Wandugu, nawakumbusha kujali afya zenu kwa kupata juice/matunda fresh kabisa kutoka “Paris Fruition” kwa bei poa kabisa kuanzia 2,000 tu.
Karibuni sana🙏🏽🍍🥑🥤🍌
@Labella_Mafia95
Hapo unamwambia “nenda kwenye kioo, jiangalie. Unaona nn!?”
Akijibu sasa unamwambia “unachokiona hapo mimi naona mara 100 zaidi, umebarikiwa kila kitu kasoro maono ambayo nimebarikiwa mimi tu, so let me ride with you until our last breath❤️ njoo mchana ghetto upike tule wote”
@IdrisSultan
Hii ya kushikwa mkono aisee🙌🏽🙌🏽😂😂 juzi nimekaa kwenye basi na bro mmoja sasa kwenye kukaa kaa vizuri jamaa kaweka mkono pembeni ya paja kujishikiza ila mimi sasa🥵🥵🥵🥵 nishajibana kwenye dirisha nusu nichomoke🙌🏽🙌🏽
Kaka
@GeorgeJob14
it's a pleasure kukutag hapa, habari yako. Upo Dodoma kwaajili ya Marathon, hivyo kama ndugu yako tafadhali naomba support yako kwenye biashara yangu ya juice na matunda kwa kufika tu ofisini 0755506535🙏📷
Thanks God for blessing her another wonderful birthday, one of the most expensive creatures I’ve ever met❤️
I love her and let us wish a very happy birthday to my love, the mother of my child ❤️❤️🥰🎊🎂🎉
Wakuu kwema! Naombeni lift from Dar to Dodoma, yeyote anayekwenda huko hiv karibuni🙏🏽🙏🏽🙏🏽 nina leseni daraja D pia so kama utahitaji msaada wa kuendesha pia nitasaidia
Nimemmiss mwanangu😌😌
0755506535
Wooow what a day🙏🏽🙏🏽🔥
It was nice having you
@SharonMontana20
ofisini kwetu🙏🏽🙏🏽👊🏽honestly you are very humble and direct, natarajia story zaidi next time na michongo kama tulivyoongea sasa😅👊🏽
#X_InDodoma
tunaweza kushiriki charity nyingine soon nitakujuza👊🏽👊🏽
#ParisFruition
@mokertz__
Ndio maana wapo strong na wanaishi maisha marefu🙌🏽🙌🏽 sisi tunaokazana na science zilizoletwa na wazungu tukifika miaka 50+ utakuta miguu inavimba na kuuma, mara mtu husikii vizuri, mara huoni😂😂🙌🏽hapo anapiga damu + nyama na hapati shida kama sisi kwasababu wanaishi naturally
Hello my Dodoma people tupo live “Paris Fruition” kukuhudumia mteja wetu juice na matunda fresh karibu aina zote🧃🥤🍍🥑
Kuanzia 1,000Tsh tu unaweza kujipatia mzigo fresh kwa afya yako
Tupo karibu na Kimbinyiko bus stand/Barabara ya kuelekea VETA/Tunaangaliana na BSS Stationery
Binafsi nipo ofisini tangu asubuhi nawasubiri wateja 😅😅👊🏽👊🏽wale wa “nitakuja nitakuja” ndio nipo nawasubiri hapa
Kuna juice na matunda fresh kabisa, uje upate kwaajili ya afya yako
0755506535 Dodoma, Tanzania
Sasa wateja msipokuja sisi tunaishije!? Wanangu wa Dodoma mje kula na kunywa matunda safi na pure hapa “Paris Fruition”
Barabara ya kuelekea VETA/ Mkabala na Taasisi ya Elimu ya watu wazima👊🏽👊🏽🥕🥑🍍🥭🍉
@EduTalkTz
Mijadala itakuwa mingiii ila kile chuma ndio kilikuwa best kwa nchi kama yetu🙌🏽🙌🏽 kuna watu walihisi wao ndo kila ktu kwenye hii nchi (miungu watu) jamaa akawakomesha, mamb ya ufisadi na kuonea watu wa hali za chini😂😂😂 yaan aligusa kwenye kidonda
Bro I really appreciate that you followed me but sitaki mazoea na machawa na wanafiki wa taifa 🚮wewe na sisiemu wenzako kazi kusifia hata vibovu🚮🚮
Kindly unfollow or block me kabisa
@__abdulazack
Kama Mungu amekujalia chochote basi hakikisha familia inafurahia uwepo wako ukirejea nyumbani🙏🏽🙏🏽🙌🏽
Dogo anapendelea sana hiv vi bites😅😅😅hapo ananiona mwamba sana kumbe ni buku buku tu
Happy birthday to me🤗🎂
Thanks to my family and everyone who supports me in every steps of my life🙏🏽🙏🏽🙏🏽 may God bless you all
Karibuni Dodoma mjipatie juicena matunda safi kwa kuanzia 1,000Tsh.
Tupo karibu na Kimbinyiko bus stand/Barabara ya kuelekea Veta
#CEOofPARISFRUITION
Wagalatia 5:16-21
16 “Basi nasema, Enendeni kwa roho, wala hamtazitimiza kamwe tamaa za mwili.”
17 “Kwa sababu mwili hutamani ukishindana na roho, na roho hushindana na mwili; kwa maana hizi zimepingana, hata hamwezi kufanya mnayotaka.”
Wandugu, nawakumbusha kujali afya zenu kwa kupata juice/matunda fresh kabisa kutoka “Paris Fruition” kwa bei poa kabisa kuanzia 1,500 tu.
Karibuni sana🙏🏽🍍🥑🥤🍌
Wakazi wa Dodoma mkaribie “The Paris Fruition”
Karibu na ofisi za Kimbinyiko/barabara ya kuelekea Veta/ mkabala na BSS stationery
Karibu ujipatie juice fresh ya matunda aina zote🙏🏽🙏🏽🥑🥭🧋🍍🍉🍎🍊🍇
Binafsi namkubali sana huyu bwana
@nikkwapili
👊🏽👊🏽👊🏽🔥 kama ikitokea kaiona hii 🙏🏽🙏🏽 kama kijana ninaomba support ya moja kati ya biashara ninazofanya hapa Jijini Dodoma, hii ya juice na matunda ipo jirani kabisa na bungeni eneo ambalo linafikika kabisa
@MwanaFA
pia karibuni sana
Hello friends in Dodoma, karibu ujipatie juice na matunda fresh kutoka “Paris Fruition” kwa gharama nafuu kabisa kuanzia 1,000Tsh tu. Kata kiu yako na jenga afya yako kwa juice bariidi
Tupo karibu na Kimbinyiko bus stand/Barabara ya kuelekea Veta/ Tunaangaliana na BSS Stationery
Ndugu
@ummymwalimu
tafadhali ikikupendeza naomba ufike ofisini kwangu ni karibu na bunge, barabara ya kuelekea Kimbinyiko kama unatokea bungeni, tunaangaliana na BSS Stationary
Tunauza juice na matunda fresh aina zote🙏🏽🙏🏽🙏🏽🍇🍉🍌karibu ujenge afya na Paris Fruition
0755506535
Ishini na watu vizuri aisee 😂😂🙌🏽🙌🏽 yaan sina hili wala lile njaa inauma sina hata mia mara paaap!! Ndugu yangu
@MpellyTech1
huyu hapa kaagiza msosi😂😂 basi imebidi nichukue na mimi kijiko📌📌👊🏽
Bila yeye nawaambia hii Dodoma ningeshahama🙌🏽🙌🏽barikiwa sana mkuu
Upo Dodoma, unapenda Detox juices, Smoothies na mixing juices na haujapata the best place to have them😉 usijali “Paris Fruition” tupo kwaajili ya kukusikiliza na kukupa kile unachostahili kwa afya yako
Kwa affordable price kabisa utapata kile unachopenda na kustahili🍉🥑🍌🍍🥕
@GilbertPaul95
@thealpha24_
Huyu jamaa ni complete aisee🙌🏽🙌🏽 kama akiwa na consistency kwa mamb ya namna hii ipo siku tutamuweka kwenye kundi la akina prime Hazard na Prime Alexis Sanches wakiwa na Chelsea & Arsenal🔥🔥🔥 what a goal
@TMnyama4_
Hyu na dem wake bhn😂😂🙌🏽 hapo akihisi mkojo ukishaanza kumuuliza uliza ndo unamkata stimu, wewe ukiona imefikia hali hiyo ndo unachochea kisawasawa hatokuwa na budi itabidi tu maana hawezi tena kuubana
Huko
#SportsTradingTanzania
ni kwa motooo😂😂😂🔥🔥🔥ni code za hela tu zinatembea
Muone
@Mtalojr28
akufanyie miamala ya 1XBET then automatically utajiunga tu kwa groups ukuze hela uliyo deposit kwa wakala wa dunia
@1xbetcashwakala
✍🏽Mwenzenu mapema sana napiga mixer yangu safi, inasaidia afya ya ngozi yako na mmeng’enyo wa chakula 😌😌🙌🏽
Unasubiri nini? Kama upo Dodoma sogea upate juice na matunda kwa bei kuanzia 2,000 Tsh tu.
Karibuni sana 🍍🥭🥑🥕🍌🍉🍒🍊🍊🥑👇🏽👇🏽location👇🏽+ communication 👇🏽
Karibu ofisini upate huduma safi ya juice na matunda fresh kabisa😉🤗🍍🥭🥑🥕🍉hata bila cash utalipa kwa e-money (lipa namba)👊🏽👊🏽
Tupo Dodoma karibu na Kimbinyiko bus stand/ Barabara ya kuelekea Bungeni au VETA/ Tunaangaliana na BSS Stationery
Wapendwa muda si rafiki naomba tuwasiliane kama upo tayari kushiriki na familia ya Dodoma kwenye kutembelea watoto wenye uhitaji siku ya sabasaba
#X_InDodoma
Voda lipa: 5899672 Paris Fruition
Ukiweka mchango wako wasiliana na namba hapo chini🙏🏽🙏🏽ahsante
@iamcleopatricia
Hello naitwa Gerfrid Ntwina, nina biashara yangu hapo Dodoma mjini ya Juice na matunda fresh
😋🍍🥑njoo ujenge afya ya ngozi na mmeng’enyo wa chakula kwa kutumia matunda tunayoyaandaa kwa usafi na ustadi mkubwa kulinda afya ya mteja wetu
0755506535 karibuni sana Dodoma😉
Hello twitter family, leo nina haka ka fridge kangu nahitaji kukauza. Ipo kwenye hali nzuri kabisa mlngo mmoja ina sehemu ndogo kwaajili ya freezing ni mpya imetumika for two months only.
Location:Dodoma,Tanzania
Contact:0755506535
Additional:Risiti na warranty vyote vipo valid
@AbsoluteChelsea
@David_Ornstein
🤦🏽♂️🤦🏽♂️🤦🏽♂️they were willing to take £50M from City why are they wanting more from us!? If they can’t take that it’s better to step aside 🙌🏽🙌🏽🙌🏽
@IAMartin_
Suala ni simple tu hapa pato la wananchi limeongezeka maana tunapambana kufanya kazi usiku na mchana na makodi mengi tunalipa
Uchumi umeshuka maana hela zinaingia halafu zinaliwa na watu wachache wapumbavu wasioitakia mema nchi 🚮 wa kwanza ni huyu kunguni anayetutangazia haya