambazo kwa macho ya kawaida tu zinaonekana, ila unapumbazwa mpaka unalipia na kilakitu, ila utakapo anza
I know wachungaji wa sasa wanawakatisha sana tamaa, ila natamani kila siku niwe nawakumbusha vijana wenzangu wamjue Yesu, sio stori ila utaishi maisha ya raha sana, sababu everything kiko juu yake yeye.
Anakuhakikishia amani, anakuhakikishia utajiri, anakuhakikishia uzima wa
Msemo wa “Pesa isipokuwa mkononi mwako usiipigie hesabu” nilijifunza kwa ugumu sana.
Mwaka 2017 wakati niko zangu Mbeya napambana baada ya kumaliza chuo nilikua nafanya biashara ya kusambaza vifaa vya Simu kwenye soko la Sido.
Nilikua nawauzia watu wenye maduka, yaani
Aliniambia “bro nimemaliza shule nakaa tu nyumbani na mimi nataka kuuza Simu” nikamuuliza unanini? Akasema mimi biashara naiweza. Nikamuuliza wateja utawapataje? Akaniambia nikipost WhatsApp status viewers wanafika 3000+.
Nikamuunganisha na mwanangu Salum, kila alipo niona
Tofauti kati ya PS5 Digital Edition na Disc Edition na ipi unatakiwa ununue.
Najua watu wengine tunazifahamu PS5 yaani Play Station 5, lakini hatujui hata kama ziko na two different Edition.
Wengi wakinipigia Simu utasikia nataka “Digital Version” ukimuuliza unajua maana yake
Anatoka nyumani saa12 asubuhi, anafanya kazi mpaka saa11 jioni, anaenda Gym anarudi nyumbani kukupikia saa3. Unaspend nae lisaa chumbani mnalala na kesho ratiba inajirudia.
Kumbuka kwamba kuna mniga mmoja ofisini ambae wanashare nae mambo mbalimbali.
Kati ya wewe na huyu wa
Umeshawahi kufanya biashara na mtu alafu mwisho wa siku ukapewa dollar fake?
Vipo visa kibao watu wanapewa dollar fake na zile ambazo bank hazikubaliki.
Nyuzi zinakuja.😅
Content Creator wa kizazi hiki, ni lazima uache kutegemea bando za siku na uhamie kwenye unlimited bandos.
Siwafundishi namna ya kuishi, ila itakupunguzia burden kwenye kazi yako. Ile kidogo tu “umetumia asilimia 75% ya bando lako”.
Pia usisahau kuwa na Simu kali ya picha.
Yaani ulichowafanyia wazazi wako na wewe watakuja kukufanyia watoto wako…. Wacha nisubiri tu…. Maana niliwahi mwambia mzee nimepoteza vitabu vya Library na alijua kabisa ni kamba akaamua tu kunipa hela🤣
Kuweni Makini
1. Si kila anayepinga serikali ni mpingaji kweli wengine wapo kazini
2. Si kila akaunt yenye jina la Kike ni mwanamke kweli wengine wapo kazini
3. Si kila anayezama DM anamaanisha mapenzi kweli watu wapo kazini
4. Si kila Tangazo la kazi ni la kweli
TISS KAZINI