Are you interested in
#AntimicrobialResistance
?
I am happy to share that our work titled "Tackling Antimicrobial Resistance in Sub-Saharan Africa : Challenges and Opportunities for implementing new people centered WHO guideline" has been published by
@tandfonline
Link 🔗 👇
Nikiangalia picha hii, nabaki kuumia. Nyuso zimejaa simanzi na huzuni, wanafunzi wa CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI - MUHIMBILI, wakiwa wamebeba jeneza la Mwanafunzi mwenzao wa Udaktari mwaka wa tano aliyefariki
📸 - MUHAS
Kama Uingereza ilivyo na British Council katika nchi mbalimbali Duniani ili kufundisha Kiingereza, kwa nini na sisi Balozi zetu kupitia
@foreigntanzania
tusianzishe Swahili Council ili kuwafunza watu wanaopenda kujifunza Kiswahili?
#Kiswahili
Mhe. Neema tunaweza kujilinganisha na vingine? Mfano Mh. Rais wa Zambia 🇿🇲
@HHichilema
amekataa kununua MAGARI MAPYA YA IKULU, pia amewataka Maafisa wengine wa Serikali wanaotaka kutembelea V8 kujinunulia kwa pesa zao... Tunaweza kujilinganisha pia? 🤔
Nimepitia takwimu (source zipo chini) za gharama za data za intaneti na kwa kila GB 1 kwa nchi jirani
Tanzania 0.71$
Kenya 0.84$
Rwanda 1.10$
Uganda 1.32$
Mozambique 1.33$
Zambia 1.36$
Burundi 1.85$
Malawi 2.42$
Botswana 15.55$
Mhe Waziri
@Nnauye_Nape
tufanyaje tushuke zaidi?
Kwa mara ya kwanza nitakuwa mjengoni
@CloudsMediaLive
kuzungumzia Mkutano Mkuu wa Chama Cha Wafamasia
#Tanzania
.
Karoho kanadunda.
Fuatilia tafadhari.
Bidhaa ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi - MUHIMBILI
@muhimbiliuniver
yenye virutubisho MUHIMU kama Zinc, Calcium, Madini ya Chuma, Vitamin A na C.
Aliwahi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa iliyokuwa Mamlaka ya Chakula na Dawa - TFDA(sasa TMDA), M
#Tanzania
🇹🇿
#Mfamasia
@hbsillo
ameteuliwa kuwa Mkuu wa Kitengo cha Regulation and Safety kwenye Idara ya Regulation na Prequalification Makao Maku
@WHO
📸
@mwelentuli
Matokeo ya Mitihani ya Usajili - Baraza la Famasi.
Pharm Tech waliofanya mtihani - 1618
Waliofaulu - 380
SUPP - 1104
FAIL - 134
VIJANA wa vyuo vya KATI KULIKONI?
UVUMBUZI WA VINCRISTINE NA VINBLASTINE DAWA ZINAZOTUMIKA KUTIBU SARATANI YA DAMU
UZI
Madagascar imekuwa gumzo Duniani na “formula yao” wanayodai inatibu Corona.
Katika historia ya Tiba, kuna mmea unajulikana kama Madagascar periwinkle kitaalam ukiitwa Catharanthus roseus.
MAGONJWA YA ZINAA: MATUMIZI YA KONDOMU NA FAIDA ZAKE
Kumekuwa na misemo ya vijana kama vile kuzama chumvini, potelea pwete, ajali kazi, daa siwezi muacha kisa sina ndomu, siwezi tumia ndomu kwa demu mkali kama yule na kuzibua mitaro. Yote hii imekuwa ikiliweka kundi la vijana..
My article tittled "How pharmacists can help tackle antimicrobial resistance in the African Region" has been published by
@PLOS
- a nonprofit publisher of open access journals in science, technology, and Medicines based in California, United States.
Enjoy IT. Link 👇 👇
ZINGIBER OFFICINALE MAARUFU KAMA TANGAWIZI KWA KISWAHILI: KEMIKALI ILIZONAZO (BIOACTIVE COMPOUNDS) NA FAIDA ZAKE KIAFYA
UZI
Corona imetufanya kurudi kwenye “ASILI YETU” yaani kuanza kutumia vitu vya asili ikiwemo dawa za asili na hata kujifukiza/nyungu. Tangawizi ni mojawapo..
Branding ya namna hii ni MUHIMU sana katika kukuza soko la Utalii nchini
#Tanzania
🇹🇿.
Watu wa Maliasili na Utalii mtumieni
@OsseGrecaSinare
. Ubora wa kazi yake unaongea, mchukueni awe mpiga picha wenu.
Aspirin siyo Dawa ya kutumia HOVYO. Ni dawa inayoathiri uwezo wa Damu kuganda (Blood Clotting)
Unapotumia tuu bila vipimo kama Thrombin Test, Activated partial thromboplastin time (aPTT) kufanyika unajiweka katika HATARI.
ACHENI SELF MEDICATION
#AskMfamasia
Kati ya nafasi za AJIRA 1650 za Afya,
#Wafamasia
ni nafasi 15 pekee 😲😥!
Serikali imewekeza MABILIONI YA SHILINGI kwenye kununua dawa na Vifaa Tiba lakini WAHUSIKA WAKUU (
#Wafamasia
) wa kusimamia rasilimali hizo wanaajiriwa wachache.
Maisha baada ya Chuo ni kama pantoni ya Kigamboni.
Ikitia nanga :
🔵 Kuna wanaoshuka kwa kukimbia
🔵 Kuna wanaoshuka taratibu
🔵 Kuna wale wanasubiri mpaka watu wapungue ndipo nao washuke na
⚪Wengine huamua kurudi na pantoni ilikotoka.
#ElimikaWikiendi
Binafsi nimeona DHAMIRA ya DHATI ya Mama, hasa pale alipotumia mfano wa Mama mwenye matamanio ya kumpendezesha mtoto wake lakini hana uwezo.
Nia ya kutoa ajira mpya 40000 ni jambo jema lingine hasa kwa sekta ya Afya na Elimu.
Mwanzo mzuri. 👏👏
Mwaka 1981, wakati wa kumchagua Katibu Mkuu mpya wa Umoja wa Mataifa, China 🇨🇳 pamoja na nchi za Afrika zilimpendekeza Mjumbe wa
#Tanzania
🇹🇿 Salim Ahmed Salim, ambaye aliwahi kuwa Balozi wa
#Tanzania
nchini China na Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania.
Moja ya watu SMART na HAZINA kwa Taifa letu
#Tanzania
. Mhadhiri katika Chuo Kikuu na mtu anayewapa maarifa vijana bila kuwabagua...
Hii ni appreciation tweet kwa
@SwahiliBible
I am excited to be part of SEP between Muhimbili University of Health and Allied Sciences
@muhimbiliuniver
and University of Bergen
@UiB
.
I am looking forward to exploring and learning at
@UiB
.
"Unfortunately, acetaminophen, during cooking, hydrolyses into a toxic compound known as 4-aminophenol, which damages the liver and kidney and results in organ failure"
To read more, link 👇👇
Mwanamama aliyeaminiwa na Shirika la Afya Duniani na kupewa majukumu ya KUONGOZA mapambano ya kutokomeza MAGONJWA YALIYOKUWA HAYAPEWI KIPAUMBELE (Neglected Tropical Diseases) Duniani, wanayoziathiri hasa jamii maskini. Huyu ni M
#Tanzania
Madam
@mwelentuli
#HappyBirthday
Chama Cha Wafamasia
#Tanzania
kimeondokewa na Mwanachama wake Prof. Malele (
#Mfamasia
). Alikuwa Mkufunzi Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi - MUHIMBILI kabla ya Kujiunga na Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala campus ya Dar es Salaam.
#RIPMalele
#Mfamasia
na Professor wa Pharmacology, aliyechapisha zaidi ya machapisho 110 - Prof. A. Kamuhabwa, NEW Vice Chancellor wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi - MUHIMBILI
@muhimbiliuniver
Congratulations!!
ULEVI WA GUNDI
Kwenye jamii kuna mambo mengi yanaendelea na inawezekana usiyajue kama haupo karibu na jamii.
Nikiwa mitaa ya Nyerere Square mwanzoni mwa mwaka huu niliona vijana wadogo wenye umri kati 10-16 hivi wana chupa ambayo wanapokezana.