Wanangu leo Inplay tunaanza na mtaji wa 100k lengo tufunge 800k zakutumia weekend ๐ฅ
Kampuni ni ile ya upendo โคโคโค 888starz
Kama huna account Jisajili chaap kwa link hapo chini
Jisajili hapa link:
Promo code: SONKO
REPOST ๐
Vijana tuache uzinzi ni gharama sana...juzi nmeisafirisha pisi kutoka SINGIDA kuja Mwanza
gharama ni kama ifuatavyo:-
1. Kusuka 50k
2.Nauli na pesa ya kula njiani 60k
3.Lodge 60k {siku 2}
4.kula na vinywaji 70k {siku 2}
5.Kaposho 50k
6.kurudi 60k
Grand total= 350k ๐ข๐ข๐๐
Mnaonipiga bit Dm nyie ni waoga sana acha niwape location mje tuonane man to man saa 9:00 am hadi saa 10:00 am ntakua Bank ya NMB BUHONGWA? .Ntakua nimevaa jeans nyeusi kiatu Timberland na form 6 ya kijivu njooni tuonane
Hii rollover ntaipiga pale SPORTYBET kwa muda wa week 1... sababu kule hawatabana stake siku tukistake 7m kupata 10m tunaanza na 25k kama umo repost nijue wangapi wako tayari
Morning Champ's...najua Chelsea katuumiza sana tenasana... usiku kucha hatujalala..tuachane na yaliyopita tuanze upya bado tuna nafasi na muda wa kurekebisha tulipokosea we move on ๐ช
Nipo eneo la tukio kama ni nyie mlikua mnanifata kwa nyuma na ka IST keusi mmeingia hapo sheli ya TAIRO njooni tumalizane kabla sijaingia kufanya transactions zangu
Ilibaki kidogo nishinde 39m pesa kubwa ambayo kwa mara ya kwanza ningeshinda nawalaani Chelsea ...tangu nabet mkeka unaniuma ni leo hadi usingizi umekata
Nkiboom hiyo 5.3m mpangilio wa give away uko hivi . (Give awayni 300k)..
1.100k kwa mama kichanga yupo TL
2.200k Kwa wale wanangu hata nkipost hata dot wana like
& repost ๐
Kampuni za kirussia zilizosajilia Tanzania
1. Betwinner
2. PARIPESA
3. Helabet
Ukipata changamoto kwenye hizo kampuni bodi ya michezo ya kubashiri itakusaidia ila hawa 1xbet hawana usajili nchini ndio maana wanatuburuza kuweni makini .....
FEAR WOMEN..kuna mke wa rafiki yangu alikua anafanya kazi kampuni X ipo hapa Mwanza..yule mdada aliacha kazi bila sababu za msingi so akafatilia mafao yake NSSF kama 16m jana amelipwa leo yuko mahakamani anadai talaka anasema hawezi kuishi na mwanaume asiejitambua...FEAR WOMEN
Rollover yetu Day 1 to 3.. 10k capital.. 90k profit hadi sasa,GOD IS GOOD tunaelekea nchi ya ahadi... kuanzia kesho game zipo back to back hadi tarehe 22 November tutakua tumekamilisha 10 Days ๐
Nilipitia comments zote za mlionisnitch jana nimegundua wengi wenu mnasumbuliwa na njaa,roho mbaya, uchawi na shobo..so nimeandaa 500k ntawalipa haters wote leo, baadae ntawatag niwape ujira wenu.... HUWEZI ZUIA RIZIKI YA MTU NA ROHO YAKO YA KICHAWI
Uoga ni mbaya sana kwenye hizo odds 209 game 10 zimetoa Over 2.5 next time nakuja na treni kama 3 Over 2.5 game 12 Odds 210 ...over 1.5 & handicap Odds 210 over 1.5,Asian handicap,DC na Bookings...
Kila J3 Odds 200+ zilizonyooka ntakua naachia..ishi na SONKO ki master ๐
PESA AMBAZO HUTAKIWI KUBETIA HATA UKIPATA SURE ODDS 100%
1.Pesa ya kula {utakufa njaa}
2.Pesa ya ada
3.Pesa ya mkopo
4.Pesa ya rambirambi
5.Pesa ya Boss wako
6.Pesa ya mke wako{Utaona moto ๐ฅ}
7.Usiuze mali yako ili upate pesa ya kubetia
8.Pesa ya kodi ya nyumba
S.W.Y.C.T
Tuachane malumbano tufocus na kutafuta pesa....tunapoteza pesa kutafuta pesa nyingi zaidi ,we move on...kitu nmegundua space ina nguvu kubwa ya ushindi hizi 2 cut zisitutoe kwenye ramani we fight together ๐ช
Ukifanikiwa kupata pesa kwenye BETTING ya kuanzisha kimradi kimbia usirudi nyuma tena,baada ya kuacha BETTING nilifanya hesabu ya pesa nilizoliwa ni zaidi ya 5m+ alafu nikawin 19m so sikuona haja tena ya kuendelea na ..BETTING wanaopata pesa ni wachache sana 3/100 tumia ubongo
Ila watu wana maswali ya kijinga mtu anakuja Dm anauliza matreni huwa nastake kiasi gani nimjibu 100k hadi 2m anashangaa sasa odds 100 unataka ustake kiasi gani mwanetu ๐๐๐
๐๐๐๐ ๐๐๐๐ก๐๐๐ก๐ ๐ฃ๐๐๐ฌ ๐ฅ
We Play on Sportybet
๐ง๐ผ๐๐ฎ๐น ๐ข๐ฑ๐ฑ๐ ๐๐ญ๐ญ,๐ฑ๐ญ๐ต+
Stake ๐ฑ๐ฌ๐ฌ๐ฌ to win ๐ต๐ฌ ๐ ๐ถ๐น๐น๐ถ๐ผ๐ป ๐ง๐๐ต๐
Code๐น๐ฟ๐71AC92
Good Luck to Us๐คฒ
๐ฅ๐๐ฃ๐ข๐ฆ๐ง โ
Mnaomiliki Mercedes Benz C class 1.8 L ..naombeni uzoefu, changamoto,gari inataka nini haitaki nini kabla sijajaa niwe naijua angalau kiasi fulani natanguliza shukrani ๐
My country people...group langu ni BETTING DOCTORS..hii ndio sababu sijaonesha cashout zangu hadi muda huu wajinga mnachukua slip zangu mnaenda kufanyia watu utapeli ๐ฎ
Habari za asubuhi wawekezaji..mikeka ya Mayor ukitiki hata mmoja kati ya miwili niliyorepost, atakae nipigia simu kunipa taarifa ya win atakula 100k papo hapo.......
Odds 2.5 za kustake maisha yako
Atlanta fouls Over 9.5 Odds 1.28
Inter 2x Odds 1.15
Konyaspor - Galatasaray 12 Odds 1.64
Ukiliwa njoo uniue nipo home MWANZA BUSWERU ๐
Kama una mtaji wa 20k kwenye Betting hakikisha kila siku unalaza 20k kama faida slip cheza mwisho 2 tu ...ukijifanya unatafuta millions kwa 20k kila siku utakua unalia na alama za upendo ๐
Hii rollover ntaipiga pale SPORTYBET kwa muda wa week 1... sababu kule hawatabana stake siku tukistake 7m kupata 10m tunaanza na 25k kama umo repost nijue wangapi wako tayari
Kama umetoka familia ya kimaskini hakikisha kwako zinatoka familia za kitajiri pambana sana, jiamini unaweza hakuna anekuamini zaidi ya wewe mwenyewe..maneno ya kukukatisha tamaa yasikuvunje moyo na kukutoa kwenye malengo...BWANA MUNGU huwabariki wanatafuta kwa bidii ๐