Samwel Ndandala Profile Banner
Samwel Ndandala Profile
Samwel Ndandala

@SNdandala

6,852
Followers
1,421
Following
536
Media
6,744
Statuses

Keen observer of the interplay between Finance, International Economics, Taxation and Development. Passionate about learning, reading and running.

Dar es Salaam, Tanzania
Joined January 2013
Don't wanna be here? Send us removal request.
@SNdandala
Samwel Ndandala
9 years
Liberia is ebola-free. I know news like this isn't the stuff trending hashtags are made of, but it is great news.
18
2K
962
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
'Ningependa kushiriki lakini bajeti yangu hainiruhushu'. Ukiweza kujiambia mwenye maneno haya, na kuwaambia wenzako bila kusikia aibu wala kujiona mnyonge, tayari unaelekea kuzuri.
21
159
755
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
Kwenye safari ya kujenga utajiri mwaka huu ✅ Jali afya. Afya ndio utajiri namba moja. ✅ Jenga nidhamu ya fedha, nidhamu ndio uhuru. ✅ Lipa madeni (pamoja na lile la bodi ya mkopo), na usirudi tena utumwani. ✅ Ishi maisha yako halisi. Safari ya kiuchumi ni safari binafsi.
19
251
752
@SNdandala
Samwel Ndandala
4 years
Taasisi nyingi tulizonazo leo, ikiwemo TRA, zilianzishwa na mzee Mkapa. Maono ya 2025 ni yake. Zuri zaidi, yeye ndio rais wa kwanza kutuachia zawadi ya kitabu cha maisha yake. Kama Nyerere ni baba wa taifa, basi Mkapa ni baba wa sekta binafsi Tanzania. Apumzike kwa amani 🙏🙏
Tweet media one
21
143
735
@SNdandala
Samwel Ndandala
5 years
Weekend hii nimesoma kitabu kuhusu kesi iliyomkabili Nyerere ya mwaka 1958. Huenda historia ya Tanzania ingekuwa tofauti kama kesi hii ingeamuliwa vinginevyo. Kuna vitu vingine vizuri nimejifunza kuhusu wakati huo vyenye mafunzo kwetu leo - THREAD
Tweet media one
27
157
493
@SNdandala
Samwel Ndandala
2 years
Moja ya zawadi bora unayoweza kuwapa wanao ni wewe mwenyewe kutokua tegemezi ukizeeka.
20
87
440
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
Never mock a beginner. It takes courage to risk looking like a fool to wrestle with something new. That courage needs to be lauded, not ridiculed.
4
135
434
@SNdandala
Samwel Ndandala
4 years
Vitu vichache alivyoanzisha Mkapa - TRA - Mfumo wa VAT (1998) - PCB (Baadae PCCCB) - TANROADS - SUMATRA - EWURA - BRELA - TASAF - NHIF - National Business Council Alipoanza, fedha za kigeni zilitosha kununua bidhaa mwezi mmoja na nusu tu, alipoondoka ilikua miezi mitano+.
@SNdandala
Samwel Ndandala
4 years
Taasisi nyingi tulizonazo leo, ikiwemo TRA, zilianzishwa na mzee Mkapa. Maono ya 2025 ni yake. Zuri zaidi, yeye ndio rais wa kwanza kutuachia zawadi ya kitabu cha maisha yake. Kama Nyerere ni baba wa taifa, basi Mkapa ni baba wa sekta binafsi Tanzania. Apumzike kwa amani 🙏🙏
Tweet media one
21
143
735
17
126
417
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
Usitumie hela ambayo unadhani utaipata kesho kwa matumizi ya leo.
15
51
367
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
Ukitaka kuwachota watanzania, mtaje taje sana Mungu. Sisitiza unyenyekevu wako, na namna agenda yako ni dhihirisho la upendo wa Mungu kwa watanzania. Ukipata watumishi wa Mungu kukuzungumzia, umemaliza kazi.
21
121
373
@SNdandala
Samwel Ndandala
2 years
Mwaka ni mpya, ila kanuni za fedha ni zilezile. ✅️ Chukua sehemu ya kipato, weka akiba na wekeza. ✅️ Dharura humtokea kila mtu, jiandae. ✅️ Madeni sio ya kuyafuga. Lipa uwe huru. ✅️ Safari yako ni yako binafsi, usijilinganishe na wengine (utaepuka wivu na dharau).
10
147
363
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
Watu wanahitaji kutiwa moyo. Kama hauwezi, basi walau usiwavunje moyo, maisha tayari yanafanya hio kazi kwa bidii sana.
2
83
355
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
Nidhamu yako leo ndio uhuru wako kesho. Akiba yako leo ndio utajiri wako kesho.
2
59
345
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
Magugu huota yenyewe, ngano ndio inabidi ipandwe na kupaliliwa. Matatizo yanakuja yenyewe, mafanikio ndio lazima yatafutwe. Nyumba ukiiacha huchafuka yenyewe, usafi ndio lazima ufanywe na mtu. Kifo kinakuja chenyewe, maisha marefu ndio lazima yapaliliwe.
6
99
345
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
Act your wage. Avoid financial pretense and build wealth at your own pace.
5
88
344
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
Swali la 'niwekeze kwenye nini?' halijibiki kirahisi. Ni sawa na kumuuliza daktari 'dawa gani ni nzuri kuliko zote?'. Uzuri wa dawa hutokana na gonjwa la mtu, umri, uzito, allergies, historia n.k. (Uzi)
6
100
322
@SNdandala
Samwel Ndandala
1 year
Ukipata hela zaidi ya kawaida yako tulia. Ni muhimu zaidi kuwa nazo kuliko kuonekana unazo.
6
76
290
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
Discipline hurts, but it works.
6
71
272
@SNdandala
Samwel Ndandala
6 years
Wadogo zangu vyuoni. Changamkieni sana fursa zenye kunoa uwezo wenu wa kujieleza. Jitoleeni kwenye vikundi, darasani, makanisani, kwenye jumuia zenu n.k. Tunaokutana nanyi huku sokoni tunaona pengo kubwa.
16
85
268
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
Ukitaka kuwachota young professionals, andaa tuzo. Hakuna haja ya kutafiti wanachofanya. Issue sio impact. Usiingilie ya watu, we watambue tu. Weka hata kiingilio wajipendekeze wenyewe, watalipa tu. Categories ziwe za kutosha. Malizia na gala moja safi. Usisahau picha za kutosha
25
50
268
@SNdandala
Samwel Ndandala
4 years
Here is a something to remember. Many people that look rich are, statistically, struggling and stuck in debt. Focus on your financial journey.
4
54
256
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
Speaking of historical Sheroes, many people know of Chief Mkwawa, but few have heard of his powerful, no-nonsense sister, Semudduda. She was a general in Mkwawa's army and behind many of his successful raids against the Germans.
Tweet media one
6
72
245
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
Mtihani upo kwenye kutosheka bila kubweteka.
8
47
237
@SNdandala
Samwel Ndandala
5 years
There is no shame is saying, 'I can not afford it.'. Time, money, energy and attention are limited resources. Managing them wisely means saying NO more often than saying YES.
4
79
238
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
Unachohitaji ni makazi yenye kurahisisha maisha yako. Haimaanishi lazima umiliki nyumba. Vijana wengi wanajitwika mzigo wa kujenga nyumba zisizo na tija kwa kufuata mkumbo. Tunazika mitaji - Nukuu isiyo rasmi ya @tonytogolani
6
69
239
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
Just because someone runs an 'informal business' does not mean they are uninformed. Sometimes they are so informed that they decide to stay informal.
10
51
239
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
Talk your siblings into starting a family fund. Family reunions vibe better when no one is a burden.
2
53
231
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
Hakunaga kiasi kidogo kwenye uwekezaji. Kila shilingi iliyowekezwa ina thamani.
3
47
221
@SNdandala
Samwel Ndandala
5 years
Njombe, huku hakuna haja ya kukumbusha watu kupanda miti, kila mwanakijiji botanist. Atakwambia aina ya miti, lini ipandwe na kazi zake. 🌴🌴🌴
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
12
24
220
@SNdandala
Samwel Ndandala
4 years
Cost is what you pay, value is what you extract from what you pay for. Not all expensive things are valuable. High cost of living does not always equal high quality of living.
6
74
213
@SNdandala
Samwel Ndandala
4 years
The first goal of saving is to build an emergency fund, which is not an investment, but insurance. Only after you have this can you start investing peacefully.
6
53
208
@SNdandala
Samwel Ndandala
4 years
Ladies, a man is not a financial plan. Parents, a child is not a retirement plan.
6
52
207
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
Tujaliwe unyenyekevu wa kutodhani kuwa kila tuliyemtangulia yuko hivyo kwa sababu ya uvivu.
3
37
201
@SNdandala
Samwel Ndandala
4 years
Consistency over intensity. Small repeated steps over few erratic leaps.
2
42
199
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
Tafuta namna ya kistaarabu ya kujadili na ndugu zako kuhusu masuala ya hela na matarajio yao kwako. Sio kazi rahisi kwa muktadha wa utamaduni wetu, ila ni mazungumzo muhimu sana.
7
44
194
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
Hela unazozisikilizia sio hela za kuahidi watu, sio za kupangia matumizi na kwa hakika, sio za kukopea. Zisikilizie kimya kimya mpaka zifike. Kama huna jifunze kusema 'sina', halafu weka nukta. Usiongeze ahadi ambazo hata wewe mwenyewe huziamini. Waelewa hawatakwazika.
6
51
194
@SNdandala
Samwel Ndandala
4 years
Caught up with a friend whose job was impacted by COVID yesterday. She is searching but under no pressure. Why? ✅ She is debt free ✅ With a fully funded emergency fund covering a year's expenses, She ain't touching her investments. 👏👏 Financial discipline will shield you.
4
46
191
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
You do not live in your house. You live in your head. Clean it up constantly, upgrade it regularly. It is the only place you never get to leave. Make it habitable.
1
61
192
@SNdandala
Samwel Ndandala
6 years
Unavuna unachopanda. Kama hupendi mavuno unayopata, badilisha mbegu unazopanda.
4
40
189
@SNdandala
Samwel Ndandala
7 months
Kamishna Mkuu wa TRA anatuarifu. ✅️ Walipa kodi waliosajiliwa Tanzania wako milioni mbili tu. ❎️ Walio hai wako milioni moja. ❗️Wanaolipa na kuwasilisha hesabu wako laki tano tu. Utamaduni wa ulipaji kodi kwa hiari bado tuna mwendo, bado mzigo unabebwa na wachache.
43
44
182
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
Just start investing. You will 'balance your portfolio' when you have a portfolio to balance.
1
35
180
@SNdandala
Samwel Ndandala
5 years
Books expand minds... Books awaken possibilities... Books are therapeutic... Books change lives... Books make you interesting... Books are intellectual vaccine against charlatans who would exploit your ignorance... I've never met a serious reader who was boring to talk to...
6
50
178
@SNdandala
Samwel Ndandala
1 year
Njia ya mkato ya kuyamudu maisha ni kujimudu mwenyewe. Ukizimudu hisia, hasira, tamaa na wivu wako mwenyewe, maisha ushayamudu.
5
73
171
@SNdandala
Samwel Ndandala
2 years
A polite reminder that a financial emergency is always on its way. It rains on everyone. Get disciplined and save money.
5
74
171
@SNdandala
Samwel Ndandala
1 year
Invest first, optimise later. Read first, curate later. Start first, improve later. Save first, increase the rate later. Write first, edit later. Work out first, improve form later. It is futile to change direction if you are not moving. Move first, shift direction later.
7
72
166
@SNdandala
Samwel Ndandala
6 years
Anga lina nafasi ya kutosha kwa kila ndege kupaa. Bahari ina nafasi ya kila samaki kuogelea. Ardhi ina nafasi ya kila kiumbe kufurahia. Kuna nafasi ya kila mmoja wetu kufanikiwa. Tatizo sio uhaba, huenda tatizo ni ulafi.
5
48
163
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
Note to self: Be clearer, especially with your NOs, it saves everyone time.
1
46
169
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
Financial health, like mental health, has nothing to do with the exteriors. Only YOU know how YOU are.
3
29
162
@SNdandala
Samwel Ndandala
5 years
They should teach kids taxation. It should not come to them as a surprise with their first cheque.
5
34
162
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
Throwback. #Zizou bowing out like a legend he was.
Tweet media one
4
13
165
@SNdandala
Samwel Ndandala
11 months
Kujaribu kuonyesha una hela ndio kupoteza hela.
5
36
163
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
The problem is not knowledge. The problem is consistency.
4
34
160
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
Have an emergency fund. There are guaranteed rainy days ahead.
5
35
157
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
The first step to supporting others, is being able carry your own weight.
4
34
155
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
No car is worth chaining yourself into debt for years for. None. Certainly,no phone is worth chaining yourself into debt for. None.
12
34
155
@SNdandala
Samwel Ndandala
4 years
Saving turns income into wealth.
9
41
151
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
Usipotambua kuwa vipaumbele vyetu havifanani, unaweza kuhisi wenzako wanapoteza muda na hela zao.
2
30
152
@SNdandala
Samwel Ndandala
7 years
Another one of Tanzania's hidden gems, Mount Hanang in Manyara. At 3,420 metres, it gives you a great feeling of being above the clouds.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
10
44
152
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
It is almost impossible to con someone who is neither desperate nor greedy. Get your finances in order so you are never in a desperate situation. Understand your behaviour so that your own greed does not blindside you.
2
44
154
@SNdandala
Samwel Ndandala
5 years
Mama made it to the top 👍👍 #Udzungwa
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
6
10
148
@SNdandala
Samwel Ndandala
6 years
Vipaumbele...
Tweet media one
6
75
144
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
To my fellow brothers. The world needs your strong masculine energy. Don't dim it, express it. May we be the brave, competent and compassionate men that our communities need. Happy men's day.
0
35
147
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
Learn to say 'NO' quickly and clearly and... ✅ Escape the pain of a deferred decision. ✅ Avoid having to come up with last minute lies (apologies). ✅ Spare people from avoidably unmet expectations. ✅ Earn yours and everyone's respect. A quick and clear NO is the kindest NO.
2
44
145
@SNdandala
Samwel Ndandala
2 years
Patience. It is not the ability to wait, but the ability to maintain a good attitude while waiting.
1
38
146
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
You don't have to be extreme, just be consistent.
2
47
145
@SNdandala
Samwel Ndandala
6 years
Ujenzi wa nyumba kimara, 1994. Mama ameshika chepe, kazi yangu ilikua kumwagilia msingi kwa kutumia sufuria. Nilikua naipenda sana. #TBT
Tweet media one
1
11
138
@SNdandala
Samwel Ndandala
6 years
Kuwa makini na matumizi madogo madogo. Pesa nyingi huwa haipotei kwa mkupuo. Anza kuziba mianya midogo midogo, hio ndio siri ya kukabili ‘matundu’ makubwa.
6
33
140
@SNdandala
Samwel Ndandala
2 years
Usikubali kufanikiwa peke yako. Kadri uwezavyo, jitahidi watu wako wa karibu nao watoboe. Kuna usalama kwenye kufanikiwa pamoja na wenzako, hasa kwenye familia.
4
31
141
@SNdandala
Samwel Ndandala
2 years
A beautiful week celebrating Mama Ndandala❤️❤️❤️. Happy birthday, Mum. Your boys love you.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
8
2
138
@SNdandala
Samwel Ndandala
6 years
Tuliosoma uchumi, uhasibu and fedha tunajua. Unaweza hadi kufuzu CPA, ila hukutani na somo la ‘personal finance’. Watakupa utaalamu wa kuwekeza na kutunza pesa za waajiri, kampuni binafsi, au hata za nchi. Ila za kwako mwenyewe hawakuambii chochote (1/2).
5
39
130
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
Ukitaka kuwachota millenials, ongelea afya ya akili, msongo wa mawazo na changamoto za mahusiano. Sisitiza kuwa kila mmoja wao ana hisia zake. Tambua 'trauma' walizopitia. Wakubali jinsi walivyo. Ni jamii tu haiwaelewi. Waambie they are perfect the way they are.
7
33
136
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
Clarity saves everyone's time.
3
21
136
@SNdandala
Samwel Ndandala
5 years
When it comes to managing your money, you do not need motivation. You need a system.
2
32
135
@SNdandala
Samwel Ndandala
2 years
The Tz🇹🇿 - EU🇪🇺 business forum. ✅️ Witnessed signing of deals of over USD 1 Bil of investment into Tz ✅️ Showcased Tz's economic potential and attractiveness ✅️ Displayed high-level policy seriousness about making Tz 🇹🇿 an investment magnet Glad to have been part of it.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
4
23
133
@SNdandala
Samwel Ndandala
5 years
Make sure that you actually want the things you are spending money on, and that you are not just living out someone else's idea of adulthood.
2
35
130
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
Ukitaka kuwachota wafadhili, sisitiza usawa wa kijinsia. Usisahau mabadiliko ya tabia nchi kwenye chochote ufanyacho. Lenga vijana, maneno 'kujenga uwezo' na 'fursa' ni lazima. Andaa kongamano kubwa, halafu tenga bajeti ya maana ya picha. Achana na content, picha ndio kila kitu.
8
37
132
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
Unaanza kuwa kuwa huru pale ambapo mshahara au malipo ya mteja kuchelewa hayatibui mipango yako.
2
24
130
@SNdandala
Samwel Ndandala
9 months
Msajili wa hazina anasimamia taasisi za uma / kampuni zenye mali za zaidi ya TZS 75 Trilioni. Yeye ndie mwekezaji mkubwa nchini. Muswada wa uwekezaji wa uma, ukipitishwa na bunge, utamsaidia (kitaasisi na kiutendaji) kufanya kazi kama mwekezaji, sio tu muangalizi.
Tweet media one
10
34
129
@SNdandala
Samwel Ndandala
5 years
The first wealth is health. Taking care of your health is a financial investment, because nothing renders wealth more useless than ill health.
3
38
129
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
Haijalishi fursa inang'aa kiasi gani, na kuna shuhuda ngapi za waliofanikiwa kwayo. Kamwe usiweke hela yako kwenye kitu usichokielewa. Hio ndio kanuni ya kwanza ya uwekezaji. Kama huielewi pishana nayo kwa amani tu.
5
47
128
@SNdandala
Samwel Ndandala
4 years
It is almost impossible to con someone who is neither greedy nor desperate.
5
13
130
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
Disemba hii kuna watu watakula mavuno, na wapo watakaotafuna mbegu. Japokuwa mbegu na mavuno vinafanana, hakikisha huli mbegu ili tu kufanana na wenzako wanaofurahia mavuno yao.
3
24
126
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
Once you start going, it is easy to keep going. Build some tiny momentum and inertia becomes your ally.
2
28
128
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
Shaaban Robert alikufa mwaka 1962, hakuwahi kuwa raia wa Tanzania. Ila tunamuenzi. Ngugi alikimbia mateso Kenya, lakini Kenya wanamuenzi. Sio suala la passport. Wala hatutaki kugawana zawadi aliyoshinda. Tunafurahi tu kuwa mtu aliezaliwa hapa kafanya vizuri. Ni hilo tu.
@Semkae
Kaé
3 years
Nafikiri huwa mnaingiza stress zenu kwenye mijadala ya kitaifa. Vitu vingine si mbaya kuishia kusema "Aisee!" au "Wow!" Then you go buy a book and read.
15
7
66
10
23
126
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
✅ Healthy people see doctors, ✅ Fit people go to the gym, ✅ Rich people get financial coaching, ✅ Mentally fit people speak to therapists, ✅ Top players have coaches. You need not be in trouble to seek professional help. In fact, you will be in trouble if you don't.
0
42
126
@SNdandala
Samwel Ndandala
5 years
Madeni ni minyororo ya utumwa isiyoonekana. Ni mzigo mzito utabeba kimyakimya. Yanaweza athiri afya yako ya akili (mental health). Watu wanapata sonona (depression) kwa sababu ya madeni. Jihadhari sana na kukopa kopa ovyo.
7
30
119
@SNdandala
Samwel Ndandala
2 years
Respect the process. The prodigal son lost everything, not because he did not deserve it, but because he got it too soon. The process helps you handle what comes after it.
4
38
122
@SNdandala
Samwel Ndandala
4 years
Money is finite, which is why you need to live on less than you make if you are ever going to build wealth.
2
23
123
@SNdandala
Samwel Ndandala
4 years
I will be on BBC focus on Africa at 8:30 onwards (+3GMT) sharing my views on the upcoming budget. The focus must be building resilience in the Tanzanian economy, businesses and communities in these uncertain times. @BBCAfrica
6
27
122
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
Just because results are non-linear, does not mean your consistency is not working.
4
30
122
@SNdandala
Samwel Ndandala
5 years
Have a budget, stick to the budget. If need be, revise the budget, then stick to that revised budget. You will be in control of your money.
1
50
118
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
One lesson you learn from working out is that showing up is more than half the battle. Just show up. The rest will follow.
2
19
121
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
Never miss an opportunity to celebrate people when you can. Even for those who look like they've got it together, life can be discouraging. ✅️ Offer a genuine compliment ✅️ Recognise effort ✅️ Encourage someone ✅️ If your criticism is useless, hold your peace.
2
43
119
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
The power to tax. That is the ultimate power. Rulers throughout history have gambled with it at their peril. Because the power to tax is not only the power to build, it is inherently the power to destroy.
5
43
118
@SNdandala
Samwel Ndandala
4 years
Your retirement pension should be the icing on the cake. It is not the cake.
3
21
119
@SNdandala
Samwel Ndandala
6 years
Stick to the budget. Always stick to the budget.
2
26
111
@SNdandala
Samwel Ndandala
2 years
✅️ For being an amazing dad. ✅️ And an even better husband (mom says so 👏👏). ✅️ For modelling integrity, faith, decency and strength every day. Thank you, and happy birthday, Mchungaji Ndandala.
Tweet media one
9
6
119
@SNdandala
Samwel Ndandala
7 years
Umaskini ni fedheha. Mtu akikutukana na ikakuuma, ujue kuna sehemu kagusa ukweli. Matusi haya yataendelea mpaka Afrika itakapoamka na kujiinua kiuchumi. Tujibu kwa matendo ili vizazi vyetu visipitie fedheha hii. @Semkae
7
31
114
@SNdandala
Samwel Ndandala
3 years
Yale uliyochelewa kujifunza hadi ukayajua ukubwani, wafundishe wanao mapema.
1
27
114
@SNdandala
Samwel Ndandala
2 years
Buy assets, not liabilities.
4
28
116