Mke wa Rais Mstaafu wa awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi, Mama Siti Mwinyi alipofika nyumbani kwa Waziri Mkuu Mstaafu Marehemu Edward Lowassa, Masaki Dar es Salaam kutoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki kufuatia kifo cha kiongozi huyo kilichotokea Feb10, 2024 Dar es Salaam.