Mpende Mume wako, Mheshimu, Mjali, Msikilize, Msamehe akikosea yeye pia ni binadamu, Mlinde, Msimamie, Muongoze katika imani, Muombee kila wakati, , yakubali Madhaifu yake, Msitiri, Mshauri usimnyanyulie mdomo hovyo ila USIMUABUDU. Mungu pekee ndie wa kuabubiwa .
#Mungumbele